💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tanzania tumshukru Mungu Tuna mchungaji Gwajima🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿Mungu mlinde Gwajima
@patrickrobison70913 жыл бұрын
Amina
@melkizedekiwiliam55333 жыл бұрын
Hakika. Huyu ana moyo wa Magufuli haswaaa!
@blessingrenatus59213 жыл бұрын
Amen
@marcokaroje89803 жыл бұрын
@@melkizedekiwiliam5533 mbona yeye hajafa kwa nini kama ana moyo wa magufuli
@NYAKANAZITVOfficial3 жыл бұрын
Amina
@haroubabuu11443 жыл бұрын
Gwajima 🔥🔥🔥 mm wa msikitini ila hapa nakukubali mzeee wa kanisani
@missmwayway47043 жыл бұрын
Umeonaeee hatari xana Allah azidi kumpa Ujasiri na maisha marefu huyu Baba🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@haroubabuu11443 жыл бұрын
@@missmwayway4704 jamaa anaongea point ilawanajifanya 2 hawamuelewi
@missmwayway47043 жыл бұрын
@@haroubabuu1144 Wanamuelewa xana sema wanajitoa ufahamu tu kwa vile wameshachukua pesa za Mabeberu yao hko na hawana point yoyote yakutudanganya Watanzania ......Ndo kwanza tunazidi kuwamshwa dadadekiiii 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
@ommygraphics43553 жыл бұрын
Sio wewe pekeyako kaka hata mimi mwenyewe namkubali sana huyu jamaa na farsafa zake aisee atusaidie hii vita ni kubwa.
@missmwayway47043 жыл бұрын
@@ommygraphics4355 Inshallah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ashuramhando52853 жыл бұрын
Baada ya Magufuli ni wewe tumeletewa na ALLAH na Mungu akusimamie na akulinde 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@gjgtv81343 жыл бұрын
Kiongozi wa kweli habadilishi msimamo wake kwasababu ya mazingira Asante Gwajima
@deusnzeran47523 жыл бұрын
Washirika wake waunde sungusungu wakumlinda gwajima
@sadalaramadhani1043 жыл бұрын
Gombea urais baba yetu mtetez wetu🙏🙏🙏
@omanabcd92493 жыл бұрын
Utalamu aliufyata matakoni
@dorahy15793 жыл бұрын
Unaweza kusimama kama Independent Candidate wenye CCM na CHADEMA au Vyama vingine wakae na vyama vyao watu wamechoka na ujinga wa vyama vinavyouwa watu. Ita Chama Chako UTU WA MTU. (UWAMTU)
@erastuskajuna8123 жыл бұрын
Haya! Gwajima plus Gwajima! What is next? Mashokolomageni yanaweza yakaja! Yabidi tumtangulize Mungu katika suala hili. Mungu ndiye kinga yetu imara
@naslee10103 жыл бұрын
Nakubali mzee wangu kurudi nyuma mwiko twenzetuni nchi ya ahadi🙌🙌🙌
@sadalaramadhani1043 жыл бұрын
Nikwer askali wetu tunakutegemea baba tuvushe ndugu yetu 🙏🙏🙏
@zabronnyamba59393 жыл бұрын
Safi sana mkuu hao viongozi wanatupereka vibaya kwa nitusipokuwa makini tutaangamiya
@fatumambwana71923 жыл бұрын
Japo Mussa hajatufikisha kanan lakn Mungu amemuinua Joshua.... Be blessed Magu mdogo.🙏🙏
@georgeshigela36433 жыл бұрын
Gwajima una maneno mazuri nafuatilia na ninapendezwa nayo, ahsante
@Manutdking-xf2kq3 жыл бұрын
Hapo nimekuoenda sana Gwajima. Shujaa kweli kweli. Mungu akulinde uwe salama tu.
@Manutdking-xf2kq3 жыл бұрын
Nimekupenda, sema kabisa.
@cidewashington6703 жыл бұрын
Wewe Gwajimaaaaa asanteeeee sanaaaaaaa, ujumbe umewafikia Wana vigeugeu walio msahau Mungu kisa wanataka waende na Dunia inavyotoka
@Petro_classic13 жыл бұрын
muhuni tu naikumbuka kauli yake ya itoshe tu kusema kwamba nimechukua fomu,aliwasaliti chadema na kwenda kwa watu aliowaita mijizi na lenyewe limekua jizi
@nuhubalandya91643 жыл бұрын
Mi gwajima nakuona kama New Hero of Tanzania. Baba Walipue vimbele mbele wanaovuma na upepo
@amosmichael83893 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana bishop endelea kusimamia ukweli
@mussampambichile86473 жыл бұрын
Gwajima na polepole milele tupo pamoja
@bartholomeomacha52153 жыл бұрын
BABA HALI SIO NZURI MAKANISA WANAZIKA WAAMINI WAO WENGI TOAUTI NA NYUMBA TUOMBE MUNGU PIA TUFATE USHAURI WA WATALAMU BABA TUOMBE SASA NA HUKU TUKIFATA WATALAMU HATA HIVO WATALAMU HAWA WALIWEKWA NA MUNGU
@danielbupimaly1463 жыл бұрын
Kweli mkuu
@deusntobi14503 жыл бұрын
Ccm watajuta kumpigia chapuo huyu alipaswa awe mpinzani kabsa. Watu namna hii hawezi kupendwa na watawala hasa wa ccm
@whatisthetruth.87933 жыл бұрын
Tena Gwajima ndio anaongea mambo ambayo wapinzani walipaswa wao kuwa wanayaongea . .. atoke CCM 2025 angie hata tadea amtoe ndumi la kuwili samia
@mashimbazephania35113 жыл бұрын
Hakuna mpinzani mwenye akiri, kuna mpinzani anapinga chanjo? Au nawe unaota jpm ndo alkuwa namaono.
@sultanamour85013 жыл бұрын
Sahau upinzani kushika dola tz mtakula mikwaju mpaka maji muite mma
@fatumajuma11573 жыл бұрын
@@whatisthetruth.8793 Hatapewa ubunge hata achaguliwe Lbda huwajui ccm na polic wao
@mohammedally22893 жыл бұрын
Lakini chadema wao wako very towards vaccine
@peterdavid42303 жыл бұрын
naanini tutavuka katika Jina la yesu tupo mikono salama Mungu awe nawe Askofu Gwajima
@williamkavishe3973 жыл бұрын
Hawezi kuwa kinywa Cha Mungu nabii wa uwongo Bali huyu Ni kinywa Cha lusifa shetani huyu
@fredkyara32783 жыл бұрын
Safi sana Rais wetu mtarajiwa
@amanisanga22773 жыл бұрын
Mungu awe nasi kabisa Mimi nipo pamoja na wewe mungu tubariki waja wako nipo nawe mchungaji
@floragordian41313 жыл бұрын
😆😆😆😆😆 nimempenda Sana huyu jamaa... Mtu akimwendea vibaya anamuumbua... Ukitaka kupambana naye lzma ujipange.
@aliusanthony91583 жыл бұрын
Gwajima, Mungu akulinde na akusaidie ufike sehemu yenye maamzi makubwa sana
@alphonceelias22953 жыл бұрын
MUNGU akiamini na kuchagua mtu jasiri na mwenye msimamo,piga kazi Gwajima tuko pamoja na wewe kwa maalfu,Mungu akutetee.safi sana!!!
@kanjanjamwimikes92283 жыл бұрын
...polen watanzania. .
@robertmgore36533 жыл бұрын
Pamoja mkuu viongozi wengine wamekua kama kuku wa kisasa tangu jpm aage dunia
@emanueljoseph6023 жыл бұрын
Watu wanafiki' mijitu imekubali chanjo ili mambo yao yaende
@awadhally10523 жыл бұрын
Kwel kabisa
@AA-pd4pz3 жыл бұрын
Gwajima gombea urais na tizama kama utakosa.. Mimi ni muislam alhamdulillah na kura yangu itakwenda kwa Gwajima na nataka nimpende huyu mwamba kama nili yo mpenda magufuli
@carolynenekesa51983 жыл бұрын
Asante Mungu kurudushia John Magufuli. Mbinguni tunaenda 🙏🙏🙏
@mch.deosinkala31203 жыл бұрын
Baba hongera,tanzania nzima tuna kusikia hadi mashambani na vijijini uku momba chitete. Nakuombea sana utufikishe nchi ya ahadi kaanani.
@chibutzy72453 жыл бұрын
Mungu atakuwa nawee mzeee wangu nasi tupo nyumaaa yako kwa hakika utalindwaa
@mathayonyerera31443 жыл бұрын
Umewaumbua kweli🤣🤣👍👍👍
@increaseknowledgetvonline55073 жыл бұрын
Duuh, kazi ipo. Nyundo imepiga penyewe kabisa
@yohananasson85003 жыл бұрын
Unatembea katika maana halisi ya Injili. INJILI MAANA YAKE NI HABARI NJEMA, Imani penye hofu, uzima penye kifo, haki penye dhambi, that's Gospel We are many Askofu & Dr Gwajima, we thank God for you. KANISA LINASONGA MBELE NA MILANGO YA KUZIMU HAIWEZI KULISHINDA
@bensonbenezeth3 жыл бұрын
Asante gwajima wanakusikia nadhani, ndumilakuwili. Nukuu ya JPM, Tanzania atuna Baba wala mama, Tanzania tutajitetea wenyewe, tatizo ni kujipendekeza kwa wazungu.
@deusnzeran47523 жыл бұрын
Ndo tukasema serikali ikishikwa na wachaMungu wachungaji ila siyo kila mchungaji wachaguliwe na kupigiwa kura na mashehe nao siyo wote wale wenye misimamo ya kiMungu tu Tanzania imepona
@emmanuelbonaventura42583 жыл бұрын
Ubarikiwe. Tujiamini waafrika
@severiningungulu12903 жыл бұрын
Asante gwajima tuko nyuma yako
@godsonmanasse90273 жыл бұрын
Wooo MUNGU akulinde Baba yetu Wewe nikinywa chaMungu
@jarukhan_tz13263 жыл бұрын
Safi sana gwajima, kazi nzuri sanaaaaaaaaa, umenifurahishaaaaaaaa
@danielnangonga42563 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Kiukweli una msimamo na watanzania tuko nyuma yako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿✊
@rosepascalmichael66263 жыл бұрын
Gwajima mungu akulinde na uishii miakaa miaaaa👏👏👏👏
@rubenbanga17473 жыл бұрын
safi sana kiongozi bora lazima awe na msimamo katika jambo lolote
@imanimgaya24783 жыл бұрын
Wewe ni Simba wa kabila la Yuda. Wapo viongozi kama wewe, Ila wanaogopa. Ila mioyoni mwao wanakutia moyo wewe mwenye msimamo usioyumba uendelee kuwasemea watanzania. Hongera sana
@castobenjamin40743 жыл бұрын
Tungepata Viongozi wa5 tu wenye msimamo,maarifa na Ujasiri kama Gwajima Tanzania yetu ingekuwa mbalii sana!!
@geradmmuya50623 жыл бұрын
0
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@geradmmuya5062 Ha ha ha ha... Alisema hawezi kuwa MBUNGE wala WAZIRI kwa sababu yeye ni mkubwa kuliko WAZIRI. Leo? Ni MBUNGE!
@katemachanda70353 жыл бұрын
@@TamuzaKale Kwa hiyo unasemaje sasa??? Unachoongea ww na anachoongea Gwajima ni vitu viwili tofauti, Moja ya sifa ya ustawi ni kuenenda na mabadiriko. Mabadiriko yasiyoleta ustawi na kwa uwazi kabisa yanaonekana yanakwenda kuharibu zaidi ya kujenga, mabariko hayo yanatokana na nafsi iliyokosa msimamo, inayoyumbishwa ili kifurahisha watu huku moyoni akijua anakosea, hicho ndio anasema Gwajima.
@omanabcd92493 жыл бұрын
Kabisa sio hao vgeu geu wazri wa afya nilijua atajuuzuri
@TamuzaKale3 жыл бұрын
@@katemachanda7035 Unaongea kama mtot vile. Hebu jaribu kuvaa viatu vya yule mama wakati wa Magu. Hata Gwajima mwenyewe wakati wa Magu hakuwa mlopokaji. Unakumbuka kilichomkuta? Tunakuwa wasahaulifu mno!
@kataninyido9623 жыл бұрын
Safi sana mtumishi wa Mungu nimekukubali san
@abdalahally31133 жыл бұрын
Ongea ukweli kabisaa ngwajima na mwenyezimungu akulinde na walio muuwa magufuli ili wapore inchi yetu
@lailmeeea49083 жыл бұрын
Nakupenda Mungu akulinde ❤❤❤❤
@felixmhando17333 жыл бұрын
Hapa sasa nazidi kuamini kweli Mungu anavyombo vingi. Kamchukua anko magu kamuinua gwajiboy. Hata usipokuwa raisi watz wanyonge wenye akili zao watakusikiliza tu. BIG UP SANA.
@salmamrembo43603 жыл бұрын
Waoooooooooooo gwajima wetu kiongozi wetu mtetezi wetu tunakuunga mkono sana mungu akulinde
@richarddomi45173 жыл бұрын
Wewe mwenyewe kigeugeu waumini wanataka neno la mungu siyo siasa umezingua
@aminasittusaid38303 жыл бұрын
Hilo ndo neno la Mungu sasa, kwa ajili ya afya za waumini wake pamoja na wasio waumini wake. Dunia umekuwa kama kijiji hiyo chanjo mnayo hamasishwa kuchanja sasa hivi haina faida tena maana kirusi kimegeuka na hakidhuriki na hiyo chanjo tena. Work done is equal to zero.
@mchezakamaliog2653 жыл бұрын
@@aminasittusaid3830 yeye kafuata nini huku mtandaoni? Kama ni neno analolitaka yeye kwann asiende kwenye nyumba za ibada? Sisi kwetu hilo ndilo neno tulitakalo kwa kipindi hiki
@lucyntajames23923 жыл бұрын
Najivunia sana kuzaliwa Tanzania,hakika pastor gwajima unatutia moyo sana katika safari iliyoko mbele yetu,ww ni shujaa wa ulimwengu ,huwa najiulizaga Sana ushujaa ulionao cjapata kuona kama ww,hakika Mungu yu pamoja nawe,tutie nguvu baba yetu maaan dunia inaelekea mwsho,tuvushe yordani in Jesus name,Amen
@revocatusreuben46053 жыл бұрын
Wew noma tunaviongozi vilaza Sana tatizo sijui umaskini wa akili , nileteeni gwajma, nileteeni Gwajima, nileteeni Gwajima maneno yako yatabaki juu JPM
@geofreywayesu56383 жыл бұрын
Amen Mungu na Baba Yetu akubark
@gerardhero11973 жыл бұрын
GOMBEA URAIS MKUU 2025 please 🙏🏽🙏🏽
@hatibhatib57603 жыл бұрын
Haitatokea
@modestapeter29973 жыл бұрын
@@hatibhatib5760 inawezekana why not?
@viousa3 жыл бұрын
@@modestapeter2997 sio mkatoliki
@junioryasin53063 жыл бұрын
@@viousa akil ksoda
@riziquiebravvy70303 жыл бұрын
Na Mungu ampitishe
@timbukwa97713 жыл бұрын
Baba Askofu nitafarijika sana ukiwaambia maaskofu wenzako na mashekhe wenye msimamo kama wako yafanyike maombi maalum kwa ajili ya Taifa letu!! tunaangamia kwa kuongozwa na uoga mioyoni mwetu,,,,
@edwardpius36483 жыл бұрын
Dah hongera sana ukweli humuwek mtu awe huru ila tetea nafsi za watanzania
@pascal24153 жыл бұрын
Weeee safi kamanda
@yakobomchete8203 жыл бұрын
teach people on what our lord needs and not politics ya kaisali apewe na ya Mungu mpe Mungu
@paulmichael61003 жыл бұрын
Pumbavu ya kaisari yapi au na wewe umekula hela fara wewe si ukachanjwe msenge wewe tuachie baba yetu
@jumannemaagisa98973 жыл бұрын
Wee mwamba unafaa hata juwa Rais wa Dunia nzima nashangaa mafisadi wanao kushambuliwa sasa wee na Rafiki yangu Hafury polepole mubarikiwe sana
@janethpallangyo26333 жыл бұрын
Nakupenda sana Ngwajima wewe ni kiongozi wa wananchi kwakweli.
@enocknzao21843 жыл бұрын
Safi sanaa kwa kazi nzuri,,TunKuamin
@lucylghticharles82843 жыл бұрын
SEMA baba maana wanatuona sisi nimazombi tunaakili sana
@maimunashaban95383 жыл бұрын
Sawa sawa
@omanabcd92493 жыл бұрын
Utalam aliufyata matakono
@nativeinfotv96203 жыл бұрын
Ameeeeeeeeeen imekuwa baba.lazima tufike nchi ya AHADI tu.
@varmandavarmtv89993 жыл бұрын
Ccm Mmeukwaa mmekoka Moto na Moto Unawawakia Gwajima Mungu akutangulie Mtumishi
@baltzrluus32873 жыл бұрын
nashauri muwe mnaweka video fupifupi walau za dakika 10 hadi 20 ili kurahisisha utazamaji, kwa sababu wakati mwingine sio rahisi kuangalia video masaa mawili mfululizo.
@trillhappybeautypoint98743 жыл бұрын
Tanzania tunawatumishi wa Mungu ambao ni noumaaaaa thnx Jesus
@focuseric41093 жыл бұрын
Huyu ni mtu mwenye uwezo mkubwa wakujenga hoja na ku defend,na nimtu anaeongea kitu bada ya kukifuatilia sana na kukichunguza!hii nimara yatatu kumsikiliza huyu jama uwezo wake nimkubwa sio mtu wakuparamia anauwezo mkubwa wakumuumbua mtu kwasababu hua anaongea vitu anavovijua na sio kwakubahatisha.hongera gwajima.mungu akubariki na akurinde!unaipenda nchi yako nimzalendo sana
@emmanuelmayunga15183 жыл бұрын
Mungu Asante kwa kutuletea huyu mtu Tanzania,,,AKILI KUBWA SANA
@themoon20853 жыл бұрын
Yaan Asante mungu kwa kutupatia mchungaj gwajima ❣️
@ommygraphics43553 жыл бұрын
Nakukubali sana kiongozi tujaze matumaini Mwenyezi Mungu akusaidie akutie nguvu kutupambania
@ustadhomaribinjuma50233 жыл бұрын
Mimi ni muislam tena ni ustadh lkn kwa hili simuamini shekh yoyote wa bakwata niko pamoja na ww askofu nakukubali sana!!
@ommygraphics43553 жыл бұрын
@@ustadhomaribinjuma5023 hata mimi shekhe wangu namfuatilia sana huyu jamaa. Mashekhe wetu wametulia tu dah Allah atusaidie
@aminasittusaid38303 жыл бұрын
@@ommygraphics4355 Gwajima yupo vizuri sana maana anasimamia anachokiamini. Sheikh Rusaganya nae yupo vizuri anapinga watu kuchanjwa.
@ommygraphics43553 жыл бұрын
@@aminasittusaid3830 Alhamdulillah Allah awatie nguvu inshaallah
@cleofasladislaus21773 жыл бұрын
Waambie vizuri mtu wa mung Taifa linaenda pabaya
@lameckchahoa34103 жыл бұрын
AMEN Baba yangu
@kirumaheritagetz34653 жыл бұрын
Mwamba nakukubali kinoma
@riziquiebravvy70303 жыл бұрын
Baba Asante ww no jasusi wa mbinguni
@dtechcollege46623 жыл бұрын
Really appreciate to you pastor tatizo viongizi wengi Ni opportunities matumbo njaa
@frankmtawa38173 жыл бұрын
I just had to subscribe to this channel out of love for this Man😁❤️... Sipendi watu vigeugeu😐😾
@castershuli55663 жыл бұрын
Wewe ndo umebaki kwenye nafasi ya Joshua twende baba na kupenda bure Mungu akutunze na kusudi lake litimie
@kikongajoel51723 жыл бұрын
Mungu akubaliki Sana
@wazirimaulidu61983 жыл бұрын
Kweli Mungu Akue Kiongozi
@jokhamohammed9763 жыл бұрын
M/mungu akupe maisha marefu uko kwenye kweli wewe sio kigeugeu Kama wengine wanavyo cheza na akili zetu
@atufigwegeisilaeli52583 жыл бұрын
Mungu akunyime nn gwajim aisee mungu akuzidi shie kipawa mbelee
@sniper939993 жыл бұрын
🔥🔥GWAJIMA and POLE POLE insha Allah mtakumbukwa siku moja 🔥🔥
@missmwayway47043 жыл бұрын
Gwaji boy 🤲🤲🤲🤲🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@jacobstephanonaziadi47243 жыл бұрын
Bravo bravoo long life mjomba nakukubali sanaaa
@happynesssamwel29173 жыл бұрын
Uko vizuri sana mzee
@masoudeid42593 жыл бұрын
Gwajima versus Gwajima
@merrymsengi543 жыл бұрын
Mungu awatunze watumishi Wa Mungu
@emmyngoi29973 жыл бұрын
Uko vizuri baba mungu akulinde
@josephsimiyu52113 жыл бұрын
MUNGU akulinde inje Gwajima ndani Dr Magufuli
@dottoisaac67333 жыл бұрын
Gwajima na polepole ndio roho pekee za magufuli zilizosalia. Hata wakiwanyamazisha mawe yatapiga kelele.
@focuseric41093 жыл бұрын
Ndugu watanzania wazalendo,huyu sio mtu wakuchezea na watu wa aina hii kwa mataifa ya africa niwachache,nimeanza kumfuatilia speach zake takribani wiki mbili ata kanisa lake sijui liko wapi lkn huyu mtu ni hazina kubwa kitaifa kwa watanzania wazalendo,nia ajabu kuona nchi ya Rwanda ikitengeneza simu smart phone na magari wakati tz ata vijiti vinatoka china!!lkn tunakila kitu,anaetuvuruga tanzania ni kikwete ndie kinara wakundi la mafisadi na anapoona wenzake wanafanya vizur anaingia wivi na kuvuruga kwa njia anazozijua.
@fredkyara32783 жыл бұрын
Kweli kabisa kaka kikwete ni kirusi hatari sana kwenye nchi yetu ya tanzania ni jasusi hatari sana la mabepari eti sisi ni ccm wazawa hatusumbuliwi.na.ccm wakuja ikichama cha ccm nicha mamaako? Kwanini hufi fisad mkubwa wewe familia inateketeza vijana na madawa ya kulevya. Yaani hii familia niyalaaana tupu Mungu ailaani litokee tetemeko waangamie woote familia nzima mwishie Jehanam mafreemasoon nyie
@jamespeter8823 жыл бұрын
Askofu mm nakuelewa nipo nyuma yako Mungu wako atakua Mungu wangu......
@franksimon24063 жыл бұрын
Asant kiongoz tunakutegemea sana
@barakayona65403 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi WA MUNGU Nena uokoe watanzania
@methewmathayo75483 жыл бұрын
Sikutaka kukoment ila kwenye hili swala la viongozi vigeu geu hili lenyewe ni sawa kabisa ndiyo style ya viongozi wengi sasa hivi wanalinda ajira au kumfurahisha mtu badala ya kuwafanyia kazi wananchi
@maumangunda11113 жыл бұрын
Upo juu bro🙏🙏🙏
@chrisshonga3 жыл бұрын
Ndio maana nampenda sana MUNGU, saa uliyokuwa unaingia bungeni hakuna aliyejua hesabu za MUNGU, Naamini MUNGU amekufufua kwa ROHO ya MAGUFULI tena, I can't wait to see you one day to be a leader and president of our beautiful country! Hao viongozi wenye tamaa mbele na kutaka kupotosha watu ni kichefuchefu na matapiko matupu
@milindiibrahim82853 жыл бұрын
Kazi iendeleye. Wewe ndo unabaki natuosha baada ya MUheshimiwa hayati JPM. DRCongo tunakupenda sana
@pendomarco89283 жыл бұрын
Jamani kweli viongoz wa Tanzania vigeu Kama kinyonga, Gwajima baba kwa pamoja tuliombee taifa letuuuu
@BarakaWaya3 жыл бұрын
Tunasimama na msimamo wako Tunasimama na msimamo wa Hayati Rais wetu Magufuri Tunasimama na Mungu
@denisrwakatare70863 жыл бұрын
Hakika nimekuelewa🙏🏽🙏🏽
@madamloveness72743 жыл бұрын
Gwajima zamani nilikuwa sikuelewi Ila Sasa nakukubali Sana una msimamo thabiti.
@puttenyanthony92843 жыл бұрын
Huyu ndo raisi wa jamuhuri ya Muungano wa tanzania tuliyebaki nae.
@dserikushoka30243 жыл бұрын
😭😭😭😭Magufuli amezaliwa upya
@kallandoking65613 жыл бұрын
Kanisa tamu sana ni siasa kwenda mbele yaani ni mambo ya Taifa ti!! Kama MUSA vile kutoa watu misri
@Kakabenard_tz3 жыл бұрын
Season Hii Tamu Sana omba irushwe startimes iwe kama gangaa nakwambia hatabanduka mtu
@nickkakumbi95673 жыл бұрын
Uko vzr Sana kaka.gombea urais uone wingi wa kura utakazopata 2025..plz gombea..