Sheikh Sule Awataja Viongozi Wa Mashoga Tanzania / Ushoga Upo Tanzania / Sheikh Sule

  Рет қаралды 22,181

DARSA TV

DARSA TV

13 күн бұрын

Sheikh Sule Awataja Viongozi Wa Mashoga Tanzania / Ushoga Upo Tanzania / Sheikh Sule
Mashaa Allah Dr. Sule akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Kisa Cha Watu Wa Lutwi / Namna Ya Watu Wa Lutwi Walivyoangamizwa / Sheikh Sule
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZbin @Darsa tv
TikTok @Darsa tV

Пікірлер: 104
@suzysam6002
@suzysam6002 2 күн бұрын
MUNGU wa mbinguni akubariki sana umepaza sauti yako imesikika na kila mwenye masikio na wasikie , MUNGU akukumbuke siku zote za maisha yako
@jochachallengetv7061
@jochachallengetv7061 Күн бұрын
Hakika Dr. Sule hili jambo linachukiza sana, nakushukuru KWA kufungua mdomo wako juu ya jambo hili.. sauti y'ako ni sauti ya mungu.. mungu wa mbinguni akulinde.
@HemedMsangi-yy8pn
@HemedMsangi-yy8pn 2 күн бұрын
Na Dr. Sulle tunakushukuru sana na tunakuomba usichoke kuielimisha jamii na Allah atakujaalia utafanikiwa na insha allah Tutafanikiwa. Na viongozi wengine wa dini zote wakemee jambo hili kama dr.Sulle kwa nguvu zote.
@mashakhamiskh8880
@mashakhamiskh8880 5 күн бұрын
Hakika adhabu ya ALLAH haichagui hata siku Moja.. na inaangamiza sote.. Ya Rabbi tujaalie khatma njema na kizazi chetu
@magnet-mt7nt
@magnet-mt7nt 11 күн бұрын
Wote tupaze sauti kukemea ushoga kwaajili ya MUNGU na kwaajili ya vizazi vyetu
@user-fq1gg8rj9i
@user-fq1gg8rj9i 10 күн бұрын
Inna lillah wainna illaih Rajiuun,,eee Mola wetu tunusur waja wako na vizazi vyetu
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 4 күн бұрын
Dr sule upo sawa kwa hili na tupo pamoja naweAllah akuhifadhi
@OchinotzTZ
@OchinotzTZ 2 күн бұрын
Mungu aiponye nchi yetu kwa ushoga amen
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 4 күн бұрын
kaka Sule nimekusifu sana,viongozi wa dini wako kimya wanaogopa wazungu na viongozi tuna kwenda kwenye shimo kubwa sana
@SalumMohamed-sb6or
@SalumMohamed-sb6or 8 күн бұрын
Dr sulle Allwa akupe maisha mema na yabaraka ww itakua mfano na wengine wawe kama wewe
@mashakhamiskh8880
@mashakhamiskh8880 5 күн бұрын
Na Zanzibar tunakukaribisha Dr sule Karibu sana
@user-kr6ou9ko7r
@user-kr6ou9ko7r Күн бұрын
Dr sule mungu akubariki sana na azidi kukutia nguvu na ulinzi mkubwa kulikomboa taifa hili
@HassanOmary-f3z
@HassanOmary-f3z 4 күн бұрын
Do k Sule wewe unatoa elimu nzufi san.mungu Akulinde
@MagrethKatondo-qs9oz
@MagrethKatondo-qs9oz 5 күн бұрын
Mwenyezi mungu utuhurumie. Lihurumie taifa letu baba mungu. Iangalie nchi yetu na viongozi wetu wajalie kutambua kwamba hilo ni chukizo mbele zako wewe ulituumba na ukatujalia utashi wa kutambua mema na mabaya tunakuomba uwajali wote wanaojihusisha na chukizo hilo awaacha kwani hatutaondoka na kitu hapa duniani. Tutaambatana na matendo yetu mema tu.
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 4 күн бұрын
Tunakushukuru na wewe
@KassimKinyashi
@KassimKinyashi Күн бұрын
In shekh mungu akuzidishie nguvu kamahawajakuskia hawatakuskiatena
@RamadhanRamadhan-cx3tj
@RamadhanRamadhan-cx3tj Күн бұрын
Allah bless you for the true speech . Pia umetuwakilisha
@RamadhanRamadhan-cx3tj
@RamadhanRamadhan-cx3tj Күн бұрын
😮
@user-mi9zf4ju6w
@user-mi9zf4ju6w 3 күн бұрын
Yaani maneno uliyoongea Dr. Sule nakuunga mkono kwa asilimia zaidi ya mia moja na nakuomba endelea na mapambano hayo, Watanzania woooote tuko nyuma yako. Naitwa Thomas Kobelo waMbezi Luis.
@GodfreySanga-un8cd
@GodfreySanga-un8cd Күн бұрын
Mungu akubariki sana! Mtumishi.
@davidmpesa2201
@davidmpesa2201 3 күн бұрын
Hongera tuko pamoja kulipinga swala la ushoga hatutakiiii washindwe Kwa jina la YESU
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 2 күн бұрын
Unainjilisha vema.Mungu akubariki sana.
@saimonrodgers8262
@saimonrodgers8262 Күн бұрын
Mungu akubariki sana Sheikh
@boazmpazi260
@boazmpazi260 2 күн бұрын
Safi sana hongera sana baba karibu Mwanza.
@richardmichaelshekoloa8302
@richardmichaelshekoloa8302 4 күн бұрын
Sawa kabisa dk sule saidia watu kwakua upewa sauti na mwenyezi mungu
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 2 күн бұрын
Mungu awalaani wote wanaoutetea ushoga
@mashakhamiskh8880
@mashakhamiskh8880 5 күн бұрын
In shaa ALLAH Allah tujaalie hili jambo liindoke katika taifa hiliii, Ya- Rabbi tuvue katika hili janga
@ZainabuMoody
@ZainabuMoody 2 күн бұрын
Tukazane tyuu kumshtakiaaa munguuu juu ya ushogaa hakika woote wanao ruhusu na kuliunga mkono hili waangamizwe kama wakat wa sodoma na gomora ilivyokua aaaaaamin
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 3 күн бұрын
Viongozi wa Serikali wanaojifanya eti "Wanaifungua nchi" ndio hao hao wanao kingia kifua Ushoga na Ulawiti/Ubaha.
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 күн бұрын
Huwa nakubeza lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni baba umesema kweli vitabu vyote vinapinga ushoga Mungu akubariki
@MbarakSuleiman-s3r
@MbarakSuleiman-s3r 4 күн бұрын
Dr tuko pamòja wataje ile iwe funzo kwa wengine ahsante sheikh
@mohammedgulam9274
@mohammedgulam9274 11 күн бұрын
Shukran Dr.❤
@salmaalkyumi6030
@salmaalkyumi6030 9 күн бұрын
Allah akusaidie Dr na watu wafahamu ubaya wa laanahii
@user-fw3jq3ff5s
@user-fw3jq3ff5s 6 күн бұрын
Si tuliambiwa watoto tusiwaguse hawa ni kushirikiana kuwaondoa kwenye viti vyao ndiyo kinachowapa kiburi na kumuasi allah
@JafariHamisi-gu4ef
@JafariHamisi-gu4ef 4 күн бұрын
Tuko pamoja shekhe wetu dokta sule allah atie wepesi katoka hili
@HamisHaji-v6u
@HamisHaji-v6u 6 күн бұрын
Dr sule tupo na wewe bega kwa bega mungu atatulinda inshaallah.
@RajabuMzee-qx4rd
@RajabuMzee-qx4rd Күн бұрын
Hakika Dr sule
@richardmichaelshekoloa8302
@richardmichaelshekoloa8302 4 күн бұрын
Sawa dk mungu akusaidie kupaza sauti
@pundatr8103
@pundatr8103 3 күн бұрын
Ubalikiwe
@mohammedgulam9274
@mohammedgulam9274 11 күн бұрын
Hatutaki ushoga
@user-xr5lf6pe1n
@user-xr5lf6pe1n 5 күн бұрын
Umeongea sahih shekh wetu serekali ikae ijadili ilo jambo
@PaschalMakubi
@PaschalMakubi 5 күн бұрын
Mwenyezi mungu akutie nguvu katika hilo
@gracekisaka8461
@gracekisaka8461 2 күн бұрын
Uwuiiiiiiiii
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 2 күн бұрын
Babu serikali za kiafrica zaabudu magharibi wanakubali sheria izo so its very hard bro
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 4 күн бұрын
Na litatughalimu dunia itaomboleza kama tunaanza kulaumiana kwamba maisha magumu dunia itatughalimu nani atalipa ghalama hii ikiwa yesu amekataa kusamehe.kufuru saizi.tunazarauliana mpaka kenya wanaingia bungen wanavaa.nguo ya.spika wa bunge wakenya wanaingia.mpaka ikulu ni laana ya.ushoga wacha Mungu oneni mambo.haya
@ZaidSeifSuleiman
@ZaidSeifSuleiman 6 күн бұрын
Ushoga mbaya ila kunaujanja ndio kabroblem
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 5 күн бұрын
Hongera kwa ukweli mini mromani
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 4 күн бұрын
Kutoka 20:1-17 soma hapo utapata mambo yatakayo kukuhekimisha
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 4 күн бұрын
Soma maandiko hayo yote yapo kiatabu luthu kitabu cha mwanzo soma
@user-kp5pi7ng5i
@user-kp5pi7ng5i 2 күн бұрын
natakiwa tuwenasiku maalumu yamaanamano kwa ajili yakuukemea ushoga naubasha kwahakuka tuko pabaya
@user-fy4op1sw2f
@user-fy4op1sw2f 11 күн бұрын
Tuko pamoja Al hajj Dr Sule
@BilluAmour
@BilluAmour 6 күн бұрын
Sahihi kbx
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 4 күн бұрын
tusiite ndoa za jinsia moja tuite ushenzi wa jinsia moja,mazungu majinga sana
@ezrakaturitsaofficialtz7873
@ezrakaturitsaofficialtz7873 2 күн бұрын
Ndio Baba sema wapone
@salomenchimbi6851
@salomenchimbi6851 4 күн бұрын
Umesema kweli hatutaki ushoga kabisa tunachukia sana
@GodloveMvungi
@GodloveMvungi 4 күн бұрын
Mungu tuhurumie sisi waja wako
@richardmichaelshekoloa8302
@richardmichaelshekoloa8302 4 күн бұрын
Sawa kabisa sule
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 4 күн бұрын
Mungu atawalaan wote wanaotetea ushoga
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 4 күн бұрын
Lusifa ni hatari ushoga ni ushenzi mkubwa!! Mtiini Mungu mpingeni Lusifa na ushoga wake
@e11said23
@e11said23 22 сағат бұрын
Ndioo huyo wa kenya ruto moto wake sasa umemfikia
@lwakainaza
@lwakainaza 4 күн бұрын
Takbir
@samiukhamis2703
@samiukhamis2703 7 күн бұрын
DR upo sahihi
@HemedMsangi-yy8pn
@HemedMsangi-yy8pn 2 күн бұрын
Kiuweli serikali ya Dr. Samia Suluhu Hassani na bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania inatakiwa ichukue hatua kali ili kuinusuru jamii ya kitanzania haswa vijana ili Taifa lisije angamia.
@madinajamada9180
@madinajamada9180 Күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏
@MustaphaManole
@MustaphaManole 5 күн бұрын
Tatzo la nchi yetu watu wanaogopa kufa kwann tusiandamane mbn Kenya wameweza kuandamana
@user-xr5lf6pe1n
@user-xr5lf6pe1n 5 күн бұрын
Wallah inashangaza k7b umeongelea ukwel bas watu kimnya ila ungekuwa unaongea kuhusu kusapot nyimb bas koment zingekuwa nying sana 😢innalillah wainna ilaih rajiuun
@SalumMajorhood
@SalumMajorhood 5 күн бұрын
Kbs Dr.sule ongea
@saidimdoe5246
@saidimdoe5246 6 күн бұрын
Duh hii atali sana
@dearmama7865
@dearmama7865 5 күн бұрын
wataje sheikh
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 9 күн бұрын
Laa Ilaha Illa Allah
@richardmichaelshekoloa8302
@richardmichaelshekoloa8302 4 күн бұрын
Ushilika upo watoto
@mpefu_4936
@mpefu_4936 3 күн бұрын
Viongozi wako kimya wanataka kutuangamiza
@asmaali2911
@asmaali2911 6 күн бұрын
Sio Ruti ni Luti ❤nasahihisha tu
@MustaphaManole
@MustaphaManole 5 күн бұрын
Mbwa we kujua kwingi mbn ukusema ww
@ShamimHassan-qm1et
@ShamimHassan-qm1et 8 күн бұрын
Tunapinga ushoga kwa asilimia zote hatutakii ushogaaaaaaaaa😡😡😡😡😡😡😡
@GOZBERTMTASINGWA
@GOZBERTMTASINGWA 4 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😢😢
@mafundaali8077
@mafundaali8077 Күн бұрын
Sote tukemee maovu kwa maslah ya Duncan na akhenaten typing ushoga.
@hassankilengah4786
@hassankilengah4786 4 күн бұрын
Ushonga kwa ujumla ni sehemu ya 22:23 kipengele nyeti katika kupewa mikopo kutoka magharibi ,IMF na Word bank.
@FeisalDoctor-wr8ws
@FeisalDoctor-wr8ws 2 күн бұрын
Hii nchi inawakumbatia wazung na nchi nyengine za ushoga wanakopa kisha malipo ni ushoga
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 4 күн бұрын
umefikisha dawa imewafikia,wanaibirisi,
@ModextaModexta-on7mi
@ModextaModexta-on7mi 5 күн бұрын
🤲🤲🤲🤲🤲
@zenarajab5104
@zenarajab5104 5 күн бұрын
Dokta Sule pasuwa kaka na sisi tupo nyuma yako
@mpefu_4936
@mpefu_4936 3 күн бұрын
Kwao wamealibu vijana wanataka wakatoge na huku kwetu atutaki ushoga
@MwigaAdam
@MwigaAdam 5 күн бұрын
Woote tupaze sauti kukemea jambo hili jee kunamsaada gani kwawale mashoga na mabasha amabao tayari wameshaathirika?
@hadijasharifu1463
@hadijasharifu1463 11 күн бұрын
Dr safi alokua shoga anataka kuacha unamsaidia vp ?
@salyali7807
@salyali7807 Күн бұрын
14:41 mpigie simu ipo hapo kwenye clip
@user-rg7pj3tv9m
@user-rg7pj3tv9m Күн бұрын
Tupaze sauti watanzania wote kupinga jambo hili
@user-sc5fz4gy5s
@user-sc5fz4gy5s 4 күн бұрын
Tukopa1 zanzibar 1
@Youngchimodzi823
@Youngchimodzi823 4 күн бұрын
Dr Sule adhabu ije mara ngapi?Tayari tumeanza kukung'utwa? Unambiwa cancer ya uume imeanza kushamiri sana nchini na baadhi Yao wameanza kukatwa uume wao, pamoja na sababu zingine za ongezeko la maradhi hayo ushoga nao unachangia sijawahi kuona eneo la dampo likageuka asali, hii laana' maana hata mbuzi hawakosei. Uchizi unatusumbua sana.
@saidabdalla8996
@saidabdalla8996 Күн бұрын
Apa nimekukubali wambie waache misaada yakojinga kwa manufaa yao kuaribu watoto wetu wapuuzi kweli
@kadoaugust6497
@kadoaugust6497 5 күн бұрын
Wabunge nyie ndiyo mna wajibu wa kwanza wa kulithibiti hili jambo
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 күн бұрын
Docta sule kwahili nakuunga mkono tupaze saut!ushoga,ubasha,usagagi,na ufiragi tuwape adhabu kubwa
@NickTajir
@NickTajir 3 күн бұрын
Mchungaji Nicky tajiri Niko pamoja na wewe aibu tanzania
@ZaidSeifSuleiman
@ZaidSeifSuleiman 6 күн бұрын
Ngoja upite uchaguzi kwasababu wewe ni ccm kuamini unacho kiongea na kilicho moyoni ni sawa nishida ukishatia nia kwa upande wa ccm jimbo la mbagala kuweka jina lako ila walikupiga panga
@guugug9gt829
@guugug9gt829 4 күн бұрын
Weweniwamotonituuuuu huna manusura kwa Allah
@ZaidSeifSuleiman
@ZaidSeifSuleiman 3 күн бұрын
@@guugug9gt829 Asante wapeponi sawabu unajiandikia mwenyewe hongera
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 9 күн бұрын
Ahhh Luti gani unaharibu jina hapo.
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 6 күн бұрын
Ni Luti
@KibwanaOmar-dh2sh
@KibwanaOmar-dh2sh 4 күн бұрын
Ushoga ni laana ALLAH atatuangamiza
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 65 МЛН
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 12 МЛН
KUANZA KWA MAANDAMANO YENYE VURUGU TZ.
13:03
huduma ya kristo
Рет қаралды 13 М.
ALICHOKIONGEA SHEIKH OTHMAN MBELE YA RAIS SAMIA
10:59
arkas online tv
Рет қаралды 140 М.
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Sabeel Ahmed
Рет қаралды 638 М.
Парень со странностями помог мальчику 🥺 #фильмы #сериалы
1:00
DixyFilms - Фильмы и сериалы
Рет қаралды 4,2 МЛН
Papa yeh dila do ajse mein aapki behen 😢😊 #shorts
0:30
Sikha shorts and vlogs
Рет қаралды 137 МЛН
Вор в законе заступился за официантку  ...
0:59
Сериалы 🍿
Рет қаралды 9 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
0:51
Аришнев
Рет қаралды 3,4 МЛН