No video

Viongozi wa dunia wafunguka kuhusu jaribio la kuuliwa kwa TRUMP

  Рет қаралды 26,336

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 77
@wakayakaya6
@wakayakaya6 Ай бұрын
😂😂😂😂nyoko wamefeli wanajikanyaga ngoja ashinde uchaguzi
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 Ай бұрын
Mashoga walokuwa wanafiki eti wamefarijika yupo salama uku kwenye myoyo zao wakisema daaah deal limefeli sasa tumekwisha mazima
@JOHN-ep5fg
@JOHN-ep5fg Ай бұрын
😂
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 Ай бұрын
Km yule wa Ukrain
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 Ай бұрын
Mbabe ni mmoja tu na ndo maana wanamuandama kila kukicha## Russia 🇷🇺
@mubarakahussein9950
@mubarakahussein9950 Ай бұрын
Wanafiki tu Macron Zelenskyy na wenzie !
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq Ай бұрын
😂😂😂 wamarekani kama wamekuwa wakiabudiwa saivi maaana kama lingetokea kwengine Hilo jambo Wala lisingekuwa kubwa kiasi hicho🙌🙌🙌
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw Ай бұрын
Kwany Trump mtu mdogo
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 Ай бұрын
​@@eleven-in5qw vipi wale watu 71 waliokufa gaza, mbona hawaongelewi?
@RynoFiree
@RynoFiree 29 күн бұрын
Ni wanafiki sana
@abdallahlugendo3221
@abdallahlugendo3221 Ай бұрын
Nakemea vikali jaribio hili lkn mungu mpe ushindi Trump ili akomboe vurugu za Aina hii zisijitokeze tena duniani mungu hupanga hupanga ushindi sio mauaji ya yule atakae shinda kwa kuchaguliwa na mungu kama Trump
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 Ай бұрын
Ingekua kiongozi wa Africa wangeongea??😢😢😂😂😂😂😂 wajinga tu ao wazungu
@noonelike6382
@noonelike6382 Ай бұрын
Please please SNS na dj smaa na brothers wengine hapo studio shalom/bwana yesu asifiwe, Aisee brothers tunahitaji uchambuzi wa mahojiano aliyo fanyiwa yule kijana Joshua okayo raisi wa baraza la wanafunzi chuo cha KSL, mahojiano aliyofanyiwa na kituo cha NTV, baada ya kutekwa na kupatikana. Please please hile interview inavitu Naona Ndani yake. Please please.
@frankkitomary3878
@frankkitomary3878 Ай бұрын
wacha nao waone walicho kua wakifanyiwa viongozi mashuuri wa Africa🌍 kua ni uonevu
@danielnyangasi8808
@danielnyangasi8808 Ай бұрын
Namuona Putin anaandika anafuta 😂😂
@MwajumaEsube
@MwajumaEsube Ай бұрын
😂😂😂
@user-es4uf6gj7u
@user-es4uf6gj7u Ай бұрын
Wewe kiboko😂😂😂
@user-jf1xj4kr1s
@user-jf1xj4kr1s Ай бұрын
😂😂
@paulhema5713
@paulhema5713 Ай бұрын
Ivi nan ni muhusika apo....akili yang inasema biden au nakosea 😢
@richardcastromzena5136
@richardcastromzena5136 Ай бұрын
Inside jobs hizo, kama John Kennedy
@RynoFiree
@RynoFiree 29 күн бұрын
Biden hawez hiyo ingeongeza asilimia za yeye kushindwa, marekani inamatajiri wengi ambao Trump akipita atawabana Sana ko hapo kunakamchezo Biden anaweza asihusike kabisa
@HashimOlomi
@HashimOlomi Ай бұрын
Lakin kumbukeni Irani walishatoaga listi ya viongozi wa marekani wanaotakiwa kuuliwa
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 Ай бұрын
Shehbaz Shariff nayy eti anakemea Machafuko ya Kisiasa waktk Wazir mkuu wa Zaman wa nch hyo hadi leo kamuweka Gerezan
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 Ай бұрын
Watu wanafika hatua wanachoka na hili haliangalii wapi na nani. Tuombe sana tusifikie huku
@juliusmwanyonga2877
@juliusmwanyonga2877 Ай бұрын
Siasa za kichovu zinaelekea kujirudia huko marekani. Mfano mzuri uko wapi iwapo taifa kubwa kama marekani linaendeleza siasa chovu. Tupigane kwa hoja kwa faida ya maendeleo ya watu pamoja na taifa. Ukiona kiongozi anatumia mtutu wa bunduki ujue hakubaliki na ni fisadi katika taifa husika.
@husseinhemedi9314
@husseinhemedi9314 Ай бұрын
Sio viongoz wote wa Dunia maana Mh dk Samia suluhu sijamsikia
@sindabahabwoyaanacret660
@sindabahabwoyaanacret660 Ай бұрын
Yeye sio
@RizikiQueen
@RizikiQueen Ай бұрын
Samia Sio wa dunia niwa Tanzania 😂😂😂
@SalumKhalfan-np5vb
@SalumKhalfan-np5vb Ай бұрын
Katangaze wewe wewe si upo
@VERONICA-o7n
@VERONICA-o7n Ай бұрын
😂​@@RizikiQueen
@abdallahmohammed6865
@abdallahmohammed6865 Ай бұрын
Angekua na jina la kiislamu angeitwa Gaidi
@salumyusuph6633
@salumyusuph6633 Ай бұрын
Umenena sahihi, hawa si watu wa kuaminiwa na walimwengu, wana chuki mbaya sana isiyo na sababu ya kweli
@fatimawazeer701
@fatimawazeer701 Ай бұрын
Kazi ipo
@Kakajambazitv..
@Kakajambazitv.. Ай бұрын
Seen by me kaka jambazi usa 🇺🇸
@JamesJ-b2h
@JamesJ-b2h Ай бұрын
Duuh
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Ай бұрын
Zelensky mutu wa maana sana
@disanatv4485
@disanatv4485 Ай бұрын
This is not a dream to say you will forget in the morning when you wake up, I think that is something that Biden should understand.
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 Ай бұрын
Wanafik hao
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION Ай бұрын
Africa hatupo au
@USDisdoomed
@USDisdoomed Ай бұрын
Hawa viongozi waagharibi niwanafik sana akiwemo Zelensky....wanajua kinacjlhoendelea .....Hii nikazi ya NATO
@dengepandu9734
@dengepandu9734 Ай бұрын
Waongoao waliomba afe
@user-ui5zo9re8b
@user-ui5zo9re8b Ай бұрын
Wame shupa wengi ingekuwa Congo awangesemaukweli
@user-jh9yv1zp1l
@user-jh9yv1zp1l Ай бұрын
Wabongo tunapend ushabiki kila jambo ,tuache shobo za kijinga kam.unfk ubaki kwetu hiz nchi hazituhusu
@amraniamuri3080
@amraniamuri3080 Ай бұрын
Trump simuanmini uyo 😂😂😂
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything Ай бұрын
✌️👊🙏.
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Ай бұрын
Hizi ni dalili ya ushindi. Mungu mponye haraka raisi trump. Mipepo hiyo
@user-hi7ry5bc9t
@user-hi7ry5bc9t Ай бұрын
Mbona sijawasikia kulaani motukia km hayo yaliyotokea afrika na kwengineko au afrika ni watoto wa kando...
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Ай бұрын
Pumbavu wote hao, Wapalestina wanauwawa kila kukicha wala hatusikia hatua zozote kuchukuliwa kusitisha mauaji
@IddyAmir-gq1jr
@IddyAmir-gq1jr Ай бұрын
Acha wauane wenyewe kwa wenyewe
@user-to4jw7tm1j
@user-to4jw7tm1j Ай бұрын
Ni wanafk wote wanaojua njama hio
@billskeez92
@billskeez92 Ай бұрын
Wanafki tu Hao
@user-lv3de1pi7j
@user-lv3de1pi7j Ай бұрын
Kwanin hajadedi mshenz huyo
@Yayouselim
@Yayouselim Ай бұрын
Zelensky kachanganyikiwa nn
@NdovuDentalClinic_
@NdovuDentalClinic_ Ай бұрын
Trump atashinda uchaguzi
@antonyelias866
@antonyelias866 Ай бұрын
Acha wauwane kwan mbona wananyonga viongozi wenzao
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h Ай бұрын
Hawa wote ni vigagura
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 Ай бұрын
Donald trump💪
@sailortraveler9880
@sailortraveler9880 Ай бұрын
That is life trump s the best
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 Ай бұрын
Bado mzee wa putin hajasema, Leo nimejua amerika ni father halafu urusi ni grandpa
@emanuelidamiani2943
@emanuelidamiani2943 Ай бұрын
Huu upepo ndio utamsaidia zaidi Trump kushinda.
@totonata5384
@totonata5384 Ай бұрын
Mbona hakuna anayeongelia miili inayoopolewa kenya?
@valentinesyekeye6846
@valentinesyekeye6846 Ай бұрын
Na tunaitaka AU itume team ya wachunguzi kuchunguza tukio hilo. Hii sio democracy tunayoitaka na tunayoitangaza kila siku😂😂😂
@wolinet1
@wolinet1 Ай бұрын
Kwa jeuri ipi
@baizoboy1719
@baizoboy1719 Ай бұрын
Wahaya wote wanalaani tukio la Trump kushambuliwa
@user-hb7mq8lg9e
@user-hb7mq8lg9e Ай бұрын
😂😂😂Kyoma Bana😂😂
@ahmadmasunda9892
@ahmadmasunda9892 Ай бұрын
SAWA SAWA TU ACHA NA WAO WAONJE ADHA YA MACHAFUKO WASICHOCHEE VURUGU NCHI ZA WENZAO ZICHAFUKE NA WAO WABAKI SALAMA WAONE MAUMIVU YA MACHAFUKO
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 Ай бұрын
Wazungu ni wajinga sana ni bora wauwane wenyewe
@Ankobiotics
@Ankobiotics Ай бұрын
TEFLON DON
@yayananajota5838
@yayananajota5838 Ай бұрын
Wacha tu afe wengi wanakufa , hajafa leo atakufa kesho,
@aminaali792
@aminaali792 Ай бұрын
Mbona hawaoni kama Palestine watoto na wakubwa.., huyo trump ndo wamemuona mtu kuliko maelfu ya watu wanaouliwa kisa kugombea nchi yao🙄ALLAH atawashinda yaa Rabbi 🤲🏼🤲🏼🤲🏼🤲🏼
@deniseliuter3002
@deniseliuter3002 Ай бұрын
Trump ndo mtu mwenye siasa zinazolenga kumaliza huo mzozo wa gaza
@ce-08
@ce-08 Ай бұрын
​@@deniseliuter3002 anaweza kumaliza mzozo wa Ukraine na Russia sio Israel na Palestine
@abdallahmohammed6865
@abdallahmohammed6865 Ай бұрын
Amesema atamaliza wa Ukrain sio Palestina
@aminaali792
@aminaali792 Ай бұрын
@@deniseliuter3002 huyo ndo anaona kaam wanachewa kuwamaliza wa palestine anataka wawauwe wote kabisaaa 🤦🏽‍♀️
@bezalelmbijima8182
@bezalelmbijima8182 Ай бұрын
Mungu mbariki Donald Trump apone na ashinde Uchaguzi.
URUSI yaionya UKRAINE huku Zelensky akidai kukamata wanajeshi wake 100
8:39
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Harley Quinn's plan for revenge!!!#Harley Quinn #joker
00:49
Harley Quinn with the Joker
Рет қаралды 26 МЛН
The Joker saves Harley Quinn from drowning!#joker  #shorts
00:34
Untitled Joker
Рет қаралды 49 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 22 МЛН
IFAHAMU PARADISO YA DUNIA USWIZI
48:46
SAFIRI DUNIA!
Рет қаралды 2,1 М.
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22