ELON MUSK si mtu wa kawaida! MTANZANIA aliyeunda SATELLITE aeleza MAAJABU yake

  Рет қаралды 72,283

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 181
@absm8084
@absm8084 19 күн бұрын
Huyu jamaa ni genius❤❤❤
@Is-hakaRuweikh-k9s
@Is-hakaRuweikh-k9s Ай бұрын
Mi kwanza namshukur Allah kutujaalia talent kama uy ila jengine zaid nnalomuomba kakangu mvumbuzi ni kwamba awe ana wanafunxi wake wa kuendeleza vpaj kwan maisha hayaaminiki mara paa leo upo kesho kifo mungu akulinde na watu wabaya na akupe maisha marefu na afya njema inshaallah xaxa ww unakipaj elimu yetu ya Tanzania hatutaki ipotee bure jarubu kuwafundisha na wengine ili kusud ikifika mda watanzania walio wenge ni TALENTED chanzo kiwe ni wewe inshaallah!!
@JumaRick-o1e
@JumaRick-o1e 2 ай бұрын
Wow nafurahia sana kuona Tz tuna vijana wenye uwezo wa kufikili mambo makubwa kama haya
@josephdimosso6380
@josephdimosso6380 2 ай бұрын
Cyo Tz Bob, sahau
@yesunialamayakiama.9013
@yesunialamayakiama.9013 2 ай бұрын
😂Umeandika nini sasa!​@@josephdimosso6380
@elioimer8423
@elioimer8423 2 ай бұрын
Waafrica kwa sababu wanazozijua wenyewe hawa wapi vijana nafasi au uwezo wa kuviendeleza vipaji vyao. Kuna vijana wengi sana wenyewe uwezo Kama wa huyu kijana lakini unaweza tu kufanikiwa kwa kutumia resources Zao wenyewe ambayo si rahisi kwa wengi. Mungu ambarikii afanikiwe.
@kamuchidyblez2136
@kamuchidyblez2136 2 ай бұрын
Daaaa story nzuri sanaa jamaaa ametoaa madinii ya mabilion watu wenye uelewa wamefaidika pakubwa sanaa respect sana
@teacherd
@teacherd 2 ай бұрын
Jamaa anajua saana.. Mungu akutangulie kaka ufike malengo yako
@MshewaMshewa
@MshewaMshewa 2 ай бұрын
Saana aisee💪 duh!
@rithersospeterkati3355
@rithersospeterkati3355 2 ай бұрын
Na wewe unaweza, fanya fanikiwa kwa jina la Yesu kristo. Amen Amen. 🇸🇪🇸🇪🇹🇿🇹🇿❤❤
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 2 ай бұрын
Aminaaa🙏🙏
@bonifacewanyonyi3555
@bonifacewanyonyi3555 2 ай бұрын
Hongera pro hauna kipuri mungu akupeleke mpali
@ndegeboe7883
@ndegeboe7883 2 ай бұрын
Aisee huyu jamaa🙌🙌
@kingnyamafutv8646
@kingnyamafutv8646 2 ай бұрын
MUNGU akubariki MTANZANIA mwenzetu 🙌
@samwelsanga5339
@samwelsanga5339 2 ай бұрын
Genius&talented 👏
@kelvinmboya5846
@kelvinmboya5846 2 ай бұрын
Bro sky mpe kazi jamaa awe anatupa maujuzi yuko sawa . Big up kwake
@silverman6930
@silverman6930 2 ай бұрын
Very exceptional dude … I have enjoyed listening to you guys … highly intellectual 🧐
@bituoruray8985
@bituoruray8985 Ай бұрын
Some people are woow...gifted...big up bro
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 2 ай бұрын
Shida ilikuwa kujitambua na kutokukata tamaa. Kila fani Kuna watu kila sehemu walitapakazwa na wapo wengine wengi bado hatujawafahamu. Hongera kwa kuthubutu
@zistykecc
@zistykecc 2 ай бұрын
Story za huyu jamaa hazichoshi, very intelligent guy🙌
@DaudiMazengoMasterDTEM
@DaudiMazengoMasterDTEM 2 ай бұрын
Hongera kijana upo smart
@mnyampaa_kisasa
@mnyampaa_kisasa 2 ай бұрын
🙌🙌🙌jamaa yupo vzr tajiri huyo tayari
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 2 ай бұрын
Tz tungeondoa siasa hili taifa lingekuwa mbali sana. Sidhani kama mtanielewa
@ZeProDJay
@ZeProDJay 2 ай бұрын
Vijana wa TikTok hawawezi kukuelewa man 😅
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 ай бұрын
​@@ZeProDJayvile visichana vinavyolowesha Madela nA kukata viuno
@tbreakerboysir5031
@tbreakerboysir5031 2 ай бұрын
Nakuelewa sana
@jesuslover507
@jesuslover507 2 ай бұрын
Safi kabisa. Nimejifunza mengi sana hapo
@OchoaRealestate
@OchoaRealestate Ай бұрын
Huyu jamaa ni noma
@DeodatusMaliti
@DeodatusMaliti 2 ай бұрын
Vizuri sana! Watu walifikiri mtasema Elon Musk ni jini anajigeuza paka usiku, wakati mwingine chura, kumbe la ni binadamu wa kawaida tu mwenye determination na uthubutu mkubwa na asiyeridhika na vitu vidogo vidogo kama walivyo akina yakhe.
@johnsimon8388
@johnsimon8388 2 ай бұрын
Impressive, nimependa hii
@AhmedHamed-r5i
@AhmedHamed-r5i Ай бұрын
Imekaa poa sana
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 ай бұрын
Nafurahi Sanaa ndio maana manasema sio binadamu wakawaida aligundua mambo yaliyofichwa na usiri mkubwa na dunia nzima inamuheshimu Sanaa lakini alizaliwa Africa kusini hawezi chochote yeye anapeleka ulaya Australia Canada USA.
@mwebrannia
@mwebrannia 2 ай бұрын
Kwenye swala la reusable rockets, Elon Musk alisema siku moja aliwauliza engineers wake kwamba “ukiona begi la hela limefunguka linadondoka toka angani na hela zinamwagika, utaliacha lipotee?” engineers wakasema wasingeacha lipotee, ndo akawaambia kwasababu rockets 🚀 ni expensive basi “tufikirie ni namna gani tunaweza tengeneza rockets ambazo zitakua reusable” that’s when the idea of reusable rockets came up.
@venancefredrick549
@venancefredrick549 2 ай бұрын
Katika kitabu chake (Elon Musk): mwezi oktoba, mwaka 2001 alielekea Moscow, Urusi wakiwa watatu kama timu yaani Musk, Cantrell, na Adeo Ressi ambao ni rafikize wa chuo walichukua safari ya ndege pamoja; na Ressi akiwa kama akimuongoza Musk. Lakini wakiwa na bajeti ya U.S.$ 20M wakitegemea kununua roketi (ICBMs-Intercontinental Ballistic Missiles) tatu na kukuta hawawezi kununua kwasababu moja iligharimu U.S. $8 Million ambapo wangeweza kupata mbili tu, nayo ikawa sababu pia ya kuahirisha kununua ICBMs kwa Mrusi pia dharau za kumuita kijana mdogo kwa sababu alikuwa mdogo kweli kiumri akiwa na miaka 30
@Fgldesigns
@Fgldesigns 2 ай бұрын
Sasa hapo dharau iko wapi wakati alikuwa kijana mdogo kweli... na watu wa huko kuita hivyo ni kawaida hata haikuwa dharau bali ni ukweli wenyewe...
@Cr7fanspage7
@Cr7fanspage7 2 ай бұрын
Naomba jina la icho kitabu
@UpeoMinistryofMedia
@UpeoMinistryofMedia Ай бұрын
Kubwa ni hilo la bajeti, hata Mimi nmesoma biography mbili za Elon Musk na kukuta kikwazo kikubwa ni gharama. Mwamba akaona yeye aje atumie mbinu mbadala kushusha gharama za safari za anga tofauti na ilivyokua kabla
@CamilasJohn
@CamilasJohn 2 күн бұрын
Mbona hujajibiwa​@@Cr7fanspage7
@thrillingpoint2132
@thrillingpoint2132 2 ай бұрын
Tanzania tunaweza kufika huku endapo tutaamua kuipa elimu kipaumbele cha kwanza. Ila tukiendelea na vizazi hivi vya singeli tukubali tutaendelea kuwa watumwa sana. Just imagine video kama hizi zinazomuinspire mtu kujifunza hazitrend kabisa, ila ingekuwa ni connection ingeshatapakaa nchi nzima. We have to be serious Tanzanians dunia inaushindani mkubwa sana kwenye kujitengenezea brighter powerful future.
@dentomedicalresourceslimit4602
@dentomedicalresourceslimit4602 2 ай бұрын
I like it
@mbondelotv8380
@mbondelotv8380 2 ай бұрын
Habari njema,! Mungu abajibu maombi .............naamini ipo siku tutajitegemea
@alfredgahutu1450
@alfredgahutu1450 2 ай бұрын
GOOD NIMETOKA NA KITU🙏🔥🔥
@edsonlunyiliko664
@edsonlunyiliko664 2 ай бұрын
Ngugu yetu anajua sana sana. Tumuombee.🙏
@gazzatz9564
@gazzatz9564 Ай бұрын
Mwana ana AKILI sana kama mim dah! noum
@lirastanley390
@lirastanley390 Ай бұрын
PhD inakaribia kaka...hlf muda mfupi ufanye maajabu yako tuyakague ili tukuoe uprofesa tena sio kwa kubahatisha...
@ndinzeissa4778
@ndinzeissa4778 2 ай бұрын
Dongo au big usijitangaze hpa kwani watu wabaya kakimya siku zote maliza kwanz halafu waone.wpo ambao haku ppendi ila mimi nimependa sana gen az uko vizuri sana pambana ila jifiche kwanza uku.ukiwasiliana na kmpuni zako hizo nakuombea ufike mbali zaidi ya max mimi.nasema amina
@ShafiiAbdalla-o2i
@ShafiiAbdalla-o2i 2 ай бұрын
Mungu akusaidie kaka ufike mbali
@dfixmoblab
@dfixmoblab 2 ай бұрын
1pc
@MshewaMshewa
@MshewaMshewa 2 ай бұрын
Swala la muda tuu kaka dah🫵 haya bwana🤝 The science 🔭 iko vyema ndan yako aisee
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 2 ай бұрын
Watanzania wanavipaji sema. Serikari imewatenga sana naishauri serikari kuwawekea mazingira mazuri kufufuwa vipaji
@conganyoyo3195
@conganyoyo3195 2 ай бұрын
😂😂😂😂SIRIKAL inawaza USHURU😅😅😅😅TRRA
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 2 ай бұрын
Serikali ipo bsy na machawa na wasiojielewa serikali ya hovyo
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 2 ай бұрын
kwan ulitaka serikali ifanye nn kwa mfano?😂😂
@bonifasiemanueli21
@bonifasiemanueli21 2 ай бұрын
Selikali yetu haina shida, shida ni uchumi wetu endelea kuiombea Selikali yetu, Mungu aibaliki ikue kiuchumi,
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
@@bonifasiemanueli21 Tunaomba sana, Ila tunashangaa kwa nini vitu kuleta uchumi wa haraka havibembelezi. Hoja imeanza na NALA na huyo wa setilite. Kwa nini vitu vyenye potential vinawekewa mizengwe ndani? . Mfano kwenye usafirishaji wa mzigo na viwanda. Ipo app ya wa TZ inaitwa skyline and logistics. Imesajiliwa nchi 193 kutoa huduma, kwenye maji, anga, nchi kavu. Swali je serikali yetu inawatimiaje kuhakikisha fedha ya Kigeni inakuja tunayolilia kila siku?. Wakiama nchi ndio tunajitokeza kusema vijana wanapepwrusha bendera yetu?. Ni cha kutanguliza kuleta utajiri ndani au kuacha wachukuwe wengine?. Lazima tutambue kwamba Mungu Alisha tujibu maombi yetu. Mfumo kama huo wa kampuni ya RADELIFAME na Huo wa NALA. Unaweza kukusanya nusu au bajeti ya nchi yetu kwa mwaka. Kama ukifanya kazi iliyokusudiwa. Kufikia hapo kunaitaji uwekezaji hasa wa sever ya kutoa huduma angalau watu milioni 100 kwa dakika.
@thrillingpoint2132
@thrillingpoint2132 2 ай бұрын
Plz dj waeza nisaidia tittle ya huo wimbo mwishoni nimeupenda
@frevastram25
@frevastram25 Ай бұрын
laaaaaaaaa jamaa anajua aise
@AhmedHamed-r5i
@AhmedHamed-r5i Ай бұрын
Hatariiii!
@mfupakhamis9751
@mfupakhamis9751 2 ай бұрын
Wale wanaosema kiswahili hakifundishiki sayansi wamepitwa na wakati lzma silibasi ziwapate watu kama Hawa.
@dicksonvalence2392
@dicksonvalence2392 2 ай бұрын
Niliyapenda sana ila hesabu nilipenda
@peterjustin1237
@peterjustin1237 4 күн бұрын
Bro Leonard shayo keep it up🏁
@bigowillythomaskayanda7763
@bigowillythomaskayanda7763 2 ай бұрын
Aisee yaani mambo yakivurugika hapa kwa Earth, msitegemee uhai sehemu nyingine, sahauni kabisa hilo swala. 😂😂😂😂😂😂😂
@Gesunte-mn3qn
@Gesunte-mn3qn 2 ай бұрын
Elon musk hongera kwa uthubutu mkubwa uliofanya kwa hakika anastahili pongezi 🎉
@IsackDogani-d5q
@IsackDogani-d5q 2 ай бұрын
Kwa Tanzania vigum sana kwasababu tuko bithe sana na ufugaji bia ukirusha ndege utakiona cha moto nafikili kila mtu pambana na kile unacho kiweza
@JaphetJairos-n4l
@JaphetJairos-n4l 2 ай бұрын
Serikal imejaa machizi yote watawaonaje watu kama hawa
@OscarJaston-qk2di
@OscarJaston-qk2di 2 ай бұрын
Serikali iwe inatenga fungu kwenye bajeti yake kwa ajili y watu wenye vipaji kama hawa mwisho wa siku tunaweza jikuta Tz na ss tunauza technologia
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 2 ай бұрын
😂😂😂 serikali imeshatenga fungu kuwatunza wake WA viongozi wastaafu iyo PESA ya wabunifu hakuna labda kina Steve Nyerere 😂😂😂you
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 ай бұрын
Serikali ya tz kazi yake kuzururisha tu wasani na kununua magoli wanakazi nyingine😂😂😂
@eliasaNgahehwa-l2f
@eliasaNgahehwa-l2f 2 ай бұрын
Alifika kweli
@christophermwatendela9500
@christophermwatendela9500 2 ай бұрын
Natamani serikali ingewezesha sana watu kama Hawa
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 2 ай бұрын
ASANTE MUNGU KWA KUTUBALIKI KIJANA KAMA HUYU TANZANIA 🇹🇿 ♥️
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 ай бұрын
Watanzania wenye akili kubwa tunao wengi sana yaani siasa ndiyo inayo tukwamisha
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 2 ай бұрын
Kaka wewe jitahidi kutengeneza satellite ya ugunduzi WA madini utapiga pesa ndefu maana Africa kila kukicha wanagundua madini juzi wamegundua nchi ya Mali dhahabu itakayo badili maisha Yao hebu Anglia.
@Burner_Acc
@Burner_Acc 2 ай бұрын
Dhahabu Ipo kila Kona duniani. Gold is common but rare in abundance. Elewa hapo
@danielmogena2063
@danielmogena2063 2 ай бұрын
Elon musk God he is with him he will be the superior scientist in the world congratulion mwana
@Brilliant-k2k
@Brilliant-k2k 2 ай бұрын
But he doesn't believe in God
@vibetz9991
@vibetz9991 2 ай бұрын
Nipo kwenye mwezi hapa now,,, Mimi nilifika kwa siku 2
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 2 ай бұрын
Hhahhhha bange so nzuri
@IsackDogani-d5q
@IsackDogani-d5q 2 ай бұрын
Tanzania Jamani hatuwezi mambo mengi yana ongezeka kuna kodi nyingi kama ukilusha nilazima ufike upigiwe mahesabu itakaa mdagani
@IssaKefa
@IssaKefa 2 ай бұрын
Verygood 6:48
@breymbasa3451
@breymbasa3451 2 ай бұрын
Hapa lazima uwe msomi mi lonya sielewi chochote japokuwa natamani kujua😂
@lydiajoseph2571
@lydiajoseph2571 2 ай бұрын
Nimechekaaaa!!! Ila kweli mimi mwenyewe sielewi chochote hapo
@mashairiyamachinga2379
@mashairiyamachinga2379 2 ай бұрын
Huyu ana madini sana
@NusratyAlly
@NusratyAlly 2 ай бұрын
🎉🎉
@Manyohu.tv1
@Manyohu.tv1 2 ай бұрын
AFRICA TUKIACHA ROHO MBAYA TUNAFIKA MBALI SANA.
@Bryyo121
@Bryyo121 2 ай бұрын
Tuleteee Wengine wengi kama hawa tupate Elimu
@emmanuelpastory4896
@emmanuelpastory4896 2 ай бұрын
Jamaa yuko poa
@Nedjadist
@Nedjadist 2 ай бұрын
Sikuongeza maarifa yoyote hapa. Yote anayozungumza yapo kwenye public domain.
@NickolausKaraita
@NickolausKaraita 2 ай бұрын
Awweee
@thomassedondi7389
@thomassedondi7389 2 ай бұрын
bro hii kitu inahitaji episods aisee
@mbuyaelyaoni6266
@mbuyaelyaoni6266 2 ай бұрын
Safi sana kaka
@vayeen
@vayeen 2 ай бұрын
Who is this guy?
@agaijoel779
@agaijoel779 2 ай бұрын
Naomba mawasiliano ya huyu jamaa
@zenahussein2242
@zenahussein2242 2 ай бұрын
Kuna shekhe anaitwa rocket ni mtanzania. Umenikumbusha habari zake 😂😂
@lovenessvisent9408
@lovenessvisent9408 2 ай бұрын
Daa weee jamaa unaakili kama mimi
@wisemaliva5376
@wisemaliva5376 2 ай бұрын
Mambo vipi nawewe unaujuzi wa kutengeneza kitugani
@CivilEngineeringWorks-d7b
@CivilEngineeringWorks-d7b 2 ай бұрын
Hongera our scientific Serekali haikuoni ila wako watakaona ulicho nacho alafu baadae watakuita kijana wetu ila je Kama Taifa limejipanga vipi kwa vipsjo kama hivi ambavyo wenzetu ni mtaji
@sicac33
@sicac33 2 ай бұрын
Mafankio ambayo Space X imeyapata kwa mda mchache ni makubwa kuliko NASA, japo NASA have been in the game for so long. It's true, jamaa yuko sahihi. Nlikuwa na fatlia Elon wakat anahangaika na trials zake ku fail kila saa mpaka zilvyotua salama on the right coordinates.
@dullah-f7p
@dullah-f7p 2 ай бұрын
jamaa anajua kuliko ally masubi
@abdulsaid4579
@abdulsaid4579 2 ай бұрын
warusi waliiangusha ile space station yao y wakti ule (MIR)
@AbduliAbdulisaidi
@AbduliAbdulisaidi 2 ай бұрын
Huy jamaa bd hajatutoa hm yt tunaomb umualike ten please tujifunz zaid mmb y anga
@richardmoses7470
@richardmoses7470 2 ай бұрын
Ongeleeni Microsoft outage iliyotokea ijumaa, mnaweza kunicheki mkitaka kujua hii huduma ya microsoft azure ni nini.
@abduljuma7807
@abduljuma7807 2 ай бұрын
Kaka kama hujui kwa sisi tulivyo wachache wa kufikiri tubaki kukutangaza Mwisho utachukuliwa kupelekwa Marekani utatumiwa tu au ukiwa umewazidi watakuuwa wakisha kunyonya au ubaki kwao shidayetu ni pesa sio maendeleo wala nchi hatuna uchungu na nchi yetu
@pharesmitarya4892
@pharesmitarya4892 2 ай бұрын
Nashauri Viongozi wetu kama kweli wana nia nzuri na nchi yetu wawaangalie watu kama hawa ,badala ya kuwa bize na wasanii wasiona faida yoyote kwa nchi
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 2 ай бұрын
Safii
@jeanclaudeakili2372
@jeanclaudeakili2372 2 ай бұрын
Elon musk nimtu kaida kama ninyi Bro! Ivyo vifurushi(pesa) anajivunia, izo ni gold pamoja na Diamond baba yake na babu yake wameiba SouthAfrica… izokabila zawazungu wametuibiya saaaaaaaana ndicho kinachoniuma sana kama mu Afrika…
@kelvinpius-ne9rz
@kelvinpius-ne9rz 2 ай бұрын
si mtu wa kawaida😮😮😮
@mohamedmarijani
@mohamedmarijani 2 ай бұрын
Namuomba mama amtafutie watu wa kumshika mkono.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
@@mohamedmarijani Watu wengine nani, sema serikali yake. Kuna wengi ambao serikali inatakiwa kufanya haraka.
@paulhema5713
@paulhema5713 2 ай бұрын
Sure kabisa..ifike muda serikali yetu ijitambue , itenge bajet kwa ajili ya vijana wenye ideas,ili kuwasapoort ...ili tuwezenjitegemea kwenye technologia yetu wenyewe kama china na Korea
@RaphaelBeatus
@RaphaelBeatus 2 ай бұрын
Nchi yetu bado kumbuken ni pesa nying zatumika apo wakat kuna uitaji wa madawa mahospitl
@AzizihFarijala
@AzizihFarijala 2 ай бұрын
Tunaomba muendelezo Zaid au part two ya mazungumzo
@alexsafar2505
@alexsafar2505 2 ай бұрын
Noma
@orafaomary2605
@orafaomary2605 2 ай бұрын
Hiyo jingo ambayo ipo mwisho wa interview ni ya SNS nimeikubali na kanyimbo kazuri
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 2 ай бұрын
Jamaa anaitwa nani mtandaoni
@LeonardShayo2000
@LeonardShayo2000 2 ай бұрын
shayoleo
@liseprimaryschool2596
@liseprimaryschool2596 2 ай бұрын
​@@LeonardShayo2000mtandao upi, kaka nimekutafuta muda sana
@medadisamson8440
@medadisamson8440 2 ай бұрын
Machine learning, AI engineering, mechatronics ni taaluma ambazo zingeleta mapinduzi makubwa ya kiteknolojia. Pity😢 African leaders are too blind to think, je hivi vimehusishwa vipi kwenye DIRA 2050? am just asking
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
Hawa hatuwabani wafikiria ndio maana wako hivyo. Tukiwapa madaraka tunawafanya wana sesere. Kila wanakokwenda tunawaimbia nyimbo. Hata na wenzentu huko duniani wanatujua raia tunapenda nini kwa viongozi wetu.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
Fursa iliyopo kwenye vipaji vya watu wetu. Unafanana na Wilson alivyotukuta tunachezea almasi. sisi tumezamia kusikiliza mwanasiasa gani kahama chama. Wenzentu huko duniani wanatafuta ujuzi na bunifu za kuzidi kutawala dunia.
@Nedjadist
@Nedjadist 2 ай бұрын
Watu wenyewe ni Mrundi wa Wizara ya Fedha! Kwi kwi kwi....
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
@@medadisamson8440 Wanaweza kuyaingiza kwenye DIRA, ila mashaka yangu yanaweza kuwekwa ki juu juu tu. Ili wanatakiwa kuwaita hao wahusika wakatoa fikra zao kwenye DIRA. Wengi wao wana makampuni na wengine hawana.Na wengine wako vyuo vikuu. Ujio wa technically hizi ni fursa isiyo mfano na ya utajiri wa haraka. Ukifanya hesabu ya haraka App ya skyline and logistics ya Tanzania. Ikitimiza lengo lake la kutoa huduma nchi 193. Kila sekunde nchi itapata dollar au pesa ya kigeni. Sina hakika Taifa letu tunakimbia kiasi gani?. Kukimbizana na mambo kama hayo yanatakiwa kuwa sehemu ya uzalendo. Bandari ya dar baadhi yetu tumeonja huduma.
@UnitedAfrica-uw9ct
@UnitedAfrica-uw9ct Ай бұрын
AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA......
@dismasdonathmunishi3987
@dismasdonathmunishi3987 2 ай бұрын
Wachaga mnakuja juu
@AgustaZaile
@AgustaZaile 2 ай бұрын
Msituloge tu
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 2 ай бұрын
Kazi ni kuchambua tu sisi tunaweza nini hapa duniani.
@Africanzigianeth-dt1il
@Africanzigianeth-dt1il 2 ай бұрын
Leo sky anahojiwa😂
@alphoncejohn6308
@alphoncejohn6308 2 ай бұрын
Saf sn kaka
@stevewanga957
@stevewanga957 2 ай бұрын
Ungempa time huyu jamaa
@pendosailo1989
@pendosailo1989 2 ай бұрын
Elon ni myahudi huyo...
@missp1814
@missp1814 2 ай бұрын
Sky kuna mtu anaweka maudhui yako anaitwa musicsite and media....unajua?
@kevicristian2738
@kevicristian2738 2 ай бұрын
Hahahahaha. Unamripoti sasa😂
@LukawisehusseinAli
@LukawisehusseinAli 2 ай бұрын
Oya kerebisheni sauti
@24Dailylife-Channel
@24Dailylife-Channel 2 ай бұрын
Kwa hio kabla Leon musk kulikuwa hakuna network? Acha kuwasifia wazungu
@allywilson4155
@allywilson4155 2 ай бұрын
Wanadanganyaga hakuna mtu anayefikaga mwezini.acheni kutudanganya
@maroahkissiry4863
@maroahkissiry4863 2 ай бұрын
Mwamba atakishusha kwa zaidi ya trillion 2 😂😂. Elon hatari
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 ай бұрын
Jamaa anaeleweka
@bakarirajabu3783
@bakarirajabu3783 2 ай бұрын
Jamaa ni mtu wa mkoa gani huyu mbona ana akili sana mpaka nimechoka
@greyuhagile5051
@greyuhagile5051 2 ай бұрын
Wa kwanza leo likes zangu please
@AmirJuma-p5j
@AmirJuma-p5j 2 ай бұрын
Ukitaka kampuni yako iendelee ajiri ma genius io ni kauli mbiu ya elon musk hataki kilaza kazini
@duhuzebosco6207
@duhuzebosco6207 2 ай бұрын
Hakufika mwezini
Ijue Vizuri STARLINK ya ELON MUSK  / Inakuja TANZANIA
5:03
Snashtz
Рет қаралды 20 М.
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 6 МЛН
Стойкость Фёдора поразила всех!
00:58
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 7 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,9 МЛН
Elon Musk's advice to young engineers
1:24
Lassonde School of Engineering
Рет қаралды 203 М.
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 23 М.
Jack Ma and Elon Musk hold debate in Shanghai
46:53
New China TV
Рет қаралды 5 МЛН
Cool Parenting Gadget Against Mosquitos! 🦟👶
00:21
TheSoul Music Family
Рет қаралды 6 МЛН