Рет қаралды 836
Shirika la Viutravel limetia saini mkataba ya maelewano na kampuni ya Festac Africa na muungano wa wafanyabiashara wa KNCCI kuandaa tamasha la biashara na tamaduni.
Tamasha la Festac Africa limepangiwa kuanza tarehe 21 Agosti hadi tarehe moja Septemba mjini Kisumu. Tamasha hili likilengwa kuwaunganisha waafrika walioko nje malengo yake yakiwa kutoa jukwaa la biashara, kukuza utalii na usafiri.