M23 Ni serikali ya Rwanda,bila shaka!! Rwanda inajengwa Kwa damu ya wakongo.....time will tell.....!!!!
@michaelsamson966310 күн бұрын
Iyo Serekali nidhaifu kiasi kikubwa aishindi kila siku waaasi wanaishinda Serekali
@LucySimba5 күн бұрын
Trump anapo kataa kushirikiana na Mataifa mengine sio lazima awe ni yeye tu ndio anaweza kutoa msaada wa Madawa umoja wa Mataifa uchaguwe Taifa lingine kusimama Madawa🙏🏼
@sharoburger-q4z10 күн бұрын
kinachoendelea kongo niushoga mtup kila sku waasi wachukua miji tofaut tofaut niwiz mtupu unaoendea huko kongo
@LucySimba5 күн бұрын
Nivizuri Mataifa mengine yalio salia Africa yatume Majestic ya kwenda kusaidia Congo Na kagame Achukuliwe hatua k kwaajili kuwaumiza wakingo
@fizitunes31610 күн бұрын
My country why
@hamiduhamdun185810 күн бұрын
Hakuna ugumu hapo waende wakachukue wabembe Saramabila na Baraka waende wakapige hao M23