No video

VUMI -Tatizo Umaskini

  Рет қаралды 463,928

Mziiki

Mziiki

10 жыл бұрын

VUMI is a Bongo Flava artist from Tanzania

Пікірлер: 568
@fanibishoo6441
@fanibishoo6441 5 ай бұрын
2024 bado naukubali huu wimbo,kama na wew bado unaukubali gonga like
@josephinajosephu6859
@josephinajosephu6859 3 жыл бұрын
Kama huchokag kuangalia hii song gonga like hapa♥️
@ngaukamaita3979
@ngaukamaita3979 Жыл бұрын
One of the classic of all time. Thanks Vumilia 🙏
@youngmaster4127
@youngmaster4127 Жыл бұрын
Duuuh @josephinajosephu6859 jina la mama yangu jaman ❤❤❤
@carterjordan4216
@carterjordan4216 4 ай бұрын
Na leo nimeimiss tu nikaja kuitafuta.
@user-rx3fs4yr6h
@user-rx3fs4yr6h 6 ай бұрын
Till this time 2024 I'm still listening to this song
@kakacharlesofficial1241
@kakacharlesofficial1241 10 ай бұрын
Kama umerudia kuaangalia 2023 gonga like hapa
@mariamkassim6348
@mariamkassim6348 5 жыл бұрын
Kama unaangalia hii mwaka 2019 gonga like
@khadijaissaissa5824
@khadijaissaissa5824 5 жыл бұрын
Mie hapo my
@mohamedrasmin2869
@mohamedrasmin2869 5 жыл бұрын
Mariam Kassim 😁😁😁😁
@evelynnelson3216
@evelynnelson3216 5 жыл бұрын
Anajua sana dada vumi
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
KAMA UMASIKINI UMEFANYA UMKOSE MPENZI KAMA MM GONGA LIKE HAPA TUJUANE NA TUUTOKOMEZE UMASIKINI
@user-hy4bo4qy3h
@user-hy4bo4qy3h 28 күн бұрын
Vumi nimekuja hapa mwaka hu kukutazama tena 2024 ❤❤❤❤
@shyfettymtunda4935
@shyfettymtunda4935 5 жыл бұрын
Huu wimbo huwa unaniliza 😭😢,sijawahi kuuzoea tangu nimeusikia kwa mara ya kwanza 2009. The best song ever
@zakariamsukuma6162
@zakariamsukuma6162 3 жыл бұрын
Utanikumbuka
@ahmadyasini1139
@ahmadyasini1139 2 жыл бұрын
nikweli kabisa
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 2 жыл бұрын
roho inauma hata mi jamani😢
@gerrywin2194
@gerrywin2194 2 жыл бұрын
Pole sana
@elenzianjk5543
@elenzianjk5543 Жыл бұрын
So touching..
@yambatv8754
@yambatv8754 3 жыл бұрын
2020 nasikilza nyimbo nzuri. Nani bado anausikiliza huu mwimbo mzuri
@ramdhaniduru6335
@ramdhaniduru6335 3 жыл бұрын
Kama unaangalia hii ngoma mpaka leo Oct 2\2020 Gonga like kwa Vumiliaaa
@hafidhahmed642
@hafidhahmed642 2 жыл бұрын
Am watching time 22:28 15/04/2022 Good song
@angunaff7294
@angunaff7294 2 жыл бұрын
Rest in peace 🙏
@abduldjay3034
@abduldjay3034 Жыл бұрын
July 21/ 2023
@gwimileyohana4646
@gwimileyohana4646 4 жыл бұрын
Kama unaangalia hii mpaka sasa 2020 , like tafadhali
@BGHaule
@BGHaule 3 жыл бұрын
Mimi nauangalia Hadi 2021
@user-kz5ox7ck9b
@user-kz5ox7ck9b Жыл бұрын
Bado naiangalia hadi Leo 2023 nani nipo nae twenzetuni
@tabubakari2722
@tabubakari2722 10 ай бұрын
Mimi naangalia Hadi Leo 2023
@BGHaule
@BGHaule 9 ай бұрын
Mimi nauangalia hata Leo 2023,huu wimbo hajanikinai,jamaa alipiga muziki wa uhakika
@Raheem.01
@Raheem.01 4 жыл бұрын
Kma unaangalia hii 2020 gonga like twende pamoja
@fridadaud6266
@fridadaud6266 4 жыл бұрын
Km unaangilia hii tweny tweny gonga like twende sawa
@Swahili14
@Swahili14 2 жыл бұрын
This song stands the test of time 😭🙌😇❤️🇹🇿 Dah
@calvo_charlie
@calvo_charlie 2 жыл бұрын
the songs that's gives you energy 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Swahili14
@Swahili14 2 жыл бұрын
@@calvo_charlie you subscribed to Whitney Houston yet? 😭❤️
@calvo_charlie
@calvo_charlie 10 ай бұрын
Whitney??from US or
@Swahili14
@Swahili14 10 ай бұрын
@@calvo_charlie yes darling This one 👇 #whitneyhouston
@allymbaya6411
@allymbaya6411 6 күн бұрын
Ukisikia kazi ya msanii ni kuweka matatizo yaliyomo katika jamii ndio hii sasa dada umeupiga mwingi sana
@francismiho226
@francismiho226 3 жыл бұрын
Hii ngoma iacheni tu! 2021 still listening
@erickmeshac3135
@erickmeshac3135 Жыл бұрын
Nyimbo za kitambo zilikuwa na nguvu na ujumbe sana 😭
@gastonmakweta4993
@gastonmakweta4993 3 жыл бұрын
Kibao kizuri chenye ujumbe murua kabisa unaogusa diplomasia ya mapenzi/ndoa. Shukrani sana Vumilia & Kimondo Band
@kijanamatata7135
@kijanamatata7135 4 жыл бұрын
Aran Mapigo ni bonge la producer katika aina hii ya muziki. Namba 1 in Tanzania.
@nobleskillz7302
@nobleskillz7302 2 жыл бұрын
Alafu kuna saidi comorie nae ni mkali sana
@kijanamatata7135
@kijanamatata7135 2 жыл бұрын
@@nobleskillz7302 hawa watu wawili ni noma sana boss
@frank.fredrick9065
@frank.fredrick9065 2 жыл бұрын
Wangap Mnasikiliza mimi Nasikiliza Nikiwa makumbusho
@isaachamisy1308
@isaachamisy1308 7 жыл бұрын
Vumilia huu wimbo nauelewa sana naupenda kinoma unanikumbusha mambo mengi sana.
@Benjamin-jl4my
@Benjamin-jl4my Жыл бұрын
Till to now 2022 this song vumi I appreciate so much
@humphreynduye6239
@humphreynduye6239 4 жыл бұрын
Naam daaa nkmbkaga mbali sana,,huyu Dada duu npo xkulii enz hizo,,,,kila ikifka moni SAA kumi na moja na nusu hua inapgwa kwenye redio Tanzania ,,,kipind cha kombola bas daaaa
@arlonadamson9793
@arlonadamson9793 Жыл бұрын
yuko wapi huyu dada mrembo,,,what a classic song! #Vumi
@mariamrobert9838
@mariamrobert9838 2 жыл бұрын
Cjui tatizo nn jaman sema nijue 💔💔💔💔....... Kama upo hapa Leo pita na like tujuane
@berithakisekile1680
@berithakisekile1680 5 жыл бұрын
Dear dada Vumi, By the time thic song was relised I was a little bit young na I loved sana hii nyimbo. Cku si nyingi nilikumbuka hii nyimbo then I had to search for it na naisikiliza more and more times. Dada rudi Kipaji chako n kikubwa sana.
@rehemahassani8332
@rehemahassani8332 Жыл бұрын
Wangapi tunafatilia nyimbo za zamani 2023🔥🔥🔥🤗
@abduldjay3034
@abduldjay3034 Жыл бұрын
Mie ndo ngoma zangu Hzi siku Zote
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 2 жыл бұрын
jamani huyu dada anatumia jina gani instagram ana sauti nzuri nampenda sana.......hii nyimbo umeniimbia mimi dada♥️♥️
@asumaniabasi7365
@asumaniabasi7365 3 жыл бұрын
Roho yangu haina Amani me ni wa kulia mda wrote lakn kama mungu ni wetu sote wallah namuachia mungu cjui maumivu haya yataisha lini kwangu maana ukweli nateseka waungwana
@grace.m.haullehaulle6863
@grace.m.haullehaulle6863 2 жыл бұрын
Huyudada nyimbo zake haziish hamu kuzisikiliza alale pema peponi. Amen
@laurentzacharia1563
@laurentzacharia1563 2 жыл бұрын
Kwani kashafariki
@stephanifesto7354
@stephanifesto7354 2 ай бұрын
Hakika huu ndo muziki wetu ukiwa kwenye uhalisia wake sio hizo kuigaiga kwa wanaija
@AminiMsisi
@AminiMsisi 6 жыл бұрын
Kama mbaka sasa 2018 unaangalia huu wimbo gonga like hapa
@gracejona5754
@gracejona5754 6 жыл бұрын
Oyooooooooooo❤❤❤❤❤❤❤❤
@hafidhahmed642
@hafidhahmed642 2 жыл бұрын
17/04/2022 😐
@gospalflavour7304
@gospalflavour7304 7 жыл бұрын
Nashangaaa sana kwanini umepotea ivi.nyimbo zako bado zinaishi kwene akili zawatu.rudi kwene gem mama.tatizo ni nini limekufanya upotee.
@rayrashidi7886
@rayrashidi7886 6 жыл бұрын
nakupenda sana vumi mwaaaaaaaaaaaaaaaah Mungu Akubaliki sana Amen!!!
@jairatuhappy634
@jairatuhappy634 6 жыл бұрын
Tunamumiss sana jmn
@racheldauson9471
@racheldauson9471 4 жыл бұрын
Kwakweli arud kwene gemu😂😂😂😂😂😂😂
@mbalaliog8140
@mbalaliog8140 4 жыл бұрын
Ngoma kali
@linahmatayo2650
@linahmatayo2650 Жыл бұрын
Yaani
@stellamrope589
@stellamrope589 Жыл бұрын
2023 Still best song ever
@festodismas3218
@festodismas3218 Жыл бұрын
Tupo wote hapa 2023
@tumainimwamabisi2753
@tumainimwamabisi2753 11 ай бұрын
Niko hapa🌹
@mickyplanmaker9053
@mickyplanmaker9053 8 ай бұрын
Niko nawe
@fabianmbilinyi8671
@fabianmbilinyi8671 3 жыл бұрын
Together 2022 💥
@naftalisima3943
@naftalisima3943 6 жыл бұрын
huu wimbo umenikumbusha sana huyu vumi wimbo aliouimba umenitoa pangoni
@jairatuhappy634
@jairatuhappy634 6 жыл бұрын
Mashaallah
@asumaniabasi7365
@asumaniabasi7365 3 жыл бұрын
Binadamu wametumia umaskini Wang kuniharibia ndoa ya mwanamke ambaye ckuwah fikiria cku moja kuwa angeilazimisha talaka ndugu dunia hii ina watu wabaya sana😢😢ckuwah mfanyia mtu baya lolote wallah
@abdallahmatenga1654
@abdallahmatenga1654 2 жыл бұрын
Kama mimi kaka pole sana
@HappyYesaya-cd7uy
@HappyYesaya-cd7uy 6 ай бұрын
Pole kaka angu
@naurumnazaleti6774
@naurumnazaleti6774 5 жыл бұрын
dah kweli dada ktk maisha yetu ya kiafrica umasikini wakati mwingne unakua tatizo kubwa sana unaoneka kwa matajir sisi masikini kuonekan mbwa
@aminaramadhan420
@aminaramadhan420 5 жыл бұрын
Nauru Mnazaleti kweli kabisaa
@ezlonlony3588
@ezlonlony3588 6 жыл бұрын
Yaan wimbo mkari Sana Tangu mwaka 2012 nausikilizag huu wimbo nawala haunikinai darh kwel wewe ni #fundi
@shadrackvicent3866
@shadrackvicent3866 6 жыл бұрын
duuuuhhhh the song reminds me of the past step in life......I am now happy because I got the right one who knows what love is....Mrs Sydney.
@fadhilifestus2054
@fadhilifestus2054 4 жыл бұрын
Here we go 2020 with vumi tatizo ni umaskini twende pamoja guys💯💯💯💯
@halimamohammedy9247
@halimamohammedy9247 5 жыл бұрын
Nimejikuta nalia tu maana maisha nayo ishi na Mume wangu mungu ndio anajua
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Halima mohammedy. Hahahahahaaaa umenichekesha sn. Vumilia dada angu hamna namna
@huseinkiyungi8406
@huseinkiyungi8406 5 жыл бұрын
Mm binafc cna lakusema kuhusu hii nyimbo huwa naickiliza kila cku ukiniuliza kwnn cjui kama nitakujibu nn zaidi yakukuambia kuwa naipenda sana hii nyimbo
@petermshale5672
@petermshale5672 6 жыл бұрын
bongo freva ya sasa wanaluka luka tu wanacho kiimba ata akionekani mastaa kibao tu wenye nyimbo Kali wamepotea sio vumi pekeake tu sasa sijui tatizo ni kuzeeka au na kama nikuzeeka basi ndio tatizo waige basi mfano wa bi kidude mbona kaimba mwanzo mwisho mziki mzuri na watu bado walikuwa wanamkubali vumi rudi kwenye gemu bana
@roggermwakyanjala3586
@roggermwakyanjala3586 4 жыл бұрын
inasikitisha.....
@rayjay7017
@rayjay7017 6 жыл бұрын
Hizi ndizo bongo flavors original na sio upuzi wa kisasa... Burudani mwanzo mwisho asante miss Vumi
@josephwilliam7348
@josephwilliam7348 5 жыл бұрын
judah kitavi haswaaa
@tupokigweniganile6002
@tupokigweniganile6002 6 жыл бұрын
Huu wimbo wakt unatok nilikuwa mdogo sikujua kuwa unamaanisha nin sasa nimekuwa naelewa haya nausikiliza kil dk najua ulimanisha nini 😥😥😥2018 im stil watching this song
@rehemajongo8579
@rehemajongo8579 5 жыл бұрын
Ndaghaaaa
@julianmbowe4575
@julianmbowe4575 5 жыл бұрын
Tupokigwe Niganile good
@judylee1677
@judylee1677 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😀😀😀😃😃😃kwa kweli tulikuwa wengi
@innoofficialtz8516
@innoofficialtz8516 4 жыл бұрын
Kama bado unaikubali hii ngoma2020 gonga like
@peterantonymindolo8723
@peterantonymindolo8723 7 ай бұрын
Huu wimbo unanikumbusha nikiwa UDSM baada ya kujisomea Sana pale SR 12 mwalimu Nyerere Campus nilikuwaga nausikilizaga Sana kurefresh kabla ya kurudi Tena kupitia Madesa
@abedsanga5795
@abedsanga5795 Ай бұрын
#umaskini ugonjwa😢😢😢 2024 alive from v_Artist
@zawadkilua1442
@zawadkilua1442 5 жыл бұрын
Dada unasauti nzuri sana Mimi naipenda sana hebu jaribu kutoa kibao kingine mwaka huu 2019 mie nishabiki wako wakwanza🤔
@tibiliuskaniala2150
@tibiliuskaniala2150 4 жыл бұрын
Bigup sanaaa
@victorfredrick1423
@victorfredrick1423 6 жыл бұрын
Unaweza ukalia yani basi tu😭😭😭😭
@judylee1677
@judylee1677 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@lusajoyuda6145
@lusajoyuda6145 7 жыл бұрын
Dhahabu hizi ziko wapi, vumi come back
@evelynnelson3216
@evelynnelson3216 5 жыл бұрын
So amazing
@humphreynduye6239
@humphreynduye6239 4 жыл бұрын
Vumi come back kweli daaaa ,,,acha tuu broo
@amosikavishe3884
@amosikavishe3884 4 жыл бұрын
lusajo yuda we acha
@happinessrichard1277
@happinessrichard1277 4 жыл бұрын
vumi uko wapi mm nakupenda by happy
@happinessrichard1277
@happinessrichard1277 4 жыл бұрын
vumi uko wapi mm nakupenda by happy
@drongobchacha6394
@drongobchacha6394 3 жыл бұрын
2021,Tatizo Ni umaskini au Ni nn??????..... Bora uniambie nijue
@redbutterfly6676
@redbutterfly6676 7 жыл бұрын
ukipendwa Na wazaz mume atazngua,Na ukipendwa Na mume wazaz wanazngua... polen wanawake wote
@abdallahjosephnfulaa4245
@abdallahjosephnfulaa4245 7 жыл бұрын
Kweli
@jairatuhappy634
@jairatuhappy634 6 жыл бұрын
Kweli
@dianayaniwanahukumukaawaow2011
@dianayaniwanahukumukaawaow2011 6 жыл бұрын
Red Butterfly umenitoa chozi
@aaronelpharies5853
@aaronelpharies5853 6 жыл бұрын
Unaitaji counselling weweee
@joyceandrew5682
@joyceandrew5682 5 жыл бұрын
Tatizo ni umasikini tu
@magrethzuberi2375
@magrethzuberi2375 2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭matusi ya kutukanwa umasikini umenifanya nirudi kusikiliza hii nyimbo 2022 bado tunakusikiliza vumi
@geofreyfelician4803
@geofreyfelician4803 2 жыл бұрын
😭😭😭
@josephpaul9265
@josephpaul9265 3 жыл бұрын
Asante vumi kwa hii zawadi ya muda wote.....
@mohamedmsafiri7009
@mohamedmsafiri7009 5 жыл бұрын
Vumi dada angu unatuliza sisi maskin na ukichek huwa inatokea kupenda kwa dhati kwa walio matajir 😭😭😭😭😭 da hii nyimbo vumi bc tu tatizo ni umaskin🙏🙏🙏🙏🙏
@geofreyfelician4803
@geofreyfelician4803 2 жыл бұрын
😭😭
@braytonysteven2246
@braytonysteven2246 3 жыл бұрын
Kama unacheki hii ngoma mwaka 2021 dondoxha like apo chin
@peterbombo1250
@peterbombo1250 4 жыл бұрын
Ngoma Kali Leo hadi kesho 2020 kama uko twende swa
@lusajoamilimwaipaja6614
@lusajoamilimwaipaja6614 4 жыл бұрын
Umasikini mbaya sana lecho come back kama timu lecho gonga like yako
@humphreynduye6239
@humphreynduye6239 4 жыл бұрын
2020,,,,,April duuu kitambo sana npo skuli hpo duu
@boniphaceandrew3685
@boniphaceandrew3685 3 жыл бұрын
2021 tupo wangapi? Hizi ndio nyimbo za afrika ukiachilia mbali kina jeje wanaenda kuiga ulaya tamaduni chafu
@danielbachuta157
@danielbachuta157 5 жыл бұрын
One of the best... still watching in 2019
@HappyYesaya-cd7uy
@HappyYesaya-cd7uy 6 ай бұрын
Kwa wote wanawake na wanaume tulio maskini tunapitia haya wengi wetu nilisikiliza wimbo huu nikiwa mdogo sana kipindi baba yangu ana redio anafungulia redio Africa tokea asubuh mpaka asubuhi rest in peace ma daddy mungu alaze roho yako pema peponi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@HappyBread-hy7ym
@HappyBread-hy7ym 4 ай бұрын
Aminiaa wimbo mkaliii saana vumi alitishaa saaan
@foroforoy2554
@foroforoy2554 12 күн бұрын
Timeless classic hit from Vumi
@asherymwesohe1574
@asherymwesohe1574 Жыл бұрын
Hii nyimbo nikiisiliza machozi yananitoka nakumbuka mbalia
@user-je8ok5cj9v
@user-je8ok5cj9v 9 ай бұрын
Kiukwel huu wimbo unanikumbusha mbali sana 😢😢
@chrismhagama4572
@chrismhagama4572 3 жыл бұрын
Naikubali hii nyimbo, classic
@Gmedia_Africa
@Gmedia_Africa 4 ай бұрын
These songs carried laden messages back then unlike nowadays songs
@victorsomba867
@victorsomba867 3 жыл бұрын
Ewe usomae hii comment, "nakuombea BARAKA, Amani na furaha siku zote za maisha yako". Tumeagizwa tupendane usilisahau hilooo
@oscargwalasa
@oscargwalasa 3 жыл бұрын
Nyimbo zenye maadili ndio kama hizi umepotea wapi dada rudi tumechoka na wasiona maadili "eti ndo nini kinyama kulumagia au nikuchumie tembele" tafadhari rudi jaman mrudi jaman #mwasiti, vumi,mahunda zorro
@janethndial5759
@janethndial5759 Жыл бұрын
Huuu wimbo niliachwaga, jaman nilikuwa nalia😢😢😢uwiii😊
@julianmbowe4575
@julianmbowe4575 5 жыл бұрын
maaaaamae 2019 gonga like kama zooote yan
@raheemahassan8436
@raheemahassan8436 5 жыл бұрын
Wimbo mtamu nimekumbuka mbali 😢😤😤😢😰😰
@kakacharlesofficial1241
@kakacharlesofficial1241 10 ай бұрын
The same to me
@user-gg3qe3sj1x
@user-gg3qe3sj1x 5 ай бұрын
Dada huyu jamani apewe tunzoo jamani 😢
@samateryusuf4345
@samateryusuf4345 2 жыл бұрын
2022 still resonate with me
@flova7022
@flova7022 2 жыл бұрын
Maunda and vumiliaa are my best artist in Tz 2022
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 4 жыл бұрын
#2020- Touching song, Vumi...Talented lady. Sijui siku hizi wanafail wapi
@davidrogers6826
@davidrogers6826 4 жыл бұрын
Kam. Bado waendela kuicheki hi ngoma 2020 Kam mie tupia like apa
@esthermbalale3075
@esthermbalale3075 2 жыл бұрын
Vumi nawe umepotelea wapi mma ulikua unatupa buludani mzuri sana
@ubalaseleman5894
@ubalaseleman5894 4 ай бұрын
Izi ndonyimbo mana mpaka najisikia vizulii❤❤
@wardasalum5361
@wardasalum5361 4 жыл бұрын
Daaah waweza lia mpaka ukajiona huna dhamani tena
@msemakweli7806
@msemakweli7806 Жыл бұрын
Kam na we unaangalia mwaka huu wa 2025 gonga like
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 4 жыл бұрын
Oooooh baby tatizo ni umasikini au ndo tabia yakoo
@lusajomwankusye3477
@lusajomwankusye3477 5 жыл бұрын
Duniani kuna mengi jamani yani kipaji kama hiki kinapotea hivi hivi tu.....mungu awe nawe dada vumi whatever ur going thru!!!
@fatumasalumu3032
@fatumasalumu3032 4 жыл бұрын
Lusajo Mwankusye yani naipenda Sana inanikumbusha mbali Sana nikisikia nalia mwenyewe
@lusajomwankusye3477
@lusajomwankusye3477 11 ай бұрын
Pole sana stay blessed as always
@RehemaMichael-fz8qs
@RehemaMichael-fz8qs 5 ай бұрын
Niliaachwa kisa umasikini ila mungu mkubwa Nina furaha
@bongoeventtv1178
@bongoeventtv1178 5 жыл бұрын
Tatizo umaskini au ni nini 2019 mwezi wa 4
@benjaminpaschal759
@benjaminpaschal759 2 жыл бұрын
Izi ndo nyimbo sio mnatuwwkea aiyola
@marthammari7914
@marthammari7914 5 жыл бұрын
Kwa kweli huu wimbo unaniumiza sanaaa nikiusikiuliza nakumbuka mbali najikuta nalia
@josephwilliam7348
@josephwilliam7348 5 жыл бұрын
Martha Mmari poleee
@godfreyjoseph4750
@godfreyjoseph4750 5 жыл бұрын
Kila napousikiliza huu wimbo huwa nadondosha chozi.
@amirsab1158
@amirsab1158 6 жыл бұрын
nilikua nausakanya huu wimbo una nikumbusha mbali
@janemsamati6700
@janemsamati6700 3 жыл бұрын
2021 uko wapi vumi mwimbaji mzuri
@happyabdullah1554
@happyabdullah1554 4 жыл бұрын
Vumi we miss you come back please
@elizasix1935
@elizasix1935 4 жыл бұрын
1 (10)2019 gonga like kama unaangalia hii nyimbo
@user-gg3qe3sj1x
@user-gg3qe3sj1x 6 ай бұрын
Dada huyu jaman mungu ❤
@reubenmwengela8015
@reubenmwengela8015 10 ай бұрын
Kama unaangalia hii 2023 October gonga like hap
@alafatsalum9383
@alafatsalum9383 Жыл бұрын
Nyimbo nzuli sana
@issakatety3535
@issakatety3535 4 жыл бұрын
Vumilia rudi mama upo wapiiii😥😥
@user-gg3qe3sj1x
@user-gg3qe3sj1x 5 ай бұрын
Yn Dada huyu jaman ❤❤❤
@karaumike
@karaumike Жыл бұрын
Zuchu katembea na hili biti na wimbo wake wa Utaniua.
VUMILIA -UTANIKUMBUKA(officialvideo)
4:31
Hassan Kundamayi bin Tambwe
Рет қаралды 174 М.
Maunda Zorro - Mapenzi ya Wawili / Nafurahi
4:32
BongoMusicVideos
Рет қаралды 680 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 50 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 37 МЛН
Чёрная ДЫРА 🕳️ | WICSUR #shorts
00:49
Бискас
Рет қаралды 3,3 МЛН
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 9 МЛН
Nimekinai na Umaskini wangu - Mwanahawa Ali
15:13
SANDUKU LA DHAHABU
Рет қаралды 644 М.
Christian Bella Feat. Banana Zoro - Usilie
5:12
Christian Bella
Рет қаралды 509 М.
Recho-Nashukuru umerudi
3:55
Eric Gabriel
Рет қаралды 69 М.
AT Feat Stara Thomas - Nipigie
4:47
BongoTanzaniaTV
Рет қаралды 639 М.
Mwasiti Ft Ali Nipishe -  Mapito.(Official Video)
4:07
Mwasiti
Рет қаралды 278 М.
Sea  -  Papi Kocha, Nguza Viking
6:10
KINGAJA
Рет қаралды 1,7 МЛН
Taarab: Khadija Kopa - Mjini Chuo Kikuu . Audio
17:59
Marjan Sempa
Рет қаралды 896 М.
Banana Zoro - Zoba
7:43
Swahiliwood
Рет қаралды 1,3 МЛН
Mwasiti- Nalivua Pendo (Official Video)
6:15
Mwasiti
Рет қаралды 298 М.
Maunda Zorro - Nataka Niwe Wako
4:25
bongotrax
Рет қаралды 770 М.
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 50 МЛН