Acha kuaddress wadada wa Tz wewe , hao madada wa Kenya wa kujiweka nao karibu ni hawa wako Ulaya , Marekani , Cabana wakitukanana hovyo huko tik tok ?? Wadada wa Kenya wako tayari kufanya lolote hata kujiuza Ili aonekane mpambanaji , Wadada wa Tanzania wanaonekana wako slow kwa sababu wamelelewa na maadili , Kuna kazi hawawezi fanya , ndio maana wanaonekana wako nyuma . Wanawake kutoka Kenya ambao wako nje ya nchi waangalieni huko Tik tok " tap tap tap tap " na matusi ya kuvuana nguo .
@Witnessvlog5 ай бұрын
Mbona umenifungua akila Chayo😂. Ni wanamatusi hasa huko tiktok
@chayogasperi97835 ай бұрын
@@Witnessvlog Aache kulazimisha wanawake wa kitanzania wenye maadili ya kike ,, wamelelewa vyema , wametulia , wife material, atake wafanane na wanawake wasio na maadili , wako tayari kulalwa hovyo ili waonekane watafutaji , wapambanaji . Aachane na mabinti wa Kitanzania wana sifa njema dunia nzima inajua .
@chayogasperi97835 ай бұрын
@Witnessvlog Witness wasichana wa kitanzania hata awe mcharuko vipi lakini atafanya kwa wasiwasi , maana anajua maadili yetu si hayo , Hawa wenzetu wameshapotea , malaya , matapeli , wabaguzi , wanataka kuwaweka karibu mabinti wa kitanzania wawapoteze , Akaaddress ndugu zake wakenya waache kudhalilishana mitandaoni hasa tik tok tap tap tap tap tap tap .
@Witnessvlog5 ай бұрын
Uko sahihi kwakweli. Nimekuelewa vizuri mnooo
@justinambrose35775 ай бұрын
This is a point to note. Thank you very much for this. 😊
@SamwelJoseph-yk3cw6 ай бұрын
Umependeza sana hadi raha
@janety19336 ай бұрын
Ahsant sana dada angu Kwa kutusanua
@aledesiomushi8756 ай бұрын
❤ hii ni kubwa
@HildaMyonga6 ай бұрын
Wakenya wabaguzi na wabinafsi, matapeli, fuatilia clip ya mdada aliyenyang'anywa mtoto utaona mdada wa Kenya alivyokuwa anashiriki kumgandamiza mdada wa Tz (wakiwa nje)
@Witnessvlog6 ай бұрын
Eeh🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@HalimaAlly-ir3nz5 ай бұрын
Wakenyaa mmh !! yaani hao ndo hawapendi maendeleo yetu kabisa wanaona kama tunawazibia rizki..... ukijiunga nao hao umeisha...
@Witnessvlog5 ай бұрын
Oh asante kwa maoni yako
@HildaMyonga5 ай бұрын
True, hii imewatokea ndugu zangu wawili,
@HalimaAlly-ir3nz5 ай бұрын
@@HildaMyonga Pole yao... Hao watu Acha kabisa...
@PureSoul-rf4xd5 ай бұрын
Ndio mpendane sasa watanzania inamaana Kweli wakenya tu ndio wanajua kuhustle,mbona wapo watz wanafanya vizuri cha msingi watanzania tupendane hasa walio huko nje,mkipendana mtavuta yule anaye chechemea mimi nashindwa nini kinachowafanya msipendane,wakati inaonyesha kabisa huko you're too busy hata mkikutana ni mara moja kuenjoy na kupadilisha mawazo kuhusu maendeleo binafsi na taifa,kama ni hapa tz ningesema maana si kwa majungu na unkora ulipo huku.
@Witnessvlog5 ай бұрын
@PureSoul-rf4xd Hapo kwenye kupendana sasa.
@peaceisrael81586 ай бұрын
Some of them ni wabaguzi
@Witnessvlog6 ай бұрын
Ni kweli
@anita-nv4kk5 ай бұрын
ametoa mawazo mazuri, ıla mhimu kuliko yote kuwa makini na marafiki awe mkenya, Mtz au taifa lolote. Duniani unafiki ni mwingi hivyo nimwajibu wako kujua umefuata nini na kupima unakoelekea. kuna dada alitoa uzoefu wake alipofanya consultation kwa waliowahi ughaibuni wako waliomwelekeza vizuri na wapo waliomtosa. cha msingi kuwa makini na maamuzi na washirika wako