Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 38
@MdNasr-jm8pj4 ай бұрын
Asante zamaradi 🎉🎉Kwa kumfanya bi Mwanahawa ajione ana Nafasi kubwa ktk mazik WA taabani 🎉🎉
@kitonekantasha16874 ай бұрын
🎉🎉❤❤❤nilikasirika kuto kuiyona live j1zima nilikesha kuona live kila lisaa nilikua nasema lamda hamjaazaa live but mmetukomoa kiukweli mngetakiwa kuvuna na live zetu waangaliaji youtube😢😢 hata kama ulilipwa Tv tu ila zama asante kwakutuweza wambea
@estherabuu89194 ай бұрын
😂😂umeongea kwa uchungu ndugu yangu
@ShabanMainde4 ай бұрын
😂😂😂
@sophiayBakali4 ай бұрын
Wewe ni staaaaa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@BaddyAhmad4 ай бұрын
Huu ndio utamu asli kutoka pwani noma sana aslay natizama kutoka poland
@Nahimanasudi-kh2xo4 ай бұрын
Zamaradi TV❤❤❤❤🎉🎉🎉Big For that Program to help Peoples ❤❤❤🎉🎉🎉
@zimboj52784 ай бұрын
Mbarikiwe Sana zamaradi tv
@muna11654 ай бұрын
Safi sana dada ZAMA
@ShabanMainde4 ай бұрын
Gigi 😂 kajiimbaa
@BigBoy-yt5vt4 ай бұрын
Uyuu aslay liwekwe Sanam lake post maana anajuw mpaka anakera
@Nahimanasudi-kh2xo4 ай бұрын
Mlifinya Vizuri kutu nyima Live 😊Next Event Tutakuja wengi From Sweden 🇸🇪
@setiseti52814 ай бұрын
Safi sana
@SaumuSaidi-z2v4 ай бұрын
Hapo zanzibar
@ruqaiamohammed3454 ай бұрын
Gigy tambua January hii yakaribia ada ya mtoto usije lia lia mitandao 😂😂😂mara ooh babake halipi ada 😂😂kodi ya nyumba kula 😂
@FarashuuMohdAli4 ай бұрын
Safi
@mussammanga77914 ай бұрын
Hawa mashetwani wanazidi kumtia wazimu huyu mzee wangu. Shetwani wakubwa.
@JuniorGambarrito4 ай бұрын
Aisee da huu ulipendeza sana na nguo ilikukaa mahala pake kongole kwa fundi wako kiboko kajua kuku valisha
@MohamedRugamana-m3pАй бұрын
Muhammed Rugamana
@zainabnoor22784 ай бұрын
Sasa walikosa washereheshaji zama ana sauti mbaya ata aijanoga
@GladnessJustine4 ай бұрын
Zamaradi channel ilijua kutukomesha wambea,,,,camera mbovu na mataa yao yanayo umiza macho😏
@JibrilBanga3 ай бұрын
❤❤😂🎉
@maria_mutondioriginal54 ай бұрын
Kupewa pesa na mh. Rais isimfanye muone ndiyo mwisho wake wa kuimba kwasababu umri wake una mruhusu bado msimfunge kamba za mdogo 😢 labda mwenyewe awe anataka kuacha la sivyo acheni kumuwekea mipaka.
@TrustElbashil4 ай бұрын
❤
@marymanoni55364 ай бұрын
Wapi zama kama zama
@shanimbaruku20714 ай бұрын
Dahu umependeza sana❤
@SalumJuma-iz2gj4 ай бұрын
Bc kwa uzee huwo mm nlizani ushatubia usharud kwa mola wako kumbe bado unakufa na zambo yenye kuendelea
@AbdulyMajaliwa-v4r4 ай бұрын
Unajikuta mtakatifu
@SalumJuma-iz2gj4 ай бұрын
@@AbdulyMajaliwa-v4r Ayo maneno ya mkosaji rudini kw mungu mwenzenu dida kafa na mijizambi yake afadhali ata snura akifa pale aapeponi
@MasoudKassim-s1o4 ай бұрын
Mwenye kuhumu nimungu usiseme hivyo
@OmaryMuhd4 ай бұрын
Walijaa mash*ga kuliko watu
@verobecamfipa86554 ай бұрын
Yaaani alafu wanamsema piddly kila sehemu
@TunauzaSimu-fn2ff4 ай бұрын
Kwani mashoga c watu? Tuwaombee waliomo watoka na wasokuwemo wacingie ya Rabbi.
@GladnessJustine4 ай бұрын
Zamaradi channel ilijua kutukomesha wambea,,,,camera mbovu na mataa yao yanayo umiza macho😏
@SalumJuma-iz2gj4 ай бұрын
Bc kwa uzee huwo mm nlizani ushatubia usharud kwa mola wako kumbe bado unakufa na zambo yenye kuendelea
@SalumJuma-iz2gj4 ай бұрын
Bc kwa uzee huwo mm nlizani ushatubia usharud kwa mola wako kumbe bado unakufa na zambo yenye kuendelea
@Namtumbo4 ай бұрын
Kwanza mzee anayekufaa hata wewe unaweza kufa kabla ukatibu huku umefuata nini?
@GladnessJustine4 ай бұрын
Zamaradi channel ilijua kutukomesha wambea,,,,camera mbovu na mataa yao yanayo umiza macho😏