Ata huoni haya kusmama mbele ya wananchi kuwachekelea kwa shida ulizozisababisha, huongelei tena mama mbonga na bodaboda! 😂😂😂,sura yako yenyewe inakaa hao magaidi unaowaongelelea
@TwahirHassan-p7b10 ай бұрын
Hakuna kitu hapo
@static412210 ай бұрын
Je 'hustler' vs 'dynasty' narrative ilikua uchochezi au la? After-all Kenya belongs to rich and poor alike.
@qrankmw.10 ай бұрын
....ehh...kupayuka....na kubweka.... ....bandia haramu mwenye asili ya maovu kutoka "" bonde la kufa""....
@panafrican.nation10 ай бұрын
Kiongozi lakini pia ulichochea wana mkoa wa Bonde la Ufa dhidi ya Wakenya wenzako walio na asili za "kigeni". Nina imani kuwa unayajuta uliyoyafanya. Katika stesheni ya KTN mwaka wa 2005 ulisema "we go around thinking we can live anywhere we want in this country", na ukawataja kwa hakika _walionunua_ (na pesa zao) mashamba Kiambaa, Eldoret. Licha ya hayo ninapendezwa na kuimarika kwa matumizi yako ya lugha ya Kiswahili
@phelixonyango606710 ай бұрын
I'm sorry to say these. 1. Usalama ya kila mkenya😂 and you killed several during maandamano. 2. Uchochezi wa kisiasa 😂 yet you divided the kikuyus and Uhuru. Ukachokea jubilee ikavunjika. From a minority position to a majority position😂😂😂😂😂 Saizi sauti ni ya Huruma😂
@nairobitv50710 ай бұрын
nmejua wewe ni mjaluo tu
@phelixonyango606710 ай бұрын
@@nairobitv507 hapo kwa maandamano nake hawakutufanyia poa.