Рет қаралды 1,898
Mussa Kawambwa anaarifu namna wachezaji wa Azam FC, walivyopokea taarifa za aliyekuwa nyota wao Kipre Junior kutua MC Alger ya nchini Algeria.
Kawambwa pia anawataja wachezaji ambao wanaonesha dalili za kuwa na uwezo wa kwenda kuziba pengo la Kipre kutokana na uwezo wao.
#AzamFC #Preseason