"WADUDU TAFUTENI HELA" MAKONDA AKUTANA NA WADUDU AWAPA MBINU

  Рет қаралды 133,979

Millard Ayo

Millard Ayo

Ай бұрын

Пікірлер: 280
@user-zn8sy8nc3h
@user-zn8sy8nc3h Ай бұрын
KIONGOX BORA NI YULE ANAEJENGA URAFIK NA WATU WAKE TATIZO BAADHI YA VIONGOZ HAWAWEZ KUISH NA HAWA KWA SABABU WANATUMIA NGUVU❤
@pendomushi6351
@pendomushi6351 Ай бұрын
Sio nguvu tuu na kujipa ukubwa wanatumia cheo kunyanyasa watu
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Ай бұрын
​@@pendomushi6351Manka umepiga kwenye mshono Swahiba
@bakarimasanga3634
@bakarimasanga3634 Ай бұрын
Big up mkuu wa mkoa Makonda, you nailed it the way it's supposed to be, Kazi iendelee!
@robertlary6007
@robertlary6007 Ай бұрын
Congratulation RC Paul Christian Makonda 👏👏👏Kazi Iendelee 🇹🇿
@ibrahimsadick6137
@ibrahimsadick6137 Ай бұрын
R.c Makonda big up Kiongozi wa kwanza kuwapa thamani watu wanaoonekana wahunu
@ashakijaji5869
@ashakijaji5869 25 күн бұрын
Atawarekebisha kwa kiasi kikubwa.
@gracemushi3668
@gracemushi3668 Ай бұрын
Yaani Mh Makonda, una akili ya ziada sanaaaaa,, hao ndo wanaochangia kuharibu mkoa, lakini umefanya jambo la busara kuanzia nao,, kwa kufanya hivyo umeupiga mwingiiiiii
@gracekiondo2541
@gracekiondo2541 Ай бұрын
Ni kweli kabisa ulichosema.na hatuwezi kujua inawezekana wakabadilika kabisa.
@anorderick7162
@anorderick7162 Ай бұрын
Big up ...Makonda uko vizuri ..psychology yako iko vizuri...!!
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 Ай бұрын
Du!!!! Makonda is a leader, MUNGU akutunze Paul Christian
@stephanopaul83
@stephanopaul83 Ай бұрын
Inapendeza sana. Mungu ni mwema...hongera RC makonda
@kivatirokitojo657
@kivatirokitojo657 Ай бұрын
Makonda ni Future ya vijana kiukweli Mimi makonda namuelewa sana anasimamia nafasi yake kwa umakini Sana
@johnjoycemalusu4886
@johnjoycemalusu4886 Ай бұрын
Asante makonda, saidia pia kupambana dhidi ya madawa ya kulevya Arusha
@Kalongotv
@Kalongotv Ай бұрын
Congratulations to MILLARD AYO kwa kufikikisha subscribes ML 5 hakika mnafanya kazi njema
@charlesbululu3858
@charlesbululu3858 Ай бұрын
Wadudu watafute mlango uliofungwa kisha makonda aufungue waingie👏👏
@user-gg5ow9bg6y
@user-gg5ow9bg6y Ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha malefu kaka makonda
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 Ай бұрын
Mimi kwakweli namkubali sana Makonda huyu ni kiongozi ongea na kila mtu
@user-jj9or2ns2e
@user-jj9or2ns2e Ай бұрын
Ungwa we amka
@starjay3052
@starjay3052 Ай бұрын
dah big up sana makonda nakupendaga sana 💪✌️✈️🇹🇿🌍✅
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 Ай бұрын
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi uje kuwa rais wa hili taifa bro
@PaulinaLwena
@PaulinaLwena Ай бұрын
Mheshimiwa makonda Mungu akucmamia ktk kazi ya mikono yako❤
@merrynancesimon1562
@merrynancesimon1562 Ай бұрын
Safi makonda wape elimu ❤❤❤❤
@nellyjuju5325
@nellyjuju5325 Ай бұрын
Makonda anaakili sana anajua kucheza na akili za watu hongera zake
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Ай бұрын
Hahaha saana ameongea nao kwa upole
@user-ku8dk7bu7p
@user-ku8dk7bu7p Ай бұрын
Namakofi juuu wamepigaa😅😅😅😅😅😅😅
@juliananasari2526
@juliananasari2526 Ай бұрын
Hongera sana Mh makonda
@CreatureIey-eh8nh
@CreatureIey-eh8nh Ай бұрын
Arusha is our world
@EzekiaMichael-jn5np
@EzekiaMichael-jn5np Ай бұрын
Makonda hua nakuelewa sana bro Mungu ikimpendeza kuishika hii nchi itakaa sawa naamini mambo murua ni mtazamo wangu tu
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 Ай бұрын
Upo sahihi ndg yngu
@AndrewYona-vo4zv
@AndrewYona-vo4zv Ай бұрын
Hawa vijana waelekezwe namna ya kutofautisha kati ya KIPAJI na BANGI kinyume na hapo wataendelea kuonekana kituko kila siku ...
@flavianajohn5250
@flavianajohn5250 Ай бұрын
😅😅😅😂😂😂😂
@edgarshayo9720
@edgarshayo9720 Ай бұрын
Sure asee
@user-bp2cc9eo6g
@user-bp2cc9eo6g Ай бұрын
Good leader🎉🎉🎉🎉
@annehaysanday9214
@annehaysanday9214 Ай бұрын
Mh.Makonda kazi unayo!! Mungu azidi kukupa hekima ujue jinsi ya kuchukuliana na hao watu
@user-vw4fn5pj3n
@user-vw4fn5pj3n Ай бұрын
Safi Sana makonda yaan ww ni rais ujae
@user-cf3fe3cu8v
@user-cf3fe3cu8v Ай бұрын
Makonda nimekukubali sana kwa ushauri wako kwa vijana Barikiwa sana
@martineopapa7383
@martineopapa7383 Ай бұрын
Wakonda usikize kwanza huo wimbo kabla mama hajausikia maana hao siyo watu,ohhooo!!!
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Ай бұрын
😂😂😂😂😂 umewaza mbali
@hyy4114
@hyy4114 Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@allykilito2478
@allykilito2478 Ай бұрын
😂😂😂😂nimecheka aisee kwa saut
@makamehajj8865
@makamehajj8865 Ай бұрын
❤❤❤😅😅
@memesnamatukiomuhimu8453
@memesnamatukiomuhimu8453 Ай бұрын
Ukiachana na mambo mengne huyu jamaa ana akili nyingi sanaaaa
@Trey2k365days
@Trey2k365days Ай бұрын
Mdudu mdogo yule😂
@ibrahmenard
@ibrahmenard Ай бұрын
kadudu ako kambilikimo nakaenjoy sana😂
@Kijosh854
@Kijosh854 Ай бұрын
That's what we call leadership 👏 🎉
@raphaelhombo5060
@raphaelhombo5060 Ай бұрын
Naona Anawapanga wadudu😂😂😂😂😂Makonda mjanja sana
@joycenaipanoi3157
@joycenaipanoi3157 Ай бұрын
Umenikumbusha huyu jamaa mrefu zaidi hapo😂😂😂😂😂
@NAFtv-Tanzania
@NAFtv-Tanzania Ай бұрын
very creative RC
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly Ай бұрын
Makonda mungu Azidi kukujaza hekima
@olivertadeo6991
@olivertadeo6991 Ай бұрын
😅😅 si vibaka ni wao Jehovah akukupa uongoz atakupa na hekima ya namna yake akipenda ulete matekeo kwenye mwanga wake
@CreatureIey-eh8nh
@CreatureIey-eh8nh Ай бұрын
Arusha nd maisha
@user-lt7yx2ms7h
@user-lt7yx2ms7h Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mwamba na wadudu wake mwenyewe hana baya MUNGU akulinde Mwamba 🙏🙏🙏🙏
@apostleagnes5769
@apostleagnes5769 Ай бұрын
Kwa nijuavyo mimi hakuna watu wema kama hawa kwa Arusha ila tu usiwatibue
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
Kabisa,watu hawajui tu,hawa vijana huwa hawana hat shida,mpaka uwakorofishe
@jumahamadomar9124
@jumahamadomar9124 Ай бұрын
Wema wao ni upi
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
@@jumahamadomar9124 Hawa wapo na busy zao Wala hawadhulu mtu
@magigesabai8674
@magigesabai8674 Ай бұрын
Kweli kabisa mm nilipotea njia wakanielekeza vizur bila shda
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
​@@magigesabai8674hawana shida kabisa yani,mtu yeyote kwenye maisha ni mpaka umchokoze ndo anaweza kukufanyia vinginevyo,ila Hawa ni kikundi kama vikoba TU,wanatafuta ugali Wala hawana shida.
@josiacharles2778
@josiacharles2778 Ай бұрын
Makonda 🌹🌹🌹kakaa na na wadudu bila kuwanyunyizia sumu siyo kazi mdogo 😂
@OmanOman-hj7tv
@OmanOman-hj7tv Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-hw7kz8rv2c
@user-hw7kz8rv2c Ай бұрын
Ana maneno ya hekima
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 Ай бұрын
Acha kuwaset bana wanawezaje kuwa ata mmoja kati ya hao ulowataja. Ata km lengo ni inspiration umeenda mbali sana.
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 Ай бұрын
Hawana tofauti na hao aliowataja najua hata wewe unaweza
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 Ай бұрын
Hahahahaha aloooooh huyu kaijua chuga Sasa
@king_maik6375
@king_maik6375 Ай бұрын
Umekubali
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 Ай бұрын
Kenyonyo chali yangu ❤❤😂😂😂
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Ай бұрын
Kenyonyo nakuona😂😂😂
@michaelshirima5638
@michaelshirima5638 Ай бұрын
Katika hili makonda nimemwelew sana kiongoz bora anapaswa kuw karibu na makund yote ya watu bila kubagua ..hawa vijana hawana shda ni mitazamo ya watu bad baadh inakuw negative..tu..
@evanswinston5102
@evanswinston5102 Ай бұрын
Sura za system kabisa izo na mafala wawili watatu
@osamanyoni
@osamanyoni Ай бұрын
Hao wadudu ni usalama wa taifa xaxa jichanganyen😎😎
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Ай бұрын
😂😂eti wadudu 😂halafu huyo mdudu mmoja yeye anafata mkumbo tu kofi kofi
@user-oh6wc8xr5w
@user-oh6wc8xr5w Ай бұрын
Mungu azidi kukupa uzima pol makonda
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 Ай бұрын
Huyo mdudu mrefu kuliko wote ndo ananichekesha zaidi😂
@ezesolo4861
@ezesolo4861 Ай бұрын
hahahahahaha
@user-ys3nm9pd9z
@user-ys3nm9pd9z Ай бұрын
Kenyonyo
@user-di6jz9bm4v
@user-di6jz9bm4v Ай бұрын
Sasa hayo maviatu Mungu wangu
@FREDCHILUMBA-hf5dm
@FREDCHILUMBA-hf5dm Ай бұрын
Akili ya kazi ,,
@josephmakange3541
@josephmakange3541 Ай бұрын
Wadudu wameshakuwa CCM Tayar😂😂😂😂 CHADEMA Potelea ukooooo
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Ай бұрын
Hakika
@AllyGibu-cz2vo
@AllyGibu-cz2vo Ай бұрын
Nimecheka sana😂😂😂😂
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 Ай бұрын
😂😂😂😂
@blackkid7377
@blackkid7377 Ай бұрын
Ka Kenyonyo 😂😂😂
@MashakaZacharia-if9pm
@MashakaZacharia-if9pm Ай бұрын
Gonga like kwa mwanangu mdudu yule wa kijani dwarf
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS Ай бұрын
Kwa stahili hii mama Samia anaweza ASIENDE😂😂😂😂
@LuhobeFashion
@LuhobeFashion Ай бұрын
Vijana wa Arusha Mna balaaa sana
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Ай бұрын
Wanavyoitika wanajuw watapewa ela😂😂
@donaldmgunda4970
@donaldmgunda4970 Ай бұрын
Hikii kikundi baada ya miezi sita,kitakuwa kimepotea kabisaaa 😎
@salomewandya7257
@salomewandya7257 Ай бұрын
Hahaha kaazi kweli 😅😅
@SaudaJuma-pq9so
@SaudaJuma-pq9so Ай бұрын
P😊😊 0:29 😊 0:29 John L
@vickytango5591
@vickytango5591 Ай бұрын
Mkuu umefanya vizuri kuwa karibu na watu wako ukienda hivyo busara zako zitabadili AR
@user-xd4lu1xl6c
@user-xd4lu1xl6c Ай бұрын
Shule vp?
@hanifa9153
@hanifa9153 Ай бұрын
Kenyonyoo nowma sana😂😂😂
@sadafrancis8309
@sadafrancis8309 Ай бұрын
Kwel hawa n wadudu
@isacktemba551
@isacktemba551 Ай бұрын
Makonda bana km anakuja ivii km anakataaa
@user-tq5di6mv9c
@user-tq5di6mv9c Ай бұрын
😂😂😂halafu ww
@alunaali5105
@alunaali5105 Ай бұрын
Aloooooooooo você me matou não sou de Tz mas quero tanto visitar Arusha
@KiondoSingo
@KiondoSingo 26 күн бұрын
Wadudu wameumbwa kwa mfano wa Mungu
@mchmwal...z.a.ndelwa7838
@mchmwal...z.a.ndelwa7838 Ай бұрын
Daaa kiongozi Mzuri
@user-md3xx7rd9z
@user-md3xx7rd9z Ай бұрын
Huyu makonda hata kama asipopewa urais basi apewe uwaziri mkuu hii nchi anaijua sana na anajua namna ya kuongea na watu wa kila aina na kusaidia pasipo ubaguzi
@MteuleMabuku
@MteuleMabuku Ай бұрын
Mama wadudu tunampenda😅
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Ай бұрын
Hapo Kenyonyo haelewi Wala nini😂😂
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 Ай бұрын
@AminaLibisa
@AminaLibisa Ай бұрын
Yani kinyunyu mpaka afundishwe kuongea 😂😂
@evenajoseph4143
@evenajoseph4143 Ай бұрын
Good🎉
@user-rs1qk2hn8r
@user-rs1qk2hn8r Ай бұрын
Saana kiongozi
@yasinkazimil9470
@yasinkazimil9470 Ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 wadudu leo wametulia
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Ай бұрын
😂😂😂😂
@steverwillecha8559
@steverwillecha8559 Ай бұрын
Wamekutana na mhuni😂
@AlodiaKagemulo
@AlodiaKagemulo Ай бұрын
😂😂😂😂halafu na wao wamejikuta wanakuwa makonda kweli😂😂😂😂
@user-ye3xp1lf7i
@user-ye3xp1lf7i Ай бұрын
Kuwauyaone yaurimwengu hayoo
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 Ай бұрын
Kwa kenyonyo akaanze shule sasa
@GabrielSky64
@GabrielSky64 Ай бұрын
Muheshimiwa please tofautisha kipaji na bangi😂😂😂
@alloycejames5285
@alloycejames5285 Ай бұрын
Mwanzo mzuri... baada ya hapo mkung'uto
@mwanaidimavumba1186
@mwanaidimavumba1186 Ай бұрын
Safiiiiii
@pendomushi6351
@pendomushi6351 Ай бұрын
😂😂😂nacheka kama mazuri huyo mdudu mdogo kabisa anaitwa nani na anavyo skiliza kwa makini
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Ай бұрын
Kenyonyo
@moahmed7588
@moahmed7588 Ай бұрын
AKAK
@taufikisalumu7639
@taufikisalumu7639 Ай бұрын
😂😂😂😂 kenyonyo
@Pro_editings2024
@Pro_editings2024 Ай бұрын
Kenyonyo haelewiiii😅😅
@SURASHY24
@SURASHY24 Ай бұрын
Et makonda kama yesuu😅😅
@jmastertz161
@jmastertz161 Ай бұрын
hii nch bhan
@hamisihussein9851
@hamisihussein9851 Ай бұрын
Hawa wadudu wanakuja kuwa usalama na watapewa kazi nyeti mkiwaona matawaona wanafanya vituko kumbe wanachukuwa data zinapeleka kwa mkuu,,ndio mtashangaa Mkuu wa MKOAA Makonda yupo kazini au kalala lakini anaamka na kujua yote yaliojiri,,Mkuu wa MKA Makonda anaakili ya kuishi na watu.
@DadialiDadi
@DadialiDadi Ай бұрын
Uyoooo mfupi kama kichupaa cha piko ndo anahitaj vibokooo zaid😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 Ай бұрын
😂😂😂😂 kichupa cha piko tena 😂😂😂apigwe kakosea nini jamani
@zuwenasaleh9613
@zuwenasaleh9613 Ай бұрын
Kichupa cha piko 😅😅
@user-xe2pu6un3z
@user-xe2pu6un3z Ай бұрын
Asa kenyonyo anataka kuwa nani😂😂😂
@ZainabuJuma-qj5cj
@ZainabuJuma-qj5cj Ай бұрын
Wapeleke Shambani
@user-lz5it9yn4q
@user-lz5it9yn4q Ай бұрын
Arusha eeeee!! Mmhh
@maulidasaa9407
@maulidasaa9407 Ай бұрын
Hawa vijana wanaitaji elimu YA hali ya juu sana mana mi naona upumbavu tu walio nao
@joycemuhoja4729
@joycemuhoja4729 Ай бұрын
Kweli Tanzania Ni kubwa Jamani
@saidharbinie-dl4dd
@saidharbinie-dl4dd Ай бұрын
My president of 2030 jah bless
@Laizer3
@Laizer3 Ай бұрын
Wadudu😂
ПООСТЕРЕГИСЬ🙊🙊🙊
00:39
Chapitosiki
Рет қаралды 68 МЛН
Василиса наняла личного массажиста 😂 #shorts
00:22
Денис Кукояка
Рет қаралды 6 МЛН
🍕Пиццерия FNAF в реальной жизни #shorts
00:41
ПООСТЕРЕГИСЬ🙊🙊🙊
00:39
Chapitosiki
Рет қаралды 68 МЛН