Kampuni Biobuu Limited ya Wadudu inayotumia takataka za Ogani kulisha mabuu ya inzi weusi aina ya Black Solder flay iliyopo Wilaya ya Mkuranga mkoAni Pwani.
Пікірлер: 38
@salehmgide95385 жыл бұрын
Safi sana kazi ni nzuri mmeiona fursa mkaitumia
@eradolyamuya39294 жыл бұрын
Safi sana.Mimi nahitaji hao wadudu wakiwa wazima
@petronillajosephat26554 жыл бұрын
hongera sana kwa kazi nzur na elimu nzur
@saidhamisi27954 жыл бұрын
Hapo sawa
@josiahkulwa342 жыл бұрын
Hongera
@majaliwamaingu28254 жыл бұрын
Kwa Wabongo tulivyo hata siku moja hawezi kukuelezea kinagaubaga namna ya kuwatayarisha hao inzi zaidi ya kukuburashia tu na ndo maana hawawezi kujibu comments. Vile vile kama unataka kuanza kuwazalisha hao maggots ingia kwenye mitandao tu utajifunza kila kitu, tusichoke kujifunza ni kiasi tu cha kuandika Black Soldier Fly Larvae farming unaletewa kila kitu. Utaona how to feed the BSF, how to build the cages for maggots breeding. Tusichoke hawa inzi tunakaa nao pamoja na kuwa ni siyo house fly bali ni wild fly. Tugoogle tutajifunza mengi. Wataalamu wa kufuga hawa inzi hasa ni Waindonesia, waphilipino hata waganda tu.
@lameckmarco39644 жыл бұрын
Majaliwa Maingu ushauri mzuri, me nilishateseka natafuta jinsi ya kufuga senene sijafanikiwa.
@muhammedwakif62163 жыл бұрын
Nimeamgalia wanaelezea vzr
@nicksonurassa40333 жыл бұрын
Umesema vuzuri broo
@kassimhatibu86592 жыл бұрын
Habar naomba kujifunza au mniuzie hao inzi
@afiamsangi3717 Жыл бұрын
napmba no
@jbwisdom56903 жыл бұрын
Mko vizuri mawasiliani nitapataje
@jbwisdom56903 жыл бұрын
0767326465
@godfreymwambakatimo90004 жыл бұрын
KAZI NZURI SANA,NAONBA KUJUA BEI ZAKE MAANA NAITAJI KUWATUMIA KULISHA SAMAKI
@gabrielurio6545 Жыл бұрын
Hao wadudu wanakula takataka kama mabaki ya chakula yaliyo changanyika kwa kusaga yawe kama tope
@kabyemelaibra3236 Жыл бұрын
Naomba kujua hao inzi wanakula nini ili waeze kutaga?
@benedictmhina48193 ай бұрын
Mbegu ya hao wadudu inapatikana wapi?
@KukuVillage4 жыл бұрын
Mbona hamjibu comments? Ni vizuri mngeweka na mawasiliano ya namna ya kuwapata hao wazalishaji ili kupata bidhaa hizo.
@majaliwamaingu28254 жыл бұрын
Hawawezi kukujibu andika tu BSF farming utaletewa kila kitu ndugu yangu pamoja na kuwa lugha inayotumiwa siyo lugha yetu lakini utaelewa kwa vitendo.
@petronillajosephat91 Жыл бұрын
Mbna hamuwek mawasiliano nnahitaji pia mnauzia wap
@erickemanuel11712 жыл бұрын
Haina maana kurushia Crip bila mawasiliano ya wazalishaji
@eradolyamuya39294 жыл бұрын
Naomba kuwatembelea ili nijifunze
@nikuzejoselyne78344 жыл бұрын
How much price for 25kgs or per kg
@tumainicompany42942 жыл бұрын
Tunaona namba zenu
@abdalasaidngozi5544 жыл бұрын
Asante sana kwa KAZI nzuri.Mimi NI mfugaji nahitaji hao funza waliokaushwa.pia wazima.Tafadhali nijuze bei zenu,Mimi 0758111802.
@@evancetemba3336 Nafurai kusikia kama niraisi kuyapata,
@evancetemba33363 жыл бұрын
Chukua kinyesi cha kuku kama kilo moja na pumba kama kilo moja changanya na maji kisha weka kwenye ndoo ndogo mbili.tafuta papi mbili ndogo za mbao kata vipande vipande kisha unganisha vipande viwili viwili hakikisha unaisha nafasi kiasi kati ya hizo mbao ili atagie humo.weke hizo papi ndani ya ndoo kwa kupishanisha kama msalaba. huo mchanganyiko ukishaanza kuvunda peleke kwenye vichaka acha huko kama week nzima ila uwe unaenda tembelea kuona maendelea...utawakuta tu wametaga.
@evancetemba33363 жыл бұрын
Ili kuzuia mchanganyo kugaribiwa na wanyama unaweza hata ning'iniza ndoo zako huyo inzi atafika tu maana atavutiwa na uvundo....yan kifupi huyu inzi hupenda uvundo so penye uvundo ataku atataga wewe weka mazingira tu kama nilivyokuelezea...baada ya hapo endelea na masomo yapo you tube mengi tu kuhusu jinsi ya kulea mpaka anakua inzi.
@bahusasylva80973 жыл бұрын
@@evancetemba3336 Ninashukuru sana nitajaribu
@mjimtakatifu43004 жыл бұрын
Kwa anayetaka kujua namna kujua namna ya kuwatengea hao nzi wasiliana mimi kwa namba 0714510795