Daah sky yaani hizo punchline zako unazopiga pindi unapotamka hayo majina ya sumu ya hao nyoka sio poa man it's crazy and amazing,keep doing a good job bro bravo😃
@sistertrashid24882 жыл бұрын
Subhanallah mwenyezi mungu atunusuru na viumbe Hawa hatareee
@khadijakhamisi34502 жыл бұрын
Inshaallha 🙏
@subzeroflows19742 жыл бұрын
MUNGU hawezi kukuepusha nao na wakati duniani ndo nyumbani kwao,sasa ni wew fanya juhudi ujue ni namna gani ya kuwakabili viumbe hatari kama hawa
@msokile2 жыл бұрын
Kazi nzuri sana...Jamaa naamini kwa kipawa ukichonacho utasaidia sana kutusimulia mambo mengi ya nchi yetu.
@ummySheikh722 жыл бұрын
Subhannallah mungu atuepushe na shari ya nyoka na wadudu woote wenye sumu na hatari! Tutakufa na mauti yote mabaya basi Mungu tupe Mwisho ulio mwema ya Allah! Tunaomba msaada utokanao kwako na hivi viumbe ulivyo viumba.🤲🙈
@fayeezabdallah2217 Жыл бұрын
Allahumma Ameen
@mteicosmas2 жыл бұрын
Moja ya makala Bora zaidi endelea kutuelimisha hii ni elimi kubwa sana kwa Raia
@vincentmushi12472 жыл бұрын
Hizi ndio story tunazozitaka...zinaelimisha jamii...sio zile za yule bibi kizee na mshamba wa mademu. Na unavyosimulia bro.yaani ni kama upo darasani na wanafunzi..safi sana...sauti yako na matamshi ni ya kipekee Thus the real definition of simulizi na sauti....keep it up
@Dawah992 жыл бұрын
Sky aka Anakin Skywalker, nakukubali sana. SNS to the Galaxy 🌌. All the way from England.
@ericklaura75112 жыл бұрын
Keep it up #sky #walker , what a very cool documentary🙏
@abelbest49842 жыл бұрын
Mnpofika mashamban au polini zipo njia mbaimbal zakuwafukuza nyoka kitaalam .1 kumwaga mafuta ya taa ;harufu yake uwakera nakuhama haraka 2.kuchoma matairi uwafanya wasindwe kupumua na kukereka na harufu hivyo nyoka ukimbia mbal na eneo hilo
@sirvesterndahani56386 ай бұрын
Hakuna dawa ya kutibu uki ngatwa na nyoka yoyote
@EricaSumary3 ай бұрын
@@sirvesterndahani5638 I0😅mkkookl
@EricaSumary3 ай бұрын
Ml
@cchimodzi38582 жыл бұрын
kifutu anatabia ya kukaa sana kwenye mashamba ya mpunga hasa baada ya kuvuna... kazi nzuri sana 👏👏
@aishaally48312 жыл бұрын
Kanipa kilema cha mguu mpaka leo
@jasminetarimo69522 жыл бұрын
@@aishaally4831 jamani pole kipenz pole sana
@audaxmlowa99535 ай бұрын
@@aishaally4831pole aisha
@RizikiMbembela-b6h2 ай бұрын
Pole bwana
@jameswisdomtz85802 жыл бұрын
Kazi nzuli kabisa Nawakubali sana kwa story za ukweli
@aminatanzanya74752 жыл бұрын
Naangalia kwa bashash ila bady hat choon siend ila asnt sana sky walker kwa hii makal nzuri yeny mafunzo
@swaiseif29894 ай бұрын
Mintaota kbsaa nikiangalia hiv😂😂😂😂
@nestinaviolachemba79142 жыл бұрын
Mjomba angu aling'atwa n kifutu mguuni, alipoteza vidole vinne vilioza yani. Ni nyoka hatari sana.
@ndiiyolazarolemoloo21642 жыл бұрын
The best voice God bless you🙏
@jonaskilomba40942 жыл бұрын
Even me I like it
@mariabarhe89852 жыл бұрын
Huyo nyoka Puff header nilikutana nae kidogo nimkanyege nyoka ambye sijawahi kukutana nae katika maisha yangu ni Mungu tu maana nilikuwa natembea kwa kuangalia mbele niangalia pembeni xdhani kama ningekuwa mzima kwa sasa
@beb30342 жыл бұрын
Sky ulivyoanza kumtaka hiyo Blaaack mamba🙌🙌
@bunditz84772 жыл бұрын
Am Tour operator/ guide......yote uliyosema ni kweli tunakutana nayo sana tukiwa porini
@camilahazal71192 жыл бұрын
Kenya pia hawa wengi sana uliza wamaasai wanao chunga mifugo
@emmanuelmsuya8578 Жыл бұрын
Thanks for story
@danielmkama242 жыл бұрын
Nimeipenda hroh 👏👏
@martingeorgenzali56142 жыл бұрын
Kwel We Brother Upo Na Sauti Konk Xana Katka Utangazaji...Fireeeeeeeeee
@santosclementemateusmateus70482 жыл бұрын
Asante sns mubarikiwe ❤️🇲🇿
@EliZedek10 ай бұрын
Mungu atusaidie🙏
@peterdavid42302 жыл бұрын
Bro sky samahani kwa kukucorrect Hypertension means 'high blood pressure', while Hypotension means 'low blood pressure'.
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Audhubillahi mina shaitwani rajim hasbunn'Allahi wa neema al wakkin sipendi nyoko na sipendi hata kum ona kwenye picha hata kwenye TV hivi tu nime ziba na mkono kwenye sim naskiliza tu si angalii nafunuwa kidogo kidogo unapo fikia kuitaja eti hii iko hivi😣
@shihume2562 жыл бұрын
Lakini nimefikiriaaaaa nikaja kugundua mwenyezi MUNGU anatulinda sana jaman
@hassanshabankombo423 Жыл бұрын
Kweli
@RamazaniMulongeca2 жыл бұрын
Pamoja sana Mwamba, umeua sana💪🙌
@mrjohn44462 жыл бұрын
Uyo wakijani nilimkuta ndani ya nyumba nikamuuwa, anaspeed ndefu sana anatambaa kwakunyanyua kichwa
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
Duh hakukuattack?
@mrjohn44462 жыл бұрын
@@mrsliverpool4235 apana , nilimwagia mafuta ya taa kwanza akawa anaweweseka kwenye tiles kama anaungua , ndonikamponda na jiwe kwenye kichwa
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
@@mrjohn4446 hapo Sawa maana bila mafuta huyo nahisi mungekufa nyote.. Ila mafuta taa yanasaidia sanaa hata oil chafu
@mrjohn44462 жыл бұрын
@@mrsliverpool4235 ila hivi viumbe vina akili sana na vinajua kuhisi hatari na kutafuta namna yakujificha
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
@@mrjohn4446 duh mimi na waogopa hatari
@wolfdjmovies2 жыл бұрын
Black Mamba
@aediayumgo8546 Жыл бұрын
Bra sky you remind 20 years back time i was Tanzania Arusha place there calling RANDANAI one day june 2001 in mine there i meat this kindy of snake Black mamba bra i don't want to remember that day i was have bucket of water i was fill urine is coming but i didn't take any actation that look me and Disappeare bra
@Ndaizee11 ай бұрын
Hiyo "puff' utanialibia radio unaitamka kwa kishindo sana
@jumannerajabu13562 жыл бұрын
mambo niyasisi wanashamba uyo tunamkmata na fresh2
@frenzylyrics23902 жыл бұрын
the best voice over ever SNS
@SilahMirambo-lp3wd5 ай бұрын
Noma San kaka uko vzr
@zaudatmakula34542 жыл бұрын
Mimi tu hapa kwa picha nimeshindwa kumalizia kuwatizama nawaogopa mno
@audaxmlowa99535 ай бұрын
Punguza uoga
@mariabarhe89852 жыл бұрын
Watu wa tabora hawawezi kumsahau koboko huyo nyoka inatesa sana watu tabora duuh
@jeybullaz93232 жыл бұрын
"nakuumwa na mtoto wa KIBOKO nihatar mbaya vile vile"😂umechapia kidogo bro #sky But nimejifunza mengi ktk makala hii,,, You are the best kwenye hiz staff 🎤📻📺
@johnkiimbila67992 жыл бұрын
Kiboko wa majini.
@JosephMaroa-rg5qd Жыл бұрын
Habar ukiota nyoka mkubwa sana na huyo nyoka anaishi ndan ya shimo kubwa lakin watoto wake wako nje ya shimo na huyo nyoka mkubwa akawaananiongelesha nakusema usipita hapo niatar hyondoto inamaana gan😢😢😢
@hassansawasawa67532 жыл бұрын
Hawa nyoka wakijani wapole San aisee ila ukiwachokoza wakachukia mamae utajua balaa lao alaf wanang'ata mara 3 fasta fasta, ila niwapole San namarang wanakaa wawiliwaili wanapend kweny miti
@johnmataba6875 Жыл бұрын
Nyoka atambae nyoka nahamba
@fetychina32732 жыл бұрын
MUNGU ATUNUSUSURU KWAKWELI 😭🤲🤲mininavyoopgopa nyokanjamani
@fetychina32732 жыл бұрын
Huyu nyoka yupo kwetu kwenye mpera ila humuoni KILA siku na huwa anakaa anakuangaliatu ukishtuka ukimuona anakimbia huwa hatumgusi wala kumpiga
@kingmsanya35242 жыл бұрын
Noma sana na mjua vyema sana uyu koboko
@ashamkwawa5793 Жыл бұрын
Nilikutana na koboko macho Kwa macho nikaitafuta kuni peke yangu alifunga break miguuni na akaondokaa mpaka Leo sijinsahauu
@apple97112 жыл бұрын
Bona hawa green mamba wanakaa chem chem na huwa hawana shida
@jumakibe50322 жыл бұрын
Makala nzuri sn
@NancyMwaibula76342 жыл бұрын
Green mamba na black mamba wakikung,ata humalizi dk tano wanatisha sana
@aishachambo86632 жыл бұрын
Duh mwili wote unakosa nguvu nyoka namwogopa sana
@musasabuu28082 жыл бұрын
Mm cnaga ukalibu na Hawa viumbe wakjaa kwny 18 zangu napga
@salim02tv242 жыл бұрын
...sky...
@novusengineering_tz45232 жыл бұрын
Mbna tunatishana sky😂😂😂😂
@augostinopaul36012 жыл бұрын
#SnS to the world
@moseskulola6913 Жыл бұрын
Heee Mungu tuepushe Sisi nawatoto wetu Na uyu Munyama muchafu
@patricksounda99932 жыл бұрын
Nisha wagonga vichwa Hawa sana hawaniwezi na hawataniweza kabisa😄😄
@sirjoel68022 жыл бұрын
Mzee umetsha nmecheka hatar mungu atunusulu na hawa viumbe wabaya lkn hata mm najisikiaga amani nikimuua nyoka huwa nafulah nkmbonda kchwa
@nyikaboychannel70892 жыл бұрын
Tuko wengi
@soundmale Жыл бұрын
Akikuotea ndo utajua konzi yake moja inaua😁😁😆😆
@janetshao64234 ай бұрын
Mungu tu ndio atulindaye😢
@Martin-uh6nf5 ай бұрын
Nyoka hao wapo wakubwa
@jacksonmishwaro96712 жыл бұрын
Unavyoitamka hiyo " Puff" sasa....yaani hadi earphone imekufa
@SimuliziNaSauti2 жыл бұрын
😅😅
@Tanzanian3952 жыл бұрын
😂😂😂😂eti imekufa mimi sns sjui niwape zawadi gani mpo juu sana
@monicacyprian91372 жыл бұрын
Jamn huyuu koboko kijani aliingia ndani jamn uwiiii sisahau nilikua nimelala ndani kila nikitaka kulala roho haitakii kila nikitaka kulala roho haitaki nikawa nimelala mwisho wa kitanda huku naangalia juu mana naona kitu kinakuja kwa kasi yaani nilivyoo kurupukaa nilichanganyikiwaa mpaka mwili.ulikufaa ganzi nilikua nalia kama nimechanganyikiwa wee watu walivyokuja kumtoa ni nyoka mrefuu afu mwembamba huwezi amini alikua mkalii mnoo
@jasminetarimo69522 жыл бұрын
Utanifanya nisiende kijijini kwetu jamani mm uwiiiiiii
@owenmutale86862 жыл бұрын
Leo wa kwanza
@kibasamohamedi80292 жыл бұрын
Ila mm binafsi nawakubali Sana Hawa viumbe
@saidnasibu58032 жыл бұрын
Kifutu ni hatari sana ila unapo mkanyaga yye uamini hauja muona ssa hana haraka yaku shambulia mtu ila utakapo mkwaa ama kumsukuma hapo ndio utajua haujui.
@soundmale Жыл бұрын
Kwa maelezo anatisha kweli huyo kiumbe lkn mm nikimuona simuachi lzima nimuuuue maana nitakuwa nimesaidia watu wengi.. Lkn akiniotea konzi yake moja tu sijui kama nitaiona kesho😁😁😆😆💪🏿
@jiiwolf29002 жыл бұрын
.Nacheza nao kila cku
@hassanovajunior69722 жыл бұрын
Umetisha sana mzee🤝
@zaudatmakula34542 жыл бұрын
Tutaftie na dawa zake uking'atwa maana naogopa Kuna rafiki yangu aling'atwa kidonda hakiponi😭
@audaxmlowa99535 ай бұрын
Huyo ni kifutu
@nurudinmwakisale1509 Жыл бұрын
Jamani mm uoga atar
@producerscommunity85092 жыл бұрын
Huyo green mamba nimewah kuwashika niwapole sana
@dixminderjngao10562 жыл бұрын
kipindi cha makala umekiwezea saut imetulia sana inashawishi kuendelea kusikiliza
@japhetlust50502 жыл бұрын
Ata mm nakubar
@petermasanilo7322 ай бұрын
Ng'hobhoko hatari sana huyu
@yusufmwangichannel66922 жыл бұрын
Puff eder ndie nyoka mwenye sumu kali kuliko nyoka wote
@hatari95912 жыл бұрын
Nyoko yeyote utamwacha ukiwa kwenye barabara bila majani na kwenye majani atakushinda ila kwneye ardhi bila majani utamshinda tu.
@rostaduccibilly90462 жыл бұрын
Cytotoxin(myotoxin) is for the cell/tissue not abnormal bleeding, Abnormal bleeding is for Hematotoxin poison, and bleeding can not cause hypertension but hypotension and it can end up with hematological shock. UMEJITAHIDI
@glorymtinangi80022 жыл бұрын
Anajua sana
@mrishonasry47792 жыл бұрын
Broo sauti nzr xn hongera umetumia sauti yako original cyo km wengne wanakuwa wanaiga saut t mwisho wanampa ujiko mwanzilishi
@saddybrezzy97772 жыл бұрын
Mwanangu SKY 👑
@rashidramadhan Жыл бұрын
wanaishi kwenye mapago sio kwenye miti au sehem yenye utulivu ambapo hapatiti kitu chote
@hamedabashir92 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭Allah tu linde waja wako 😪😪😪😪
@jumahamis2272 жыл бұрын
Ila king cobra Tanzania hayupo si tuna cobra wa kawaida, king cobra wapo sana bara la asia, na cha ajabu king cobra ni kiumbe kinachojua kama chenyewe ni hatari hashambulii mtu hovyohovyo unless awe anaona yupo hatarini.
@vedastusmanumbu97802 жыл бұрын
Hivi GreenMamba sio Hawa tunaowaita nyoka wa kijani,,,, nisaidieni
@cr7tz7702 жыл бұрын
We ni nyoka wakijani lakini niwaoga sana
@johnkiimbila67992 жыл бұрын
Nafikiri wako tofauti, lakini sina hakika, maana tumezoea kuwaita kibisa.
@allymagati9492 жыл бұрын
nyoka wakijani wapo waaina 3, aina 2 wanasumu na aina moja haina sumu kabisa
@hatari95912 жыл бұрын
Huyo wa kijani ubaya wake huning'inia kwneye miti na anagonga shingoni au kichwani kifutu ni mpole sana na hupenda maeneo ya joto.
@johnkiimbila67992 жыл бұрын
Hata wakijani, ni nadra sana kun'gata wengine humuita kibisa.
@abrahmanabdallah84792 жыл бұрын
Mii namuopa nyoka na akinitoke ghafla naweza zumia
@lewissvictor89302 жыл бұрын
Hujamuelezea vizur kobogo wewe, nihatar sana , na anaishi miaka mingi tu zaidi ya hiyo uliyo elezea , akikua sana hua anatoa sauti kari sana na inaenda umbali mlefu sana
@luckstarmunuo9584 Жыл бұрын
Kwel kbs huyo bro, huyo koboko kuna vitu vitakuwa havipo kwenye research yake. Kwanza ana sauti ya kelele sana nyakati za usiku. Niko TAWA na huwa nawasikia sana nyakati za usiku.
@hamisalfan91502 жыл бұрын
awa nyoka wote nimewahua sana udizungwa kepind ichoo
@queentoto38782 жыл бұрын
Nakumbuka nikiwa na miaka 9 tuliwahi kwenda shamba niliona ki2 cheusi kina meremeta sana nikaanza kuitishia na kuipiga na Finbo lakin ili ni wahi ikani temea mate machoni niliumia sana nilihisi kama kichwa kinataka kupasuka lakin nilikuwa na babaangu akani akani usha uso na kunipata mafuta yamu gando kisha wakani wahisha hospital alihamdulillah nilipona macho mpka leo naogopa hata kwenda mashabani
@SimuliziNaSauti2 жыл бұрын
Duuh! Pole sana aisee
@nadrahassan52412 жыл бұрын
Hata macho yavyo sipendi kuyaona😩😣
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
Kunawatu wanawaita wenzao waoga kwa kukimbia nyoka 😂 🇹🇿🇬🇷
@MuslimChannelTZ2 жыл бұрын
Allah Akbar
@jumahamis2272 жыл бұрын
Ila anapokushambulia sio kwa kukusudia ila ni kwa kujihami, biolojia imeshamtengeneza kutuhofia binadamu pia.
@merryabiaza7112 жыл бұрын
Duuh mungu tusaidie utulinde na hivyi viumbe
@swaiseif29894 ай бұрын
Wakijani jmn nilikua napishana nao porin wakt naenda kukta kuni alinipita shwaaaaa
@christianmansoor30157 ай бұрын
by the way Black Mamba sio Poisonous kuliko King Cobra
@jumakibe50322 жыл бұрын
Koboko blaaack mamba ni hatari
@diyaosman62682 жыл бұрын
SNS🔥
@ismailmshana28282 жыл бұрын
Serekali itusaidie kuuwa hawa takataka mbona wana waacha na wanasema eti Ni maliasili hatuwataki huku kwetu buza wameja wanagonga watu mara kwa mara
@sirvesterndahani56386 ай бұрын
Kwani hakuna dawa ya kutibu hata uki umwa nanyoka yoyote dawa iwe1 kama kuna mtu anajua naomba jibu ndugu zangu
@arafatimkwizu75542 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@harrsmgaya81412 жыл бұрын
Dah sky ume gusa pale ninapo pataka
@mwanatz59802 жыл бұрын
Alaah huyu nyoka wa kijani kashawahi kuniangukia kwenye tumbo nilikua na mimba , mama angu akanambia nisiwe na wasiwasi maana nilikua hatakulala siwezi kwa kuogopa , kumbe anasumu Kali Dah 😥.
@kibasamohamedi80292 жыл бұрын
Pole jamani
@johnkiimbila67992 жыл бұрын
Huyo nyoka wa kijani,hupenda sana wanawake.
@ZaharaHassan-e8s9 ай бұрын
@@johnkiimbila6799 Tena hupenda wanawake?. Na wale nyoka wa kijan wa kwenye minazi ndo hao au
@hatari95912 жыл бұрын
Cobra 🐍 niliua sana kifutu kiboko na kifutu.
@camilahazal71192 жыл бұрын
Nimempatia Black mamba tasee Kenya wacha tu kama maji ya mafuriko ya kazi
@ghadaalzuhari27392 жыл бұрын
Jamani mimi navyo ugopa nyoka mungu ayu epushe naivi viumbe😭😭😭