Wafanyibiashara katika soko la Kongowea Mombasa wakadiria hasara Moto mkubwa uliozuka usiku umeteketeza bidhaa za mamilioni ya pesa Wafanyibiashara hao wanalalamika wazimamoto walichelewa kufika
Пікірлер: 48
@nikowabantu62163 жыл бұрын
Poleni sana ndugu wakenya kwa tukiyo ilo lakusikitisha sending love from Congo DRC
@maasaimkisii90893 жыл бұрын
Waaaaah ni kubaya pole wanacoast
@mimotesh65123 жыл бұрын
Poleni sana
@deomakere61183 жыл бұрын
Tujipe pole tu ndugu zangu huku Tanzania solo kubwa kabisa la kariakoo limeteketea usiku wa kuamkia Leo ni huzuni kwa kweli
@happytimes97473 жыл бұрын
Poleni kwa hasara mama zangu na baba zangu Mungu atatuchagulia viongozi bora mwaka ujao jipeni moyo tutashinda.
@giloogilo65893 жыл бұрын
Kenya Viongozi ni Wale Wale tuu.
@thevineyard71493 жыл бұрын
Nyinyi sio wezi. Nyinyi ni watu wa bidii na Mungu atawalipa
@kenyamoja7553 жыл бұрын
Najua vya uma, niko na Kiosk yangu ya omena hapo. Its sad but tusilie tukisema Muhammed Ali, Aisha Jumwa na Ruto ati hao ndio wakombozi, hao wakishika usukani itakua zaidi ya hivi. Natuombe Mungu hawa viongoze wote wachomeke, hilo bunge lichomeke ndio Kenya tutajikomboa lakini kama ni hizi Kelele tunazo sikia tutajua hatujui.
@giloogilo65893 жыл бұрын
@@kenyamoja755 poleni tena.hata mimi Bibi yangu SOKO lake ni hiyo kununua Omena, papa,Nguo za Watoto Sasa kama imetokea hivyo si nibalaa Kwa Bibi yangu.tukae pole sote pia.
@kenyamoja7553 жыл бұрын
@@giloogilo6589Mimi sitaki kulaumu nani ama nani. Manake Kenya hiii yetu iko na vituko. Tulisema Kibaki Tosha, then Jublee Tosha, Sasa sijui Hursler. Hapa ni Mungu asaidie, I don't trust any politician.
@maxwellodhiambo14433 жыл бұрын
Governor Joho fingerprints 🤔
@kakakakabeka6243 жыл бұрын
Wee poleni Sana nawahunikia vibaya kwani hiyo kongoe nichomwa kila wakati na brother mahali ulipo huna lakusema but pole Sana wote mungu atawapigania🤔🤔🤔🤔
@helenshella68093 жыл бұрын
Kila mwaka moto kongohwea ni shetani gani iko hapo
@phillsnafuna59623 жыл бұрын
uchungu sana😭😭sasa ha hii uchumi mungu saidia kenya yetu.
@astolafisto56603 жыл бұрын
Tena Leo markiti imechomeka kweli Kuna nini yaendelea
@fatmamdigo47013 жыл бұрын
Kweli kabisa malipo nihapahapa mungu atalipa
@rosekadzokadzo14013 жыл бұрын
County goverment kidole cha lawama kwenu.. Hiyo n hasara sana poleni... Mungu atawarejeshea vyote vilivyopotea
@mufush3 жыл бұрын
Waliasha wenyewe haya, poleni kwa wengi, Lakini hio soko itolewe, Ruto atakuja na looted funds zenu halafu mta cheer
@giloogilo65893 жыл бұрын
Wewe hatutaki urongo was Ruto tumeuzoea,akadanganye wale Wajinga au Mafala.
@yusufmwangichannel66923 жыл бұрын
Patrick Mufumba wewe ndie msemaji wa Ruto?
@mufush3 жыл бұрын
@@yusufmwangichannel6692😂😂hata kwa Billion za hela siesi walahi
@angelinakonde66473 жыл бұрын
Mungu atamulipia
@faizislam23783 жыл бұрын
Hawa ma moryoo wanaona biashara haisongi wanachoma moto
@mscantraah82103 жыл бұрын
Kwelikabisa 😭😭😭👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
@suhel52093 жыл бұрын
Musijali no one can stop reggae, BBI itasuluhisha
@kombomwakaribu82523 жыл бұрын
BBI will solve how?...kwani BBI ni mtu ,? ... BBI ni project ya watu kidogo tu , hakuna kitu itasuluhisha
@giloogilo65893 жыл бұрын
BBI wapelekee Mama zao kama bado Wazaa.
@thevineyard71493 жыл бұрын
Sidhani. wahurumie tu.
@hkmeme54373 жыл бұрын
BBI mavi
@suhel52093 жыл бұрын
@@kombomwakaribu8252 najua nimeleta kwa maana, sababu hao ni vibaraka wa Raila
@sheilamjune12333 жыл бұрын
Pole sana family 😭😭
@dorisdamadorisdamakarisa50903 жыл бұрын
Aaaaaai jmn x hyo count hio ya Mombasa x INA weka WAP watu wa kongowea
@aminahmohd89503 жыл бұрын
Ni kila mahali hata Tanzania pia sjui shida ni nn
@pendaelimolell35103 жыл бұрын
Mungu awasaidie walio patwa na janga hilo
@luchinasarah37453 жыл бұрын
Nothing will be done to fix this
@amenakenya79933 жыл бұрын
Shubuhnllah
@munirashughuli72243 жыл бұрын
Ya Rabby
@luchinasarah37453 жыл бұрын
This is sad
@mrsliverpool42353 жыл бұрын
poor kenya
@mzangicatherine10463 жыл бұрын
Ngai ati ngari empty, watu wa fire, improve your work, munazazimu ama ni nini, sasa mnaenda kuzima moto na ngari tupu,nyinyi nikufutwa kazi nyote mpate andapu
@villagegirl36253 жыл бұрын
Ngari *gari* hahaha
@thevineyard71493 жыл бұрын
@@villagegirl3625 ni shinda ya smartphone. This gadget can make you look foolish especially if you are not writing in English
@villagegirl36253 жыл бұрын
@@thevineyard7149 hahahah nimekuelewa mamaa
@mzangicatherine10463 жыл бұрын
That's true, thanks for replying for, but they understand, that's matter 🙆♂️🙆♂️