Ni Yesu Kristo ndiye anayefaa sifa na utukufu....Mchungaji,Mungu akuzidishie na kukubariki sana....ninabarikiwa sana na mahubiri yako.
@LeocadiaPetro4 ай бұрын
Kati ya wachungaji ninao waelewa ni wewe tu mungu akujaalie maisha marefu uzidi kutufundisha neno la mungu. Nabarikiwa sana ubarikiwe pia pastor
@stellamaier82655 ай бұрын
Naomba no yako pastor ninamengi ya kuhutaji maombi lakini mafundisho yako yamenijenga sana toka nimeanza kukufatilia mwaka jana nimekuwa mtu wa tofauti
@ChachaMwita-li3wp5 ай бұрын
Mungu akutie Nguvu zaidi shujaa wa BWANA
@patyflaviank51995 ай бұрын
Me pia naomba namba yake
@carinethebosslady37225 ай бұрын
Utukufu na sifa zimrudie Bwana kwajili ya mtumishi wake Pastor David Mmbaga🙌
@Joycependopendo-dv2tb5 ай бұрын
May God bless you pastor abundantly
@maseaJoe86765 ай бұрын
Barikiwa sana pastor unatuguza sana na utumishi wako Mungu na akuneemeshe na kukutumia zaidi. Asante Yesu Amen Amen Amen
@user-nw1vi5sx3i5 ай бұрын
Plaster be blessed,l am talking from Kenya ombi langu ni hili.Nisaidie na maombi hili kibawa changu Cha kumtumikia mungu kipujike kwa maana Niko na kibali plz pastor
@AbelMagesaMayenga-bo5wp4 ай бұрын
Amen❤
@rachelmaungo44135 ай бұрын
Amina ...Tusiogope
@jacintasyombua75125 ай бұрын
Pastor umenitoa mbali kwa neno lako barikiwa sana mtumishi wamungu
Pastor Naomba uwaombee watoto wangu katika afya zao na pia yesu awakinge kwa damu yake thamani..Amina
@GeofreyMomanyi224 ай бұрын
Bwana asifiwe. Mafundisho yako yananibariki sana mungu akusidishie neema. Ni geoffry nikiwa qatar
@maryachuti49975 ай бұрын
Aaamen Bwana Mungu aliye juu sana anibariki na wote tumesikiza hii video.
@Marianamsafiri-sm2vx27 күн бұрын
Amina
@franklinomwanza43355 ай бұрын
Let God bless you, pastor 🙏
@RebeccaSomolo4 ай бұрын
Pr naomba umuombee mume wangu kasimamishwak kazi na mie bishara imekoma kabisa mumgu atusaidie
@jasminfrieb-preis47585 ай бұрын
Habari Pester, ninakusiliza kila siku kama miaka miwili sasa. Na Nina changa Moto nyngi katk kazi yangu. Somo la Leo limenifaligi sana. Ubarikiwe, Salam nyingi kutoka Germany.
@miriamsamwel91885 ай бұрын
Amen be blessed pastor
@user-vd1ty2dn9v5 ай бұрын
Umebarikiwe sana Mutumichi wa Mungu Najuwa kweli nomechoka lakini nita chucha nyavvu kwa neno lako heee Mungu
@eustina05 ай бұрын
Mungu akubari pastor Kila utokapo Aminaaa
@BonfaceChacha-sp8un5 ай бұрын
Mungu aniondolee kiburi pastor..na anisaidie nipate kazi
@mainawanjiru78195 ай бұрын
Niombee mungu anikumbuke mimi na familia yangu tuko na shangamoto ya biashara.
@purity1345 ай бұрын
Amen,barikiwa pia
@stellamaier82655 ай бұрын
Pastor Mbaga MUNGU akubariki sana ujumbe huu ni wakwangu kabisa ninapopitia sasa hivi ni pagumu kwenye mahusiano yangu ya ndoa , kwenye uchumi hili jambo linatuchanganya sana mume wangu anastress yaani hatuelewi kufanya nini napona kupitia neno la leo
@MahubiriPrMmbaga5 ай бұрын
Mungu akutendee makuu
@heavenkingdom81575 ай бұрын
@@MahubiriPrMmbagam chungaji naomba no yko namengi yakuuliza
@absalimlufyagile49745 ай бұрын
Mungu akubaliki kwa mafundisho mazuli
@user-kq9je6zf3v5 ай бұрын
Amen mafundisho mazuri 🙏🙏🙏
@virginiav45955 ай бұрын
Barikiwa.sana.pastor
@HappinessTumsifu-cn5kx5 ай бұрын
Pr ubarikiwe ninajifunza mengi kupitia haya masomo, changamoto ni nyingi kwenye haya maisha kuna wakati hata mtu wa kuzungumza nae hayupo masomo yako yanatia nguvu yanatia moyo pia.
@vivianong84045 ай бұрын
Amen
@yakobofumbuka-ry4mh5 ай бұрын
Barikiwa pastor
@Danielcherwon8885 ай бұрын
Amen Amen Amen
@rabanmwallah2145 ай бұрын
Ubalikiwe man of god. Raban Toka Zambia Kitwe
@reginahmwanza78875 ай бұрын
He is not a man of god but a man of God 👍
@judithnjalambaya24505 ай бұрын
Amen 🙏
@elizabethgodfreytondo30525 ай бұрын
AMEN
@user-ir1fz2eb7r5 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@Heritier--rwagaza5 ай бұрын
asantee sana mtumishi wa mungu❤
@nemaodhiambo72745 ай бұрын
Mungu atusaidie sana 🙏🏿
@user-ho9cm1um8m5 ай бұрын
Kweli mtumishi was mungu ni lazima tuombe shetani anafanya kazi usiku
@mbukejackson16005 ай бұрын
Ninabarikiwa sana nina changamoto ya kutopata mtoto tangu kuumbwa kwangu niombee mchungaji na biashara yangu
@user-un6qx9sk4k5 ай бұрын
Nitafute mama nikusaidie dawa hata mimi mke wangu alikuwa na shida
@user-ji9zl4gn4n5 ай бұрын
Asante kwaku mumenipa ushindi mkubwa
@tiemukashamavuroger70445 ай бұрын
Tunakufuata vizuri kutoka Malawi. Tunabarikiwa Sana.
@user-un6qx9sk4k5 ай бұрын
Amina ndugu walawi wapi??
@umutesiaimee34895 ай бұрын
Nimebarikiwa na fandisho lako ubarikiwe.
@BarnabasJonas-nv4ig5 ай бұрын
AMINA
@user-ep9by3ui1v5 ай бұрын
Ameeen🤲
@agneslaurent98665 ай бұрын
🙏
@MariamBusele5 ай бұрын
Aimen
@user-ts9ww9ll2j5 ай бұрын
Nahiraj naombi sana past ninamengi kwakwel
@janetwambuchi8304 ай бұрын
Nimekuwa na uoga wa kuansisha biashara lakini sasa baada ya kuskiza haya maubiri niko tayari sasa 😊
@ElijahMosong5 ай бұрын
Emeni. Pester nimebalikiwa.naombA no yko
@doctrinesofreligions56735 ай бұрын
Mtuatajiungaji na iyo atape
@alicekadzotsofwatsofwa86185 ай бұрын
Amy
@alicekadzotsofwatsofwa86185 ай бұрын
Amen
@karagaijudy53585 ай бұрын
Pia mimi naomba number yako mchungaji
@user-fg6rr2jw1r5 ай бұрын
Je Mungu aweza kutumia watu kukutia moyo wakati huu wa kuchoka? Kama njia ya kuongea nawe? Naomba kusaidiwa hapo maana nahisi kuchoka