Shuhudia Wakili Awadh akiichambuwa bima ya Zanzibar
Пікірлер: 21
@user-wv5is5ky9b7 күн бұрын
Kinachofanyika hapa nitamaa tu za watu kutaka kujikushanyia feza ili watie mifukoni mwao Lakini uku kwetu mtu akitaka kufanya kitendo kama hicho cfano wake huambiwa (watafuta kukosa kaa na ngando ) maana ya msemo huu ni kwamba kuna kuna unakua unapata lakini ukajitia tamaa ukataka upate zaidi mwisho wako ukakosa yote Maana kwenye utalii kunaingiza pesa nyingi sana lakini inaonekana hazitoshi wanataka wapate zaidi mushowasiku unakoso yote
@natafutamatatizo43827 күн бұрын
SASA MKUYA AMEZEEKA NA SASA ANAWAKOMOA WAZANZIBARI WALIOPO NJE YA NCHI AMBAO NDIO HAWAKATI BILA HUKO ULAYA!
@SaidAbdala-f7p6 күн бұрын
Huu ni mwisho wa ccm . Ndio maana wanataka kuiba kwa muhula wa mwisho. Mujue marahiii Ccm kwisha kwa zanzibar. Mtaona wenyewe. Zanzibar haina tofauti na palastina. Kwahiyo tushsona kinachofanyika palastina. Kwa hiyo na sisi tujiandae. Mujue waengereza katholiek West-Europese na wamerekani. Wako nyuma kwaa kila kitu. Ili zanzibar isiwe huru. Lakini kwa mara hii. Mutaona pesa ya zanzibar ina uso wa OMO, jumbe. Malim seif.babu. duni. Jussa.
@khalidabdulla65456 күн бұрын
😢😢 mhhh au bas
@abdullamasoud73244 күн бұрын
Wakukurupuka StarTV.
@walidsaid78077 күн бұрын
Huu ni uonevu kwa wageni kutozwa bima ya lazima ilhali watalii wengi wanao kuja nchini tayari wana bima zao iweje msizikubali? Halafu Zanzibar haiko tayari kwa haya ili kutowa huduma hasa zile za dharura (Emergency) mtu kupatiwa huduma za haraka kama vile Air Ambulance pindipo parahitajika kumwahisha mtu hospital kwa matibabu
@khadi-z4o5 күн бұрын
WATALII WENGI 99% WANABIMA ZAO AMBAZO NI INTERNATIONAL.
@haroubhbm57286 күн бұрын
Zanzibar sasa kuna min hospital ambazo zipo kila Kona ya zanzibar kas kus na magh watalii wana bima zao na hii itapelekea kupungua utalii soon tutaona 😅
@kadirkhamis77043 күн бұрын
bima gani unapangiwa hospitl ya kwenda haima ishu ishu yoyote tuikataeni
@FernandezBruno-p5t7 күн бұрын
Mtu anakua chawa half ndo anachaguliwa kua kiongozi anakua mkurugenzi waziri manaibu waziri matokeo yake nchi inakua kama inaogozwa n machizi kwasababu jambo ata haliingii akilini wao ndo atataka liwe half wakiambiwa pia hawataki yaani ujinga ujingaaaa watu wenye akili wanakaa nje serikali
@salimsaid83486 күн бұрын
Hii ZHSF hassa kiukweli wafanyakazi wengi wa private hatuitaki tumelazimishwa tu. Tunawaomba wanasheria mulisimamie hili Bima gani hii ina masharti kibao
@khadi-z4o5 күн бұрын
WIZI HUUTU WA CCM , WATALI 99% WAKIJA KUTALII WANAKUWA NA BIMA ZAO . WATU WANAISHI NA BIMA TOKA WANAZALIWA. CCM YA ZANZIBAR WACHENI WIZI HEBU. KUNA HOSPITAL GANI ZANZIBAR YA PIMA KIMATIBABU!!!!!! UHANISITU😅
@IddiKhamis-u6c7 күн бұрын
Kuna nchi ya Thailand ni nzuri pia kwa utalii na ni nchi moja yenye gharama kidogo sana katika kutalii. Na ina vivutio vizuri. Kama mgeni atakuja Zanzibar kutalii mfano kwa dollars 3000 bas kwa nchi ya Thailand itakua ni nusu tu ya hiyo. Sasa nyinyi musioangalia mbele hasara za kodi za ovyo juu ya utalii subirini muone kitakachotokea.
@adamstour5736-kb6zq7 күн бұрын
Kwann ACT WAZALENDO tusimtumie huyu kwenye taasisi yetu
@OmerSuley-gl7go7 күн бұрын
Wanataka kutukimbizia Watalii tu wengine hatutaki kuajiriwa ndio tumejiajiri humo tunakula kupitia hao wageni
@lusakaone77826 күн бұрын
Shukraan kwa ushauri
@salwasuleiman35256 күн бұрын
@@lusakaone7782ukiachia wazungu sisi wengine tuna family nyumban hali hii ni Mtihan pia kwetu
@hassanalikombozanzibar11926 күн бұрын
Na hivi sasa maagent wa wageni washaanza kutuambia kuwa zanzibar ni expensive we will change the trip travelling to another country, watahama kuja znzbar watawauzia tours katika mataifa mengine
@allyhamad84926 күн бұрын
Ccm hawana mawazo 😮😮
@ussiamer35236 күн бұрын
Wana nchi wao huku mtaani hawataki wawe na ajira
@DuuSaid7 күн бұрын
Wafanyieni hospitali ambazo wataweza kutumia bima zao wanazo kujanazo .sio kuwapa bima ya kutumia wiki halafu hajui akaitumie wapi badae😂😂😂