Hongera, hongera, hongera. Sifa na Utukufu ziende kwa Mwenyezi Mungu. Utaongoza vizuri kwani MKONO wa Mwenyezi Mungu uko juu yako. Congrats Mtanganyika Mzalendo.
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
MUNGU AMETENDA KWA WAKATI. NI SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU
@StephenKimondo-qw3etАй бұрын
Hongera sana kwa ushindi ulioupata wa kuwa rais wa TLS. Tunamshukuru Mungu kwa kukuwezesha kushinda katika uchaguzi huu. Tunawapongeza na kuwashukuru wana TLS kwa kutuletea mzalendo huyu. Tunamtakia Mwabukusi ufanisi mwema katika utekelezaji wa majukumu yake mapya. Tafadhali usiwaangushe waliokuamini, kukuombea ushindi, na kukupigia kura ya ushindi. Watanganyika wana matarajio makubwa ya mabadiliko chanya ktk TLS, ulinzi wa rasilimali za nchi, na utekelezaji wa haki nchini. Chini ya uongozi wako tunalo tumaini la kupata Katiba mpya na kurejea kwa Tanganyika. Mungu akubariki na akupe hekima ya kuongoza vema!
@yonazimpombe1160Ай бұрын
HONGERA MWABUKUSI kumbe shida zote zile ni Mungu alikuwa anakuonyooshea njia
@EmmanuelPeter-y9uАй бұрын
Hongera Sana mwabukusi, Kamata mikoba
@clarencelazaro9600Ай бұрын
That is what we want ooooh congratulation Mwambukusi very good
@user-ls7wp7qx1dАй бұрын
Hongera Mwabukusi. Sasa tutaiona taasisi ya TLS ikitekeleza wajibu wake.
@mariaanthoniangowi9376Ай бұрын
Mungu AWABARIKI sana MAWAKILI MMETENDA KWA HAKI
@HabibMbonde-eq2rcАй бұрын
Hongera sana sana. Nimefurahi utafikiri ni Mimi nimeshinda. Unatoa funzo Kwa wale wanaopambania kile wanachoamini. Mimi nikiwa mmojawapo. Hongera sana
Haki ukiisimamia haki inalipa heshima pia itakiinua chama chenu umoja wakudumisha amani na kuvumiliana na. Kusameheana kutaongeza utu na ungwana na watakia heri busara hekima hayo yawe mavazi yenu kwa jamii na kazini kwenu ndani ya nchi na nje ya nchi. Amina
@CristinLyangaАй бұрын
Hongera baba,tunakuomba ukadai katiba mpya.
@user-bq4tk6yq2qАй бұрын
Hongera sana. MWABUKUSI MWAMBA.MUNGU AKUTUMIE.
@gracemnyani6848Ай бұрын
Hongera Mwabukusi Roho Mtakatifu akuongoze na Damu Takatifu ya Yesu Kristo ikulinde na kukutunza wakati wote uwapo Rais wa TLS
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
Amina
@sir_ENOCKMACHAАй бұрын
Mungu ni mwema sana jamaa walimuondoa kugombea kumbe Mungu amemchagua aisee...hongera sana ndugu Mwabukusi
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
Mungu ni fundi❤
@salama1113Ай бұрын
Asante mungu chaguo wetu limetimia mungu umejuwa kupokea maombi yetuasante mungu kwa kuwa bado unaitetea nchi yetu
@Grace-s3zАй бұрын
Ongera sana, Mungu akutunze❤❤
@masuzahMkumbo-vs6ngАй бұрын
Naiona kesho njema~Mwabukusi ❤❤❤❤❤
@user-qd4sk7ws2jАй бұрын
Watanzania tunakuamini Mwabukusi, hongera kwa ushindi wako. Watanganyika tunaamini utatuvusha.
@anosiata8242Ай бұрын
Hongera Mwambukusi mungu akulinde
@benardjames-fs1tbАй бұрын
Hongera mwambukusi kwa ushindi, sasa kazi tu katika kutenda haki kwa maendeleo ya nchi.
@GeophreyMarika-du1zdАй бұрын
Hongera mno mno Mungu akutangulie ukatende haki kwa wote usirudi nyuma tunatambua harakati zako.
@user-rq3ic3mt2jАй бұрын
Omba urais 2025 Mwabukusi jina limetakata hilo
@JoyceKabula-in1shАй бұрын
🎉mungu mwema ninakushukuru kwa ajiri ya mtumishi wako uliemlidhia naomba umpe hekima ulinzi na maalifa akutumikie kea uaminifu sifa na utukufu tunakurudishia wewe mungu amen
@leodgardotmar7198Ай бұрын
Congratulations, we will closely watch your performance brother, you work begins today
@irenebarakeliАй бұрын
Hongera sanaa msema kweli usiyetetereshwa usipenda maonevu mikataba ya ovyo mwisho
@charlestarimo5541Ай бұрын
Hongera sana shujaa mwabukusi
@ephraimsaimon3125Ай бұрын
Mungu halinganishwi kabisa Mwabhukusi tumpe utukufu Mungu Amen
@user-gx3jp6uk2fАй бұрын
2025 Lissu awe Rais na Mwabukusi awe Waziri Mkuu nchi itabadilika na kusonga mbele haraka sana.
@AgnessKabamanywa-sd2dwАй бұрын
Mimi binafsi nimefurahia ushindi wa Mwambukusi, Mungu akuongoze
@user-nv7kj3gl3oАй бұрын
Msema kweli mwabukusi nampenda sana anateteya mpaka machangu na bandari
@ElishaMasukaАй бұрын
Hongera mwabukusi nenda kasimamie rasilimali kama ulivyojinadi
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
Vizazi vijavyo vinakutegemea. Unaenda kulinda rasilimali za Taifa 🎉🎉
@monicasimpilu6257Ай бұрын
Hongera sana. Tunasubiri kazi iendelee. Tunaimani nawe. Never giveup
@MayasaMaghiya-ii9foАй бұрын
Nimefurahi sana ,hongera MWABUKUSI
@user-qm4bi9wg5kАй бұрын
Mungu akubariki sana uendelee kutetea wanao lala hoi
@paulmathias6328Ай бұрын
Hongera Sanaa kiongozi wa kweri
@collinsabrahammmbando2855Ай бұрын
Hongera mwamba
@SaveraRwambaliАй бұрын
Hongera mwamba
@rashidhtibangayukatibangayukaАй бұрын
Hongera saa'ana
@barakakevela245Ай бұрын
HONGERA SANA KAKA MWABUKUSI TUNAKUAMINI SISI WANANCHI
@deombuya9394Ай бұрын
Hero Mwabukusi
@abisairobert4864Ай бұрын
HONGERA SANA MH.
@user-nv7kj3gl3oАй бұрын
Mwabukusi rudisha bandari yetu ❤❤❤❤❤❤❤❤😅
@user-on1sw7hh1wАй бұрын
Hongera baba ww ni mtu na nusu
@gracemsaki1561Ай бұрын
Ongera sana kk umepigania haki yako
@BenjaminMwasanje-gv2ciАй бұрын
Amen God is good
@user-jy8fl1mv8jАй бұрын
nakukubali kijana enda ukaupige unao uwezo chunga tumbolako usiskilize haramu
Hivi televisheni za Tanzania Zina matatizo Gani Hadi jambo kubwa kama hili wanashindwa kurusha hewani. Mbona mambo mengi Sana ya ovyo kama izinduzi wa vyoo wanaonesha? Acheni ubaguzi sisi jatupendi hata kidogo msione tumenyamaza hata hatutazamagi huo ushenzi
@user-lq8mi3zz2cАй бұрын
Mungu ni Mkuu kwa Kumfanikisha Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Rais wa TLS Hongera sana sana sana
@samwelgabriel2175Ай бұрын
Wanasheria wote Mwabukuzi kashinda, wanasiasa feki tulieni tuwanyoe
@leodgardotmar7198Ай бұрын
Na lazima utafute ubunge mbeya mjini aisee
@user-vu4dp2xr4qАй бұрын
Tulikuhitaji tunasubiri matarajio yetu yaonekane hatutaki mbwela tena za tulikotoka.asante mungu.
@RomwaldMalyaАй бұрын
Ongera mkuu tutavuka
@kammunisi2296Ай бұрын
hoñgera sana mpigania haki
@ProsperMwakilembe-lj7rbАй бұрын
Mambo ni mwemwele. Ongela mwabukusi
@user-uq7kk4dw2oАй бұрын
Haleruya
@ramadhanchenga4606Ай бұрын
Mungu ni mwema
@atupakisyemapuli8637Ай бұрын
Wao
@MunaifatZiadamOthmanАй бұрын
Safi.sana.
@saidiathuman-og6bcАй бұрын
Ooh my god
@kamogesamuel2461Ай бұрын
❤❤❤
@user-ti8fn1wn1wАй бұрын
Neema ya mngu imetimia
@MwambeGa-x1mАй бұрын
Safi Sanaa sitahili kabisa
@salummohamed2689Ай бұрын
Sijui kama ni kweli maana lile fukuto lilikuwa kali over.
@user-nv7kj3gl3oАй бұрын
Shujaa mwabukusi hooooyeee
@DidaskamiliАй бұрын
Yule anastahili kunisaidia serikali hasa kuingia mikataba ya wazi
@georgekapondoАй бұрын
Tls mmefanya kitu
@musansojo9677Ай бұрын
Ivi nikweli ameshinda naomba mnihakikishie niende kula bata kwa furaha
@ImeldakokusimaChristianАй бұрын
Nimefurahi mpaka basi!
@saidiathuman-og6bcАй бұрын
Saaaaaf kabisa
@MASUMBUKOMALINDI-jy7wgАй бұрын
unachoeleza kinaendana na kichwa cha habari??
@paulmwangokaАй бұрын
nimeamini kumbe mawakili wapo timam
@PeterMlungu-fb2jvАй бұрын
Teteeni watanzania wapo watu miyo yao inalia huku wanatembea
@JacoboNaftariАй бұрын
Mwabukusi Hilo ni jembe
@alliwaya9123Ай бұрын
Huyo nimtu sahihi
@saidiathuman-og6bcАй бұрын
Saaaaaf saaana
@christineaimtonga9872Ай бұрын
Honhera mwabukusi
@AbillaiShabaniАй бұрын
Yuko vizuli
@muhsinikoki4060Ай бұрын
saf san
@leodgardotmar7198Ай бұрын
Kajujumele
@msowamhokole7714Ай бұрын
Liongo ilo
@user-ti8fn1wn1wАй бұрын
Muongo mama ako aliekupa baba ako bandia ndo maana ukakosa akiri