Maashallah mashekhe wetu kabla ya kusilimu nilikuwa mshirika wa hiyo kanisa good news malindi 3yrs nilipokuwa usingizini wallahi nilimuona yuko juu na waumini wanamkimbilia wamshike wamtoe juu wamrudishe chini pia si hiyo tu nikapata nilipata maono nikakosa kulala siku mbili na wasiwasi niliona mbingu imefunguka na mtu anangaa sana wawili lakini nikitazama watu hawaoni ni mimi tu naambia watu jamani oneni ju watu wana shuhuli nyingi magari zinaenda yani hakuna mwenye ananisikiza mwisho sauti ikasema ole wetu sisi wanawake tunavaa suruali za wanaume tunapaka mkono kyutext na hatuna haya nywele tunageuza maumbile ya mungu wallahi mashekhe wetu nikaenda kwa huyu paster mackenzie jumamosi nikaeleza nyumbani mwake juu ya ndoto zote ninazoziota kumhusu pia kumuota ametoa mke wake na babake kafara akaniambia hiyo ni chuki tu za watu hawataki kuona maendeleo yake lakini mimi nilikuwa na shaka mbona yeye tu akaniambia njoo jumapili ueleze ndoto uliyoonyeshwa kuhusu wanawake ilikuwa 2008 wakati huo na pia yeye kuwa juu sikueza kulala siku mbili navutwa niongee haya maneno kuwambia watu nilikuwa muoga sana asubui mapema jumapili saa moja nilikua church sio kawaida yangu mimi naenda saa 10.00 niko church wallahi niliona hiyo ndoto imetimia hiyo first service kulikuja wanawake wawili wageni wanajiita mitume kutoka mombasa yale mahubiri wanahubiri na nywele bandika na nguo na kucha nilishtuka kwanza nikakumbuka hiyo ndoto mahubiri ilikuwa na changamoto sana siezi eleza ni nyingi sasa ilipofika saa tatu walimaliza sasa mackenzie anakaribishwa service ya saa nne nakumbuka nimekaa kwa kona hivi mackenzie akakuja wakaimba kufungua na maombi alafu akaeleza kuwa alufuatwa jana kuhusu abc wale mitume wako hapo mackenzie akaniita sijui nilipata wapi nguvu nikasimama nikaongea kila kitu i wish wakati huo angekuwa na chanel yake watu wanione nilipomaliza kumbe nimewaudhi hao mitume akatoka mmoja kajufanya kaenda kujisaidia badaa dakika tano wapili akafuata wakaenda nyuma ya church kumbe mshirika alikuwa ana change pampers mtoto akasikia wakisema huku hatuna heshima tumekuja kuudhiwa tu wacha tuondoke wallahi walitoroka wakuaga hata kanisa lakini nilipoteza mda wangu bure kumbe mwenyezi Mungu alikuwa ananiandaa kungunduwa ukweli mimi sijawahi kuamini yesu n8 mungu ingawaje mackenzie ndio tabia yake kuhusu kuhubiri mambo yesu ni mungu mohamed alikufa yesu yuko hai but amekisa kuelewa maneno ya yesu na kuchanganya wafuasi ona sasa mke wakwanza kafa wa pili kafa wafuasi wake wmekufa sio watoto tu wengi wamekufa hara marafiki zangu kisana maana msiende hosy wacheni makazi msiombe kwa mtu kitu sasa amefika na kusema watu wote wafunge usiku na mchana mpaka watoto jamani siku arobaini tena nyikani😢😢😢 inaskitisha sana mimi sasa ni mfuasi wa bwana mtume muhamad sallallahu alahyi wassallam ni bingwa wa Quran na hadithi za mtume mkristo hawezi nishawishi hata kidogo ingawaje wazazi wangu bado wako upande mwingine lakini inshallah nawaombea nuru kutoka kwa Allah awaingoze wajue haki na kufuata watoke kwa dini potofu na haina hakika ya peponi Allah atulinde sote tufe kwa kalima tukufu ya la illaha illa Allah mohamad rasullullah amiin thuma amiin
@Sal.09 ай бұрын
HAKUNA neno 'MASIA' katika QURAN. Na pia Katika English Biblia YEYOTE, Hakuna neno 'MASIA'. Huyu Kamaa ameji TUNGIA hilo neno 'MASIA'. Labda ana mean MASAI! Tabarak AllahTeam.
@Adm9464 Жыл бұрын
Hajui kwa sababu hana andiko. Deacon mdogo ametoroka after realizing the truth.
@jumakumala1337 Жыл бұрын
Ma aasha ALLAH wasipo helema Da'awah hiyo ya mitaani , hawataelewa kabisa mpka Qiyyam ndio watajionea kwa macho , lkn ALLAH atawaongoza anaowataka
@fatimahrashid2356 Жыл бұрын
ALLAHU AKIBAR quruan iko juu zaidi haina swli utauliza ikosekane walimu wetu muko sawa nawapenda kwaajili ya Allah ❤❤
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Masha Allah twakupenda pia kwa ajili ya Allah
@aminaabdallah7702 Жыл бұрын
Wakristo someni biblia wenyewe mtajifunza mengi ndani ya biblia kuliko kumuamini bishop mchungaji au pasta Hao hasemi ukweli hivo ilivo ndani ya biblia
@NathanielNathan-m4o10 ай бұрын
Yesu alisema tukifunga tusiwe kama hypocrites,hao hutangaza wakifunga
@abdixanadyare5039 Жыл бұрын
Masha Allah sheikh salim ni vizuri sna venye unamtuliza sheikh Ali wajua sisi wasomali hatutankangi mchezo na mtu
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Subra muhimu sana
@abdullahibaris7182 Жыл бұрын
ALLAH HAFID OUR SHEIKHS INSHALLAH ❤❤❤
@Sal.0 Жыл бұрын
Deacon ame shikilia eti YESU, ata rudi kuwa OKOWA waKristo na Hali Yesu hata hawa TAMBUI 'WaKristo'! Na bado ana AMINI eti watam kimbilia Yesu atapo RUDI na wao kum POKEA, LAKINI, sikiliza YESU atawa REJECT vipi hawa WaKristo, SIKU HIYO: Matthew 7:22-23. NIV 22 Many will say to me on THAT DAY , ‘Lord, Lord, did we not PROPHESY in your name and in your name drive out DEMONS and in your name PERFORM many MIRACLES ?’ 23 Then I will tell them plainly, ‘I NEVER knew you. Away from me, you EVILDOERS !’ POLENI, WaKristo.! 😅😅 TabarakAllah Team Salim!
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Kweli kabisa! Haya WaKristo wata FUKUZWA kama Ma PANYA wakati watam kimbilia Yesu, on THAT DAY atapo RUDI ku vunja MiSALABA zotee!
@elphasseurei Жыл бұрын
Hahahahaha...mbona haujeanzia apo 21 ndio ujue ninyi hamjui kusoma bible....yesu anasema Kuna ...si Kila mtu amwambiae bwana bwana ataingia ufalme wa mbinguni.......ofwhch Kuna wenye kama ninyi waislamu mnataja jina la mungu lakini hamtmii jinsi inavyo faa bore kabis,wengine, watatumia kuponya watu kama manabii wauongo wakidai kua waliwaponya watu,Bali walikua wakitenda ivo nakujipiga kifua ama walikua wakitumia kwa kujisifia wenyewe,na ndio yesu atasema siwajui ninyi waovu.mbona akasema waovu?soma bibilia vyema ndgu na uta jua kua haujui ata kidogo,Bure kabsa. kabsa.wadanganyivu ninyi.
@zakiaanwar677 Жыл бұрын
Mabrouk Allah awjaze kila la kheri endeleeni kutangaza dini ya Allah watu wajue ukweli yesu alijua haya na akasema watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo ndio hao sasa wanafundisha watu kufunga mfungo ambao hauko na wanaofunga wamebrainwoshiwa hawajui wanafanya nini hii ni mauaji waziwazi wakristo fungueni macho shetani ni mjanja anatafuta wafuasi ka nyinyi mwende motono jihadharini dunia imeharibiwa na watu wanaosema na mabishop na mapasta na miujiza mingi ya uongo
@khadijayusuf7968 Жыл бұрын
Asalaam alaykum masheh wetu sauti hakuna
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh angalia tena iko sawa sasa
@@luluamin1388 walykum msalam warahmatullah wabarakatuh jaribu tena sasa iko sawa
@abublessings.1301 Жыл бұрын
@@salimdaawah123 bado hakuna sauti.
@mohamedhozi8110 Жыл бұрын
Maashaallah baarakallah mungu awajaze kheri..shida wakristo nikama ambae wanamaanisha vtabu viekwe kando watu watumie akili zao kwa sababu hakuna wanacho fuata ndani ya biblia
@Sai.Mo69 Жыл бұрын
Huyu Deacon ni Muongo, na ni Ka Pretender kweli! Deacon, Yesu atakapo RUDI, nyote muta FUKUZWA na ku TUKANWA , wakati mukim kimblia na "yesu, yesu"! Mbona Ma Pastor ma Ma DEACON huwa ni WAONGO?
@SultanAshah-fm7un Жыл бұрын
As'salaam Aleiykum. Sauti haipo ya-sheikh..
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh sijajua shinda iko wapi let check it please again
@josemu8708 ай бұрын
Allahamdhulla
@ahmedsido5838 Жыл бұрын
Asalamu alaikum Sauti bado sheikh wetu
@adanabdi5249 Жыл бұрын
Poa sana.
@jamilaomari2444 Жыл бұрын
MashaAllah tabarkallah!
@zainababdulrahmankarisa6273 Жыл бұрын
tony ateme tubaccoo or chaves
@zakiaanwar677 Жыл бұрын
Hakuna sauti kabisa mashekhe wetu shida wapi
@abdullahibaris7182 Жыл бұрын
MANSHALLAH ❤
@anwarsadatas01 Жыл бұрын
Ali tulia
@aishahazary4097 Жыл бұрын
Leo kidogo mitambo imesumbua huku mwanzo sauti hakuna kabis .Sikui kunakoendelea bado naangalia
@yaqubabdi9532 Жыл бұрын
Haina sound sheikh
@yabdul1782 Жыл бұрын
Aende kufanyiwa DNA test huyu mkisii😂
@ilyasadhan3914 Жыл бұрын
Sauti hakuna sheiqh
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Jaribu tena iko sawa sasa
@SalimHumud6 ай бұрын
Somo mtu akija na jazba mwambie mimi sijadiliani na mtu na jazba
@salimdaawah1236 ай бұрын
Kabisa inn shaa Allah
@zohramariga6678 Жыл бұрын
Asalamu alakumu hakunasauti
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh angalia tena please iko sawa
@Ismaelnoton2543 Жыл бұрын
Wah hakuna sauti
@hamisikassimmwatamu7949 Жыл бұрын
Sauti amna kabisa
@lampeawiya7981 Жыл бұрын
Hi video aina sauti
@yousupjabri7304 Жыл бұрын
Sheikh hakuna saut
@hassandinhoosmail6378 Жыл бұрын
Hamna Sauti kabisa
@hassandinhoosmail6378 Жыл бұрын
Iko sawa sasa 👍
@josephmuthami4710 Жыл бұрын
Kijana mlevi don't wast time na yeye
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Mungu anaweza kumuongoza na akaacha pombe akawa muisilamu mzuri sana , Allah amuongoze
@Adm9464 Жыл бұрын
Korani ni the talking and walking book. You ask you get an answer straight forward. They are more than 50 and they can’t even show Christianity is a religion or if you follow Christianity What’s the benefit.
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Hapa kimeumana wanahepa moja moja
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
Hakuna sauti
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Jaribu tena sasa iko sawa
@nubianqueen6700 Жыл бұрын
@@salimdaawah123 bado sauti hamna shekhe!
@barasasilali9600 Жыл бұрын
Asalam aleikum,leo hakuna Sauti
@salimdaawah123 Жыл бұрын
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh check again please