Рет қаралды 4,277
Mahakama Kuu imejumuisha zaidi ya rufaa-20 zilizowasilishwa kote nchini, zinazonuiwa kusitisha kubanduliwa kwa naibu rais Rigathi Gachagua. Jaji Lawrence Mugambi alisema atatoa uamuzi kuhusu iwapo ataelekeza suala hilo kwa jaji mkuu Martha Koome ili aweze kubuni jopo la majaji watakaolisikiliza na kutoa uamuzi kuambatana na maombi ya walalamishi mbalimbali. Walalamishi wengi waliiambia mahakama kwamba hatua ya bunge la kitaifa ya kumng’atua naibu rais mamlakani haikuzingatia matakwa ya wananchi.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive