Рет қаралды 23,795
waandishi wa habari jijini Nakuru chini ya muungano wao wameandamana hadi kwenye ofisi ya kamanda wa polisi wa nakuru wakitaka polisi aliyempiga risasi mwanahabari wa runinga na redio ya kameme catherine kariuki achukuliwe hatua. catherine alipigwa risasi kwenye paja alipokuwa akiandika taarifa za maandamano ya vijana wa kizazi cha genz hapo jana jijini humo. waandishi wetu maryanne nyambura na evans asiba wanafuatilia taarifa hiyo