MADALALI WAFANYA MAKONDA AVUE KOTI, AWASHUKIA KISAWASAWA

  Рет қаралды 101,226

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 285
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 9 ай бұрын
Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏
@miriamamiri641
@miriamamiri641 9 ай бұрын
Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili
@elijahnkoidela4262
@elijahnkoidela4262 8 ай бұрын
God bless you sir. My all respect to you. Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.
@BenardZephaniah
@BenardZephaniah 9 ай бұрын
Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante
@sirkomba
@sirkomba 8 ай бұрын
Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up
@hamzaabdallah8637
@hamzaabdallah8637 9 ай бұрын
Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri
@franciscojohn5751
@franciscojohn5751 9 ай бұрын
Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 8 ай бұрын
Kabisaa ❤❤❤❤
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 8 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 8 ай бұрын
Na Mama Samia kwa kumteua mhshmw Makonda.
@kibabysaid6692
@kibabysaid6692 8 ай бұрын
Ameen
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 9 ай бұрын
MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪
@HashimuHashboy-bo2wl
@HashimuHashboy-bo2wl 9 ай бұрын
Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda
@iemsunnah5517
@iemsunnah5517 9 ай бұрын
Makondaa namuona mbali saana..! GOD BLESS BROO 🙌
@barbarasara4033
@barbarasara4033 8 ай бұрын
Mbali wap?
@mswakisaid2320
@mswakisaid2320 8 ай бұрын
Mafisadi lazima wakupige vita tu. Usijali mh Pm' Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏
@shabanmramba4840
@shabanmramba4840 8 ай бұрын
Makonda ni kiongozi ambaye anatetea haki
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 9 ай бұрын
Paul CHRISTIAN makonda on top headlines
@MDUYARAMAMduyarama
@MDUYARAMAMduyarama 8 ай бұрын
Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu
@NeemaMahega-z3g
@NeemaMahega-z3g 8 ай бұрын
Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba
@bibianakiwali1969
@bibianakiwali1969 8 ай бұрын
MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA. TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.
@StewartTemu-fu4ej
@StewartTemu-fu4ej 8 ай бұрын
Safi sana nimeipenda
@wadauwasizoni
@wadauwasizoni 9 ай бұрын
Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.
@elgardgration6504
@elgardgration6504 9 ай бұрын
Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul
@joshuamaginga1499
@joshuamaginga1499 9 ай бұрын
Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu
@bennytech8483
@bennytech8483 8 ай бұрын
JESUS DO IT ❤
@ekisuka1
@ekisuka1 8 ай бұрын
Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.
@BenethRwekaza-yv1gl
@BenethRwekaza-yv1gl 8 ай бұрын
Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!
@OscarAsukenie
@OscarAsukenie 9 ай бұрын
Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.
@ElishiliaLoth
@ElishiliaLoth 9 ай бұрын
Mungu akulinde mkuu
@thedon8467
@thedon8467 8 ай бұрын
AMEEN
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 8 ай бұрын
Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni. Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.
@bibianakiwali1969
@bibianakiwali1969 8 ай бұрын
MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.
@NeemaMwangobola
@NeemaMwangobola 5 ай бұрын
Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.
@NeemaMwangobola
@NeemaMwangobola 5 ай бұрын
Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.
@dorcasdavid2247
@dorcasdavid2247 9 ай бұрын
Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.
@yessesamsom961
@yessesamsom961 8 ай бұрын
Safi sana makonda mungu akubariki na akulinde kila unapokuwa akuongezee malaika wakukuongoza na wakukulinda daima
@AlbertThadeo
@AlbertThadeo 9 ай бұрын
Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 8 ай бұрын
Nimesikia kulia Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤
@paulm.kaponda2300
@paulm.kaponda2300 8 ай бұрын
Mungu akulinde mh. Makonda.
@colkiwale4973
@colkiwale4973 9 ай бұрын
AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.
@beatricemunisi7891
@beatricemunisi7891 8 ай бұрын
Exactly 💯 powerful
@mariasafari1004
@mariasafari1004 8 ай бұрын
👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda
@mthiaspaul
@mthiaspaul 9 ай бұрын
Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.
@bharyasarbjit1187
@bharyasarbjit1187 8 ай бұрын
Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l 9 ай бұрын
MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂
@imranijuma6955
@imranijuma6955 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@emmanuelqaday6949
@emmanuelqaday6949 9 ай бұрын
Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda
@adammsenga2793
@adammsenga2793 9 ай бұрын
Big up kwake long live the clan🎉
@MansuliSelemani
@MansuliSelemani 9 ай бұрын
Nakubali piga Kaz mwenetyu
@jameswissa9981
@jameswissa9981 9 ай бұрын
Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi, Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake.. Au wampe aongoze mikoa 10 walau..
@joachimgolola62
@joachimgolola62 9 ай бұрын
Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 8 ай бұрын
Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa
@Samwelmagita-jb1so
@Samwelmagita-jb1so 8 ай бұрын
Kwel mkuu huyu ni Raisi
@Rolemodel_wa_taifa
@Rolemodel_wa_taifa 8 ай бұрын
MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI​@@sleifikhajjir262
@jamessumuni1364
@jamessumuni1364 9 ай бұрын
Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi
@nurumohamed7225
@nurumohamed7225 9 ай бұрын
Nakukubali sanaaa
@shabanmramba4840
@shabanmramba4840 8 ай бұрын
Mungu akubariki Makonda
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 9 ай бұрын
Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka
@mtambogh6843
@mtambogh6843 8 ай бұрын
Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 9 ай бұрын
Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.
@ezramartin3948
@ezramartin3948 9 ай бұрын
Uko vizuri Sana broo
@kaltumsharif9547
@kaltumsharif9547 9 ай бұрын
ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊
@RamlaMohamedy-sr1pe
@RamlaMohamedy-sr1pe Ай бұрын
Masha lla makonda.alla.akulinde sana
@PillyItuka
@PillyItuka 9 ай бұрын
Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu
@bahatimwawende5187
@bahatimwawende5187 9 ай бұрын
Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.
@juchaonline4084
@juchaonline4084 9 ай бұрын
Mweshimiwa fungua App
@OmaryKarata
@OmaryKarata 8 ай бұрын
makondà wewe mungu Akujaliee
@MudhiriMbogoli
@MudhiriMbogoli 8 ай бұрын
Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda
@paulstephen8317
@paulstephen8317 9 ай бұрын
Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.
@OscarFabian-uu3rs
@OscarFabian-uu3rs 8 ай бұрын
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 8 ай бұрын
Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.
@shammhagama2527
@shammhagama2527 9 ай бұрын
Yes JESUS DID IT
@Jean-marieNiyonzima-f3e
@Jean-marieNiyonzima-f3e 9 ай бұрын
Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka
@JuliusWerema
@JuliusWerema 4 ай бұрын
Makonda mungu azidi kukupa hekima siku Moja njoo mara ujionee kituko Cha tarime ryolya,eneo lipo tarime mahaka ya ryolya inatoa hukum Kuja tarime madarali wanakuja kubomoa mji wa m2 ambapo si kwenye eneo ambalo rilikuwa halina migogoro,
@petergembe5528
@petergembe5528 8 ай бұрын
Keep it up The Great Paul Makonda
@FrolahRimo-cm3tu
@FrolahRimo-cm3tu 9 ай бұрын
Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda
@user-to6up4hg2w
@user-to6up4hg2w 9 ай бұрын
You're the best makonda may Allah protect you ❤❤
@Boniphaceshayo5
@Boniphaceshayo5 9 ай бұрын
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
@jeremiamwakilimaji8284
@jeremiamwakilimaji8284 9 ай бұрын
MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋
@eliamanimfinanga3957
@eliamanimfinanga3957 8 ай бұрын
Mkuu hengera sana uko vizurii
@mrhekimasuleiman3884
@mrhekimasuleiman3884 9 ай бұрын
hallelujah! nilikua KZbin nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki
@methodoscar2982
@methodoscar2982 9 ай бұрын
Arusha ilioza jamaniiii
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 9 ай бұрын
Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.
@sophiamsangi9763
@sophiamsangi9763 8 ай бұрын
Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge
@godsonmolla1594
@godsonmolla1594 9 ай бұрын
May GOD Bless you Comrade!!
@mashakambugi6730
@mashakambugi6730 8 ай бұрын
Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.
@patricksebastian3593
@patricksebastian3593 8 ай бұрын
Vizuri sana mkuu, kazi njema sana
@johnkatindasa5286
@johnkatindasa5286 8 ай бұрын
God bless you Comrade🙏🙏🙏
@martinegeorge4696
@martinegeorge4696 8 ай бұрын
Makonda unauwezo wa kipekee sana songa mbele mwamba
@rehemakabogo1992
@rehemakabogo1992 8 ай бұрын
God blesss your
@martinsimtenda5990
@martinsimtenda5990 9 ай бұрын
Kazi ya Mungu itasimama
@RomwardWM
@RomwardWM 8 ай бұрын
Mkuu wa mkoa unaweza sema ni mmoja wengine wakishapewa vyeo hukaa ofisini na vikombe vya chai lakini kwake Mheshimiwa Makonda ni tofauti kabisa .
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr 8 ай бұрын
👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 8 ай бұрын
Mungu akurinde ❤❤❤
@jitabojilala6162
@jitabojilala6162 9 ай бұрын
Mungu akulinde
@mtambogh6843
@mtambogh6843 8 ай бұрын
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
@NuruIddi-x3t
@NuruIddi-x3t 9 ай бұрын
Vizur xan😊
@YamunguMuha
@YamunguMuha 9 ай бұрын
Mh.Mungu akulinde
@beatricemunisi7891
@beatricemunisi7891 8 ай бұрын
Kazi ienndelee safi Mungu akulinde
@joachimgolola62
@joachimgolola62 9 ай бұрын
Hongera ni ushujaa
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 9 ай бұрын
Mama Samia japo sikukubali Ila nakuomba umpe sabaya mkoa afanya Kazi make majizi bado Ni mengi mno
@jumarajabu862
@jumarajabu862 8 ай бұрын
Hata ali happy pia ame mkoa
@lukasielibariki3181
@lukasielibariki3181 8 ай бұрын
Sabaya ni shetani
@lukasielibariki3181
@lukasielibariki3181 8 ай бұрын
Sabaya alimteka baba yangu anataka kumuuwa watu wanataka kuandamana
@vickykwembe5842
@vickykwembe5842 8 ай бұрын
Nakukubali sana baba
@MonicaBenitomwalongo
@MonicaBenitomwalongo 9 ай бұрын
Mungu akuongezee baba makonda
@asajileraphael1951
@asajileraphael1951 9 ай бұрын
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
@linahmacha370
@linahmacha370 9 ай бұрын
Pongezi nyingi kwa mama yetu na Rais wetu mama Samia kumpa kibali huyu jembe hakika mama umeona mbali sana 🌼🌼🌼🌼
@StellaWaillu
@StellaWaillu 8 ай бұрын
May God continue to protect you in Jesus's name.
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 9 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akulinde
@kilogreek4050
@kilogreek4050 8 ай бұрын
MAKUFULI JUNIORS ❤
@bibianakiwali1969
@bibianakiwali1969 8 ай бұрын
Yeees
@mo7funny
@mo7funny 9 ай бұрын
Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba
@aaa64sa13
@aaa64sa13 9 ай бұрын
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 9 ай бұрын
​@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Soon815
@Soon815 9 ай бұрын
@@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??
@imranijuma6955
@imranijuma6955 8 ай бұрын
Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa
@deboramushi5924
@deboramushi5924 8 ай бұрын
Mungu akamlinda Mkuu wa mkoa Arusha tunakupenda sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 8 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki sanaaaa Mama Samia amecheza mchezo mzuri sanaaaa kukuteua wewe japo humo ndani ya Ccm na watendaji wa Serikali wanakuchukia sanaaaa jihadhari wasikuue kama Magufuli
@BONIFASISICHONDE
@BONIFASISICHONDE 8 ай бұрын
Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais
@amedeuskimario3104
@amedeuskimario3104 9 ай бұрын
Mkuu wilaya ya karatu kuna Don ametudhulumu shamba alilokuwa amekodi mzee wangu lakini mahakama ya wilaya ya karatu kesi inapigwa tarehe na bwanyenye mmoja wa karatu yaaani sijui tu namshukuru mwenyezi mungu wewe mheshimiwa Paul makonda kuletwa Arusha nina imani utaikomboa familia yangu pale karatu
@MageMollel-wb7ms
@MageMollel-wb7ms 8 ай бұрын
Mungu akubariki tu baba yetu makonda
🇳🇪 Niger, Débat général, 79e session | Nations Unies | Assemblée générale
15:08
Organisation des Nations Unies - ONU
Рет қаралды 77 М.
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН
人是不能做到吗?#火影忍者 #家人  #佐助
00:20
火影忍者一家
Рет қаралды 20 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Правильный подход к детям
00:18
Beatrise
Рет қаралды 11 МЛН