Wanajidai mapolisi wa dunia wamekimbia uwanja wa vita.Hizo ni mbwembwe tu..!! mmeitoa kafara Ukrein halafu mmewaacha waadhibiwe, marekani bhana...
@kungakunga95362 жыл бұрын
Kabisa wamewauza
@CalmWhiteNoise52 жыл бұрын
Polisi wadui wa wapi walikuepo vitani? Acha uongo!
@adamhashim33522 жыл бұрын
Kumbe haya majamaa ni maneno tu yanajua kuonea mwafrika na mwarabu jana rais wa ukrane ansema mmetutekeleza
@khalifasaid00472 жыл бұрын
yani kaka nacheka ninacho kiona n maneno tu .kaka emb tupe taarifa hali inaendaje huko
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Hii ripoti sio yaleo unatuekea vitu vishapita nato wamesema hawato ingia kijeshi Ukraine
@saidmkutu66582 жыл бұрын
Urus nakupenda incnlhiyangu❤️🇷🇺
@bundalamakanga7732 жыл бұрын
Sisi yetu tanzania tuitunze amani yetu
@mohamedturanardan88712 жыл бұрын
Amani ipo wapi bila ya haki?
@protaspeter53712 жыл бұрын
Marekani uingereza kumanina zao mbwembwe nyingi na kujifanya wataisaidia ukrain lkn maoga ya kutupa yapo kimkakati tu ili ukrain akipigwe yakusanye resources
@humphreylupembe78072 жыл бұрын
Hizo ni battle tu hata vita ya 2 ya Dunia ilikuwa hivihiv mwisho wa siku kutakuwa na group mbili wapo watakao muunga mokono mrusi na wapo watakao muunga mkono Ukraine kitakachofuata ni vita ya Dunia nzima
@chazy7ya2162 жыл бұрын
wamarèkani ni mbwembwetuu kuzuĺumu watu ñakuanzisha vita ili wàuze silaha raundi hii naona mwishowao unakaribia utabiri unatimia ķwakasi sana
@lucyissaya63492 жыл бұрын
Mungu awasaidie tu watu wa ukraine..tunawaombea
@hilalkhalfan14522 жыл бұрын
Mungu awasaidie warusi
@happyglorynnko6022 жыл бұрын
Mungu awasaidie warusi maana Aya yote wamechokozwa
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
KOKOTE DUNIAN,NAOMBA MUNGU AINGILIE KATI VITA HII.MUNGU ATENDE JAMBO WATU WA URUSI WAGEUKANE WAO KWA WAO .
Lativia ni nchi ndogo sana Urusi anajua namna ya kuisambaratisha
@championgm93112 жыл бұрын
Mrusi kwa nato bado mtoto tu na atakama nato wataingilia mrusi hawezi kushinda hiyo vita na yeye putin analijuwa hilo
@dkmrishokimbesa8582 жыл бұрын
Bola iwe mbwai tuu
@ndizindeleti7612 жыл бұрын
Kuna Jambo nimegundua urusi haitaki kuipig kwa craha nzito ukrein koz hao ni ndugu ila wanamtaka laisitu na washauli wake Basi pia wanaogopa raia lakini nchi zingine zitaingilia Kati bac Moto utakua mkubwa washa sema sote tutabaki majivu
@Mpakauseme2 жыл бұрын
Kwani wewe hupo Urusi na unapanga hiyo mikakati au ndio mbwembwe zenu za maneno ya kiswahili na kukuzakuza mambo kama kawaida yenu
@mwanahawabakari7182 жыл бұрын
Safi Sana 😃😄😆,mtu mbabe mwenye uonevu nae aazibiwe Safi Sana marekan
subiri urusi atume icbm kwao...kuna bom linaitwa samarti la mrusi hilo lina uwezo wa kufika marekani kwa dakika 15 ..sasa subiri kwanza...mishe zikijamba ndo kitaeleweka
@oskawilliam51942 жыл бұрын
@@salumumakombo9136 umeenda kishabiki dakk15 nying litakua limehalibiwa kabla halijafika OK ngoja tuone vita haina mjuzi marekani mwenyewe ndik bb yao
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
WOTE TUOMBE MUNGU AWAGEUZE MIOYO WALINZI WA PUTINI WAMUONDOE MADARAKANI.
@shadrackndossy81812 жыл бұрын
AAMEN
@jeromejosiah72922 жыл бұрын
Kunachafuka
@zainabuabdul78522 жыл бұрын
Latvia ni nchi ndogo sana na imepakana kidogo sana Russia mmarekani anajua km warusi wapo beralus 😆😆😆😆😆😆
@khalifasaid00472 жыл бұрын
kwhyo emb tuelezee kidg hapo kwhyo inamaana gani?
@ibrakes27192 жыл бұрын
@@khalifasaid0047 ina maana yakua kwanini asiende kupambana kyvi kuliko na mapambano yeye anaenda lactivia
@zainabuabdul78522 жыл бұрын
@@khalifasaid0047 yaan mapambano yapo Rwanda Kigali halafu yeye mmarekani yupo Sudan 😆😆😆
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
HAUJUI UNACHOKIONGEA. NYAMAZA KIMYA.
@salumumakombo91362 жыл бұрын
zainabu tuachie sii wanaume hi show wewe nenda kawashe moto tupikie ugali wa kutosha tukitoka vitani tule ...marekani wali tuulia gadafi wetu so tuna jambo nao leo
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
KAMA UNAIFURAI URUSI WEWE HAUNA HURUMA NA ROHO ZA WATU.TENA HAUNA MUNGU.
@victorvancharlz91252 жыл бұрын
We matako kwel kweli. Ina maana unaionea huruma Ukraine unasahau kua Syria nayo ni nchi na Iraq wakat inavamiwa na marekan ulikaa kimya
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
@@victorvancharlz9125 Matusi ya nini. Kama kidonda kilitokea ukaumia ukapona utafurahia kitokee tena? Maana watu ndiyo wanao teseka.
@michaelmlela7472 жыл бұрын
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
@robertmsukwa84662 жыл бұрын
Hakika watu wanaroho ngumu za kinyama unapata wapi fraha kuona watu wanauana jamani mungu atawale mataifa haya na tuwaombee tuache kuchekelea haya mambo ni kama msiba ukitokea kwa jilani ujue na ww ipo cku yatatokea mlangoni kwako
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
@@victorvancharlz9125 HUJUI UYANENAYO MUNGU AKUHURUMIE.
@christianmwasakogo55792 жыл бұрын
Mbwembwe hizi hawatamuweza kama Mrusi ana silaha za maajabu na miujiza zenye uwezo wa kupiga mpaka satellite bado masila ya ajabu yanaitwa intercontinental ballistic missiles yanafika popote Duniani
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
ACHA UJINGA WEWE UNAFAIDIKA NINI KWA HICHO ANACHOKIFANYA PUTIN
@salumumakombo91362 жыл бұрын
@@sabastianraymond.6383 lazima tuheshimiane ..mwache putin akijambishe tu huko..na ikiwezekana Urusi alushe tu lile bom lake lenye uwezo wa kulipua nusu ya dunia
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
@@salumumakombo9136 HILO BOM HALIWEZI KUFANYA KAZI.
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
ALIYETENGENEZA DUNIA NDIYE ATAWEZA KUITEKETRZA.URUS HAIKUITENGENEZA.
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
@@salumumakombo9136 Wewe utapata faida gani?
@papaamasauti59442 жыл бұрын
Amerika mara zote hapigani kwake
@salehkhamis86532 жыл бұрын
Ndio maana anajenga vituo vya kijeshi nchi za watu
@salumumakombo91362 жыл бұрын
na ndio maana urusi nae ana mabomu makubwa yenye uwezo wa kusafiri yenyewe toka urusi mpaka marekani kwa dakika 15 na kuigeuza vumbi kwa masaa ya kuhesabu....icbm linaitwa so akipiga kule na wao ndo wanalituma bom hilo kuja marekani....hicho ndicho kinacho mpa kiburi urusi...so kupigania kwa mwenzio pased away
@papaamasauti59442 жыл бұрын
@@salumumakombo9136 hii vita nilitaka USA waingie tumuone kama ni mbabe kweli ama anatuekea kelele tuu na kuzichafua nchizetu za Africa na kuwaonea nduguzetu wa kiarabu Sasa kama USA mbabe akamsaidie ukrine