Рет қаралды 2,366
Wananchi wa kata ya Kabuku wilayani Handeni mkoani Tanga wamesema kuwa hawajaridhishwa na kitendo cha Halmashauri ya Handeni vijijini kupeleka ujenzi wa makao makuu ya Wilaya ya hiyo kwenye eneo la Mkata tofauti na makubaliano ya awali ya kutenga eneo katika kata hiyo ya Kabuku.
#AzamNews #AzamTVUpdates
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► bit.ly/2wB6zmR
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz