Рет қаралды 223,828
Profesa Anna Tibaijuka akichangia kuhusu Utekelezaji wa bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2015/2016 pamoja na maoni ya kamati kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2016/2017