Wanasiasa wazuiwa kutoa semi za kisiasa kwenye mazishi ya mamake Askofu Mkuu Anthony Muheria

  Рет қаралды 39,322

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Жыл бұрын

Wanasiasa walijipata katika hali ambayo hawajazoea kwenye mazishi ya Mary Agnes Njambi, mamake Askofu Mkuu wa kanisa Katoliki Anthony Muheria na gavana wa benki kuu Dkt Patrick Njoroge huko Kandara, kaunti ya Murang'a. Wanasiasa hawakuruhusiwa kutoa semi za kisiasa kwenye mazishi hayo huku wengi wakitakiwa kuwasalimia waombolezaji na kuketi chini. Gavana wa Murang'a Irungu Kang'ata ndiye mwanasiasa wa pekee aliyeruhusiwa kuzumgumza. Familia ya marehemu ilisema hakupenda siasa mazishini na hivyo ingekwenda kinyume na matakwa yake kwa viongozi kupiga siasa kwenye mazishi yake.

Пікірлер: 31
@fab_254.
@fab_254. Жыл бұрын
I like how the Catholic Church doesn't easily dance to the tune of politicias...
@carolinemaina3362
@carolinemaina3362 Жыл бұрын
❤❤,, that's my church ,,maongezi yao hayatusaidii
@abdullahijma2073
@abdullahijma2073 Жыл бұрын
Churches should follow Moaque rules..no politics or personal speeches in mosques.
@aheudit
@aheudit Жыл бұрын
Yes. it's possible to keep this politicians at bay, just say no to them
@brownpaul8867
@brownpaul8867 Жыл бұрын
that's how it should be, siasa wapeleke kwa nyumba, kwa watoto wao na mabibi
@domino1552
@domino1552 Жыл бұрын
that the way forward we voted for them we are already tired of them wanafanye kazi
@mufush
@mufush Жыл бұрын
That's the way to go
@jameskinuthia4311
@jameskinuthia4311 Жыл бұрын
Thats the way to go..
@issakaharu2161
@issakaharu2161 Жыл бұрын
Politicians don't know where and when to politics maneres
@elijahmuimi1700
@elijahmuimi1700 Жыл бұрын
I didn't know the gorvenor and the bishop were brothers
@niyakhalid5650
@niyakhalid5650 Жыл бұрын
Naona Eugene alikua amejitayarisha kuanza siasa ya masufuria
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 Жыл бұрын
Vizuri sana
@sammkenya4222
@sammkenya4222 Жыл бұрын
I know hao watu wa Central were waiting to convert it anti Uhuru rally
@justerkaregi8044
@justerkaregi8044 Жыл бұрын
Good job wapeleke siasa kwao 😅😅😅
@najmahamso8364
@najmahamso8364 Жыл бұрын
Hiyo ni vizuri kwa sababu wamezidi waende wafanyie huko kanisani juu hakuna sheria 😂😂
@danielwamwai9414
@danielwamwai9414 Жыл бұрын
Alright
@ruthwambui6558
@ruthwambui6558 Жыл бұрын
Ya the right things should be done at the right time and the right place
@josephinesuji5900
@josephinesuji5900 Жыл бұрын
That is how it should be at every funeral; no politics
@philipgatu4408
@philipgatu4408 Жыл бұрын
The burial was in state value....ilikua poa
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂kimewaramba
| DAY BREAK | Gachagua Impeachment Claims
11:08
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 3,2 М.
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 34 МЛН
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 36 МЛН
Они так быстро убрались!
01:00
Аришнев
Рет қаралды 2 МЛН
Response to the Olympics Not Being About the Last Supper
14:15
Divine Mercy
Рет қаралды 271 М.
FULL: Kamala Harris speech at Atlanta rally | FOX 5 News
20:31
FOX 5 Atlanta
Рет қаралды 787 М.
My Mother Was A Super Hero - CBK Governor Njoroge
8:30
Uzalendo News
Рет қаралды 41 М.
A CHAT WITH FATHER CK
5:27
Father Charles Kinyua Foundation
Рет қаралды 1,9 М.
CITIZEN  T.V SULTANA ACTORS WITH THEIR SPOUSES IN REAL LIFE//
7:27
Spire E-media
Рет қаралды 284 М.
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 34 МЛН