Hongera Mama Samia. Hongera Makonda. Hapo nimeona ajira ya steji shoo. Janjaro njoo Dar ufanye shoo kubwa na hao wadudu wasio uma hiyo ni brand tayari.
@AmigoPhones5 ай бұрын
Kama umekubal alichokifanya dogo like zake apa
@HoneysfashionMkunguni-jf9wc5 ай бұрын
Punguza ushamba
@AmigoPhones5 ай бұрын
Ushamba upi wewe wa mjin et
@SwahiliAmbasador9545 ай бұрын
Najiuliza yule dogo janja wa 2015-2019 yuko wapi naomba ujumbe huu umfikie maana alikuwa mtu frani wa mfano vijana wengi walikuwa wanapata njaa ya utaftaji kutoka kwake njaa yake kwenye muziki hamasa mitandaoni safi lakin saiz sijui nini kimekupata broo hizo hit unazo perform hatuzioni siku hizi jamii bd inakuitaji pia binafsi watu wengi wanapenda mafanikio yako niwakati wako dogo janja siji kusema tena inatosha kwa ufupi tunataka hit by hit ❤❤❤🎉 Dunia nisehemu salama janjaro republic
@dallerbwoyniglo86755 ай бұрын
😂😂sa kla sku awe mfano tu asiwe swar la mtihani 😂😂😂😂😂saivi acha awe necta 😂😂😂😂
Wadudu wametoka kwenye ududu wamekuwa wabunifu big up sna
@rachelkihaka92045 ай бұрын
❤❤❤❤ nimewapenda sana maana mmechangamka sana
@mjumbewakristo86775 ай бұрын
tunao muangalia kenyonyo like hapa 😂😂
@youngmaster41275 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@Pastor18155 ай бұрын
Kenyonyo yaani
@meryamabdullah20815 ай бұрын
😅
@shamilamuhogo75425 ай бұрын
😢😢😢 Arusha jamani dah ngoja tu nicheke tena😅😅😅
@HamisiNgoli5 ай бұрын
Kenyonyo nakukubali vikali😊
@AyoubKalippessa5 ай бұрын
Kenyonyo on the top🤣🤣🤣🤣🤣
@Funnyme19615 ай бұрын
Am your biggest fan from Tanzania, nimekuwa nikifuatilia sana vipindi vyako since those days but tangu umeShift kwenda Nje cjui ndo CANADA sioni ile taste ya those days😥😥 Critical officer Rudi Home buana, but just advise vile me naona
@ReenehMasiwa5 ай бұрын
So poaaaa big up homeboe💯💯💯💯
@marymsemakweli49155 ай бұрын
Mungu akubariki mkuu wa mkoa wa Arusha mweshimiwa Makonda kwa hekima uliyoitumia kubadilisha mazingira ya hawa vijana,kwa utaratibu huu mtu aliyekuwa hafai katika jamii,waliokuwa wanaogopwa sasa unawaleta wawe watu wa kufaa na watengeneze pesa kwa njia inayokubalika katika jamii ya watanzania nadhani hata wazazi wao wamepata amani naunauonesha mji wa Arusha kuwa ni wa kitalii
@SwahiliAmbasador9545 ай бұрын
Tafadhali naomba mtu ata mmoja anifikishie ujumbe huo kwa dogo janja tafadhali media
@bbclondonulimwenguwasoka61265 ай бұрын
Good work brother
@kizaziog5 ай бұрын
Like za Kizazi og Na Kenyonyo hapa
@kissamwamunyange10185 ай бұрын
Kinyonyo😊😊😊asante Mungu Kwa ajili ya Makonda kuwaona hawa vijana. Unajua watu hawajuh tuu. MTU unaweza fanya lolote lile km unajiona huelewi lolote. Huna pesa huna hili ili mradi tuu upo upo tuu. Hawa vijana sidhani km walitaka wawe hivyo no shida. Wakaamia liwalo na liwe. Kuna watu waliwachukukia vibaya. Ona sasa kumbe destiny Yao IPO Kwa makonda. Asante Mungu wakijielewa wameshatoboa hao
@FrankRutashubanyuma5 ай бұрын
Yaani kenyoyo hapo anajiona yuko mbinguni 😂😂😂
@jumoakokumo50935 ай бұрын
😅😅😅Nimecheka sana
@jawaduisuja5 ай бұрын
I'm from kondoa irangi upuuzi mtupu TU hapo
@charlesmillinga9925 ай бұрын
Upuuzi Gabi sasa kaka hapo. Punguza hasira presha Iko jiraani relax cheka maisha ndo haya ndugu😂😂😂😂😂😂😂
@charlesmillinga9925 ай бұрын
Gonga like kama tuko pamoja ndugu❤
@sosomacharles99205 ай бұрын
Kinyonyo da!huwa ananifurahisha sana
@bajagihaji89235 ай бұрын
Kumbe hawa wadudu wapo poa sana
@AmaniNangerembe5 ай бұрын
Ila janjaro ban 🎉🎉🎉😂😂❤❤
@peninashungu66335 ай бұрын
Siku nyigine ilo jukwaaa mliweke juu mnamuumiza Waziri mkuu shingo
@siphifahashimu97235 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@diovvany-khan5 ай бұрын
jamn ambao wanawakubali wadudu kama me waonekane apa kwa kulike
@shukranitv29715 ай бұрын
Kenyonyoooo habari ya town
@halimadamasi27705 ай бұрын
❤nyumban kumenogaa❤❤❤❤
@peninashungu66335 ай бұрын
Nyimbo za dogo bado ziko na utamu miaka 10
@mkazy65505 ай бұрын
Moto Sana
@Gwenoboy5 ай бұрын
Kizazi og
@AdrianRichard-mu9jh5 ай бұрын
Janjaroooo🎉🎉🎉🎉🎉
@Kimweri_tz5 ай бұрын
Show kali
@zahoorz29155 ай бұрын
Hii nyimbo naipendag sn
@lilchampion19605 ай бұрын
Kenyoyo aka zakayo chuga international😂😂😂
@officialdinaize5 ай бұрын
Kenyonyo❤
@asteriashios18525 ай бұрын
Dah wadudu kweli bhana wadudu wa makonda duh makonda kazi unayo
@MarchadesJenius5 ай бұрын
Nakubar 👏👏👏
@rodgersmwagu2395 ай бұрын
Kenyooooo , aminia 😂😂
@AbduryNdagowe5 ай бұрын
Unawez sanaaa bob...😢😢😢😢
@edinachami43185 ай бұрын
My country Arusha😂😂😂
@Bilioneabichwa3315 ай бұрын
Namuona kenyonyo tu hapo
@asteriashios18525 ай бұрын
Ama hao ndo wadudu wenyewe wako na dogo janja
@mahmoudhamisi6735 ай бұрын
😢kweli hawa wadudu
@NeemaNchimbi-oj5fb5 ай бұрын
Makonda hapa kaz ipo
@SalumMacrine5 ай бұрын
Pigaa keleleee kwaaa kenyonyo oooo
@mcsam2545 ай бұрын
Kumbe Janja n mdudu pia…Makonda hajakosea wadudu si wahalifu ni wana Sanaa
@yomseyyomsey51145 ай бұрын
Duuuh Kwa kifupi Wameua kabisa Na Watu Wa R chuga Hakika Ni wabunifu na wanajikubali HUJAPATA KUONA Hakika Wako na vipaji Vingi Sana na wakali wa mitindo Ya Uvaaji Eeeebwana Wameua kabisa .