MR. NANA AFUNGUKA SABABU ZA KUACHANA NA DIDA "MANGE ALIMWAMBIA ANIACHE, SIJAWAHI KUWA KING'AST WAKE"

  Рет қаралды 174,038

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 391
@theresiamwandara7990
@theresiamwandara7990 8 ай бұрын
Huyu jamaa ni very humble. Yule dada kiboko
@AzaAzamhmod
@AzaAzamhmod 8 ай бұрын
He is very humble. KIJANA anakupenda. Mkorogo wadida wanatumia pamoja😂😂
@arafakiloli749
@arafakiloli749 8 ай бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
@georginapaul5013
@georginapaul5013 8 ай бұрын
Halafu hajafuta picha wala nini mwenyewe mstaarabu sana Dada Dida rudianeni jamani maisha yenyewe ndio hayahaya
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 8 ай бұрын
Maskin' mr nana anaonekana mkarimu sana na hajiskii'. Ila mchaga dah!!! Mbea sana
@salomewandya7257
@salomewandya7257 9 күн бұрын
😂😂😂😂
@HawaMuyombo
@HawaMuyombo 7 ай бұрын
Mmmm hii imeenda
@khadijayusuph9316
@khadijayusuph9316 8 ай бұрын
Dida hajion kama anazeeka naile sura yake ilivyo nzito jmn, asa yale mashavu hayaon yanavyoshuka cjui😢😢bora amrudie tu huyu kaka ni mstarabu sana
@AblahmanJuma
@AblahmanJuma 7 күн бұрын
Aya maneno yatamfikia uko alipo sio vizuri kucomet kitu kibaya pablic watoto ndugu wanasoma kwa miaka ya baadae mh
@khadijayusuph9316
@khadijayusuph9316 7 күн бұрын
@@AblahmanJuma post ina mwaka sasa ww ndo unaona leo
@maggiesaru376
@maggiesaru376 8 ай бұрын
What a fan interview, I loved it
@mwalimunyerere
@mwalimunyerere 7 ай бұрын
it's "FUN," not "FAN."
@salomewandya7257
@salomewandya7257 9 күн бұрын
😂😂😂
@TheSalma1999
@TheSalma1999 8 ай бұрын
Jamani mrudiane mlikuwa mnapendezana jamani kama shida ni wivu wivu ni sunna jamani come on
@TheSalma1999
@TheSalma1999 8 ай бұрын
Umejitoa muhanga mchanga og utachambwa mi simo
@abisinamustafa3118
@abisinamustafa3118 8 ай бұрын
Ila huyu kaka ni mkweli
@hildascorner2327
@hildascorner2327 8 ай бұрын
Kweli, hata mimi nimeona he's honest sema inaonesha mkewe anapanic na ameshajiwekea kichwani wanaume ni wabaya
@mariumseif6751
@mariumseif6751 8 ай бұрын
Kaka mstaalabu sana unaongea kwa busara huna maneno machafu kuacha au kuachwa ni jambo la kawaida Mungu atakusimamia utapata mwingine au mtaludiana na mpenzi wako dida maana hujamfua wala hujaongea kibaya Mungu akusimamie una busara sio km hao vijana wengine wangeongea uongo na kumchafua
@maryammagembe5553
@maryammagembe5553 8 ай бұрын
Dida tafuta wazee wenziyo
@MonicaMkombwe
@MonicaMkombwe 12 күн бұрын
Mh shoga angu Mr Nana kweli ni mpole sana yaani tena sasa hivi naona anaongea sana mwanzo hakuwa hivi ila mh
@TaarabChannel
@TaarabChannel 8 ай бұрын
Muje na kwangu wapenzi ❤❤❤
@sovajulius3870
@sovajulius3870 8 ай бұрын
Hivi huyu Dida hawezi akawa na moyo wa subra kidogo na Hawa viumbe?Mana kaachana na wengi hao wanaojulikana haya hao wa gizani .Mi nakwambia awe na moyo wa uvumilivu Sasa Kama kila mwanaume kwake wa Nini itakuwaje na umri umeenda?na kinaumia kiungo Cha chini
@SUZANSUZAN-fb9bh
@SUZANSUZAN-fb9bh 8 ай бұрын
Mungu akucmamie mrudiane umeongea kwa busara dida msamehe mwenzako
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx 8 ай бұрын
Pole one day mtarudiana au Mungu atakupa wa kwako.
@SalminMkwachu
@SalminMkwachu 8 ай бұрын
umeona wanaume wakiwa wanawaongelea ex wao wanavyo kua. hakuna kupanic, stress kujiliza kusema mambaya ya mwenzake nk, ila sasa upande wapili ukipewa nafasisi sasa
@MWANAIDIRULIMBIYE
@MWANAIDIRULIMBIYE 8 ай бұрын
We acha balaa zito
@JeniBosco
@JeniBosco 8 ай бұрын
Leo tumejuwa habari za wasafi zinamfikiaje
@zoab2699
@zoab2699 8 ай бұрын
Nimeipenda hiyo mm nimekosea nimeobma msamah na nime achwa. Inshallah utapata mzuri kama ww Itakuja rizki yako mta penda mpaka kuzikana inshallah udikonde utapata wa saizi yako hao wa kuchati ju yakucha kope ju ya kope nywele ju ya nywele allah akuepushe nao inshallah 🤲
@mariumseif6751
@mariumseif6751 8 ай бұрын
Kuombana msamaha ni kawaida Kwa wapenzi.watu wore wanawachana na wanaombana msamaha na wanaludiana Mdogo wangu dida msamehe mwenzio angekua hakupendi asingekuomba hata huo msamaha na angekuchafua SI unakua wanaume walivyo. Ila huyo kaongea ukweri na kama wasingemuita kwenye intaview angeumia moyoni tu .ushauri wangu mludiane tu hatuna wapenzi wasiogombana shida ni Kwa kuwa ny'inyi mamboyenu lazima yawe mtandaoni kaka ana busara sana.kaa utulie sio Kila siku ndoa mpya km Bugat au madebe wewe ni mwanamke uwe na uvumilivu pia punguza wivu Hawa wenzetu hawatosheki na mwanamke mmoja hata awe markia
@azorindege2556
@azorindege2556 8 ай бұрын
Mwana kaongea vzr sana
@moureennasrah5327
@moureennasrah5327 7 ай бұрын
Yana yuko so cool jamaa
@sophrinaassey3330
@sophrinaassey3330 10 күн бұрын
I loved the interview... Nana is a good guy... Nimemwona hata baada ya Dida kufariki alikuwa hawezi kuacha mwili wake ... Msikitini amesimama anaangalia huku haamini... I hope walikuwa wamepatana kabla hajafariki😢😢
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 10 күн бұрын
Amerecodiwa akiwa ametoa anamuimbia Marehem Dida analia mpaka anashindwa kuimba ,So sad wallah kufiwa usikie tu 😢
@SeverinoLuis-j1h
@SeverinoLuis-j1h 10 күн бұрын
Inamana alikua mlinzi
@pauloegbert515
@pauloegbert515 7 ай бұрын
Mnapenda mdondo sana
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 8 ай бұрын
Wasaniii Wasaniìi hawawagi wanadumu hatta Yani Na vile vishindo vya Dida hapana 😂Ma ex njooni huku mskie😂😂😂
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 8 ай бұрын
Kucha juu ya kucha kope juu ya kope nywele juu ya nywele OGOPAAAA🙌🏼😂😂😂😂
@FatmaSaid-j9o
@FatmaSaid-j9o 8 ай бұрын
😅😅😂
@sophiekindem9071
@sophiekindem9071 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@HussenManengelo
@HussenManengelo 8 ай бұрын
Akutukanaye akuchangulii tusi du noma sana
@HafsaShayo-iv5xh
@HafsaShayo-iv5xh 8 ай бұрын
Eti tikiti maji hufai kuliwa wala kutengenezewa juice😂😂😂😂mchaga jumatatu umeisha
@witnesrobson
@witnesrobson 8 ай бұрын
Kaka yangu umeongea point
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 8 ай бұрын
Dida tulia ushakuwa bibi hawa vijana watakuua kuna mwenzio umri kama wako alijifanya anajua mapenzi kutembea na vijana wadogo mwisho wa siku akaanza kuumwa uchungu hata mimba hana umri huo ndg yangu na vijana hawa marioo utaweza kweli mfano akuombe style ya popo kanyea mbingu au mama samia kauza bandari utaweza dida heka heka waachie vijana
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 8 ай бұрын
Jamani waja mnamambo 😅
@rehemafeysali4444
@rehemafeysali4444 8 ай бұрын
Kumbe watu mnasili nyie 🤣 stail ya mama samia kauza bandari nyie mbona Hamsemi🤣
@tajiertaj5956
@tajiertaj5956 8 ай бұрын
😂😂😂popokaneyea mbingu Samia kauza bandari😂😂😂
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
​ WAN MAMBO SN ETI MAM SAMIA KAUZA BANDARI😅😅
@allahisone6386
@allahisone6386 8 ай бұрын
​ HATAREEE
@veveveve5517
@veveveve5517 8 ай бұрын
Mr nana mungu yiko na wewe haowa dada wa tanzanie wana pepo wana hitaji maombi
@rahymaaa4357
@rahymaaa4357 8 ай бұрын
Muhimu aliomba msamaha muhimu alimuheshimu muhim hajaongea baya kinachonishangaza Huyo Patna WA mchaga og huyo Dada sjaelewa alichoshare apo amekaa kucheka tu na kuguna
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 8 ай бұрын
Me nilikuwa sijui kama penzi limekufa haki Leo ndio nimejuwa🤣🤣🤣
@صالحالصوافي-غ5و
@صالحالصوافي-غ5و 8 ай бұрын
Mbwembwe zote zire🤣🤣🤣🤣🤣
@NusraAbas
@NusraAbas 8 ай бұрын
Hata mimi😂😂
@nicksonink4921
@nicksonink4921 8 ай бұрын
Huyo manka kwenye interview kavaa jordan ngapi..? Hiyo😂😂😂😂😂😂
@nurumohammed1310
@nurumohammed1310 9 күн бұрын
Huyu jamaa handsome boy jmn
@zulphaadam4671
@zulphaadam4671 8 ай бұрын
Uyuu kak anarafudh nzur❤
@mohammedmahrez2681
@mohammedmahrez2681 8 ай бұрын
Lafudhi*
@LovelyCoastline-il1lr
@LovelyCoastline-il1lr 8 ай бұрын
Zanzibar iyo
@JaphethMalaba
@JaphethMalaba 8 ай бұрын
Huyu mwamba sio mzanzibar, Huyu ni mpare aliekulia Tanga
@AkimuMovie-rt3rp
@AkimuMovie-rt3rp 8 ай бұрын
Sema mwamba Ako na Confidence ya kuongea👏👏👏👏
@mamaabduly
@mamaabduly 8 ай бұрын
SIRI ZA WASAFI... LEO KAPATIKANA KIDEGEPOSTA ANAEPELEKA HABARI APUNI
@amelyewiliammgeni2690
@amelyewiliammgeni2690 10 күн бұрын
❤❤
@DayanaRwekiza
@DayanaRwekiza 8 ай бұрын
Hahahahah mchagaaaaa...... jmn dad yetu Dida mlipendezana wenyew
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 8 ай бұрын
D alikuchoka bwana Mr Nana maisha ya endelea
@mrishomabrouk1646
@mrishomabrouk1646 8 ай бұрын
Huyu dida nikiwa nae mimi hawezi kuachana na mimi!!
@Shammy-d1e
@Shammy-d1e 8 ай бұрын
Atakuwa amechoka kumlea jamani maisha magunu jamaniiii uwiiii
@LucySemenye
@LucySemenye 8 ай бұрын
Waja mna mambo
@salomewandya7257
@salomewandya7257 8 ай бұрын
Duh maskn huzuni 😢😢
@janethngowi1058
@janethngowi1058 8 ай бұрын
c kwa sugu hizo jamani!
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 ай бұрын
Aibu naona mimi
@MoshiTindwa
@MoshiTindwa 8 ай бұрын
Dida kwa Ili litakutoa roho kwa majigambo yako subiri chakubimbi Sasa utaama jiji
@Lulualshagri
@Lulualshagri 8 ай бұрын
Kaka jikubali tu ww ni handsome achana na mkorogo baadae utakuja kukuharibu
@nyabahailani3169
@nyabahailani3169 8 ай бұрын
Dida naye hio kitu imepitia malori mengi poo kwanza mzee sasahivi hebu tulia sasa hio ninino siitakua inaimba haleluya jamani😅 puu pwee
@jamilajamal1584
@jamilajamal1584 8 ай бұрын
Kwa hiyo majibu yote yapo kwenye new song😂😂😂😂
@jenjoseph7270
@jenjoseph7270 8 ай бұрын
pole kaka
@StarMerinyo
@StarMerinyo 8 ай бұрын
Mbona kijana yukonpowa Ila dida Ana matatzo kila mwanaume kwake nikutoka na kuachana 😂😂😂
@triceyanga
@triceyanga 8 ай бұрын
sema kaila usivae tena vinjunga unakua km popo bawa😂
@joycekaguo8476
@joycekaguo8476 8 ай бұрын
😅😅
@hinduabushiri4216
@hinduabushiri4216 8 ай бұрын
Kaka amemwagwa mwa😂😂
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 8 ай бұрын
Bongo mahusiano nayo imekuwa kama mchezo😮😮😮😮😮
@ywydhhd7941
@ywydhhd7941 8 ай бұрын
😂😂😂na nyie mnayobandka wanawake juu ya mwanamke, nyie mnabandka nn? 😅
@higra-i5w
@higra-i5w 8 ай бұрын
Mr nana anaoneka anampenda sana dida ila dida mmmh nimtihani
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha😂😂😂
@Yness-vh4yy
@Yness-vh4yy 8 ай бұрын
Washabwagana hahahaa huyo ndo Dida!
@happynescostat7420
@happynescostat7420 8 ай бұрын
Acha ambwage, wanaume mmetuchosha) dida kiboko)
@RajabuSafu
@RajabuSafu 8 ай бұрын
Mmmh makubwa polen Sana
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 5 ай бұрын
Watu wanatafuta wakukaa nao,kubadilishana nao mawazo,wengine wanawapga take, Mungu huyuuu🏃🏃🏃🏃🏃
@KibyStarTz
@KibyStarTz 8 ай бұрын
Mchaga og ni og kweli nakubali
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 8 ай бұрын
Nimecheka hii kauli ya mwanamke kubandika kucha juu ya kucha hashindwi pia kubandika mwanaume juu ya mwanaume
@PhinaGeorge-o5m
@PhinaGeorge-o5m 8 ай бұрын
Umeonaa
@Shadia544
@Shadia544 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂Nimejua kucheka duuh dida atawachamba sana tuu lakini dida hatulie tuu na mapenzi 😂
@hamzaqaacm1869
@hamzaqaacm1869 8 ай бұрын
Muhimu umesha jipigia sana😂😂
@sarapy3163
@sarapy3163 8 ай бұрын
😂😂
@kisubikilozo6128
@kisubikilozo6128 8 ай бұрын
That fine dida ukipata coment Yangu please nicheki maswali mengi Kumbe nawe unaitaji maswali mm raa Tanzania games is fun
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 8 ай бұрын
Ukilewa usichat #Tx dulla
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 8 ай бұрын
Jamaa ni mpole sana na nimuelewa,Dida mrudie mshikaji.
@salomewandya7257
@salomewandya7257 8 ай бұрын
Mmmh jmn shikamoo mapenzi 😢😢
@luciafabiannjuu1988
@luciafabiannjuu1988 8 ай бұрын
Ila wanaume wanaojichubua wasiogopwe sio?
@sundaysHassan
@sundaysHassan 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kucha juu ya kucha kope juu ya kope 😂😂😂
@annasumawe
@annasumawe 8 ай бұрын
Malaya huyu Kama nni khoooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂au tuseme unavyotongoza ovyo ovyo na kutongoza enyewe unatongoza kizaman maneno kibao 😊😊😊😊😊😊na kipind upo na dida unatongoza madem hatar na kulala nao 😂😂😂😂😂😂
@pillyolsen6346
@pillyolsen6346 8 ай бұрын
Shikamoo mapenzi
@angelalyimo2862
@angelalyimo2862 8 ай бұрын
Mhh D mambo yaliopita jamani penzi limekufa hivi
@estherwilliam3758
@estherwilliam3758 8 ай бұрын
Mlipendezeana sana jamani rudianeni basi. Nyiye basi😊
@worldoman4563
@worldoman4563 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mchaga mbavu zangu😂😂😂
@zennahmtoto1867
@zennahmtoto1867 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂Mr nana kanichekesha 😂
@rosehaule6765
@rosehaule6765 8 ай бұрын
Mmh Mara hii weee aiwezekani si kwa.penzi.lile tamu
@ashulaAlly-m8h
@ashulaAlly-m8h 8 ай бұрын
❤❤😦😦❤️
@aminaasia-jl8fk
@aminaasia-jl8fk 8 ай бұрын
Kunacoment mojaimenichekesha kweli sasa uchungu uo wakujifungua au
@HidayaKivyy
@HidayaKivyy 8 ай бұрын
Bado anampenda dable d
@KAHINDITV
@KAHINDITV 8 ай бұрын
Hapo kwenye bituni hapo hebu tuweke sawa jina adimu hilo 😂😂😂😂
@husseinkhamis3475
@husseinkhamis3475 8 ай бұрын
Mwamba Bora Hilo jimama limekuacha Afa ufala we unastahili kuwa na mademu wakali kama kina mobetooo huko , nimependa tuu umeongea kiume, hao ndio Sisi wanaume Maana Dida kama angekuwa anajiona heee angeacha hata kubwabwaja mitandaoni Akajambe huko
@peninashungu6633
@peninashungu6633 8 ай бұрын
Leo ndo nasikilizia mtakavyochambwa😮😅
@nureyna629
@nureyna629 8 ай бұрын
😂😂😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 9 күн бұрын
😂😂😂😂
@Shammy-d1e
@Shammy-d1e 8 ай бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄eti ulaya😂😂😂Ulaya ya Nairobi
@bibiejuma5094
@bibiejuma5094 8 ай бұрын
Kaka mkweli huyu
@ekiliangoliga644
@ekiliangoliga644 8 ай бұрын
Huyu kaka hizo story za jinsia moja huenda sio uongo namuonaga maeneo ya ubungo sehem moja inaitwa best point mmh kaakaa yake, uvaaji wa vikaptula vyake vile mmh dada Mange hata hujakosea.
@MuphdathFarid
@MuphdathFarid 8 ай бұрын
Shemeji yetu umefanana na dada amberlulu kidogo
@sophiakimaro5174
@sophiakimaro5174 8 ай бұрын
Kama majibu yapo kwenye new song hii ni kik.
@jumaalmasjuma1700
@jumaalmasjuma1700 8 ай бұрын
Mapenzi ya mitandaoni huisha mitandaoni
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 8 ай бұрын
Hivi dida uba matatizo gani kwa nini hudumugi na wanaume au unaaleji yakukaa na wanaume mda mrefu
@hazimamohammed1340
@hazimamohammed1340 8 ай бұрын
Ana alejiii ya kukaa na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminamzuri9933
@aminamzuri9933 8 ай бұрын
Huyu kaka anampenda dida
@vero57
@vero57 8 ай бұрын
Mie naangalia vidole tuu hapo😂😂😂
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 6 ай бұрын
Dida awezikuka na mwanaume ni dangaaa suguuu dida
@allymatilda7519
@allymatilda7519 8 ай бұрын
Huyu demu jaman anavaaje jamani aibu naona mimi
@praygodarmstrong7670
@praygodarmstrong7670 8 ай бұрын
I think kipindi ni kizuri ila lighting inahitaji maboresho.
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 9 күн бұрын
Mbona waume wa Dida wote wanafanana fanana
@erickmakwena
@erickmakwena 8 ай бұрын
Kumbe kuna style ya popo kanyea mbigu na mama samia kazuia bandar😂😂😂😂😂😂😂😂
@aishaaisha4549
@aishaaisha4549 8 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@Pedeshee01
@Pedeshee01 8 ай бұрын
@@aishaaisha4549njoo tuijaribu
@Ummukuruthum-m1m
@Ummukuruthum-m1m 8 ай бұрын
Jmn akichambwa mnitag 😂😂😂mchaga og utacharazwa bakora
@taurehassan7399
@taurehassan7399 8 ай бұрын
Ww unajishtukia ili dida asikuseme,hpo unajidefend kisiasa tumekuelewa
@isaacbywell7081
@isaacbywell7081 8 ай бұрын
@mr-nana africa, hv umeachana na Nuru?? Km umeachana naye Mungu atakuona umetoka mbali sana na yule dada wa watu hadi leo unajulikana
@Kabeya410
@Kabeya410 8 ай бұрын
We mtangazaji wakike hamjielewi upo kazini unavaa kipensi kama upo beach au upo ndani na bwana wako miguu yenyewe kama njiti za fagio paja huna kimbau mbau huoni aibu jisitiri mtoto wa kike upo kazini watu wengi wanaangalia kipindi yaani kijana mwenzio wa kiume kapendeza kajisitiri hivi nyie wanawake mmerogwa na nani
@julianamaganga4803
@julianamaganga4803 8 ай бұрын
Aliyeturoga kafa
@Kabeya410
@Kabeya410 8 ай бұрын
@@julianamaganga4803 😂kweli ila tunaelezana ukweli jitahidini kujissitiri dini zote zinakataza kukaa uchi unamuona mama yake yesu alikua anajisitiri sasa nyie mmepata wapi kuvaa viguo vifupi tena kazini mnatangaza nini
@Shayy97
@Shayy97 8 ай бұрын
Mama yangu kila siku anasemag hvyo wakaka wanajistiri kimbembe sisi wadada
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,9 МЛН
Миллионер | 2 - серия
16:04
Million Show
Рет қаралды 1,5 МЛН
MR NANA -AMKA ( Official Video )
3:44
MR NANA AFRICA
Рет қаралды 101 М.
Бенчик, пора купаться! 🛁 #бенчик #арти #симбочка
00:34
Симбочка Пимпочка
Рет қаралды 3,2 МЛН