He is very humble. KIJANA anakupenda. Mkorogo wadida wanatumia pamoja😂😂
@arafakiloli7498 ай бұрын
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
@georginapaul50138 ай бұрын
Halafu hajafuta picha wala nini mwenyewe mstaarabu sana Dada Dida rudianeni jamani maisha yenyewe ndio hayahaya
@SalamaNauthar8 ай бұрын
Maskin' mr nana anaonekana mkarimu sana na hajiskii'. Ila mchaga dah!!! Mbea sana
@salomewandya72579 күн бұрын
😂😂😂😂
@HawaMuyombo7 ай бұрын
Mmmm hii imeenda
@khadijayusuph93168 ай бұрын
Dida hajion kama anazeeka naile sura yake ilivyo nzito jmn, asa yale mashavu hayaon yanavyoshuka cjui😢😢bora amrudie tu huyu kaka ni mstarabu sana
@AblahmanJuma7 күн бұрын
Aya maneno yatamfikia uko alipo sio vizuri kucomet kitu kibaya pablic watoto ndugu wanasoma kwa miaka ya baadae mh
@khadijayusuph93167 күн бұрын
@@AblahmanJuma post ina mwaka sasa ww ndo unaona leo
@maggiesaru3768 ай бұрын
What a fan interview, I loved it
@mwalimunyerere7 ай бұрын
it's "FUN," not "FAN."
@salomewandya72579 күн бұрын
😂😂😂
@TheSalma19998 ай бұрын
Jamani mrudiane mlikuwa mnapendezana jamani kama shida ni wivu wivu ni sunna jamani come on
@TheSalma19998 ай бұрын
Umejitoa muhanga mchanga og utachambwa mi simo
@abisinamustafa31188 ай бұрын
Ila huyu kaka ni mkweli
@hildascorner23278 ай бұрын
Kweli, hata mimi nimeona he's honest sema inaonesha mkewe anapanic na ameshajiwekea kichwani wanaume ni wabaya
@mariumseif67518 ай бұрын
Kaka mstaalabu sana unaongea kwa busara huna maneno machafu kuacha au kuachwa ni jambo la kawaida Mungu atakusimamia utapata mwingine au mtaludiana na mpenzi wako dida maana hujamfua wala hujaongea kibaya Mungu akusimamie una busara sio km hao vijana wengine wangeongea uongo na kumchafua
@maryammagembe55538 ай бұрын
Dida tafuta wazee wenziyo
@MonicaMkombwe12 күн бұрын
Mh shoga angu Mr Nana kweli ni mpole sana yaani tena sasa hivi naona anaongea sana mwanzo hakuwa hivi ila mh
@TaarabChannel8 ай бұрын
Muje na kwangu wapenzi ❤❤❤
@sovajulius38708 ай бұрын
Hivi huyu Dida hawezi akawa na moyo wa subra kidogo na Hawa viumbe?Mana kaachana na wengi hao wanaojulikana haya hao wa gizani .Mi nakwambia awe na moyo wa uvumilivu Sasa Kama kila mwanaume kwake wa Nini itakuwaje na umri umeenda?na kinaumia kiungo Cha chini
@SUZANSUZAN-fb9bh8 ай бұрын
Mungu akucmamie mrudiane umeongea kwa busara dida msamehe mwenzako
@BeullahBujah-lk3sx8 ай бұрын
Pole one day mtarudiana au Mungu atakupa wa kwako.
@SalminMkwachu8 ай бұрын
umeona wanaume wakiwa wanawaongelea ex wao wanavyo kua. hakuna kupanic, stress kujiliza kusema mambaya ya mwenzake nk, ila sasa upande wapili ukipewa nafasisi sasa
@MWANAIDIRULIMBIYE8 ай бұрын
We acha balaa zito
@JeniBosco8 ай бұрын
Leo tumejuwa habari za wasafi zinamfikiaje
@zoab26998 ай бұрын
Nimeipenda hiyo mm nimekosea nimeobma msamah na nime achwa. Inshallah utapata mzuri kama ww Itakuja rizki yako mta penda mpaka kuzikana inshallah udikonde utapata wa saizi yako hao wa kuchati ju yakucha kope ju ya kope nywele ju ya nywele allah akuepushe nao inshallah 🤲
@mariumseif67518 ай бұрын
Kuombana msamaha ni kawaida Kwa wapenzi.watu wore wanawachana na wanaombana msamaha na wanaludiana Mdogo wangu dida msamehe mwenzio angekua hakupendi asingekuomba hata huo msamaha na angekuchafua SI unakua wanaume walivyo. Ila huyo kaongea ukweri na kama wasingemuita kwenye intaview angeumia moyoni tu .ushauri wangu mludiane tu hatuna wapenzi wasiogombana shida ni Kwa kuwa ny'inyi mamboyenu lazima yawe mtandaoni kaka ana busara sana.kaa utulie sio Kila siku ndoa mpya km Bugat au madebe wewe ni mwanamke uwe na uvumilivu pia punguza wivu Hawa wenzetu hawatosheki na mwanamke mmoja hata awe markia
@azorindege25568 ай бұрын
Mwana kaongea vzr sana
@moureennasrah53277 ай бұрын
Yana yuko so cool jamaa
@sophrinaassey333010 күн бұрын
I loved the interview... Nana is a good guy... Nimemwona hata baada ya Dida kufariki alikuwa hawezi kuacha mwili wake ... Msikitini amesimama anaangalia huku haamini... I hope walikuwa wamepatana kabla hajafariki😢😢
@fettyrashid904210 күн бұрын
Amerecodiwa akiwa ametoa anamuimbia Marehem Dida analia mpaka anashindwa kuimba ,So sad wallah kufiwa usikie tu 😢
@SeverinoLuis-j1h10 күн бұрын
Inamana alikua mlinzi
@pauloegbert5157 ай бұрын
Mnapenda mdondo sana
@SuleimanKhdija8 ай бұрын
Wasaniii Wasaniìi hawawagi wanadumu hatta Yani Na vile vishindo vya Dida hapana 😂Ma ex njooni huku mskie😂😂😂
@ritapiusnicolaus70688 ай бұрын
Kucha juu ya kucha kope juu ya kope nywele juu ya nywele OGOPAAAA🙌🏼😂😂😂😂
@FatmaSaid-j9o8 ай бұрын
😅😅😂
@sophiekindem90718 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@HussenManengelo8 ай бұрын
Akutukanaye akuchangulii tusi du noma sana
@HafsaShayo-iv5xh8 ай бұрын
Eti tikiti maji hufai kuliwa wala kutengenezewa juice😂😂😂😂mchaga jumatatu umeisha
@witnesrobson8 ай бұрын
Kaka yangu umeongea point
@agnesjohn93828 ай бұрын
Dida tulia ushakuwa bibi hawa vijana watakuua kuna mwenzio umri kama wako alijifanya anajua mapenzi kutembea na vijana wadogo mwisho wa siku akaanza kuumwa uchungu hata mimba hana umri huo ndg yangu na vijana hawa marioo utaweza kweli mfano akuombe style ya popo kanyea mbingu au mama samia kauza bandari utaweza dida heka heka waachie vijana
@fettyrashid90428 ай бұрын
Jamani waja mnamambo 😅
@rehemafeysali44448 ай бұрын
Kumbe watu mnasili nyie 🤣 stail ya mama samia kauza bandari nyie mbona Hamsemi🤣
@tajiertaj59568 ай бұрын
😂😂😂popokaneyea mbingu Samia kauza bandari😂😂😂
@allahisone63868 ай бұрын
WAN MAMBO SN ETI MAM SAMIA KAUZA BANDARI😅😅
@allahisone63868 ай бұрын
HATAREEE
@veveveve55178 ай бұрын
Mr nana mungu yiko na wewe haowa dada wa tanzanie wana pepo wana hitaji maombi
@rahymaaa43578 ай бұрын
Muhimu aliomba msamaha muhimu alimuheshimu muhim hajaongea baya kinachonishangaza Huyo Patna WA mchaga og huyo Dada sjaelewa alichoshare apo amekaa kucheka tu na kuguna
@rafiaahmad1688 ай бұрын
Me nilikuwa sijui kama penzi limekufa haki Leo ndio nimejuwa🤣🤣🤣
@صالحالصوافي-غ5و8 ай бұрын
Mbwembwe zote zire🤣🤣🤣🤣🤣
@NusraAbas8 ай бұрын
Hata mimi😂😂
@nicksonink49218 ай бұрын
Huyo manka kwenye interview kavaa jordan ngapi..? Hiyo😂😂😂😂😂😂
@nurumohammed13109 күн бұрын
Huyu jamaa handsome boy jmn
@zulphaadam46718 ай бұрын
Uyuu kak anarafudh nzur❤
@mohammedmahrez26818 ай бұрын
Lafudhi*
@LovelyCoastline-il1lr8 ай бұрын
Zanzibar iyo
@JaphethMalaba8 ай бұрын
Huyu mwamba sio mzanzibar, Huyu ni mpare aliekulia Tanga
@AkimuMovie-rt3rp8 ай бұрын
Sema mwamba Ako na Confidence ya kuongea👏👏👏👏
@mamaabduly8 ай бұрын
SIRI ZA WASAFI... LEO KAPATIKANA KIDEGEPOSTA ANAEPELEKA HABARI APUNI
@amelyewiliammgeni269010 күн бұрын
❤❤
@DayanaRwekiza8 ай бұрын
Hahahahah mchagaaaaa...... jmn dad yetu Dida mlipendezana wenyew
@angelalyimo28628 ай бұрын
D alikuchoka bwana Mr Nana maisha ya endelea
@mrishomabrouk16468 ай бұрын
Huyu dida nikiwa nae mimi hawezi kuachana na mimi!!
@Shammy-d1e8 ай бұрын
Atakuwa amechoka kumlea jamani maisha magunu jamaniiii uwiiii
@LucySemenye8 ай бұрын
Waja mna mambo
@salomewandya72578 ай бұрын
Duh maskn huzuni 😢😢
@janethngowi10588 ай бұрын
c kwa sugu hizo jamani!
@najmasalim-rg6ow8 ай бұрын
Aibu naona mimi
@MoshiTindwa8 ай бұрын
Dida kwa Ili litakutoa roho kwa majigambo yako subiri chakubimbi Sasa utaama jiji
@Lulualshagri8 ай бұрын
Kaka jikubali tu ww ni handsome achana na mkorogo baadae utakuja kukuharibu
@nyabahailani31698 ай бұрын
Dida naye hio kitu imepitia malori mengi poo kwanza mzee sasahivi hebu tulia sasa hio ninino siitakua inaimba haleluya jamani😅 puu pwee
@jamilajamal15848 ай бұрын
Kwa hiyo majibu yote yapo kwenye new song😂😂😂😂
@jenjoseph72708 ай бұрын
pole kaka
@StarMerinyo8 ай бұрын
Mbona kijana yukonpowa Ila dida Ana matatzo kila mwanaume kwake nikutoka na kuachana 😂😂😂
@triceyanga8 ай бұрын
sema kaila usivae tena vinjunga unakua km popo bawa😂
@joycekaguo84768 ай бұрын
😅😅
@hinduabushiri42168 ай бұрын
Kaka amemwagwa mwa😂😂
@kekiplus1andonly8 ай бұрын
Bongo mahusiano nayo imekuwa kama mchezo😮😮😮😮😮
@ywydhhd79418 ай бұрын
😂😂😂na nyie mnayobandka wanawake juu ya mwanamke, nyie mnabandka nn? 😅
@higra-i5w8 ай бұрын
Mr nana anaoneka anampenda sana dida ila dida mmmh nimtihani
@hellendaniel38098 ай бұрын
😂😂😂😂😂nywele juu ya nywele,kucha juu ya kucha😂😂😂
@Yness-vh4yy8 ай бұрын
Washabwagana hahahaa huyo ndo Dida!
@happynescostat74208 ай бұрын
Acha ambwage, wanaume mmetuchosha) dida kiboko)
@RajabuSafu8 ай бұрын
Mmmh makubwa polen Sana
@sarahkinyashi62135 ай бұрын
Watu wanatafuta wakukaa nao,kubadilishana nao mawazo,wengine wanawapga take, Mungu huyuuu🏃🏃🏃🏃🏃
@KibyStarTz8 ай бұрын
Mchaga og ni og kweli nakubali
@maryamtanzania97438 ай бұрын
Nimecheka hii kauli ya mwanamke kubandika kucha juu ya kucha hashindwi pia kubandika mwanaume juu ya mwanaume
@PhinaGeorge-o5m8 ай бұрын
Umeonaa
@Shadia5448 ай бұрын
😂😂😂😂😂Nimejua kucheka duuh dida atawachamba sana tuu lakini dida hatulie tuu na mapenzi 😂
@hamzaqaacm18698 ай бұрын
Muhimu umesha jipigia sana😂😂
@sarapy31638 ай бұрын
😂😂
@kisubikilozo61288 ай бұрын
That fine dida ukipata coment Yangu please nicheki maswali mengi Kumbe nawe unaitaji maswali mm raa Tanzania games is fun
@Shokolokobango93858 ай бұрын
Ukilewa usichat #Tx dulla
@chisongastephen72998 ай бұрын
Jamaa ni mpole sana na nimuelewa,Dida mrudie mshikaji.
@salomewandya72578 ай бұрын
Mmmh jmn shikamoo mapenzi 😢😢
@luciafabiannjuu19888 ай бұрын
Ila wanaume wanaojichubua wasiogopwe sio?
@sundaysHassan8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂kucha juu ya kucha kope juu ya kope 😂😂😂
@annasumawe8 ай бұрын
Malaya huyu Kama nni khoooooo 😂😂😂😂😂😂😂😂au tuseme unavyotongoza ovyo ovyo na kutongoza enyewe unatongoza kizaman maneno kibao 😊😊😊😊😊😊na kipind upo na dida unatongoza madem hatar na kulala nao 😂😂😂😂😂😂
@pillyolsen63468 ай бұрын
Shikamoo mapenzi
@angelalyimo28628 ай бұрын
Mhh D mambo yaliopita jamani penzi limekufa hivi
@estherwilliam37588 ай бұрын
Mlipendezeana sana jamani rudianeni basi. Nyiye basi😊
@worldoman45638 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mchaga mbavu zangu😂😂😂
@zennahmtoto18678 ай бұрын
😂😂😂😂😂Mr nana kanichekesha 😂
@rosehaule67658 ай бұрын
Mmh Mara hii weee aiwezekani si kwa.penzi.lile tamu
@ashulaAlly-m8h8 ай бұрын
❤❤😦😦❤️
@aminaasia-jl8fk8 ай бұрын
Kunacoment mojaimenichekesha kweli sasa uchungu uo wakujifungua au
@HidayaKivyy8 ай бұрын
Bado anampenda dable d
@KAHINDITV8 ай бұрын
Hapo kwenye bituni hapo hebu tuweke sawa jina adimu hilo 😂😂😂😂
@husseinkhamis34758 ай бұрын
Mwamba Bora Hilo jimama limekuacha Afa ufala we unastahili kuwa na mademu wakali kama kina mobetooo huko , nimependa tuu umeongea kiume, hao ndio Sisi wanaume Maana Dida kama angekuwa anajiona heee angeacha hata kubwabwaja mitandaoni Akajambe huko
@peninashungu66338 ай бұрын
Leo ndo nasikilizia mtakavyochambwa😮😅
@nureyna6298 ай бұрын
😂😂😂
@salomewandya72579 күн бұрын
😂😂😂😂
@Shammy-d1e8 ай бұрын
🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄eti ulaya😂😂😂Ulaya ya Nairobi
@bibiejuma50948 ай бұрын
Kaka mkweli huyu
@ekiliangoliga6448 ай бұрын
Huyu kaka hizo story za jinsia moja huenda sio uongo namuonaga maeneo ya ubungo sehem moja inaitwa best point mmh kaakaa yake, uvaaji wa vikaptula vyake vile mmh dada Mange hata hujakosea.
@MuphdathFarid8 ай бұрын
Shemeji yetu umefanana na dada amberlulu kidogo
@sophiakimaro51748 ай бұрын
Kama majibu yapo kwenye new song hii ni kik.
@jumaalmasjuma17008 ай бұрын
Mapenzi ya mitandaoni huisha mitandaoni
@maryamtanzania97438 ай бұрын
Hivi dida uba matatizo gani kwa nini hudumugi na wanaume au unaaleji yakukaa na wanaume mda mrefu
@hazimamohammed13408 ай бұрын
Ana alejiii ya kukaa na wanaume 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimechekaaaa sanaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@aminamzuri99338 ай бұрын
Huyu kaka anampenda dida
@vero578 ай бұрын
Mie naangalia vidole tuu hapo😂😂😂
@BonaBonala-bp5qm6 ай бұрын
Dida awezikuka na mwanaume ni dangaaa suguuu dida
@allymatilda75198 ай бұрын
Huyu demu jaman anavaaje jamani aibu naona mimi
@praygodarmstrong76708 ай бұрын
I think kipindi ni kizuri ila lighting inahitaji maboresho.
@MohamedIbrahim-bn1gz9 күн бұрын
Mbona waume wa Dida wote wanafanana fanana
@erickmakwena8 ай бұрын
Kumbe kuna style ya popo kanyea mbigu na mama samia kazuia bandar😂😂😂😂😂😂😂😂
@aishaaisha45498 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@Pedeshee018 ай бұрын
@@aishaaisha4549njoo tuijaribu
@Ummukuruthum-m1m8 ай бұрын
Jmn akichambwa mnitag 😂😂😂mchaga og utacharazwa bakora
@taurehassan73998 ай бұрын
Ww unajishtukia ili dida asikuseme,hpo unajidefend kisiasa tumekuelewa
@isaacbywell70818 ай бұрын
@mr-nana africa, hv umeachana na Nuru?? Km umeachana naye Mungu atakuona umetoka mbali sana na yule dada wa watu hadi leo unajulikana
@Kabeya4108 ай бұрын
We mtangazaji wakike hamjielewi upo kazini unavaa kipensi kama upo beach au upo ndani na bwana wako miguu yenyewe kama njiti za fagio paja huna kimbau mbau huoni aibu jisitiri mtoto wa kike upo kazini watu wengi wanaangalia kipindi yaani kijana mwenzio wa kiume kapendeza kajisitiri hivi nyie wanawake mmerogwa na nani
@julianamaganga48038 ай бұрын
Aliyeturoga kafa
@Kabeya4108 ай бұрын
@@julianamaganga4803 😂kweli ila tunaelezana ukweli jitahidini kujissitiri dini zote zinakataza kukaa uchi unamuona mama yake yesu alikua anajisitiri sasa nyie mmepata wapi kuvaa viguo vifupi tena kazini mnatangaza nini
@Shayy978 ай бұрын
Mama yangu kila siku anasemag hvyo wakaka wanajistiri kimbembe sisi wadada