Apambane manala Ila mm siamini kama manala anaipenda yanga
@nassertemba58692 ай бұрын
Kwa usemaji na propaganda za mpira hapa nchini hakuna kama haji
@michaelthobias99672 ай бұрын
Arudi Simba yanga tuna vijana na timu nzri
@amanijampion30452 ай бұрын
Ninyi wachambuzi hamna uelewa au hamja ifanyia utafiti idara ya habari na mawasiliano inatakiwa iweje. Inawezekana kukawa na 1. Mkurugenzi wa mawasiliano 2. Msemaji wa club 3. Mkuu wa protocol na matukio 4. Mkuu wa ubunifu na sanaa N.K Ko hapo watu kwenye idara wanahitajika wengi ila bajeti za idara na vilabu ndio kikwazo
@antonykomba66312 ай бұрын
Kwenye maisha kumbuka chochote ambacho unakifanya yupo mwingine ambaye Mungu atamuinua na kuifanya pia
@husseinkonz51922 ай бұрын
Aache uropokaj ndio maana katolewa nafas hyo
@michaelthobias99672 ай бұрын
Mimi manara hastahili kuwa yanga mana yupo kwa masirahi ya ghalibu sio yanga huyu ni mwehu kama alitutukana Kila tusi siwezi kukunjuwa asepe kitengo Cha habari kinahitaji vijana kama kamwe sio Hawa wazee miaka 50
Jitahidini mmboreshee io mic 🎤 moja mbovu inadondoka ovyooo😅
@rachelsamwel53592 ай бұрын
Nyie watangazaji ni wambea tena wambea maswali yote hayo ya nini anaweza akafanya kazi yoyote acheni umbea
@AhmedMohamed-zj8hi2 ай бұрын
Majukumu yake itakuwa ni mbwembwe kutembelea mgongo nk...😅😅😅
@GueritoBilnass2 ай бұрын
ukweli rais WA yanga bwana hersi hakutenda haki kuongelea jambo hapo amemkosea Haji kwanza jambo hilo lingeongelewa hivo sio vizuri hata hivo asisau ipo siku itamfika sababu timu sio yake
@michaelthobias99672 ай бұрын
Yule ni raisi wa yanga lazima aseme wazi na ana haki kutowa tahatuku hivi haji alivyo waita mazuzi wajinga Kila matusi aliwatukana yanga alikuwa anawatukana chumbani sikia yanga hawana hitajio la haji huyo hji ni mfanya kazi wa gsm
@MwenyekitKitongojiDullahmgogoz2 ай бұрын
Manara tulia wwee ni simba bwana
@rachelsamwel53592 ай бұрын
Maulid acha umbea
@halimamasai22342 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣 lakini ulikua Simba
@ahmedalsaadi71082 ай бұрын
Siku alofanya manara press mi nilijua tu kakurupuka maana viongozi wote walikuwa sauz ye akakusanya wazee akawalisha akaita waandishi akajitangaza tafrani
@salimobeid14702 ай бұрын
Ninasema hivi manara anamchango mkubwa sana kwa timu yanga hio basi apewe hishima yake kwa club na hasa kwa nyakati hizi yanga wanavyojisogelea mafanikio makubwa bafani Africa kumpoteza haji italeta mashaka makubwa kwa jicho la Tatu nasema hivi tuangalieni nafasi kutokana na hadhi yake alokua nayo na si makelele ya watu wasiojua uongozi na mafanikio ya club
@djumakonki19642 ай бұрын
Sababu ya kufungiwa Haji Manara sasa iko wazi. Haji Manara anatisha kutokana na historia yake binafsi na historia ya wazazi wake ambao walikuwa wachezaji Maarufu kwenye klabu ya yanga. ukweli ni kwamba kikulacho kiko nguoni mwako.
@michaelthobias99672 ай бұрын
Sio kweli Hana lamaana yanga ni yanga na haji ni Simba hakuna kikulacho sisi sio mazuzu heris yupo sahihi GSM ampeleke akatangaze vitanda sio yanga katutusi Kila aina ya matusi akwendeee
@KhalfanShaban-ne5vg2 ай бұрын
KUMBE NYINYI NI WANAFQI KWA MIAKA MIWILI ALIOFUNGIWA HAJI NDIO IONYESHE KITU ALICHONACHO HAJI ANAZIDIWA NA KAMWE?
@johnmichaellukindo212 ай бұрын
Haji mbona una nongwa 😂
@bakarimkumbo50772 ай бұрын
Umri unachangia pia Kwa sababu Kuna code za maneno Huwezi kuzitumia kadiri unavyozidi kukua
@hassanmwallimu57672 ай бұрын
Hawa coastal union taarifa wanatoa kwa wazee au kwa viongozi maana sielewi msemaji anaposema wazee yaani kuna taarifa inapelekwa kwa wazee na viongozi that’s shame and error katika industry ya football in Tanzania
@alexanderfute45592 ай бұрын
Who is wazeeee
@millitarybattalion75152 ай бұрын
Mbona yeye haachi umeneja wa wachezaji?
@halimamasai22342 ай бұрын
Ukweli ni kwamba Manara kashushwa 🤣🤣🤣🤣
@Zack_lamar2 ай бұрын
Watu woote wako na Ali kamwe hakuna mtu atataka kamwe atoke hapo meaning of professionalism ni Ali Shaban Kamwe
@yasinnyange62332 ай бұрын
Acheni yenu, Mropokaji mnampamba mpambapamba tu Kwanza huyo sio Yanga Aende kwenye timu yake