BIBI ATUHUMIWA KUISHI NA MSUKULE WA KIZUNGU/UKWELI WOTE HUU HAPA

  Рет қаралды 1,120,989

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 1 300
@victoriamkilya928
@victoriamkilya928 3 жыл бұрын
Mapenzi ya mama ni makubwa mnooo! Mama Mungu akupe uhai mrefu na akubariki uzee wako uwe na furaha! Nakuelewa sana!😭
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
Wanamuonea donge bibi anawatoto wa kizungu bibi masha Allah unawatoto wazuri
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 жыл бұрын
Umeona ee
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
@@سعيدهعلي-ف5ك yah
@سعيدهعلي-ف5ك
@سعيدهعلي-ف5ك 3 жыл бұрын
@@manasadunia3458 masha llah ana watoto wazuri
@lidyahaule5343
@lidyahaule5343 3 жыл бұрын
Amina
@manasadunia3458
@manasadunia3458 3 жыл бұрын
@@سعيدهعلي-ف5ك Masha allah
@calvinloveambroce842
@calvinloveambroce842 3 жыл бұрын
Watanzania tuna shida kubwa sana ,,tunaacha kupambana na serikali inatuongezea makodi kila siku tunaanza kufuatilia maisha ya watu
@alinassor6956
@alinassor6956 2 жыл бұрын
Kwahakika ounayo yasema niukweli binadamu hafikiri yale yanayo mpasa afadhali washuhulikie nakazi zitakazo wasaidia maesha hata kazi ya mama nitile nikazi badala ya kukaa namawazo yakishetwani
@marthakibona
@marthakibona 7 ай бұрын
Kwelikabisa
@Ibuhkadugulu
@Ibuhkadugulu 7 ай бұрын
Hahaha kukuta ww
@walaaabdallah3236
@walaaabdallah3236 3 жыл бұрын
Pole sana bibi kwa changamoto na mitihani ya maisha 😭 Masikini ya mungu mpaka unaitwa mchawi, bora ahame iloeneo awezi kukaa kwa Amani
@athumanihamisi5415
@athumanihamisi5415 3 жыл бұрын
Polesana Bibi
@athumanihamisi5415
@athumanihamisi5415 3 жыл бұрын
Waliokuita mchawi nibinadamu hawajakamilika wasamehe maishayaendelee sahau yaliopita
@sephramadhani4780
@sephramadhani4780 2 жыл бұрын
Bei I Think
@sephramadhani4780
@sephramadhani4780 2 жыл бұрын
Bei I Think It Is aa and construction of a good aa
@wegorokibajiro9098
@wegorokibajiro9098 3 жыл бұрын
Pole bibi Mungu akusimamie na wananchi kabla ya kujaji ulizeni kwanza
@ramadhanimbwana1763
@ramadhanimbwana1763 3 жыл бұрын
Mungu shahidi hii kitu kimeniuma huyu bibi namjua alishawahi kuishi kigamboni. Hana hatia. Mungu tusamehe ila sisi binadamu Daaahhh. Sema imeniuma sana sana tuuu
@İsrafilTuncer
@İsrafilTuncer 8 ай бұрын
Pore mama yangu kwamajukum yakiduniya yatapita mngu yupo pamoja na wewe atapona mwanao wanao sema nimusukure nawao siwao hawarijuwi waritedaro 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@circus2578
@circus2578 3 жыл бұрын
May Allah give you strength and longlife too,he's there for you he will protect your family Mama,Good luck Inshallah 🌹🤲♥️❤️♥️
@hassansaid2614
@hassansaid2614 3 жыл бұрын
Wadau wenye uwezo msaidieni hyu mama na vijana wake, Mungu atawalipa Insha'Allah
@christopherkanyalakc8941
@christopherkanyalakc8941 3 жыл бұрын
Mama bora God bless you 🙏
@amosbigirimana5469
@amosbigirimana5469 6 ай бұрын
Tunaliliya kuishi myaka mingi ayo ndiyo matokeyo yakuishi myaka mingi.ukiwa mzee utakutana na mithani mingi saana.mungu atupe mwisho mwema
@zulfahamissi4725
@zulfahamissi4725 3 жыл бұрын
Ila tusilaumu sana yy kuitwa mchawi pengine mungu alipanga iwe hivi ili aweze kupata msaada
@junaidybwanamkuu3175
@junaidybwanamkuu3175 3 жыл бұрын
Ni kweli Allah ndo mjuzi wa kilajambo na allh ndo mpangaji wa ridhiki atajua skupe vp ridhiki
@patrickherman1906
@patrickherman1906 3 жыл бұрын
kweli kila jambo lina sababu ila nimeumia sana
@elinorahmwadime1454
@elinorahmwadime1454 3 жыл бұрын
Mipango ya Mungu soo Kama ya wanadamu
@choggyslyymrisho5931
@choggyslyymrisho5931 3 жыл бұрын
ni kweli
@sharfahamiss8172
@sharfahamiss8172 3 жыл бұрын
Bibi yuko vizur aachwe huru
@RehemaMlila-yt8hd
@RehemaMlila-yt8hd 6 ай бұрын
Mwenyezi mungu amjaaliye na amjalie pia apate wajukuu wa kizungu insha allah
@nusuranusura4688
@nusuranusura4688 3 жыл бұрын
Maashaallah , mama alipata wazungu wake mwenyewe. Kazaa wanae wazuri. Ila.mtihani ummkuta, kijana ana stress anamtaka baba yake
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 3 жыл бұрын
Awatafute mtt akitaka baba mpeleke
@goodhelpnolland6792
@goodhelpnolland6792 2 жыл бұрын
Pole sana Bibi watanzania tuache mihemko Jambo hamlijui kiundani mnakurupuka acheni Imani za kichawi fanyeni kazi
@hajikishuwa1078
@hajikishuwa1078 3 жыл бұрын
Toto baya zuri kwa mama ye muheshimu sana mama ungali yupo hai 🙏
@bornifacecharles9555
@bornifacecharles9555 3 жыл бұрын
Kweli jamaa hakika
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Duh bibi ana zali eeeeh,anipe namba ya mganga wake,watoto sita wa kizungu na kila mmoja na baba ake🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 3 жыл бұрын
Bibi alidangaaa
@laurarose1521
@laurarose1521 3 жыл бұрын
Huyu bbi...nyakati zake alikua wa moto sana
@upendolema9809
@upendolema9809 3 жыл бұрын
Sasa zali wakati wote walimtelekeza???🤣🤣🤣
@yeyothegreat8277
@yeyothegreat8277 3 жыл бұрын
Hahahahahahah
@aminasaidi7096
@aminasaidi7096 3 жыл бұрын
Keki plus umenifurahisha😁😁😁
@hamadiselemani1110
@hamadiselemani1110 3 жыл бұрын
Pole Bibi sisi tulioachwa Na baba zetu wa nchi za nnje tunaishi Kwa shidaaa sana Kwa kukosa malezi ya baba,mungu atulinde tu Ameen,
@reginasawe3356
@reginasawe3356 3 жыл бұрын
😔😔pole
@dainesszuber7404
@dainesszuber7404 5 ай бұрын
Pole sana mama hata mimi nikizeeka nitaambiwa mchawi kizazi cha sasahivi ukizeeka sana unaambiwa mchawi pole sana mama angu
@mercypeter162
@mercypeter162 3 жыл бұрын
Pole sana mama walimwengu wanapenda kuhukumu polee. Wasamehe hawajui walitendalo. MUNGU akufanyie wepesi na Mzungu wetu apone
@leamajaliwa3076
@leamajaliwa3076 3 жыл бұрын
Subhanaallah binadamu tunamambo iko siku nasisi umri ukisogea tutaitwa wachawi
@momatv2019
@momatv2019 3 жыл бұрын
Ni kweli wajina
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 жыл бұрын
Shida hino ipo huku bongo tuuu. Mithiani wallahi
@lidyahaule5343
@lidyahaule5343 3 жыл бұрын
Kabisa
@annastaziamichael6344
@annastaziamichael6344 3 жыл бұрын
Yaan mpaka nimetoa machozi binadamu jamani kaah
@fridageorge2809
@fridageorge2809 3 жыл бұрын
Yaani Mungu atusaidie wamama na watoto wetu!
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Bibi 🙏🏾
@Miriam760ful
@Miriam760ful 3 жыл бұрын
Pole mama pole mama yangu..umeniliza ....mwenyeezi Mungu akusaidia ...nawapenda sana
@joycechunga400
@joycechunga400 3 жыл бұрын
Muda mwingine mama zetu wanaaivishwa lengo tu kututetea sisi watoto,weka namba zako za simu tukuchangie wengine tumeguswa na haya yaliyo kukuta mama
@rajabadriano9741
@rajabadriano9741 3 жыл бұрын
Daah polen xana wanafamilia yote ni chngmoto za maisha tuu pole Bibi mwnyezi mungu anajua nn lakkulipa
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
Pole sana mama Mungu akufanyie wepesi
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 3 жыл бұрын
Watanzania tunapenda sana kuzuliana mambo yahovyo
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 3 жыл бұрын
My dear sema baadhi ya Watanzania hawana akili timamu.
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 3 жыл бұрын
Walivyojazana na Corona hii
@turibamweali8661
@turibamweali8661 3 жыл бұрын
Muzungu=muskule? Ni mtu kama wengine kama ni mzungu na wenu anaweza kuwa mugonjwa
@rechorichard6140
@rechorichard6140 3 жыл бұрын
Kwelii kabisaa
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 3 жыл бұрын
Yani Watanzania Mungu atukumbuke tumezidi kwa unafiki
@davidmwombeki5633
@davidmwombeki5633 3 жыл бұрын
Jamani mm mama huyo namjua sana siyo mchawi kabisa namjua alishi kigboni maeneo ya Tungi na huyo Dadaye mwenye Asili ya kizungu namjuwa ni Watu wema sana sana
@loveelooh1964
@loveelooh1964 3 жыл бұрын
Huyo mzungu kabisa Hana mixed muangalie vizuri
@leonjuly8242
@leonjuly8242 3 жыл бұрын
Damn,story kama hii najiweka mwenyewe af nawaza nipate shida haki mamaangu hawez niacha kabisa.!Pole mama nimekuelewa vzur sana
@paschalntambiwe3120
@paschalntambiwe3120 2 жыл бұрын
Nisawa
@younginspired3899
@younginspired3899 3 жыл бұрын
Omg, kama huyu bibi anayosema nikweli watu wamuombe huyo bibi msamaha haraka sana 😭
@polytarimo324
@polytarimo324 3 жыл бұрын
Kweli mimi mwenyewe imeniuma
@shekhamohammed416
@shekhamohammed416 3 жыл бұрын
Yeah maskini
@marianamontoedi2333
@marianamontoedi2333 3 жыл бұрын
Nani kama mama
@mapenzikatana9990
@mapenzikatana9990 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@okelloowino7577
@okelloowino7577 3 жыл бұрын
Sana na ikiwezekana bibi akashtaki kwa kuzalilishwa ila sishangai manake ukimjuwa mchawi lazima unawanga nea this was so bad I wish ningekuwepo hapo karibu nimfinze huyu bibi hatua yakuchuwa kwa uzalilishaji huuu manake yangekuwa mengine kama srkali haingeingilia meneno hiii
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 3 жыл бұрын
SubhanAllh jamani watu tusipende kuongea vitu ambavyo hauna uhakika navyo sio vizuli kabisa yani pole sana bibi kwa changamoto unazo pitia
@aguerowakujidai6509
@aguerowakujidai6509 3 жыл бұрын
Dotto mambo
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU
@aminaibrahim4148
@aminaibrahim4148 3 жыл бұрын
Subhhana Allah jamani tuacheni kuzua hiyo sio vizur masikini bibi bora uhame 😢😢
@abdirizakhtuke2882
@abdirizakhtuke2882 3 жыл бұрын
Wabongo wana imani chafu, jamii ya kishenzi sana. Uchawi ndio mnawaza tu.
@hamidbhos8297
@hamidbhos8297 3 жыл бұрын
Omba yasikukute tu
@akibahshabani9589
@akibahshabani9589 3 жыл бұрын
Kabisaaa
@rehemahayongo4159
@rehemahayongo4159 3 жыл бұрын
Ndio mana watazidi kua maskini
@jeniffermageto8952
@jeniffermageto8952 3 жыл бұрын
Kudhiirisha ujinga ambao unaleta umaskini,,watu waende kazi
@joventmushwaimi3681
@joventmushwaimi3681 2 жыл бұрын
Ni akili ya mtu maskini ndo inawaza hivi
@silyvya2408
@silyvya2408 3 жыл бұрын
Pole Bibi Mungu akupe nguvu pamoja na yote wewe NI mpambanaji
@drrelaxation6911
@drrelaxation6911 3 жыл бұрын
Mzungu alichukua rafiki wa bibi akasepa. Hao wote wanae. Na si mzee kihivyo. Ni maisha tu jamani.
@aishayahya1856
@aishayahya1856 6 ай бұрын
Wabongo hatari
@sarahmwaluko2480
@sarahmwaluko2480 3 жыл бұрын
Pole sana Mama yangu jamani Mungu azidi kukupigania Ubarikiwe sana nimejisikia uchungu sana
@personcriticalthinking7162
@personcriticalthinking7162 3 жыл бұрын
Acheni umang'aa aki mtto wake. Angalieni mama mwenye mnamuuliza maswali jameni.
@safariautoservice7032
@safariautoservice7032 3 жыл бұрын
Bibi usikate tamaa. Mungu yupo nanyi. Nasi tupo ili tusaidiane. MUNGU akinijalia mimi nitakuja kuwaona. Tutaongea mawili matatu. Na Baba Mtoto kama bado yupo mimi nakuwahidi. Nitamutafuta najuwa shida ya kutokuwa na Baba.
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 3 жыл бұрын
Ila watanzanua jamani mbona ukiwaangalia tu unaona wanafanana jamani!!!!MSUKULE!!!! kha
@AdethaAdroph
@AdethaAdroph 6 ай бұрын
Pole bibi mungu akupe maisha malef akuepushe na maneno wanadm
@alykhan9054
@alykhan9054 3 жыл бұрын
Kizzo all the way from Moro bibiii Hana shidaaa huyoooo kashasema mwanaeee
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU.
@dottocharles1636
@dottocharles1636 3 жыл бұрын
Kabisa lazima mama amlinde mwanae .uchungu wa means aujuae mzazi
@furahinidaudi7851
@furahinidaudi7851 3 жыл бұрын
Pole Mama Mungu akufariji...
@mottomajidshipande8237
@mottomajidshipande8237 3 жыл бұрын
Pole bib!wananch tuache kutuhumu Mambo pasipo ku chunguza
@lulujumanne7623
@lulujumanne7623 3 жыл бұрын
Mm jamani msukule gani msafi hiv
@julithamlay4558
@julithamlay4558 3 жыл бұрын
Hongera Sana mama yangu. Endelea kumuomba Mungu atakusaidia
@ghatititus7136
@ghatititus7136 3 жыл бұрын
Yaani wabongo wakiamka asubuhi badala awaze atapataje riziki anawaza wapi apate tukio asambaze umbea,ee Mungu tufundishe kunyamaza hasa kwa yasiyotuhusu.
@ameniameni617
@ameniameni617 3 жыл бұрын
Waswahili kazi Yao kubwa uongo ndio tatizo tunakufa masikini kisa kufatilia maisha ya watu pasipo kujua chanzo cha matatizo aliweza kumlea tangu Mdogo akumuua pole mama nimapito Mungu atakusaidia
@zulfahamissi4725
@zulfahamissi4725 3 жыл бұрын
Subhanallah muombeni radhi huyu bibi acheni fikra potofu. Oneni nahawo wa2 walivyo jazana utafikiri kuna maonyesho
@athumanihamisi5415
@athumanihamisi5415 3 жыл бұрын
Musmzalilishe bb siovizuri
@genovevakilawe3018
@genovevakilawe3018 3 жыл бұрын
Hongera bibi Mungu akupe neema zaidi uweze kumtunza
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 3 жыл бұрын
Wabongo nimewavulia kofia wallah 🙌🙌
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 3 жыл бұрын
Mungu ni mwema wasamehe bule bibi Mungu atakulipia
@victoriasfamilytalkandcoun6016
@victoriasfamilytalkandcoun6016 3 жыл бұрын
This is shocking! Some people's mindsets are messed up! No empathy! What has gone wrong with today's society? This is wicked!this mother is trying big time she's old and worn out and she needs support but too bad the same people who should be helping out are the ones crucifying her. Shame on the society !
@yusuphswai6851
@yusuphswai6851 3 жыл бұрын
Umasikin mbaya sana kila tatizo utapewa wew Ila niumasikini tu bibi pole sana mungu atakusaidia
@samuelwange7643
@samuelwange7643 3 жыл бұрын
Watanzania nakuhisihisi watu....ndomana mkonyuma sikuzote
@stellamongi8811
@stellamongi8811 3 жыл бұрын
Uyu mama ninoma watoto wote tutawapeleka ubalozin
@dhaharanijongo9700
@dhaharanijongo9700 3 жыл бұрын
we upo kwhyo
@zuhurazuhura6336
@zuhurazuhura6336 3 жыл бұрын
Wamuombee msamahaa uyo Bibi da!
@abramo08
@abramo08 3 жыл бұрын
Asante mchaga og kwakuwa karibu na jamii.
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Huyu mama anaitaji kusaidiwa kwakweli bona binadamu tuko hivi bona wanamtia huyu mama aibu tu mungu anawaona.
@keamikel1913
@keamikel1913 3 жыл бұрын
Majitu ambayo hayana kazi ndo kazi yao kuzushia watu uongo. Pole sana bibi
@zunirasalim7660
@zunirasalim7660 3 жыл бұрын
Bibi kazaa watoto wazuri masha allah
@salim02tv24
@salim02tv24 3 жыл бұрын
Kama nyieee apoo mlivyo wazuri 😘
@zunirasalim7660
@zunirasalim7660 3 жыл бұрын
Asantee
@eliaminishembazi6804
@eliaminishembazi6804 3 жыл бұрын
Daaah pole.sana bibi yangu MUNGU akulinde sana.hao wanao sema wewe mchawi wanaimani za kishilikina
@eliaminishembazi6804
@eliaminishembazi6804 3 жыл бұрын
Lutindi napafahau hospital ya vichaa ipo Tanga
@younginspired3899
@younginspired3899 3 жыл бұрын
Hongera sana mchaga OG for this coverage..
@omariiddi1254
@omariiddi1254 3 жыл бұрын
...
@AMI-ip1lx
@AMI-ip1lx 3 жыл бұрын
Tz Mnaamini Ushirikina Nyie Mpaka Mnakera Akheeeeeeeeh Kuwa na Imani Chafu Chafu
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 3 жыл бұрын
Watamuharibia hata biashara watu waogope kula unga wake wa muhogo acheni wivu wabongo ndo maana mnachelewa kupata maendeleo 😭😭😭😭😭😭
@elliottrahema
@elliottrahema 3 жыл бұрын
Pole sana mama mwenyezi mungu atakulipa binadamu hawana we ma
@manuelarene2645
@manuelarene2645 3 жыл бұрын
Aki watu wadaku 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sasa hapo kukirushwa boom 💣💥... Pole bibi kwa majukumu 🙏🏾
@winifridakasibu2900
@winifridakasibu2900 3 жыл бұрын
Ivi watu mkoje mnakosa kazi?
@nipolive..2745
@nipolive..2745 3 жыл бұрын
Pole sana mama masikini hana anacho milliki. Hata mwehu nae wanata wakupokonye
@aaa64sa13
@aaa64sa13 3 жыл бұрын
Watanzani wakti mwengine tuna fanya mambo ya ajabu sana. Sasa Bibi maskini shida yake ipo wapi. Tuwache kumzulia mtu kabla ya Uhakika. Bibi nakuombea Allah atakusaidia InshaAllah. 🙏
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
🚮🚮
@beatricemboya5771
@beatricemboya5771 3 жыл бұрын
Mungu amtie nguvu, watu hata awakumbuki korona a
@reginaphillipo8758
@reginaphillipo8758 4 ай бұрын
Mungu anapima imani ya binadam kumshusha ili ampandishe juu ubarikiwe sana bibi
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 жыл бұрын
Pore sana mama yangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@righton19
@righton19 3 жыл бұрын
Roho imeniuma huyu Bibi nahis anaonewa
@selector728
@selector728 3 жыл бұрын
Pole sio pore🚮
@wardasaid3269
@wardasaid3269 3 жыл бұрын
Kakosea bb huo cyo utaratibu wa kumsaidia haki haijatendeka huwezi kumfungia binadam kwa miaka yoote
@zulfahalily6095
@zulfahalily6095 3 жыл бұрын
@@wardasaid3269 sasa ulitaka afanyeje na Ni mfanya biashara angekua anamuachia Nan naatatizo la akili
@doricelihumbo4696
@doricelihumbo4696 3 жыл бұрын
Nimekosa uwezo wa Ela tu ningempa bbi jmn anajua kupambana Sana💪💪💪💪
@karamanazareno1556
@karamanazareno1556 3 жыл бұрын
bibi mshitakie Mungu t
@Taurus80.70
@Taurus80.70 3 жыл бұрын
Pole sana bibi tunapia hivo tu na! watoto wa kizungu
@jameskayanda1702
@jameskayanda1702 3 жыл бұрын
Daah mungu nisamehe, nishamuhisi huyu Bibi, mambo mabaya, napole Bibi yangu mungu atakusaidia, usichoke kwenda kwenye maombi
@rehemadavid2680
@rehemadavid2680 3 жыл бұрын
Mungu akusimamie bibi pole sana
@munaamohd2260
@munaamohd2260 3 жыл бұрын
Mkaka mzuri jmny allah amponye Inshaallah
@binrashid8671
@binrashid8671 3 жыл бұрын
Amin Allah ampone ajalie àje awe mumeo kama hujaolewa
@faizaomary2036
@faizaomary2036 3 жыл бұрын
Pole mamangu mungu atakustiri na hutadhalilika
@elizabethsjoberg5734
@elizabethsjoberg5734 3 жыл бұрын
Watanzania wenzangu tumsaidie huyu kijana ili apate sehemu ya kuishi na matibabu 😭
@zainabmbarak1043
@zainabmbarak1043 3 жыл бұрын
Atafutiwe baba ake akatibiwe kwao bibi hana uwezo
@adijaniyonkuru9731
@adijaniyonkuru9731 3 жыл бұрын
Kabisa
@lidyahaule5343
@lidyahaule5343 3 жыл бұрын
Huyo ni binadamu mwenzetu ana hitaji mmsada
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 3 жыл бұрын
Bibi alikua ahojiwe vzr aseme uyo baba Raia wawapi iliifuatiliwe ubalozini anaweza kupatikana baba yao kama bado yupo hai
@kitengegaston6946
@kitengegaston6946 3 жыл бұрын
acheni ivo alafu kama baba yake ayupo
@kangaieddie5797
@kangaieddie5797 2 жыл бұрын
The sister is right mama aende ubalozini watafte baba huyu kijana kasongwa na mawazo maisha ya Africa ukiwa mzungu ni ngumu mno
@Adeen.1
@Adeen.1 3 жыл бұрын
Daaaah masikini mshikaji handsome kabisa
@majidabas3843
@majidabas3843 3 жыл бұрын
MAJITU YA DAR ES SALAAM MAPUMBAVU PUMBAVU MALIMBUKENI HAYAFANYI KAZI UNAFIKI TUU HAYANA LOLOTE UONGO UONGO TUUUU. BIBI HUYO NI MPAMBANAJI(MTAFUTAJI) INSHALLAH ALLAH ATAMSAIDIA MAZUSHI ZUSHI
@edwardphillipkimaro3598
@edwardphillipkimaro3598 3 жыл бұрын
Huyo sio msukule huyo ni Mama yake kweli na mshikaji anaitwa Robert tumesoma naye Mafinga Iringa 1999-2000 ndio akaondoka.
@annethmungure8936
@annethmungure8936 3 жыл бұрын
Kumbe
@ebraniacosmosy2072
@ebraniacosmosy2072 3 жыл бұрын
Wabongo tunakurupuka sn ndio mana tunadungwa sindano ovyo.
@tasokwamichael2433
@tasokwamichael2433 3 жыл бұрын
Mafinga shule gani?
@hawahabibu661
@hawahabibu661 3 жыл бұрын
Maskini wee bibi wa watu wanamuonea kwan ni lazma mtu mtoto wako ufanane nae
@kibalabibisha6778
@kibalabibisha6778 3 жыл бұрын
@@ebraniacosmosy2072😭🇰🇪
@annamapunda431
@annamapunda431 3 жыл бұрын
Watanzania tunapenda umbea kuliko chakula hii yote ni kutokuwa na kazi na maisha magumu tunazushazusha tu
@lydianasambuwanjala8849
@lydianasambuwanjala8849 3 жыл бұрын
Surely, wee wa kuleta Habari ya uongo, pole bibi tu Sana,, wanaume waaaaa 😭😭😭😭😭
@mariamufungo9619
@mariamufungo9619 3 жыл бұрын
Jamani jamani tusiwalaum sana majirani kwani kukosa hao majirani hata sisi tusengejua kuwa bibi hapo zamani alikuwa akigawa jimbo kwa wazungu..na pia hayo yote tusingeyajua.
@zulfahalily6095
@zulfahalily6095 3 жыл бұрын
@@mariamufungo9619 usiseme ayo maneno monz ujui kesho yako .....mzee alikua anajarib pengine atapata wa kumtuza na familia yake ila wote wakawa mtihan n kumuomba Mungu tu
@mokohratino9052
@mokohratino9052 3 жыл бұрын
Jmni uyu mkka nlimjuaga mda nadda ake mzung ilamda Sana tukawa atuwaongi kumbe waliama jmni duu🙏🙏🙏 pole mma wawtu yanamkuta mazito
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 3 жыл бұрын
Pole bibi na mtihani ya Dunia watoto wako wazuri weupe maashallah dongetu
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU.
@vummymlay6765
@vummymlay6765 3 жыл бұрын
Nyie mliokusanyika acheni udaku,mwacheni bibi wa watu apambane na maisha yake,kweli MUNGU atawahukumu kwa kumuonea huyo Bibi.bibi poleni Sana.
@witnessmush746
@witnessmush746 3 жыл бұрын
Nakukubali San mchaga mwenzang big up Sana kaz iendeleeee
@winifridarichard1080
@winifridarichard1080 3 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/pHXVmpakZ9yhntU
@iddimoshi8459
@iddimoshi8459 3 жыл бұрын
****
@ibrahimdavid1088
@ibrahimdavid1088 3 жыл бұрын
Bibi nimekupenda wew upo sawa nimefrahi sana Bibi daaaa mpaka nimelia
@alphageorge5563
@alphageorge5563 3 жыл бұрын
Wabongo kwa kuzua mambo, washamnyima raha bibi wa watu.
@upendosalimu2050
@upendosalimu2050 3 жыл бұрын
Jaman😭😭😭mama ni mama tuu maskini ya Mungu huyu bibi Mungu ampe.maisha marefu enyi mliomzushia mtalaaniwa
@joycechunga400
@joycechunga400 3 жыл бұрын
Pole sana mama,hao walio kushutumu wakuombe msamaha haraka sana
@husnamahadhi7437
@husnamahadhi7437 3 жыл бұрын
Pole sana bibi Mungu akujaalie kheri kama hauna ubaya na tuwasamehe hao waliohisi vibaya ndg wenyewe wanasema so hata dada anadanganya?
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 3 жыл бұрын
Mimi katika woote alonichekesha ni mjumbe na magwanda 😂😂😂
@jasice6792
@jasice6792 3 жыл бұрын
Mwenyekiti Sasa anaongea balaa
@halimahussein917
@halimahussein917 3 жыл бұрын
Bibi pole Sana, mm pia nina ndugu Ana ugonjwa kama huo tumempungunzia dawa coz ya kuniona Sana sahii mwili uko sawa
@ashankusa1514
@ashankusa1514 3 жыл бұрын
Dah mpaka tumbo limeniuma uyo sasa ndio mama mwenye uchungu na mwanae anatamani Angekua na uwezo angemlinda zaidi
@kizitomichael6198
@kizitomichael6198 3 жыл бұрын
Mungu ni jibu Bibi Mungu atakuwa pamoja nanyi piga moyo konde nakuombea
@luganomwakyusa7697
@luganomwakyusa7697 3 жыл бұрын
Bibi ni next level
@zainabsuleiman5350
@zainabsuleiman5350 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zolongOne
@zolongOne 3 жыл бұрын
🤣🤣 kwanini?
@florahmagabe8137
@florahmagabe8137 3 жыл бұрын
Pole sanaaaa Mama. Akukushike mkono
@renildevenerand9473
@renildevenerand9473 3 жыл бұрын
Usihofu bibi inawezekana Mungu ametaka watu wakujue upate msada wa mtoto wako.
@glorymutalemwa296
@glorymutalemwa296 3 жыл бұрын
Kweli
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 жыл бұрын
Kabisa
@mwashambakipanga4528
@mwashambakipanga4528 3 жыл бұрын
Ila inauma sana mtu anakuachia mtoto au mimba alaf baadae umemlea kwa tabu baba ht akumbuki likikuwa linamtaka baba ake duuuuuuh Bibi pole mungu atakusaidia sikieni tu ivyoivyo ukiwa single mother mtoto alikuwa umepitia mengi muache aende kwa baba ake kishakuwa
@simionikengere3930
@simionikengere3930 3 жыл бұрын
Pole kwa huyo mama , Mungu amsimamie.
@catrinah0277
@catrinah0277 3 жыл бұрын
Pole sana kwake
@sharinv8864
@sharinv8864 3 жыл бұрын
Mashallah watoto wazuri .
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 3 жыл бұрын
Mashaallah
@eliwangumria9639
@eliwangumria9639 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu bibi. Dah! Pole sana nimesikitika kweli
JAMBAZI SUGU LILIVYOULIWA
7:39
RobbyMedia
Рет қаралды 698 М.
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,6 МЛН
버블티로 부자 구별하는법4
00:11
진영민yeongmin
Рет қаралды 20 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma
00:14
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 12 МЛН
HUZUNI MTOTO ALIKWENDA KUCHEZA AKUTWA AMEFARIKI ARUSHA🤍✍️
5:38
KASKAZINI FLAVOR
Рет қаралды 8 М.
ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU ABAINIKA
37:08
SHEIKH MWAIPOPO TV
Рет қаралды 12 М.
WAZAZI  MTWARA  WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KUCHANGIA CHAKULA SHULENI
6:30
PROGRAMU ZA WATOTO- HITIMISHO LA KAMBI LA WATOTO KIKUYU 2023
31:13
@PSN Kids Lyrics
Рет қаралды 115
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 262 #shorts
00:20