BALAA MC ANGECHOMWA MTU VISU, MAMA YANGU HIZI LAWAMA/ WE DEMU NAKUPIGA /HUTOKI HUMU NDANI

  Рет қаралды 60,940

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 173
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 ай бұрын
Haaaaa😂 kweli muhuni ni muhuni jamn. Daaa mc balaa umeuwa aise hapa
@GoodluckAlex-vd6vc
@GoodluckAlex-vd6vc 3 ай бұрын
Bangi ishachemka hapo kichwani😂😂
@yunyun799
@yunyun799 2 ай бұрын
😂😂😂
@kiddybrown7154
@kiddybrown7154 2 ай бұрын
Na mna bahati mwanangu ana mwili mdogo lakini angekuwa mtu wa gyme,heehe 😂😂😂😂Namkubali sana mwanangu 🔥🔥🔥🤞
@KiduBoyJr.
@KiduBoyJr. 2 ай бұрын
Yaani hapo kuna mtu kashaibiwa tayari usicheze na wahuni😂😂
@kadito-kenya
@kadito-kenya 2 ай бұрын
Kama kweli sanya anaunyama nipe like nimpelekee❤
@Topcentclassic
@Topcentclassic 3 ай бұрын
huyo bibie alivyo serious dah ...hahahaha sema safi sana
@zuzuutv8782
@zuzuutv8782 3 ай бұрын
Sema like nyingi kwadada kajua kukiwasha
@aboudbalozi2338
@aboudbalozi2338 15 күн бұрын
Oya kwanza ndugu yenu kweli auuuu sio😂😂😂😂 wauni wanataka kuangusha nae wiki😅😅
@hirizonetz9558
@hirizonetz9558 3 ай бұрын
Wahuni siyo watu wazuri atachinja mtu hapo😂😂
@tagx_boe
@tagx_boe 2 ай бұрын
Which name of your president 😮
@kelvindendya3781
@kelvindendya3781 3 ай бұрын
Kwanza angelala na mm wiki mzmaa😂😂😂
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 3 ай бұрын
Moo Town katika hv ni kweli hii mwanang umepqtkan yan kuliko zote
@MohamediKalanje
@MohamediKalanje 3 ай бұрын
Et angelala na mimi wiki nzima 😂😂😂
@NgarasaaJunior
@NgarasaaJunior 3 ай бұрын
Tatzo la wasaniii wa singelii mudaa woteee wanawaza kulogwaaa ndo maana Mambo ya umetumwaaaa😅😅
@DakshMastermind-x8u
@DakshMastermind-x8u 2 ай бұрын
Angalia tena video hujaelewa amemind kwasababu matukio kama aya yamemtokea na akaibiwa vifaa vya studio sasa kulogwa kumeingiaje hpo
@allyuchebe8451
@allyuchebe8451 Ай бұрын
Hahaha Ana mkwala uyo balaa😢😢😢 eti ata oysterbay aende
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 2 ай бұрын
Show inachekesha sana hii kweli nimipinduko sema balaaa mpaka nimwmuonea huruma dah
@shaybu-nj2pe
@shaybu-nj2pe 2 ай бұрын
Balaa yupo sahh wanatakiwa wabadilike uwez juwa mtu yupo ktk mawqzo gn
@issaadamu9847
@issaadamu9847 Ай бұрын
Maisha kweli kaka 😂😂😂
@StephanoPaulo-x2e
@StephanoPaulo-x2e 2 ай бұрын
WCB pamoja sana ❤❤
@Dulla_kite
@Dulla_kite 3 ай бұрын
Daah wasani wasingeli bangi nyingi 😂😂😂😂
@yunyun799
@yunyun799 2 ай бұрын
😂😂😂
@joebinarysignals
@joebinarysignals 3 ай бұрын
Watu washakula zao ndum unawaletea prank 😂😂😂
@giddie_barnabas
@giddie_barnabas 2 ай бұрын
Watu wa singel na ugomv wa silaha😅😅, ila nimemuelewa mc balaa kwa nyakat alizopitia
@felicianboss6953
@felicianboss6953 3 ай бұрын
Hii vurugu ngoma nagwa anasubiri 😂😂😂😂😂😂mc balaa sio kuimba tu hadi kuigiza unajua°°
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 2 ай бұрын
Uking'atwa na nyoka lazima uongeze unajibu safi sana balaa
@Thatscene2024
@Thatscene2024 2 ай бұрын
dah huyo dada mumpe hela nyingi sana maana kahatarisha maisha yake sanaa
@hamidambonea1826
@hamidambonea1826 3 ай бұрын
Asimin umeuwaaaa❤❤❤
@ThomCleative
@ThomCleative 2 ай бұрын
Nakubali
@sosteneskebwe1028
@sosteneskebwe1028 2 ай бұрын
Yani nilukuwa namkubali lkn Leo sijuh kwann kanitoka
@yunyun799
@yunyun799 2 ай бұрын
😂😂labda kwa sababu ya hasira alizo zionyesha
@djhajiztz
@djhajiztz 3 ай бұрын
say sanya
@LuckyTemu
@LuckyTemu 3 ай бұрын
Mdada aleko singo nakupenda 😢❤
@Abdul-zb8on
@Abdul-zb8on 3 ай бұрын
Hii
@LuckyTemu
@LuckyTemu 3 ай бұрын
@@Abdul-zb8on upo singo mai
@GoldenKayage
@GoldenKayage 3 ай бұрын
Bonge moja la kipindi ❤❤❤❤❤ nipe like hapa
@Officialroykhan_255
@Officialroykhan_255 3 ай бұрын
23:17 Anaingia Mlemle 😂😂
@SHAFIIBITOGWA-kd7tl
@SHAFIIBITOGWA-kd7tl 8 күн бұрын
Yani naaribu show SIM yako nachukua af Amna kitu chochote mtanifanya
@NahimanaAisatah
@NahimanaAisatah 2 ай бұрын
Ya leo angeumia mtu
@Benny318m
@Benny318m 2 ай бұрын
Leo ndio nimeamini mziki wa singeli ni wawahuni ukizingua wanaondoka na wewe😂😂😂😂😂
@mwinyiado1129
@mwinyiado1129 3 ай бұрын
43 namba
@sautiyaradiramazani-xv3fr
@sautiyaradiramazani-xv3fr 2 ай бұрын
Ivi ni kweli daah monta sanya kakutana na mc banazo kichwa bangi
@PauloDoo-gy5fc
@PauloDoo-gy5fc 2 ай бұрын
Balaa Mc kwa uhuni huu sitokuja kukuamini ukija kusema umezurumiwa na Promota hela show 😂😂😂 Mapromota nahisi wamemuelewa vzuri Balaa Mc hapa 😄
@nurumasunga6079
@nurumasunga6079 2 ай бұрын
WASANII ACHEN BANGI
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 2 ай бұрын
Haaaa eti nikiwa nyumban naweka usanii mfukon😂😂😂 uwiiiiiiii
@ngido255
@ngido255 3 ай бұрын
Angekutana na chibuduma nipe Tena nipe sijaona kingewaka🤣
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 2 ай бұрын
Balaa balaaa kweliiii😂😂😂
@HWAYtz
@HWAYtz Ай бұрын
Mhuni hapingwi Yani Sanya me hata kama mko na kipindi chenu me sitaangalia kwamba ni challenge nitatoa mtu damu tu
@Gee16.01
@Gee16.01 3 ай бұрын
Wasafi ni media kubwa sana,, jamaa alijiiona mbali zaidi😢,, af gafra demu analeta mizengwe aaaaaa harari amind😂
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 2 ай бұрын
Duuuu!!!!!' Kumbe waimba singeli uwa ni wahuni kweli
@juniorking7123
@juniorking7123 3 ай бұрын
Mmmmh ipo siku watu watapigana kwel
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 2 ай бұрын
Watauwana kweli, maana kila mtu na hasira zake. Kujuta badae.
@juniorking7123
@juniorking7123 3 ай бұрын
Mzee inabid uangalie na wasanii wakuwafanyia kipindi
@medaicetz
@medaicetz 2 ай бұрын
Kisu wapi umeshindwa kumchapa hata kofi na ulkua naye karbu😂😂
@muckymaccode134
@muckymaccode134 3 ай бұрын
🎉🎉
@AfricaQueen
@AfricaQueen 3 ай бұрын
Hivi ni Kweli 🗣️🗣️🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😂🤣😂😂😂🤐🤐
@wizydeko1496
@wizydeko1496 2 ай бұрын
Kuna MTU kapigwa pochi/simu apo wahuni sio RAIA 8:23
@funnytv9361
@funnytv9361 3 ай бұрын
Angelala na mimi wiki nzima kwanza ni ndugu yenu Ausio" 😂😂😂😂
@Obocriss584
@Obocriss584 3 ай бұрын
Sanya leo mumeyakanyaga kwa wahuni
@franklinmkundi201
@franklinmkundi201 3 ай бұрын
Wa kwanza mimi nipeni like zangu
@fahadfifa4190
@fahadfifa4190 2 ай бұрын
Kwanza jela ana chumba chake 😂🔥
@gundajr2883
@gundajr2883 3 ай бұрын
Kuna siku hki kipind litatokea tukia baya maan prank mnazofany na haya maisha haya yet mach
@PhabianGetere
@PhabianGetere 2 ай бұрын
sanyaaaa
@SongeaGirl0
@SongeaGirl0 Ай бұрын
Kwahiyo mmeingizana mc mmemungiza na mc kawaingiza nyinyi kwenye 18 hatari sana
@kitemaog6372
@kitemaog6372 3 ай бұрын
Balaaa mc kajaaa vizuri ad raha😂😂😂
@dennisnjonanje62
@dennisnjonanje62 3 ай бұрын
Kama ningekuwa mimi ningempasua Sanya fasta, pranki siyo ustaarabu
@JumaJayson
@JumaJayson 3 ай бұрын
NAISUBIRI YA CHID BENZ😂😂
@HadiaMohammed-ec2dn
@HadiaMohammed-ec2dn 3 ай бұрын
AAAah watajuta kwnn wamemuektia😂
@Joh-p9f
@Joh-p9f 3 ай бұрын
Kuna ya Adam mchovu 😂
@ThomasBenedicto
@ThomasBenedicto 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@NajafaEdward
@NajafaEdward Ай бұрын
Xagent najafa ap nakubali
@raystudio7563
@raystudio7563 3 ай бұрын
huyu jamaaa kweli ni BALAA😂
@DJINNOSSBTZ
@DJINNOSSBTZ 3 ай бұрын
Mc balaa bangi zote kwisha😂😂😂
@ramso98
@ramso98 3 ай бұрын
😅😅😅😅Sanya katumia mda mwingi kumtuliza balaa ashakubali liwalo na liwe yani ile ubaya ubwela ndo hii 😂😂😂😂
@erickmahona5357
@erickmahona5357 3 ай бұрын
Ila bangi izi
@PiliAbdallah-vc2no
@PiliAbdallah-vc2no 3 ай бұрын
Sema mo hiyo michezo acha itakuja ikutokee puani nakwambia kama hapo angemchoma kisu tu kesi kwako
@RajabuNgore
@RajabuNgore 2 ай бұрын
Jama yangu apo kapata moto😮😮😮
@JaphethChuwa
@JaphethChuwa 2 ай бұрын
Wana vya Arusha vinakolea kichwan hapo hawaelew hapo
@EstherJohn-w9p
@EstherJohn-w9p 2 ай бұрын
Huy ndo mwana ume sas co platifoma ana lia lia t😂😂😂😂
@aronboy1
@aronboy1 2 ай бұрын
Ila hiki kipind huwa cyo poakitakuja kuleta majanga ckumojah
@KassimuKiponda
@KassimuKiponda 2 ай бұрын
Kwanza ndugu yenu kweli au😂
@Kibiriti_Sports
@Kibiriti_Sports 3 ай бұрын
Mc balaaa amekamatika😂😂😂😂
@jaffarmagawa3245
@jaffarmagawa3245 2 ай бұрын
Oya Leo mmeingia mizik ya wahuni😂 ila balaa kma ameptia hayo yote pole sela
@ce-08
@ce-08 2 ай бұрын
Kweli wee n balaa😂😂
@mwakiboy968
@mwakiboy968 3 ай бұрын
Media yenu inadhalilisha watu😂😂
@djhajiztz
@djhajiztz 2 ай бұрын
kivipi
@DANY_ON
@DANY_ON 2 ай бұрын
Bro ebu ongeza dakika basi haha😡😡😡😡😡
@TwalibTwaha
@TwalibTwaha 3 ай бұрын
Duh balaa mc kawaka kinoma noma 😅😅😅Bange tupu huyu mwamba
@makambosafari2746
@makambosafari2746 3 ай бұрын
❤❤❤❤
@taufikimustapha8082
@taufikimustapha8082 2 ай бұрын
Balaaaaaaaah
@pro_the_dj
@pro_the_dj 3 ай бұрын
Sanya kuna mutu atakuja kupigwa kisu alafu ulete balaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@halimaamini8015
@halimaamini8015 3 ай бұрын
Jina tu mc balaaa sasa balaa ni kitu cha kawaida 😅
@nassororashidi33
@nassororashidi33 3 ай бұрын
😂😂 wakiendaga police wanatolewaga hao
@mpendwalove4390
@mpendwalove4390 3 ай бұрын
Kuweni makini na hawa watu 😂😂😂
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 3 ай бұрын
Hawa walaunga wengine usiwafanyie interview Sanya mashabiki hatutaki wasanii wapangwe ndo kipindi kinanoga Sanya nenda kwa wasanii wanaojielewa hawa wa singeli wala unga hatuwataki jitu halijui utani linataka vita tu
@ZahorMohdali
@ZahorMohdali 3 ай бұрын
Kama huwataki wewe t usitusemelee
@ZahorMohdali
@ZahorMohdali 3 ай бұрын
Kama huwatak ww t usitsemelee
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb 2 ай бұрын
We kuma la mamako acha zalau za kisege kipindi kiwe cha wasanii wa aina flani ndo nini vita nini mshamba nini wewe jikataee mshamba na washamba kiaboa wenzako
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
@NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb 2 ай бұрын
WE KAMA NANI UWAAMULIE WATU WAMAFANYIE INTERVIEW FALNI NAFALNI WE LICHOKO LIMOJA
@FighterM7
@FighterM7 Ай бұрын
Kwan umelazmishwa babuu
@PiliMohamed-q4q
@PiliMohamed-q4q 3 ай бұрын
Ebwana
@kitemaog6372
@kitemaog6372 3 ай бұрын
Singeli tu ze woldi😅
@JoyceElias-h1x
@JoyceElias-h1x 3 ай бұрын
Huyu nae Hana lolote itakuw kuachwa na dem. Wake hasira zak anamalizia kwa huy dada
@fauziakitenge8061
@fauziakitenge8061 3 ай бұрын
Mumeenda kuhoji mvuta bange 😅😅😅
@aloycefrank3194
@aloycefrank3194 2 ай бұрын
Hivi hivi hivi hivi 😂😂😂😂😂
@SwahiliRecaps-h5p
@SwahiliRecaps-h5p 3 ай бұрын
Ni hatariiii 😅😅😅
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe 2 ай бұрын
Dk 0 tu wahuni wanachafukwa😂😂😂
@saidseleman2829
@saidseleman2829 3 ай бұрын
Mo town sanya 🔥🔥🔥 Halaaaaa 😂😂😂😂
@MudyBiniomary
@MudyBiniomary 3 ай бұрын
Hivi hiviii
@yaziduabdallah2836
@yaziduabdallah2836 3 ай бұрын
Balaaa
@mustaphajuma2051
@mustaphajuma2051 3 ай бұрын
mmh hiyoo ingilishii au English 😂😂😂😂😂😂
@samwesupa6906
@samwesupa6906 3 ай бұрын
Ana machungu
@AminaAminaa-ox7ft
@AminaAminaa-ox7ft 2 ай бұрын
Mwanaume km huy kuishinae siwez
@ChinoKidds-b2q
@ChinoKidds-b2q 3 ай бұрын
INGEKUWA media ndogo hapa pangewakaaa kaheshim wasafi tu 🎉😅😂
@AishaHaji-jn7sg
@AishaHaji-jn7sg 3 ай бұрын
😂🤣🤣😂😂waimba singeli Ndo mnahasira ivo
MR MWANYA AMCHAPA KOFI MOTOWN SANYA MIMI SIWEZ KUIBA LAKI MBILI
32:30
LEORNADO: ALIVYO WACHANGANYA WATU MTAANI ADATA KWAKUITWA MWIZI
34:38
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 54 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
Don't look down on anyone#devil  #lilith  #funny  #shorts
00:12
Devil Lilith
Рет қаралды 46 МЛН
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
路飞与唐舞桐
Рет қаралды 29 МЛН
FROM EMALI TO THE WORLD- MR CLIMATE
40:57
The Hangout Podcast 254
Рет қаралды 79
Ndaro na Leonardo Waoneshana Ubabe Jukwaani, Ona hapa nani mkali?
21:33
UGOMVI WA MPOKI NA BROTHER KEY MBELE YA DEMU
21:41
BONGO LAND
Рет қаралды 121 М.
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 54 МЛН