Pole sana mama nurse umeongea kwa uchungu sana na unamjua Mungu sana. Mungu akubariki sana kwa upendo wako
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
Tunazaa kea uchungu unamlea mtoto wako kwa shida afu kuna mtu anasubiri kumuaa kwa ajiri ya ushetani wake😭😭😭😭😭😭Ee Mungu wetu uko wapi mbona umetuacha baba😭😭😭😭😭😭
@telaamtauta22272 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭 poleni sana Mungu amlaani kabisa aliye tuuliya mtoto wetu narohoyake itamsumbua huyo aliye muuwa jamani vibaya hivoo huyo mtoto kawafanyeni niniii 😭😭😭😭uchawi utawatesa
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭😭Amina Mungu awaaangamize kabisa
@ameenaameena12242 жыл бұрын
😭😭😭inallh wainaillh rajiwuna kwani kwanini jamani munawatesa watoto hivyo 😭😭😭😭😭
@prettyh75092 жыл бұрын
😭😭😭😭 Sijui niseme nini, Mungu tuhurumie
@rosenoah21902 жыл бұрын
Jaman. Jaman. Kwa nn. Lkn. Mungu. Binadam. Aliefanya. Hv. Mungu. Wew. N mungu. Usieshindwa. Fanya jambo kwa huyu. Shetan. MAMA. Uliepoteza. Mtoto. Faraja kubwa n kwa Mungu
@BINTIwaKITANGA2 жыл бұрын
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 imeniuma Sana jamani jamani mbona hatutoondoka na kitu hapa duniani! Nini kinatuhadaa?!
@husnaseph94762 жыл бұрын
Pole dada muuguzi ulionyesha kuguswa kabla hamujajua kifo cha mtt
@vivianmaro13362 жыл бұрын
Mungu ailaze roho ya mtoto pema peponi
@mwanahamisbwanga11842 жыл бұрын
Jamaniii uwiii😭😭😭nalia tuu mimi
@salamanauthar4802 жыл бұрын
Maumivu ni makali mno haielezeki Kwa kweli😭😭😭😭😭
@mercypeter1622 жыл бұрын
Inauma sanaa mtoto huyu alikua Na kosa gani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@muniraassenga10682 жыл бұрын
Mungu wewe ni mwema sijui sijui nothing to say
@suzanamwangingo29952 жыл бұрын
Nimeumia sana
@beatricefredilick16462 жыл бұрын
Jamanii jaman mungu tusamehe tumekosa tusamehe
@teodoramgaya36382 жыл бұрын
Polen inauma sana
@agyjackkalwela63772 жыл бұрын
Eee Mungu tulinde na watoto wetu baba, Inauma mnoo poleni saana ndugu jamaa na marafiki
@zulfaissa78142 жыл бұрын
Polen sn mmaake mzazi kwayalio kufiken imeniuma sn
@olphamoraa66832 жыл бұрын
Pole sana kwa familia, RIP mtoto Wilson
@claudiangowi96282 жыл бұрын
Who ever have hand on his death will not see peace in his or her life 😭 Rest well Johnson
@sophialaizer91712 жыл бұрын
Imeniuma jaman😭😭😭😭
@fatumasukwaju2262 жыл бұрын
Maoni.hii taratibu za polis taarifa itashuhulikiwa baada ya masaa 24.ingerekebishwa.inawezekana ripot ikishuhulikiwa mapema inaweza ikanusuru .Msiba mzito saaana.INAUMA SANA.
@mariyamsalalah82042 жыл бұрын
Mungu wangu heeee 😭😭😭😭😭😭
@nyamwinukankwera37492 жыл бұрын
Eee Mungu tukumbuke😭😭
@anisiamalyagili97232 жыл бұрын
Mungu ampokee mtt huyo tutamkumbuka jpm molele
@kiehbhzh70442 жыл бұрын
Kiatu cha uyu mama ni kikubwa😪p0le sn mama
@njuka35152 жыл бұрын
"mtanikumbuka Sana TENA MTANIKUMBUKA Kwa mazuri'"
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
SINA CHAKUSEMA NCHI YENYE MA MILIONI YA WEMA INATESWA NA MAADUI WA CHACHE MUNGU REHEMU NAFSI ZETU
Alf mnasem inch yetu inaaaman kwel ninaimaan itakuwa inch y yeny ukatil wa siri Rais Rais
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
😭😭😭😭😭
@stamelistameli84612 жыл бұрын
Innalilah wainalilah rajuun poleni sana 😭😭😭😭
@teedullah5708Ай бұрын
Jmn bc naona ni huku kwetu Kenya tu kumbe nyinyi wenzetu piya kazi nihiyo tupoweni SOTE duh cjui tufiche watt wetu wapi jmn cjui tuwarudishe matumbo I hata celewi
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Hao wa fanya biashara hao huko kuna migodi ya madini
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
Nimeona uchungu sana 😭😭😭😭 waliyo fanya hivyo WANAFURAHIA tu haki ya MUNGU MASHETANI wanafanya tuone MUNGU WAKWAO PEKE YAO OOOH
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
Hao watakuwa wa fanya biashara wanadanganywa NA WAGANGA hivyo viungo vinaingiz ahela. Kumbe niuongo ukimwamini mungu tuu inatosha
@lucyjeremia13812 жыл бұрын
@@زيتونتنزانيا Kama ndo hao watu wa madini kwanin wasiue watoto sasa
@زيتونتنزانيا2 жыл бұрын
@@lucyjeremia1381 hee mhh yani tena watu wa madini wa naushilikina balaa