DIDA ACHAFUKWA, AMJIBU MR. NANA "NATAKA AJE AONGEE MBELE YANGU, SINA MUDA WA KUONGELEA MAPENZI"

  Рет қаралды 166,140

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 369
@OfficialA83640
@OfficialA83640 8 ай бұрын
Dida kapanik kwann Mr Nana katoa siri ukweli ndy huo ushakua utulie uache kutembea na watoto rudi kwa Muheshimiwa hueshimike km wenzio kina Salma Dakota
@ShaymaaMlanza
@ShaymaaMlanza 8 ай бұрын
Atafute saizi yake co umshauri arudi kwa muheshimiwa unajua kilichowatenganisha mambo mengine cri tuwachie wenyewe
@OfficialA83640
@OfficialA83640 8 ай бұрын
@@ShaymaaMlanza Miaka 7 uhawara ndoa miezi 3 kavumilia kuzini imshinde ndoa kuvumilia huyu hamuwezi mtu kwenye ndoa we binadamu gani kila mwanaume mbaya tu yy mapungufu yake wanayavumilia vp yy ashindwe kuwavumilia wenzie mtoto wa ki8slam hasifiwi kuolewa na kuachwa ht wazazi wetu walivumilia mengi hd wanazikana miaka 50 40 30 ndani ya ndoa ina maana walikuwa wanaishi vizuri bila mikwaruzano ndani
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 8 ай бұрын
Hakika maana kuna watu wanajua maisha ya watu zaid ya namba za cm za watu 😂😂​@@ShaymaaMlanza
@RithaRitha-cj3ph
@RithaRitha-cj3ph 3 күн бұрын
Mmmh makubwa
@gracewairimu800
@gracewairimu800 8 ай бұрын
Sina uzuri wa sura ila nina uzuri wangu mwenyewe ndo mana wana ni ng'ang'ania😂nipe hi kama unakubaliana na hii
@BarakaTheprince
@BarakaTheprince 7 ай бұрын
😅O
@fatumakhalfan9372
@fatumakhalfan9372 10 күн бұрын
Sina uzur wa sura kweli
@mankamushi1374
@mankamushi1374 8 ай бұрын
Dida nakupenda Sana dadangu usijali maneno ya watu wapo ili weseme
@MariaCassian787
@MariaCassian787 8 ай бұрын
Dida unaushamba flani hivi chunguza maneno yako kuanzia ugomvi wako na Jack mpaka hapa kwa Mr Nana ndio utajua huo ushamba wako na ulimbukeni wako
@JudythAsiko
@JudythAsiko 8 ай бұрын
Love this woman ❤❤❤❤go girl 🥰
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 8 ай бұрын
Me too
@BbasuleBasule
@BbasuleBasule 6 күн бұрын
Mungu Ailaze Roho Ya Dida Alikua M2 Mwema Sanaa ❤❤❤❤
@yusuphmruma1771
@yusuphmruma1771 10 күн бұрын
RIP😢 DUU leo ni usiku wa 3 yuko kwny kaburi lake yarabi tupe mwsh mwm
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 4 күн бұрын
Anatembelea Kiki uyo
@alexleo4863
@alexleo4863 9 күн бұрын
R.I.P Legend (Oct 4, 2024 ulilala)
@MagrethMallya-we8ui
@MagrethMallya-we8ui 8 ай бұрын
Knyoko, Nanuuu, hakuna mchaga fala , Asante dadaangu Didaa.
@JoshuaAizack
@JoshuaAizack 10 күн бұрын
Mtapakwa mafuta mwishowe muoze kama mnapenda hela sana
@augustinenjagi6255
@augustinenjagi6255 8 ай бұрын
Huyu Dida is very wise
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 Ай бұрын
Dida i love you ❤ my role model 💕
@TundaJr
@TundaJr 10 күн бұрын
Rest in peace dida 😢😢😢😢
@alsam4881
@alsam4881 8 ай бұрын
Dida analazimisha kuonekana kuwa msichana lakini ameshaanza kuzeeka hadi ngozi zimekunjika, kwahiyo sasa atubu kwa Mola wake na aache zinaa na avae nguo za stara zinazoendana na umri wake, Na kama anataka kuolewa tena basi atafute mzee mwenzake na aachane na vibenteni.
@rerisamba
@rerisamba 8 ай бұрын
Kumbukeni mafuta hufanyangozi kukunjika
@vickydan2869
@vickydan2869 8 ай бұрын
​@@rerisambamafuta yapi ya mgando au hizi crem zao
@vickydan2869
@vickydan2869 8 ай бұрын
​@@rerisambaau hizi roshen zakawaida
@Mrs_ABD
@Mrs_ABD 8 ай бұрын
Wewe tayari ushatubu😂😂😂😂😂 kutubu haitaki umri
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 8 ай бұрын
Uchi hauzeeki nakuna wengine sura za kitoto ila huko chini niwazeee ivyouzee sio kitu kitu madini kichwani
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 8 ай бұрын
Mbona kama kapanic vile 😢😢 mapenz pia Yana nafasi yake, 🙏
@chany9950
@chany9950 8 ай бұрын
Didaaaa Love you😘😘😘
@vero57
@vero57 8 ай бұрын
Semaa didaaaa!!!!!
@MwanaidiAthumani-y9k
@MwanaidiAthumani-y9k 8 ай бұрын
Duuuh umezeheka sura m aya
@JennyJma
@JennyJma 8 ай бұрын
Jamani coment nyingi mnasema dida kazeeka sasa kwani siku zinarudi nyuma??? Ikiwa Anty ezekel kafanya birthday mwaka jana katimiza miaka 40 tena dida kaanza kuoneka kwenye maigizo na kina kanumba nakumbuka kaole group mwaka 2000 sasa kama mnabisha hebu kamwangalie johari kwenye tamthilia yake ya siri kwenye sinema zetu akiwa sura imeshakomaa sasa kwanini dida? Mimi nimeanza kuwaona dida docta chen johar nora rey nikiwa na miaka 12 ITV saivi nina miaka 34 sasa kwanini wasizeeke mtizameni docta cheni alivozeeka na ndio mwanaume kwanini hawa wanawake wasizeeke? Kamwangalieni monalisa vizuri sura imeshaanza kuzeeka na ndio hajawahi kujichubua na mikorogo
@aminamzuri9933
@aminamzuri9933 8 ай бұрын
Mmmmh dida nana anakupenda
@DayramGibson-x5b
@DayramGibson-x5b 8 ай бұрын
Akii kumbe dida ni mrembo ivyo❤
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 8 ай бұрын
Huzungumzii mapenzi mbona unawabana wenzio studio wazungumzie mambo yao ya ndani 😊
@eggysulle7988
@eggysulle7988 8 ай бұрын
Ndo utofaurltshe ,akifnya ivo anatafta ugal yaan pesa kama anavxema
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 8 ай бұрын
So kama dokta anatibu nyeti za wagonjwa hospitali inamanisha nae aongelee nyeti zake???? Em jiulize then ujijibu mwenyewe
@buildinghope3817
@buildinghope3817 4 ай бұрын
Dida nakupenda sana unaniosha loho
@FonteniKamela
@FonteniKamela 8 ай бұрын
Mama Zima chefuuuu
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 8 ай бұрын
Hahaha Didah kamchamba uyu mwandishi sema mwandishi kapotezea maumivu na aibu😂😂😂
@HannanSomaiyah-wp7ny
@HannanSomaiyah-wp7ny 8 ай бұрын
Bora umejijua huna sura nzuri 🙏 hapo nakusifia
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@nuruosward8161
@nuruosward8161 8 ай бұрын
Wajaaaa😂😂😂😂😂
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 ай бұрын
Maana nilikuwa nataka kusema kanitangulia mwenyewe 😂😂😂😂😅
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 8 ай бұрын
Wewe yako nzuri? Mashavu ka paka wa hoteli za Nungwi
@SashaRamadhani-uu1wv
@SashaRamadhani-uu1wv 12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂​@@vanessalaizer4363
@HappyEel-wg4qx
@HappyEel-wg4qx 8 ай бұрын
Ushazeeka
@SaidChilaza
@SaidChilaza 8 ай бұрын
Keshazeheka bibi yakoo
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 8 ай бұрын
Vp ww una ck 1 ya kuzaliwa mpk leo?
@SaidChilaza
@SaidChilaza 8 ай бұрын
@@ruqaiamohammed345 sijakufahamu
@shadiwaigwa9230
@shadiwaigwa9230 8 ай бұрын
Dida Dida uko sawa
@MsAggie5
@MsAggie5 8 ай бұрын
Huyu mwanamke mzima akue sasa
@LovenessPeterMaka
@LovenessPeterMaka 11 күн бұрын
Rip dida
@Charlesray-sv2lm
@Charlesray-sv2lm 8 ай бұрын
Mm naona nikuwa dida na huyo mr nana hiyi ni kk ili jamaa afahamike nasio kitu kingine this life now days too much kiki
@meryamreally2768
@meryamreally2768 8 ай бұрын
Nakubali dada sawa ❤️❤️❤️👏👏👏👍
@aminamwivita7690
@aminamwivita7690 Ай бұрын
Mashaallah tabaraka Allah Akbar ❤
@mohameddikaluka3162
@mohameddikaluka3162 8 ай бұрын
Na Angekua mzuri huyu! Domo Sasa,, Arafu Zee frani hivi
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@estertiffa-ew5id
@estertiffa-ew5id 8 ай бұрын
Eeeeeh 😂😂😂acha bhasi
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 8 ай бұрын
😂😂😂
@ubongosahihi
@ubongosahihi 8 ай бұрын
Kwa hiyo tusizeeke so tusipo zeeka bibi mtampata wapi mbona hamuelewi Dunia jamani loooo et poleni mnao comment ambazo hazina busara wala hekima come onnnnnnnnn😒😒
@khadjamhozya
@khadjamhozya 8 ай бұрын
Acha ishamba kwani yeye kasema mzuri
@RebecaRaphael-s5k
@RebecaRaphael-s5k 8 ай бұрын
Kwel sura dada 😢
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd 10 күн бұрын
😢😢😢amekufa dida😢😢😢
@RayChausa
@RayChausa 10 күн бұрын
😢😢😢😢kifo ni mlango na kila mmoja ataupita😢😢😢
@DoreenShuma
@DoreenShuma 4 күн бұрын
R .i.p kipenzi cha wengi siamini naona kama bado upo dada najikuta naiogopa duni...kweli tumuogope mungu dunia mapito
@antonyjuliz9348
@antonyjuliz9348 8 ай бұрын
Kazeeka ety
@chemstry409
@chemstry409 8 ай бұрын
😁😁
@fathiyahmuzney7367
@fathiyahmuzney7367 8 ай бұрын
😂😂😂ila watu jmn
@athumaniashimu1568
@athumaniashimu1568 6 күн бұрын
R,I,P
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 8 ай бұрын
Nakupenda Dida
@righitkileo
@righitkileo 8 ай бұрын
❤❤❤Nipe tano Dida ,mchaqa orq,❤❤anashindania maqar mazur,nyumba nzur,s wanaume❤❤❤❤chaqqa hilo❤❤❤❤❤❤❤
@zenasalum2231
@zenasalum2231 11 күн бұрын
Kumbe alkua mchaga?
@WivinaFrance-xn3mk
@WivinaFrance-xn3mk 8 ай бұрын
Ukweli unauma
@floridahbaltazary2502
@floridahbaltazary2502 7 күн бұрын
rest in peace didia nanumuu didia aliwahi kusema kama utakuwa na mahusiano na mtuu basi ukiondok usimalize maneno haya Mr nana bakisha maneno
@munamuna4621
@munamuna4621 8 ай бұрын
Dida kazeeka
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp
@SmilingFreshwaterLake-tg5qp 8 ай бұрын
Na wewe umeona ?
@emmajuma896
@emmajuma896 8 ай бұрын
Kazeeka na anajigamba kwamba anatongozwa na wengi. Achukue kioo atazame
@SaidChilaza
@SaidChilaza 8 ай бұрын
​@@emmajuma896wew uyo mzuri unaweza kumumba na wew weka sura lako jeusi tulione
@munamuna4621
@munamuna4621 8 ай бұрын
@@emmajuma896 😄 🤣 😂 watu washukuru mek up
@karimjuma4019
@karimjuma4019 8 ай бұрын
Dada anaongea sana kuishi nae huyu ni ngum sana
@SaudaRashid-xt8jf
@SaudaRashid-xt8jf 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@karimjuma4019
@karimjuma4019 8 ай бұрын
@@SaudaRashid-xt8jf wanaume hatupend ngenga nyiiiiiiiingip
@AnnaLinus-x3r
@AnnaLinus-x3r 8 ай бұрын
Sura nzuri unayo sema tuy Umezeeka sister!
@Wazir-y5k
@Wazir-y5k 13 күн бұрын
Uliyemtukana leo katangulia kabulin je unajisikiaje?
@RachelMakalanga-du2oj
@RachelMakalanga-du2oj 12 күн бұрын
​@@Wazir-y5kimagine nyie maisha ni mafupi.
@Wazir-y5k
@Wazir-y5k 12 күн бұрын
@@RachelMakalanga-du2oj noma sn!!
@MiliamNgozi
@MiliamNgozi 12 күн бұрын
We hutazeeka
@MonicaMkombwe
@MonicaMkombwe 10 күн бұрын
Kwani kazeeka Nini mdada wa nini
@mapachaproducts2475
@mapachaproducts2475 8 ай бұрын
Yaani huyo nana sijui nani aache basi ushamba hivi why umepewa airtime then unaexpose mambo ya ndani
@Mumewangu
@Mumewangu 8 ай бұрын
Sasa amefumania itakuaje DIDA amezeeka
@vanessalaizer4363
@vanessalaizer4363 8 ай бұрын
Mbona hajaongea mabaya kaka wa watu jmn
@brownjulius8514
@brownjulius8514 11 күн бұрын
R.i.p dida😢😢
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 8 ай бұрын
Sura
@loulumony8519
@loulumony8519 8 ай бұрын
Mwambie dida nakubali kbx🤛🤛😍😍
@Sarah-tq2vc
@Sarah-tq2vc 8 ай бұрын
Mtangazaji bwana ety hoo mara dida ana kingast mwengine😅😅😅😅
@AliHaji-w1x
@AliHaji-w1x 7 ай бұрын
Dida kizeee duh hafanani na uyo kaka
@speroachpaulsen
@speroachpaulsen 8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@tobosha3236
@tobosha3236 8 ай бұрын
Mungu naomba usimjalie binti yngu ukiniruzuku awe n sura yngu baba mtu
@blaqyrn3655
@blaqyrn3655 8 ай бұрын
😅😅😅
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 13 күн бұрын
Pumzika kwa amani Dida
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 8 ай бұрын
Huyo ndiyo Dida
@Bless-b.DL-babyofficial8769
@Bless-b.DL-babyofficial8769 8 ай бұрын
Aisee dida amesha zeheka
@mesukanku6016
@mesukanku6016 8 ай бұрын
DIDA EST UNE FEMME INDÉPENDANTE LIBRE ELLE FAIT CE QU'ELLE VEUT DE SA VIE
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 8 ай бұрын
True
@TheoMukenga
@TheoMukenga 8 ай бұрын
Aza ndumba ba femme tanzanien bazalaka na respect epa mobali te.ata soki oza tati wata bako cheet yo kaka
@FaudhiaWadongo
@FaudhiaWadongo Ай бұрын
Woyooooooo wapeee dida wangu
@FelistersMejumaa-fp6cc
@FelistersMejumaa-fp6cc 8 ай бұрын
Umezeeka kweli mamaa,, na hapo kwa sura ulivyo sema huna ni kweli umelitambua hilo
@StumaiIssa-nh8bo
@StumaiIssa-nh8bo 8 ай бұрын
Hahahahaha utaniuwa Kweli sura hana alafu ndo nina muona vizur
@khadija5761
@khadija5761 8 ай бұрын
Umezeekaaa dada😢
@rukiyyarukiyya6317
@rukiyyarukiyya6317 8 ай бұрын
Mmmh
@hanifamziray277
@hanifamziray277 8 ай бұрын
Ww tena umesahau ulivyokuwa unamsifia mpk ndoa pole
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 8 ай бұрын
Sura bozuu
@chemstry409
@chemstry409 8 ай бұрын
😀😀
@aishaarusha894
@aishaarusha894 8 ай бұрын
Kayako
@FatmaHalfan-w3l
@FatmaHalfan-w3l 8 ай бұрын
Mpaka unachapia kwa roho mbaya yako nzuri umejenga ghorofa
@brownjulius8514
@brownjulius8514 11 күн бұрын
Muombee bro nimarehemu Sasa hiv huyo dada wawatu😢😢
@chemstry409
@chemstry409 8 ай бұрын
Ahhhhhhhhh....kumbe ndio maana huwa anavaa kofia leo ndio nimegundua....😂😂😂
@aishaomar2287
@aishaomar2287 8 ай бұрын
😂😂😂😂
@Gloriarespiki
@Gloriarespiki 9 күн бұрын
😢😢rip dida
@MaryamSimai-b9f
@MaryamSimai-b9f 6 күн бұрын
Huyo Mr Nana hakuwa akimtaka uchumba gani huo miaka 2
@godymastermind9534
@godymastermind9534 8 ай бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu. Dida kuongelea wengine kwenye mashamsham anaonaga raha sana, leo kuhojiwa anapanic kama vita vile. Atulie kuimba kupokezana😅😅😅
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 ай бұрын
Namshangaa anavyolalama
@salimalesry428
@salimalesry428 8 ай бұрын
dida halafu ni zee kweli
@chemstry409
@chemstry409 8 ай бұрын
Sura duuuuuuhhhh mtihani....😂😂😂
@FatimaVorogwe
@FatimaVorogwe 8 ай бұрын
😅😅😅😅
@hosea7919
@hosea7919 8 ай бұрын
Didah Nakupendaa mwanamke kujiamini bwana
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 8 ай бұрын
Hili janajike Lina sura mbaya kwa mkorogo limekwisha margea juwa Lina zama Tena tubia Tena najua utanuna ila ujembe ushakufika
@LibanleylaMuhidin
@LibanleylaMuhidin 8 ай бұрын
Lakini kaolewa na ako na ndoa 😂😂😂😂,mbona wanaume wanamtafuta😂😂😂😂
@NoelMussa-k7o
@NoelMussa-k7o 8 күн бұрын
Wivuuuuuuuuu jamani wivuuuuuuu😂😂😂
@YunisJerald
@YunisJerald 8 ай бұрын
😂😂😂😂dida unajiamini😂😂
@fakihassan9021
@fakihassan9021 9 күн бұрын
Nakaburini unatafutahela mama ulitamba sana mama mungu akupunguziye azabu ya kaburi
@Mamkubwa
@Mamkubwa 9 күн бұрын
Wewee..... unasutana hadi na maiti. Astaghfirullah. 😢
@NoelMussa-k7o
@NoelMussa-k7o 8 күн бұрын
Yani wewe hakiri huna mtu ameshakufa bado unatoa maneno kumbuka na wewe ipo siku utalala kama yeye mungu akusamehe hujui ulisemaloooo pumbavu wewe😢😢😢😢😢
@modestsharia7127
@modestsharia7127 8 ай бұрын
😂😂 Lia lia fc!
@Marjeby
@Marjeby 8 ай бұрын
Huyo Didaa mwenyewe kazeeka hatari na uso ulivyomzito aiseee
@chemstry409
@chemstry409 8 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 8 ай бұрын
Vip ww una ck 1 tangu ulipozaliwa?
@hamzaqaacm1869
@hamzaqaacm1869 8 ай бұрын
Kazeeeka bwanaaa 😂😂😂​@@ruqaiamohammed345
@NoelMussa-k7o
@NoelMussa-k7o 8 күн бұрын
Yakwako umeiona 😂😂😂 au kusema yawenzenu yakwenu hamuyaoniiiiiii😂😂
@vicentmapunda3146
@vicentmapunda3146 8 ай бұрын
Kwa hyo kwenye kipindi chako kule unvoongelea mambo ya wenzio yako mbn miship inakutoka
@youthchanel8612
@youthchanel8612 8 ай бұрын
Umeona eeh
@faidhacute
@faidhacute 8 ай бұрын
Dida bhana tatz unajikubali sana ndio maana huchelew kweny mahusiano😮
@righitkileo
@righitkileo 11 күн бұрын
Maskini dida alikuwa anajiami sana na Alikuwa mpambanaji sana R,i,p kwani mkiachana sikuzote hakuna qa ukweli uzushi tu
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 8 ай бұрын
Kikubwa mwana ameshapiga😂wewe ndio umeloose hapo.
@saidissa4741
@saidissa4741 8 ай бұрын
Hahaha hahaha
@rose_Winchester86
@rose_Winchester86 8 ай бұрын
Ameloose nini? Kwani kaondoka na k yake
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 8 ай бұрын
@@rose_Winchester86 Umeshawai kusikia wapi mwanaume malaya dadangu?Ila mwanamke ndio anakua malaya hapo tayari wanaume wengine wanamdiscredit watapiga wanaondoka heshima lazima ishuke ila mwanaume heshima lazima iongezeke😄
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 8 ай бұрын
Hili ni gume gume wachaga weka pesa mezani tumalizane
@ChristinaOnditi-el3xo
@ChristinaOnditi-el3xo 8 ай бұрын
Ila dida Kwa hicho kibwana ulijichanganya.pole japo ni kawaida katika maisha kukosea.yani huyo wala sio aina Yako. Pale Kwa mea.ndio mie nilipenda usimame imara
@highvoltages4169
@highvoltages4169 8 ай бұрын
Dida anajifanyaga kutetea wanawake wanaolialia radioni na kuwasema vibaya wanaume, DIDA LEO LIMEMSHUKA SHUU
@mwantumjaff1602
@mwantumjaff1602 8 ай бұрын
Mtihani dunia hii wallah😢E' Mungu tupe mwsho mwema
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 ай бұрын
Una nuksi tu bi dada ,eti huna muda wa kuongelea mapenzi!!? Ila una muda wa kuongelea mapenzi ya wenzako maana hadi mishipa huwa inakutoka 😂😂😂
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 8 ай бұрын
Mbona umezeeka dida
@gracewairimu800
@gracewairimu800 8 ай бұрын
Kwanini asizeeke na miaka inapita?au wewe bado upon na miaka miwili hadi leo😅
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 8 ай бұрын
@@gracewairimu800 mimi nimezeeka na nimejikubali hawa wenzetu hawajikubali hapo bado anajiona ni msichana wa miaka 20
@NoelMussa-k7o
@NoelMussa-k7o 8 күн бұрын
​@@gracewairimu800😂😂😂
@fatumamilimo7336
@fatumamilimo7336 8 ай бұрын
mbona wewe unaongeleaga mapenzi ya watu😂😂😂😂umepaniki dada
@KhadijaAmour-b9y
@KhadijaAmour-b9y 8 ай бұрын
Mwambireeee 😅😅😅
@singidaone5628
@singidaone5628 8 ай бұрын
Dida ni mhuni kama wahuni wengine
@najmasalim-rg6ow
@najmasalim-rg6ow 8 ай бұрын
weeutumbo tu kama utumbo mwingine tuu😂😂sura lake sasa😂😂dida ukue jaman
@deboramartin8111
@deboramartin8111 8 ай бұрын
Yaani dida akiolewa akikaa na mwanaume miez 3 nipo paleee tatizo dida anajiona vijiela anavyo shika ndiooo mme
@MadinaAbduKyabazinga
@MadinaAbduKyabazinga 8 ай бұрын
Aseee didah anaongea akupi ata muda wakumuuliza kitu amepanic
@Magie-c7w
@Magie-c7w 6 күн бұрын
Waandishi nao akili hamna
@AminaAlly-wo9ul
@AminaAlly-wo9ul 7 ай бұрын
Hiy ndo didah
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 8 ай бұрын
Dida Tulia Sasa khaaaa umeupiga mwing hela. Anatafuta hela. Mmmm mbona unapendankila. Siku 😅😅Mr Nana Kawa Mr limao😂😂
@KhadijaAmour-b9y
@KhadijaAmour-b9y 8 ай бұрын
Hivi anajitangazia ana hela hajui wanaume wa Dar wana njaaa 😂😂😂
@derrickoliwa8506
@derrickoliwa8506 9 күн бұрын
Sai kamwacha Mr Nana anaponda Raha nenda kawasalime huko!!!nenda kajigambe sisi Kenya tuna stress hatuna Deputy hatuna mda wa ujinga
@nanaritho6850
@nanaritho6850 8 ай бұрын
Ushachunwaaaaaa na nyimbo kakutolea
@RamadanLubuva
@RamadanLubuva 8 ай бұрын
haji manala chukuwa mwengine huyo
@fatmaallyabdul1732
@fatmaallyabdul1732 8 ай бұрын
😂😂😂ila kweli
@bettybetty8717
@bettybetty8717 8 ай бұрын
Dida ushakua bibi tulia achana na vijana wadogo
@twiseghekisilu8845
@twiseghekisilu8845 8 ай бұрын
Waandishi wachonganishi jamani mbwa hawa,
@pendo8082
@pendo8082 8 ай бұрын
Huyu didah hatari 😂😂😂didah sio maskini wa wanaume 😂😂😂
@EmmanuelZenda-ji5gc
@EmmanuelZenda-ji5gc 8 ай бұрын
Uyu mzee anazeeka vibaya sasa mana kila siku kuachika tu mpaka waheshimiwa wamemshindwa,mpaka vibenteni navyo vimemkimbia akitulize sasa
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwakwel
@khadija5761
@khadija5761 8 ай бұрын
😂😂😂 wanaume nao wanazeesha voo kila mwanaume amchokore tuu
@jaquilinekivunge331
@jaquilinekivunge331 8 ай бұрын
Hahaaa
@teedullah5708
@teedullah5708 8 ай бұрын
😂😂😂😂 Aki dida nakupendeya hapo tufunze didaa
MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
17:07
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 58 МЛН
Kluster Duo #настольныеигры #boardgames #игры #games #настолки #настольные_игры
00:47
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 22 МЛН
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 118 МЛН
Cook with Wema Sepetu - S05E05 Didah Shaibu
8:07
Wema Sepetu
Рет қаралды 153 М.
DIDA DR KUMBUKA SIO MSHIKAJI WANGU MIMI NA YEYE ATUFANANI
7:43
啊?就这么水灵灵的穿上了?
00:18
一航1
Рет қаралды 58 МЛН