Dida kapanik kwann Mr Nana katoa siri ukweli ndy huo ushakua utulie uache kutembea na watoto rudi kwa Muheshimiwa hueshimike km wenzio kina Salma Dakota
@ShaymaaMlanza8 ай бұрын
Atafute saizi yake co umshauri arudi kwa muheshimiwa unajua kilichowatenganisha mambo mengine cri tuwachie wenyewe
@OfficialA836408 ай бұрын
@@ShaymaaMlanza Miaka 7 uhawara ndoa miezi 3 kavumilia kuzini imshinde ndoa kuvumilia huyu hamuwezi mtu kwenye ndoa we binadamu gani kila mwanaume mbaya tu yy mapungufu yake wanayavumilia vp yy ashindwe kuwavumilia wenzie mtoto wa ki8slam hasifiwi kuolewa na kuachwa ht wazazi wetu walivumilia mengi hd wanazikana miaka 50 40 30 ndani ya ndoa ina maana walikuwa wanaishi vizuri bila mikwaruzano ndani
@ruqaiamohammed3458 ай бұрын
Hakika maana kuna watu wanajua maisha ya watu zaid ya namba za cm za watu 😂😂@@ShaymaaMlanza
@RithaRitha-cj3ph3 күн бұрын
Mmmh makubwa
@gracewairimu8008 ай бұрын
Sina uzuri wa sura ila nina uzuri wangu mwenyewe ndo mana wana ni ng'ang'ania😂nipe hi kama unakubaliana na hii
@BarakaTheprince7 ай бұрын
😅O
@fatumakhalfan937210 күн бұрын
Sina uzur wa sura kweli
@mankamushi13748 ай бұрын
Dida nakupenda Sana dadangu usijali maneno ya watu wapo ili weseme
@MariaCassian7878 ай бұрын
Dida unaushamba flani hivi chunguza maneno yako kuanzia ugomvi wako na Jack mpaka hapa kwa Mr Nana ndio utajua huo ushamba wako na ulimbukeni wako
@JudythAsiko8 ай бұрын
Love this woman ❤❤❤❤go girl 🥰
@BarbaraPatience-qt9cc8 ай бұрын
Me too
@BbasuleBasule6 күн бұрын
Mungu Ailaze Roho Ya Dida Alikua M2 Mwema Sanaa ❤❤❤❤
@yusuphmruma177110 күн бұрын
RIP😢 DUU leo ni usiku wa 3 yuko kwny kaburi lake yarabi tupe mwsh mwm
@zuumlondwa95184 күн бұрын
Anatembelea Kiki uyo
@alexleo48639 күн бұрын
R.I.P Legend (Oct 4, 2024 ulilala)
@MagrethMallya-we8ui8 ай бұрын
Knyoko, Nanuuu, hakuna mchaga fala , Asante dadaangu Didaa.
@JoshuaAizack10 күн бұрын
Mtapakwa mafuta mwishowe muoze kama mnapenda hela sana
@augustinenjagi62558 ай бұрын
Huyu Dida is very wise
@aminamwivita7690Ай бұрын
Dida i love you ❤ my role model 💕
@TundaJr10 күн бұрын
Rest in peace dida 😢😢😢😢
@alsam48818 ай бұрын
Dida analazimisha kuonekana kuwa msichana lakini ameshaanza kuzeeka hadi ngozi zimekunjika, kwahiyo sasa atubu kwa Mola wake na aache zinaa na avae nguo za stara zinazoendana na umri wake, Na kama anataka kuolewa tena basi atafute mzee mwenzake na aachane na vibenteni.
@rerisamba8 ай бұрын
Kumbukeni mafuta hufanyangozi kukunjika
@vickydan28698 ай бұрын
@@rerisambamafuta yapi ya mgando au hizi crem zao
@vickydan28698 ай бұрын
@@rerisambaau hizi roshen zakawaida
@Mrs_ABD8 ай бұрын
Wewe tayari ushatubu😂😂😂😂😂 kutubu haitaki umri
@sawackoswald93228 ай бұрын
Uchi hauzeeki nakuna wengine sura za kitoto ila huko chini niwazeee ivyouzee sio kitu kitu madini kichwani
@HannanSomaiyah-wp7ny8 ай бұрын
Mbona kama kapanic vile 😢😢 mapenz pia Yana nafasi yake, 🙏
@chany99508 ай бұрын
Didaaaa Love you😘😘😘
@vero578 ай бұрын
Semaa didaaaa!!!!!
@MwanaidiAthumani-y9k8 ай бұрын
Duuuh umezeheka sura m aya
@JennyJma8 ай бұрын
Jamani coment nyingi mnasema dida kazeeka sasa kwani siku zinarudi nyuma??? Ikiwa Anty ezekel kafanya birthday mwaka jana katimiza miaka 40 tena dida kaanza kuoneka kwenye maigizo na kina kanumba nakumbuka kaole group mwaka 2000 sasa kama mnabisha hebu kamwangalie johari kwenye tamthilia yake ya siri kwenye sinema zetu akiwa sura imeshakomaa sasa kwanini dida? Mimi nimeanza kuwaona dida docta chen johar nora rey nikiwa na miaka 12 ITV saivi nina miaka 34 sasa kwanini wasizeeke mtizameni docta cheni alivozeeka na ndio mwanaume kwanini hawa wanawake wasizeeke? Kamwangalieni monalisa vizuri sura imeshaanza kuzeeka na ndio hajawahi kujichubua na mikorogo
@aminamzuri99338 ай бұрын
Mmmmh dida nana anakupenda
@DayramGibson-x5b8 ай бұрын
Akii kumbe dida ni mrembo ivyo❤
@Mundi-oz7os8 ай бұрын
Huzungumzii mapenzi mbona unawabana wenzio studio wazungumzie mambo yao ya ndani 😊
@eggysulle79888 ай бұрын
Ndo utofaurltshe ,akifnya ivo anatafta ugal yaan pesa kama anavxema
@vanessalaizer43638 ай бұрын
So kama dokta anatibu nyeti za wagonjwa hospitali inamanisha nae aongelee nyeti zake???? Em jiulize then ujijibu mwenyewe
Maana nilikuwa nataka kusema kanitangulia mwenyewe 😂😂😂😂😅
@vanessalaizer43638 ай бұрын
Wewe yako nzuri? Mashavu ka paka wa hoteli za Nungwi
@SashaRamadhani-uu1wv12 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂@@vanessalaizer4363
@HappyEel-wg4qx8 ай бұрын
Ushazeeka
@SaidChilaza8 ай бұрын
Keshazeheka bibi yakoo
@ruqaiamohammed3458 ай бұрын
Vp ww una ck 1 ya kuzaliwa mpk leo?
@SaidChilaza8 ай бұрын
@@ruqaiamohammed345 sijakufahamu
@shadiwaigwa92308 ай бұрын
Dida Dida uko sawa
@MsAggie58 ай бұрын
Huyu mwanamke mzima akue sasa
@LovenessPeterMaka11 күн бұрын
Rip dida
@Charlesray-sv2lm8 ай бұрын
Mm naona nikuwa dida na huyo mr nana hiyi ni kk ili jamaa afahamike nasio kitu kingine this life now days too much kiki
@meryamreally27688 ай бұрын
Nakubali dada sawa ❤️❤️❤️👏👏👏👍
@aminamwivita7690Ай бұрын
Mashaallah tabaraka Allah Akbar ❤
@mohameddikaluka31628 ай бұрын
Na Angekua mzuri huyu! Domo Sasa,, Arafu Zee frani hivi
@NiceWatson-y7e8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@estertiffa-ew5id8 ай бұрын
Eeeeeh 😂😂😂acha bhasi
@fathiyahmuzney73678 ай бұрын
😂😂😂
@ubongosahihi8 ай бұрын
Kwa hiyo tusizeeke so tusipo zeeka bibi mtampata wapi mbona hamuelewi Dunia jamani loooo et poleni mnao comment ambazo hazina busara wala hekima come onnnnnnnnn😒😒
@khadjamhozya8 ай бұрын
Acha ishamba kwani yeye kasema mzuri
@RebecaRaphael-s5k8 ай бұрын
Kwel sura dada 😢
@SekelaJakson-ls7dd10 күн бұрын
😢😢😢amekufa dida😢😢😢
@RayChausa10 күн бұрын
😢😢😢😢kifo ni mlango na kila mmoja ataupita😢😢😢
@DoreenShuma4 күн бұрын
R .i.p kipenzi cha wengi siamini naona kama bado upo dada najikuta naiogopa duni...kweli tumuogope mungu dunia mapito
Uliyemtukana leo katangulia kabulin je unajisikiaje?
@RachelMakalanga-du2oj12 күн бұрын
@@Wazir-y5kimagine nyie maisha ni mafupi.
@Wazir-y5k12 күн бұрын
@@RachelMakalanga-du2oj noma sn!!
@MiliamNgozi12 күн бұрын
We hutazeeka
@MonicaMkombwe10 күн бұрын
Kwani kazeeka Nini mdada wa nini
@mapachaproducts24758 ай бұрын
Yaani huyo nana sijui nani aache basi ushamba hivi why umepewa airtime then unaexpose mambo ya ndani
@Mumewangu8 ай бұрын
Sasa amefumania itakuaje DIDA amezeeka
@vanessalaizer43638 ай бұрын
Mbona hajaongea mabaya kaka wa watu jmn
@brownjulius851411 күн бұрын
R.i.p dida😢😢
@OmanOman-dn6dj8 ай бұрын
Sura
@loulumony85198 ай бұрын
Mwambie dida nakubali kbx🤛🤛😍😍
@Sarah-tq2vc8 ай бұрын
Mtangazaji bwana ety hoo mara dida ana kingast mwengine😅😅😅😅
@AliHaji-w1x7 ай бұрын
Dida kizeee duh hafanani na uyo kaka
@speroachpaulsen8 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@tobosha32368 ай бұрын
Mungu naomba usimjalie binti yngu ukiniruzuku awe n sura yngu baba mtu
@blaqyrn36558 ай бұрын
😅😅😅
@JUU-lw2je13 күн бұрын
Pumzika kwa amani Dida
@annamwakibinga5278 ай бұрын
Huyo ndiyo Dida
@Bless-b.DL-babyofficial87698 ай бұрын
Aisee dida amesha zeheka
@mesukanku60168 ай бұрын
DIDA EST UNE FEMME INDÉPENDANTE LIBRE ELLE FAIT CE QU'ELLE VEUT DE SA VIE
@BarbaraPatience-qt9cc8 ай бұрын
True
@TheoMukenga8 ай бұрын
Aza ndumba ba femme tanzanien bazalaka na respect epa mobali te.ata soki oza tati wata bako cheet yo kaka
@FaudhiaWadongoАй бұрын
Woyooooooo wapeee dida wangu
@FelistersMejumaa-fp6cc8 ай бұрын
Umezeeka kweli mamaa,, na hapo kwa sura ulivyo sema huna ni kweli umelitambua hilo
@StumaiIssa-nh8bo8 ай бұрын
Hahahahaha utaniuwa Kweli sura hana alafu ndo nina muona vizur
@khadija57618 ай бұрын
Umezeekaaa dada😢
@rukiyyarukiyya63178 ай бұрын
Mmmh
@hanifamziray2778 ай бұрын
Ww tena umesahau ulivyokuwa unamsifia mpk ndoa pole
@saeedmassoud2568 ай бұрын
Sura bozuu
@chemstry4098 ай бұрын
😀😀
@aishaarusha8948 ай бұрын
Kayako
@FatmaHalfan-w3l8 ай бұрын
Mpaka unachapia kwa roho mbaya yako nzuri umejenga ghorofa
@brownjulius851411 күн бұрын
Muombee bro nimarehemu Sasa hiv huyo dada wawatu😢😢
@chemstry4098 ай бұрын
Ahhhhhhhhh....kumbe ndio maana huwa anavaa kofia leo ndio nimegundua....😂😂😂
@aishaomar22878 ай бұрын
😂😂😂😂
@Gloriarespiki9 күн бұрын
😢😢rip dida
@MaryamSimai-b9f6 күн бұрын
Huyo Mr Nana hakuwa akimtaka uchumba gani huo miaka 2
@godymastermind95348 ай бұрын
Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu. Dida kuongelea wengine kwenye mashamsham anaonaga raha sana, leo kuhojiwa anapanic kama vita vile. Atulie kuimba kupokezana😅😅😅
@fatmaallyabdul17328 ай бұрын
Namshangaa anavyolalama
@salimalesry4288 ай бұрын
dida halafu ni zee kweli
@chemstry4098 ай бұрын
Sura duuuuuuhhhh mtihani....😂😂😂
@FatimaVorogwe8 ай бұрын
😅😅😅😅
@hosea79198 ай бұрын
Didah Nakupendaa mwanamke kujiamini bwana
@KijukuuMtemi8 ай бұрын
Hili janajike Lina sura mbaya kwa mkorogo limekwisha margea juwa Lina zama Tena tubia Tena najua utanuna ila ujembe ushakufika
@LibanleylaMuhidin8 ай бұрын
Lakini kaolewa na ako na ndoa 😂😂😂😂,mbona wanaume wanamtafuta😂😂😂😂
@NoelMussa-k7o8 күн бұрын
Wivuuuuuuuuu jamani wivuuuuuuu😂😂😂
@YunisJerald8 ай бұрын
😂😂😂😂dida unajiamini😂😂
@fakihassan90219 күн бұрын
Nakaburini unatafutahela mama ulitamba sana mama mungu akupunguziye azabu ya kaburi
@Mamkubwa9 күн бұрын
Wewee..... unasutana hadi na maiti. Astaghfirullah. 😢
@NoelMussa-k7o8 күн бұрын
Yani wewe hakiri huna mtu ameshakufa bado unatoa maneno kumbuka na wewe ipo siku utalala kama yeye mungu akusamehe hujui ulisemaloooo pumbavu wewe😢😢😢😢😢
@modestsharia71278 ай бұрын
😂😂 Lia lia fc!
@Marjeby8 ай бұрын
Huyo Didaa mwenyewe kazeeka hatari na uso ulivyomzito aiseee
@chemstry4098 ай бұрын
😀😀😀😀😀😀
@ruqaiamohammed3458 ай бұрын
Vip ww una ck 1 tangu ulipozaliwa?
@hamzaqaacm18698 ай бұрын
Kazeeeka bwanaaa 😂😂😂@@ruqaiamohammed345
@NoelMussa-k7o8 күн бұрын
Yakwako umeiona 😂😂😂 au kusema yawenzenu yakwenu hamuyaoniiiiiii😂😂
@vicentmapunda31468 ай бұрын
Kwa hyo kwenye kipindi chako kule unvoongelea mambo ya wenzio yako mbn miship inakutoka
@youthchanel86128 ай бұрын
Umeona eeh
@faidhacute8 ай бұрын
Dida bhana tatz unajikubali sana ndio maana huchelew kweny mahusiano😮
@righitkileo11 күн бұрын
Maskini dida alikuwa anajiami sana na Alikuwa mpambanaji sana R,i,p kwani mkiachana sikuzote hakuna qa ukweli uzushi tu
@EmmanuelZenda-ji5gc8 ай бұрын
Kikubwa mwana ameshapiga😂wewe ndio umeloose hapo.
@saidissa47418 ай бұрын
Hahaha hahaha
@rose_Winchester868 ай бұрын
Ameloose nini? Kwani kaondoka na k yake
@EmmanuelZenda-ji5gc8 ай бұрын
@@rose_Winchester86 Umeshawai kusikia wapi mwanaume malaya dadangu?Ila mwanamke ndio anakua malaya hapo tayari wanaume wengine wanamdiscredit watapiga wanaondoka heshima lazima ishuke ila mwanaume heshima lazima iongezeke😄
@bakarikayugwa32958 ай бұрын
Hili ni gume gume wachaga weka pesa mezani tumalizane
@ChristinaOnditi-el3xo8 ай бұрын
Ila dida Kwa hicho kibwana ulijichanganya.pole japo ni kawaida katika maisha kukosea.yani huyo wala sio aina Yako. Pale Kwa mea.ndio mie nilipenda usimame imara
@highvoltages41698 ай бұрын
Dida anajifanyaga kutetea wanawake wanaolialia radioni na kuwasema vibaya wanaume, DIDA LEO LIMEMSHUKA SHUU
@mwantumjaff16028 ай бұрын
Mtihani dunia hii wallah😢E' Mungu tupe mwsho mwema
@fatmaallyabdul17328 ай бұрын
Una nuksi tu bi dada ,eti huna muda wa kuongelea mapenzi!!? Ila una muda wa kuongelea mapenzi ya wenzako maana hadi mishipa huwa inakutoka 😂😂😂
@fatmaabdallah77098 ай бұрын
Mbona umezeeka dida
@gracewairimu8008 ай бұрын
Kwanini asizeeke na miaka inapita?au wewe bado upon na miaka miwili hadi leo😅
@fatmaabdallah77098 ай бұрын
@@gracewairimu800 mimi nimezeeka na nimejikubali hawa wenzetu hawajikubali hapo bado anajiona ni msichana wa miaka 20
@NoelMussa-k7o8 күн бұрын
@@gracewairimu800😂😂😂
@fatumamilimo73368 ай бұрын
mbona wewe unaongeleaga mapenzi ya watu😂😂😂😂umepaniki dada
@KhadijaAmour-b9y8 ай бұрын
Mwambireeee 😅😅😅
@singidaone56288 ай бұрын
Dida ni mhuni kama wahuni wengine
@najmasalim-rg6ow8 ай бұрын
weeutumbo tu kama utumbo mwingine tuu😂😂sura lake sasa😂😂dida ukue jaman
@deboramartin81118 ай бұрын
Yaani dida akiolewa akikaa na mwanaume miez 3 nipo paleee tatizo dida anajiona vijiela anavyo shika ndiooo mme
@MadinaAbduKyabazinga8 ай бұрын
Aseee didah anaongea akupi ata muda wakumuuliza kitu amepanic
@Magie-c7w6 күн бұрын
Waandishi nao akili hamna
@AminaAlly-wo9ul7 ай бұрын
Hiy ndo didah
@baimarrajahbuayan62378 ай бұрын
Dida Tulia Sasa khaaaa umeupiga mwing hela. Anatafuta hela. Mmmm mbona unapendankila. Siku 😅😅Mr Nana Kawa Mr limao😂😂
@KhadijaAmour-b9y8 ай бұрын
Hivi anajitangazia ana hela hajui wanaume wa Dar wana njaaa 😂😂😂
@derrickoliwa85069 күн бұрын
Sai kamwacha Mr Nana anaponda Raha nenda kawasalime huko!!!nenda kajigambe sisi Kenya tuna stress hatuna Deputy hatuna mda wa ujinga
@nanaritho68508 ай бұрын
Ushachunwaaaaaa na nyimbo kakutolea
@RamadanLubuva8 ай бұрын
haji manala chukuwa mwengine huyo
@fatmaallyabdul17328 ай бұрын
😂😂😂ila kweli
@bettybetty87178 ай бұрын
Dida ushakua bibi tulia achana na vijana wadogo
@twiseghekisilu88458 ай бұрын
Waandishi wachonganishi jamani mbwa hawa,
@pendo80828 ай бұрын
Huyu didah hatari 😂😂😂didah sio maskini wa wanaume 😂😂😂
@EmmanuelZenda-ji5gc8 ай бұрын
Uyu mzee anazeeka vibaya sasa mana kila siku kuachika tu mpaka waheshimiwa wamemshindwa,mpaka vibenteni navyo vimemkimbia akitulize sasa
@NiceWatson-y7e8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwakwel
@khadija57618 ай бұрын
😂😂😂 wanaume nao wanazeesha voo kila mwanaume amchokore tuu