🔴

  Рет қаралды 85,482

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

🔴#LIVE: MZEE MAGOMA ANAFUNGUKA A-Z UKWELI WA KESI YAKE NA YANGA (SPORTS ARENA 17/7/2024)

Пікірлер: 100
@laurentkirigiti
@laurentkirigiti 2 ай бұрын
Kimataifa leo naomba mtusadie kujua tofauti kati ya timu kuwa nzuri na kuwa na kizazi cha dhahabu kwa sabu belgium 🇧🇪 hwawakufanya makubwa sana kwenye world Cup na euro lakin franch walio fany vzr toka 2016 mpk leo lakini hwatajwi kuwa na kizazi cha dhahabu
@godfreyMchomvu-q2d
@godfreyMchomvu-q2d 2 ай бұрын
Yanga oyeeeee
@NickisonJonathan
@NickisonJonathan 2 ай бұрын
Uyo mzeh kazeeka vibay mmkapime akali
@DrNyamwiMSMD
@DrNyamwiMSMD 2 ай бұрын
Mzee Ana point
@thabit5775
@thabit5775 2 ай бұрын
Mzee yuko sawa
@johnsilima1629
@johnsilima1629 2 ай бұрын
Hersi Aende tu huko kenya akaiongoze Gor mahia sisi kama yanga hatumtakii😢😢😢😢😢😢😢
@FridaMbwambo-g9e
@FridaMbwambo-g9e 2 ай бұрын
Huko alikotoka pia hawamtaki,Kwa ujumla hakubaliki asituvuruge, Ingekuwa wote tunaruhusiwa kuwa viongozi Kila mtu ingekuwa Rais wa nchi Hatukutaki mzee kalime majukumu yako mengi usimsumbue Rais wetu Engineer Hers
@zombokoyassin-li8sd
@zombokoyassin-li8sd 2 ай бұрын
Inasikitisha sana, cc tunamuwaza chama atauwasha naona gani moto akiwa na pca huyu mzee nae anaivuruga tena yanga da! Katumwa co bure hiii tena unaiingiza kwenye mgogoro tena kweli? Huyu mzee kanichanganya leo
@Mhappy5
@Mhappy5 2 ай бұрын
Mzee anataka aende na engineer au nan😒
@ISSACKHAMIS-e2r
@ISSACKHAMIS-e2r 2 ай бұрын
Wazee wa dar mnanjaa sana hv yanga ni ya dar tu
@FahadBey-ub2rz
@FahadBey-ub2rz 2 ай бұрын
Kumbe ww unajua yanga ni ya wap!??
@saidaltamimu7930
@saidaltamimu7930 2 ай бұрын
Huyu Mzee anataka kuwapa watu dhambi fisad
@rahmasaid9588
@rahmasaid9588 2 ай бұрын
mnafiki huyo si mwanachama tena
@JumaKigambo
@JumaKigambo 2 ай бұрын
Wanaweza kuwa na faida kwenye bakuli hivyo kwa sasa Mambo yao nimagumu
@SebastianMaleto
@SebastianMaleto 2 ай бұрын
Samaki mmoja akioza unamtoa unatupa wengine unapasha !!! Huyu mzee atuache !
@ConfusedJellyFish-zi5fb
@ConfusedJellyFish-zi5fb 2 ай бұрын
Hivi huyo Mzee anamchango gani kwa yanga au yeye akijivua uanachama yanga itapungukiwa nini atoe njaa hapa na arudishe kadi ya timu yetu
@david255chengula5
@david255chengula5 2 ай бұрын
Kwani uyu mzee tukimfuta uanacha ma sisi kama wanachama kuna shido?
@SebastianMaleto
@SebastianMaleto 2 ай бұрын
Amna Shido kabisa
@johnsilima1629
@johnsilima1629 2 ай бұрын
Pameanza kuchangamka Ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ibrahimismail8239
@ibrahimismail8239 2 ай бұрын
Sasa..nanyie..wasafi..mtu..anaongea..alafu..mnamkatisha..kisa..matangazo..sio..sawa..jirekebisheni..mnatakiwa..kujua..mda..gani..wamatangazo..mdagani..wakuongea
@zombokoyassin-li8sd
@zombokoyassin-li8sd 2 ай бұрын
Njaaa kali, kwann yanga ikiwa inafanya vizuri ndio yanaibuka haya? Gsm atoke na injinia wake yeye ataweza kuendesha tim?
@SebastianMaleto
@SebastianMaleto 2 ай бұрын
Huyu mzee msenge 2
@JumaMigezo
@JumaMigezo 2 ай бұрын
Njaa mbaya
@ramadhanihassani6825
@ramadhanihassani6825 2 ай бұрын
Anatumiwa na simba
@VedasElly
@VedasElly 2 ай бұрын
Hana hoja ya maana
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 2 ай бұрын
Kitenge kelele nyingi hutoi nafasi kwa wenzio.
@Jaibi-j1p
@Jaibi-j1p 2 ай бұрын
Hapa kazi tu.
@almortabaz_Tz
@almortabaz_Tz 2 ай бұрын
Hawala anafosi kuwa sawa na waife
@karenlema4317
@karenlema4317 2 ай бұрын
Mzee Hana hoja ya maana kiukweli
@husseinmillinga
@husseinmillinga 2 ай бұрын
Hii nayo kiki
@jumannejuma5864
@jumannejuma5864 2 ай бұрын
Jumanne Juma Huyo mzee Magoma ametokea wapi lakini anataka atuhalibie timu yetu tunamuombea Mungu amchukue akapumzike mbinguni ok na apunguze njaa zake huyo
@ramadhanihazard5459
@ramadhanihazard5459 2 ай бұрын
sio ushirikiano mzee rage weka wazi anataka mtonyo
@swahibumaliki1547
@swahibumaliki1547 2 ай бұрын
Wee Mzee uchagukuwe nani ww unanjaa kafanye kz upate kula
@DeogratiusMwachali-uy1kx
@DeogratiusMwachali-uy1kx 2 ай бұрын
Huyu mzee mbona kama anatuchanganya na anajichanganya mwenyewe
@AndersonMokiwa-is5ch
@AndersonMokiwa-is5ch 2 ай бұрын
Kwa hivyo huyu mzee anataka hata sisi wananch tuende bungeni wote mana wabunge bekeyake ni kosa serikari inatubagua wananch hana akili huyu mzee
@karenlema4317
@karenlema4317 2 ай бұрын
Sasa tukienda wote kwenye mkutano tutatosha huko mkutano mkuu hii kali
@yusuphabubakary2030
@yusuphabubakary2030 2 ай бұрын
magoma mwez ujao aachiwe amlipe aziz ki mshahara
@Bullah_tz
@Bullah_tz 2 ай бұрын
kuna mazee mengine hua yanazeeka vibaya kabisa
@salumhamisi22
@salumhamisi22 2 ай бұрын
kwa vile anapingana na maslahi yako?
@bakariomarimndeme6059
@bakariomarimndeme6059 2 ай бұрын
Naomba wizara husika iliangalie jambo hili huyu mzee ataka kuleta vurugu na kuondoa utulivu nchi uliokua nao,hembu serekali iliangalie hili kwanza tunakabiliwa na chaguzi serekali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka kesho jambo hili laweza kudhoofisha chaguzi zetu tunaomba utulivu Yanga ina watu wengi nchi nzima twataka utulivu twende kwenye chaguzi zetu kwa amani.
@SportsRaha
@SportsRaha 2 ай бұрын
Tatizo la waTz ndo hilo mzee kaona mbali ila kutokana jambo limekuja wakati Yanga inapata mafanikio wanamuona mzee chenga ila baadae mambo yakienda kombo ndo watamkumbuka
@paolo4584
@paolo4584 2 ай бұрын
Huyu mzee ana hoja kubwa sana sema.. mbumbu wengi wamemezwa na furaha😅
@AndersonMokiwa-is5ch
@AndersonMokiwa-is5ch 2 ай бұрын
Huna akili hata wewe
@AndersonMokiwa-is5ch
@AndersonMokiwa-is5ch 2 ай бұрын
​@@paolo4584kwa hivyo wabunge wanaotuwakilishqga bungeni sio sawa wananch wote tuende bungeni
@iddimngazija1957
@iddimngazija1957 2 ай бұрын
Hata nyinyi mlimuona kigwangala chenga lkn hatukuwaingilia kwenye mambo yenu
@MileyMziray
@MileyMziray 2 ай бұрын
Kalombwe
@dominicmasele750
@dominicmasele750 2 ай бұрын
Naomba kujua kwa nini Magoma hana tawi mpaka saiv? Na je amejaribu kuomba uongozi kwenye tawi ili apate nafac iyo anaililia amekosa?
@Khalfan-wp8wm
@Khalfan-wp8wm 2 ай бұрын
Mbn huyo kitenge akiguswa kwenye timu yake anakuwa mkalii msilete uyanga kwenye kipind
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 2 ай бұрын
Huyu mzee siyo mtanzania uhamiaji muiteni huyu mzee ahojiwe uraia wake inaonekana anapenda vurugu nakufanya amani kutoweka
@EmmanuelIkenge
@EmmanuelIkenge 2 ай бұрын
Huyu mzee ni kolo ....hana jipya hata anavyoongea hana hoja ya maana....rushwa tu ndo inamsumbua aliyopewa na uongozi wa simba..
@JoelMwakabanga-wk6zz
@JoelMwakabanga-wk6zz 2 ай бұрын
Magoma acha ujinga ulikuwa wapi mda wote huo
@AliJussa
@AliJussa 2 ай бұрын
Kwa sasa Yanga haimtambui huyo mtu😅, mnajisumbua bureee
@geophreymchunguzi7144
@geophreymchunguzi7144 2 ай бұрын
Kwa magoma ni wapi wanyanga tukamsalimie?
@juanhumphrey3510
@juanhumphrey3510 2 ай бұрын
24:03 huyu mzee anachokitafuta atakipata mwache atuharibie timu
@JoeliKamwela
@JoeliKamwela 2 ай бұрын
Uyoo mzee msenge tuu naomba auliwe tuuu asituvuluge mzee mpili naomba afanye kaz yake
@MysarahMohamed
@MysarahMohamed 2 ай бұрын
Sema kitenge kweny suala la Yanga humwambii kitu😅😅😅😅🙌🙌🙌
@DanielMollel-mw2eu
@DanielMollel-mw2eu 2 ай бұрын
Tutamchoma kwa mzee magoma
@FridaMbwambo-g9e
@FridaMbwambo-g9e 2 ай бұрын
Haiwezekani wote tuwe viongozi, Tunakuwa na viongozi wawakilishi , Wote tukiwa viongozi nitakuwaje?? Ni kitu hakiwezekani mtateseka sana
@gabrielmoses6860
@gabrielmoses6860 2 ай бұрын
Hiyo mzeee tutamfumua marinda sisi
@antonjohn134
@antonjohn134 2 ай бұрын
Lingekuwa swala la Simba kitenge angekuwepo apo
@ramadhanihassani6825
@ramadhanihassani6825 2 ай бұрын
Kitenge umemuona maana ulikuwa unasema kitenge hayupo
@Zenny89
@Zenny89 2 ай бұрын
Tutawapiga Mawe Hawa Wazee!!! Timu imeanza kufanya vizuri ndo wanaleta kelele…wasituchezee kabisa
@skrinmaginga140
@skrinmaginga140 2 ай бұрын
Njaa kali mianya ya kuibia pesa imefungwa
@EliaElibariki-pu9lu
@EliaElibariki-pu9lu 2 ай бұрын
Watu wanataka maslay yao
@happinessmwaipopo
@happinessmwaipopo 2 ай бұрын
Mzee akapimwe mkojo. Njaa inamsumbua asiturudishe nyuma
@FridaMbwambo-g9e
@FridaMbwambo-g9e 2 ай бұрын
Bwanae hatuwezi kushiriki mikutano wote, kama hupendwi kaa kwa kutulia, haiwezekani wote ha tuwe viongozi kuwa viongozi jamani mzee mbaya ,Viongozi wanachaguliwa ukiona hujachaguliwa wakati wako haujafika huyu mzee asitukoroge
@peterkazeni2460
@peterkazeni2460 2 ай бұрын
hao wazeee watuachie timu yetuuu
@FridaMbwambo-g9e
@FridaMbwambo-g9e 2 ай бұрын
Ni mtu mwenye busara sana na mchapa kazi anakubalika muacheni
@ramadhanihassani6825
@ramadhanihassani6825 2 ай бұрын
Mzeee ana njaa tu anachochote
@PrincePalalu
@PrincePalalu 2 ай бұрын
Huyo Mzee anaonekana anataka madaraka bas mkabidhini yeye uraisi wa yanga huenda atanenepa
@husseinmillinga
@husseinmillinga 2 ай бұрын
Yanga acheni utoto Kiki za nini
@RenatusÑgolongolo-o2j
@RenatusÑgolongolo-o2j 2 ай бұрын
Mbona bungeni hatuendi watanzania wote?
@AkramOmari-ty1up
@AkramOmari-ty1up 2 ай бұрын
hawaaaaaaaa
@bullychandy6509
@bullychandy6509 2 ай бұрын
Zamu ya watani kuteseka
@saidaltamimu7930
@saidaltamimu7930 2 ай бұрын
Yanga haitesek Wala hakuna wakututesa
@HamidaKibwana-cz6yv
@HamidaKibwana-cz6yv 2 ай бұрын
Haiwez tokea Kuna kitu kinatafutwa apo yanga Wana jambo lao
@Yangaone-h8j
@Yangaone-h8j 2 ай бұрын
George Job, huyo mzee umempa maswari nondo hadi kachemsha kujibu, huyo mzee namuona kama virus tu ndani ya club kwani hawezi kufukuzwa kaw lazma
@husseinmillinga
@husseinmillinga 2 ай бұрын
Ukiweka ushabiki pembeni wazee wako sawa, yafanyike marekebisho chapu ingineer abaki
@saidaltamimu7930
@saidaltamimu7930 2 ай бұрын
Usawa gan uliouona kwa magoma
@NazzirMutatina
@NazzirMutatina 2 ай бұрын
Magoma Hajipendi!
@JackKanyigo
@JackKanyigo 2 ай бұрын
Muulize huyo mzee..xaxa hivi tunasajiri yeye amechangia sh.ngap?..mpira kwa xaxa ni pesa,hao wazee wanaongangania wasikike tu bila kutoa hela wakae mbali..anataka maamuzi gani wakat hela hana
@TUNITV-ki8qk
@TUNITV-ki8qk 2 ай бұрын
mzee katokea wapi
@zoharimohammed1569
@zoharimohammed1569 2 ай бұрын
Kumekucha😂😂😂😂😂
@JerryGasper-ft6kr
@JerryGasper-ft6kr 2 ай бұрын
😅😅😅😅😅❤
@RomboBoy-bl7ql
@RomboBoy-bl7ql 2 ай бұрын
Kumbe uchawi upo kwel ndo naanza kuamini
@hozzashehozza9319
@hozzashehozza9319 2 ай бұрын
ipo siku mtamuelewa tu huyu mzee tunaemtukana leo, hii ndo devide and rule. wape wachache uwezo wa kupiga kura ili uweze kuwacontrol wakuchague na kupitisha utakacho wewe, wa kuelewa na aelewe
@comsmkemwa2671
@comsmkemwa2671 2 ай бұрын
Hilo zee halina akili.
@ClaudManyanda
@ClaudManyanda 2 ай бұрын
Huyomzee haitakii yangamema figisu zakijinga
@peterkazeni2460
@peterkazeni2460 2 ай бұрын
tuachieni timu yetu
@francisnyeriga
@francisnyeriga 2 ай бұрын
Huyo mzee sio mwanachama hai hana haki ya kuongea chochote miaka 4 hajalipia kadi yake
NIGERIA VS LIBYA AFCON QUALIFIER:MATCH HIGHLIGHT EXTENDED
10:01
victor modo
Рет қаралды 12 М.
World‘s Strongest Man VS Apple
01:00
Browney
Рет қаралды 31 МЛН
Я сделала самое маленькое в мире мороженое!
00:43
Кушать Хочу
Рет қаралды 2,7 МЛН
Flipping Robot vs Heavier And Heavier Objects
00:34
Mark Rober
Рет қаралды 12 МЛН
MTU TATU NDANI YA MEZA MOJA HAPA NI VINA NDANI YA MICHANO
23:43
Crown Media
Рет қаралды 4,5 М.
ALICHOSEMA ALI KAMWE MSEMAJI WA YANGA FC
12:47
DUNIALEO
Рет қаралды 4,1 М.
UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
14:01