🔴#LIVE: MZEE MAGOMA ANAFUNGUKA A-Z UKWELI WA KESI YAKE NA YANGA (SPORTS ARENA 17/7/2024)
Пікірлер: 100
@laurentkirigiti2 ай бұрын
Kimataifa leo naomba mtusadie kujua tofauti kati ya timu kuwa nzuri na kuwa na kizazi cha dhahabu kwa sabu belgium 🇧🇪 hwawakufanya makubwa sana kwenye world Cup na euro lakin franch walio fany vzr toka 2016 mpk leo lakini hwatajwi kuwa na kizazi cha dhahabu
@godfreyMchomvu-q2d2 ай бұрын
Yanga oyeeeee
@NickisonJonathan2 ай бұрын
Uyo mzeh kazeeka vibay mmkapime akali
@DrNyamwiMSMD2 ай бұрын
Mzee Ana point
@thabit57752 ай бұрын
Mzee yuko sawa
@johnsilima16292 ай бұрын
Hersi Aende tu huko kenya akaiongoze Gor mahia sisi kama yanga hatumtakii😢😢😢😢😢😢😢
@FridaMbwambo-g9e2 ай бұрын
Huko alikotoka pia hawamtaki,Kwa ujumla hakubaliki asituvuruge, Ingekuwa wote tunaruhusiwa kuwa viongozi Kila mtu ingekuwa Rais wa nchi Hatukutaki mzee kalime majukumu yako mengi usimsumbue Rais wetu Engineer Hers
@zombokoyassin-li8sd2 ай бұрын
Inasikitisha sana, cc tunamuwaza chama atauwasha naona gani moto akiwa na pca huyu mzee nae anaivuruga tena yanga da! Katumwa co bure hiii tena unaiingiza kwenye mgogoro tena kweli? Huyu mzee kanichanganya leo
@Mhappy52 ай бұрын
Mzee anataka aende na engineer au nan😒
@ISSACKHAMIS-e2r2 ай бұрын
Wazee wa dar mnanjaa sana hv yanga ni ya dar tu
@FahadBey-ub2rz2 ай бұрын
Kumbe ww unajua yanga ni ya wap!??
@saidaltamimu79302 ай бұрын
Huyu Mzee anataka kuwapa watu dhambi fisad
@rahmasaid95882 ай бұрын
mnafiki huyo si mwanachama tena
@JumaKigambo2 ай бұрын
Wanaweza kuwa na faida kwenye bakuli hivyo kwa sasa Mambo yao nimagumu
@SebastianMaleto2 ай бұрын
Samaki mmoja akioza unamtoa unatupa wengine unapasha !!! Huyu mzee atuache !
@ConfusedJellyFish-zi5fb2 ай бұрын
Hivi huyo Mzee anamchango gani kwa yanga au yeye akijivua uanachama yanga itapungukiwa nini atoe njaa hapa na arudishe kadi ya timu yetu
@david255chengula52 ай бұрын
Kwani uyu mzee tukimfuta uanacha ma sisi kama wanachama kuna shido?
Njaaa kali, kwann yanga ikiwa inafanya vizuri ndio yanaibuka haya? Gsm atoke na injinia wake yeye ataweza kuendesha tim?
@SebastianMaleto2 ай бұрын
Huyu mzee msenge 2
@JumaMigezo2 ай бұрын
Njaa mbaya
@ramadhanihassani68252 ай бұрын
Anatumiwa na simba
@VedasElly2 ай бұрын
Hana hoja ya maana
@yusufunguruko80802 ай бұрын
Kitenge kelele nyingi hutoi nafasi kwa wenzio.
@Jaibi-j1p2 ай бұрын
Hapa kazi tu.
@almortabaz_Tz2 ай бұрын
Hawala anafosi kuwa sawa na waife
@karenlema43172 ай бұрын
Mzee Hana hoja ya maana kiukweli
@husseinmillinga2 ай бұрын
Hii nayo kiki
@jumannejuma58642 ай бұрын
Jumanne Juma Huyo mzee Magoma ametokea wapi lakini anataka atuhalibie timu yetu tunamuombea Mungu amchukue akapumzike mbinguni ok na apunguze njaa zake huyo
Huyu mzee mbona kama anatuchanganya na anajichanganya mwenyewe
@AndersonMokiwa-is5ch2 ай бұрын
Kwa hivyo huyu mzee anataka hata sisi wananch tuende bungeni wote mana wabunge bekeyake ni kosa serikari inatubagua wananch hana akili huyu mzee
@karenlema43172 ай бұрын
Sasa tukienda wote kwenye mkutano tutatosha huko mkutano mkuu hii kali
@yusuphabubakary20302 ай бұрын
magoma mwez ujao aachiwe amlipe aziz ki mshahara
@Bullah_tz2 ай бұрын
kuna mazee mengine hua yanazeeka vibaya kabisa
@salumhamisi222 ай бұрын
kwa vile anapingana na maslahi yako?
@bakariomarimndeme60592 ай бұрын
Naomba wizara husika iliangalie jambo hili huyu mzee ataka kuleta vurugu na kuondoa utulivu nchi uliokua nao,hembu serekali iliangalie hili kwanza tunakabiliwa na chaguzi serekali za mitaa na uchaguzi mkuu mwaka kesho jambo hili laweza kudhoofisha chaguzi zetu tunaomba utulivu Yanga ina watu wengi nchi nzima twataka utulivu twende kwenye chaguzi zetu kwa amani.
@SportsRaha2 ай бұрын
Tatizo la waTz ndo hilo mzee kaona mbali ila kutokana jambo limekuja wakati Yanga inapata mafanikio wanamuona mzee chenga ila baadae mambo yakienda kombo ndo watamkumbuka
@paolo45842 ай бұрын
Huyu mzee ana hoja kubwa sana sema.. mbumbu wengi wamemezwa na furaha😅
@AndersonMokiwa-is5ch2 ай бұрын
Huna akili hata wewe
@AndersonMokiwa-is5ch2 ай бұрын
@@paolo4584kwa hivyo wabunge wanaotuwakilishqga bungeni sio sawa wananch wote tuende bungeni
@iddimngazija19572 ай бұрын
Hata nyinyi mlimuona kigwangala chenga lkn hatukuwaingilia kwenye mambo yenu
@MileyMziray2 ай бұрын
Kalombwe
@dominicmasele7502 ай бұрын
Naomba kujua kwa nini Magoma hana tawi mpaka saiv? Na je amejaribu kuomba uongozi kwenye tawi ili apate nafac iyo anaililia amekosa?
@Khalfan-wp8wm2 ай бұрын
Mbn huyo kitenge akiguswa kwenye timu yake anakuwa mkalii msilete uyanga kwenye kipind
Bwanae hatuwezi kushiriki mikutano wote, kama hupendwi kaa kwa kutulia, haiwezekani wote ha tuwe viongozi kuwa viongozi jamani mzee mbaya ,Viongozi wanachaguliwa ukiona hujachaguliwa wakati wako haujafika huyu mzee asitukoroge
@peterkazeni24602 ай бұрын
hao wazeee watuachie timu yetuuu
@FridaMbwambo-g9e2 ай бұрын
Ni mtu mwenye busara sana na mchapa kazi anakubalika muacheni
@ramadhanihassani68252 ай бұрын
Mzeee ana njaa tu anachochote
@PrincePalalu2 ай бұрын
Huyo Mzee anaonekana anataka madaraka bas mkabidhini yeye uraisi wa yanga huenda atanenepa
@husseinmillinga2 ай бұрын
Yanga acheni utoto Kiki za nini
@RenatusÑgolongolo-o2j2 ай бұрын
Mbona bungeni hatuendi watanzania wote?
@AkramOmari-ty1up2 ай бұрын
hawaaaaaaaa
@bullychandy65092 ай бұрын
Zamu ya watani kuteseka
@saidaltamimu79302 ай бұрын
Yanga haitesek Wala hakuna wakututesa
@HamidaKibwana-cz6yv2 ай бұрын
Haiwez tokea Kuna kitu kinatafutwa apo yanga Wana jambo lao
@Yangaone-h8j2 ай бұрын
George Job, huyo mzee umempa maswari nondo hadi kachemsha kujibu, huyo mzee namuona kama virus tu ndani ya club kwani hawezi kufukuzwa kaw lazma
Muulize huyo mzee..xaxa hivi tunasajiri yeye amechangia sh.ngap?..mpira kwa xaxa ni pesa,hao wazee wanaongangania wasikike tu bila kutoa hela wakae mbali..anataka maamuzi gani wakat hela hana
@TUNITV-ki8qk2 ай бұрын
mzee katokea wapi
@zoharimohammed15692 ай бұрын
Kumekucha😂😂😂😂😂
@JerryGasper-ft6kr2 ай бұрын
😅😅😅😅😅❤
@RomboBoy-bl7ql2 ай бұрын
Kumbe uchawi upo kwel ndo naanza kuamini
@hozzashehozza93192 ай бұрын
ipo siku mtamuelewa tu huyu mzee tunaemtukana leo, hii ndo devide and rule. wape wachache uwezo wa kupiga kura ili uweze kuwacontrol wakuchague na kupitisha utakacho wewe, wa kuelewa na aelewe
@comsmkemwa26712 ай бұрын
Hilo zee halina akili.
@ClaudManyanda2 ай бұрын
Huyomzee haitakii yangamema figisu zakijinga
@peterkazeni24602 ай бұрын
tuachieni timu yetu
@francisnyeriga2 ай бұрын
Huyo mzee sio mwanachama hai hana haki ya kuongea chochote miaka 4 hajalipia kadi yake