No video

CHRISTIAN BELLA/TANZANIA NDIO NCHI YANGU, KONGO NIMEZALIWA TU/NI MUDA SASA WA KUWA RAIA WA TANZANIA

  Рет қаралды 86,721

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 206
@praymwalu
@praymwalu Жыл бұрын
PRAY apa from DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 ki ukweli Tanzania ni inchi nzuri Sana mana ata inasifiwa kuwa inchi yenye amani sana Africa na natamani one day nije kuishi uko piya ila kitu ambacho ninge mu shauri kakangu bella yeye abaki kujuwa Tanzania itabakia tu kama inchi iliyo muleya na kumukuza mpaka leo Ila DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 itabaki kama inchi iliyo mzaa kwa iyo mimi binafsi nisinge mushauri kubadili u raia ajivuniye kuwa mukongomani ANAYE ishi tz na ime mufanya a still sana kwenye game la musique Tanzania🇨🇩🇹🇿 ❤❤❤❤❤❤
@BarakaIssa-dy5rn
@BarakaIssa-dy5rn 5 ай бұрын
Amani Sawa ila usiwekeze ndugu yangu usilo lijua ni usiku wa giza😂😂😂😂😂
@praymwalu
@praymwalu 5 ай бұрын
Kwa nini useme ivio,??
@MJ-rr6dy
@MJ-rr6dy Жыл бұрын
christian bella ni mwanamuziki mzuri kila nyimbo yake ni nzuri nampenda sana
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy Жыл бұрын
Za siku hizi sio nzuri, amezidisha sana bongo flava ndani yake.
@reginaldmushi9784
@reginaldmushi9784 Жыл бұрын
Mimi namkubali sana Bella yupo vizuri🇹🇿🎤🇨🇩🤝✨🌙🦅🤘🎶🎧🔥🔥
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Жыл бұрын
Safi sana hapo mwijaku jifunze hiyo aloo nimekukubali sana mwamba Bella big brother
@King_186
@King_186 Жыл бұрын
Mpaka hapa alipofikia tayari ni Mtanzania mwenye asili ya Congo,,big up my brother Bella,,tulikaa nyumba moja hapo Sinza one time
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Жыл бұрын
Bella uwe mtanzania au mkongo hivyo hivyo haijalishi we ❤ you
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 Жыл бұрын
We ni mtanzania kabisa na hata si mkongo brother, we love you
@zuwenaabdallah7748
@zuwenaabdallah7748 Жыл бұрын
Nampenda bella sana😍😍❤nashukuru nilipiga nae picha😀
@zayumar2955
@zayumar2955 Жыл бұрын
Nampenda sana Bella jmniiiiiiiiii yy na nyimbo zake yaniii yupo damuniii haswaaaa ❤❤❤❤
@user-rb9uv3kr8e
@user-rb9uv3kr8e Жыл бұрын
Naipenda Sana nyimbo ya mama hongera Sana
@killerboi8756
@killerboi8756 Жыл бұрын
SWAHILI YA DRC I LIKE IT🎉
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Жыл бұрын
Nakupenda sana Bella, Mziki wako ustarabu wako, huna maskendo, Chukua tu Uraia Tz ❤
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana tabia yako ndiyo inayokufanya unapendwa siyo mtu wa mitandaoni sana na ngoma zako matusi hakuna uko kama ladylike utafanikiwa sana ninachoomba uwe raia wa Tanzania na utapewa bila wasi
@christinembeye5489
@christinembeye5489 Жыл бұрын
My No. 1 Artists. CBO to the World❤
@rosehaule6765
@rosehaule6765 Жыл бұрын
Bella❤ akili nyingi sana big up nimekuelewa mucongo damu 😂😂😂 ila mtzd damu stay blest bro chapa kazi
@Kakozi-pj6ib
@Kakozi-pj6ib Жыл бұрын
Tayari uraia unao Bella " ifike mda watu weusi tuishi kw umoja zaidi mambo ya ubaguzi tuweke kando,, pia lazima kuwa wangwana haswa unapopewa uraia zingatia Sheria za nchi na tuwe makina na watu ambao wana niya mbaya kw maendeleo ya Africa hao ndo tupingane nao,,, love u Africa,,
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Жыл бұрын
Big up Sana 💪 kwake bella ngoma zake Kal sana
@salim02tv24
@salim02tv24 Жыл бұрын
Belaaa voice killer
@tanaboymbabe7935
@tanaboymbabe7935 Жыл бұрын
Bella ana mpinzani is he talented man salute sana apewe2 uraia
@MiguelManuelNiachie-kj7yk
@MiguelManuelNiachie-kj7yk 7 күн бұрын
Napenda sana Nyimbo zake bella
@istahijunior4229
@istahijunior4229 Жыл бұрын
Mimi ni mshabiki wa Bella na napenda saaana nyimbo zake...!!! Ila yeye ni mwanamuziki wa kwanza kutoka congo wa kizazi hiki. Walikuwepo akina Remmy Ongala mzee King kiki mzee Banana Zoro
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 Жыл бұрын
Nakubali bro serikali ikufikilie ikupe uraia wa Tanzania itakuwa poa sana
@shadrackjuliuskaboya5239
@shadrackjuliuskaboya5239 Жыл бұрын
*baba levo kila sehemu yupo duh namkubali sana*
@zabrongermanus-co1jj
@zabrongermanus-co1jj Жыл бұрын
The Good musician u'r creater
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
Bella wewe ni wetu tanzania, nakupenda sana, kongo poleni sana nakupeni poleni
@queen.christelle1
@queen.christelle1 Жыл бұрын
Pole mwenyewe kwani kama ni mtanzania ama mcongo ama mtu mwegine shida iko wapi
@trezovyalirendi8170
@trezovyalirendi8170 Жыл бұрын
Congo kuna wa saani wengi
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
@@queen.christelle1 inaumaaa inabidi uzoeee
@clevermngao7565
@clevermngao7565 Жыл бұрын
Brother mi mwenyewe nakubali sana kazi zako!! Show zako Kigamboni pale ESCROW, PWEZA. Natamani nipate Ratiba ya Show zako kwa wiki nzima ili nijue na nifike!!
@BAYANGANDA_TV
@BAYANGANDA_TV Жыл бұрын
Washa moto mpaka Congo Kinshasa watambue
@MansouryVanman
@MansouryVanman Жыл бұрын
Huyu Jamaa ukimskiliza vizur utagundua Africa tunatoa sana Uraia kwa wageni wenye ngozi Nyeupe (western peoples) lakini kwa Waafrika wenye mapenzi na nchi zetu hatuwapi. Hawa ni moja ya watu muhimu.
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 7 ай бұрын
Hilo ndilo lilivyo..sema wapumbavu wengi hawajui kumsikiliza mtu. Wakamwelewa
@depsmilindi8424
@depsmilindi8424 Жыл бұрын
Mimi mkongomani, but ninge pendelea kabisa uwe mtanzania, kwasababu tanzania ndio inchi ilio kupa fursa ya kukutangaza ulimwenguni... Kweli utabaki kuwa mkongomani alisiya ila mtanzania kama inchi yako ya ulezi.... Na wish uchukuwe urahiya... Na hata ivo, sisi wakongo tuna wapenda sana Watanzania, kwani ni inchi ina rahiya watulivu na wenye upendo mno. Hawanaga matatizo na sisi. So hata ukiwa mtanzania ao mkongomani, yote mali yetu tu, karibu
@ismaelmsembwa7292
@ismaelmsembwa7292 Жыл бұрын
Hiyo ni kweli ndugu yangu❤
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Vraiment
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 11 ай бұрын
🙏🙏🙏🇹🇿🇨🇩
@machinesintanzaniatv3909
@machinesintanzaniatv3909 8 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@dork8749
@dork8749 16 күн бұрын
Hiyo ni kweli kabisa hatuna shida na wa congo Hata wacongo pia hawana shida kabisa na sisi Tunawapenda sana
@alimajaliwa6049
@alimajaliwa6049 Жыл бұрын
I never know Bella is from congo..big up kaka uko vizuri
@kamandab7976
@kamandab7976 Жыл бұрын
Mtu apangi kwa kuzaliwa na kwa Bella itabaki ivyo . Historia ita sema alikua Mkongomani alie kuwa nafanyia kazi yake ya Mziki Tanzania
@silaskojwando2450
@silaskojwando2450 Жыл бұрын
Hongera Bela,kulipo hazina ya mtu ndiko moyo wake uliko
@modestepastorkuwan9950
@modestepastorkuwan9950 Жыл бұрын
Bella
@Kibasumba02
@Kibasumba02 Жыл бұрын
Congo inawasani wengi wanakuzidi kwimba we choko.ungekuwa congo hungejulikana.ulikuja Tanzanie inchi kimuziki ikingali chini.huwezi kulinganisha congo na Tanzanie kimuziki.hata Burundi kimuziki ya live band iko mbele sanaaaa ya tanzania na wasani wa bongo wanafahamu iyo.wakija Burundi wanashindwa kuimba live.Burundi ni mambo ndogo kuimba live.hamuna mwanamuziki kama kidumu
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 Жыл бұрын
We jamaa hujui kiswahili kabisa , na huelewi amesema yawezekana angekua congo asingejulikana kwani kasema ye mkali kushinda wacongo Kua Kua muelewa
@Kibasumba02
@Kibasumba02 Жыл бұрын
@@fahadfaraj6474 sasa njo weye unakifahamu? Mbona ulisikia message yangu?
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Жыл бұрын
​@@Kibasumba02 MIMI SIJAWAHI KUSIKIA NJIMBO ZA WARUNDI TOKA NIZALIWE.
@Kibasumba02
@Kibasumba02 Жыл бұрын
@@salimmalaka256 ulisha hama tangu ulizaliwaka?
@catherinemuhagama7338
@catherinemuhagama7338 Жыл бұрын
​@@salimmalaka256 😂😂😂😂Jamaniii nmecheka sijui watakua wanatumia lugha gan kuimba😅
@fredericmbokobest
@fredericmbokobest Жыл бұрын
Jamani watu na vyote vilivyopo duniani ni vya Mungu. Mipaka iliwekwa na watu tu. Na sisi kama wakongo atuna kikwazo na mtu ijapokuwa matatizo yetu. Kwaiyo jamaa (CBO) yuko huru kuwa na uraia aupendao. Ila asili ubaki daima kwa mtu, hata leo apewe uraia wa Tz lakini atasemekana tu ni mtanzania mwenye asili ya Congo. All the best kwa yote utakayo yaamuwa
@penueldjuma2845
@penueldjuma2845 Жыл бұрын
Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤
@whitetigerprincy5882
@whitetigerprincy5882 Жыл бұрын
ni sawa na Solomon mkubwa wa kenya yaani kenya ndiye nchi ilimtengeneza kawa msanii mkubwa ila mzaliwa wa congo .
@musakaphu4581
@musakaphu4581 Жыл бұрын
Kenya unaenda Leo Kesho unapewa ID ,na ukoo hadi 😂😂
@alimasiburdan520
@alimasiburdan520 Жыл бұрын
Mm na patikana Lubumbashi natamani sn niwe star wa mahizo Tanzanian kama Kanumba
@JosephkNtiga-ww8uz
@JosephkNtiga-ww8uz Жыл бұрын
Jaman me wakwaza kambisa naomba like zangu
@andrew29468
@andrew29468 Жыл бұрын
Huyu jamaa ni msanii mzuri hana makeke na miziki yake haina lugha mbaya Aombe atapata
@user-gr2ec5uj1s
@user-gr2ec5uj1s Жыл бұрын
Nakukubari sana kijana wangu ht ivo leo nimeshangaa ww nu kijana usopenda mambo ya mitandaon nakupendagasana huna misifa mtt wangu
@saidindizeye2206
@saidindizeye2206 Жыл бұрын
Tanzania ni inchi ambayo tunaipenda wengi tu na tunatamani kuwekeza, ila sasa tatizo linakuja kwa hio sheria ngumu ya kwamba mgeni haruhusiki kumiliki ardhi na ndico kinaco tuvunja nguvu natamani hio sheria itolew kwa sisi wa africa ikatumik kwa wazungu kwa sababu africa tuko wamoja tuje tuwekeze na tujihisi kuwa nyumbani na wa Tanzania wanaotaka kuwekeza inchi zingine wawe huru.
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Umesema vizuri , lakini umesahau kuwa kama mtanzania utamilikishwa ardhi , shida si ardhi shida hawataki uraia pacha, alafu ukisema africa moja unakosea kwani kila nchi inasheria zake na utamaduni wake na wa africa kiasili ni watu wakuwaka asira kukalibisha kila mtu unaweza kujitengenezea vita katika nchi kama bado haujajipanga kikamilifu, Tanzania si marekani au uchina ambao wenzetu wananguvu ya kijeshi, mimi naona uraia watanzania ni mzuri kwa watanzania wenyewe na nchi zingine zilichochini yake kiuchumi
@lindemwenda8354
@lindemwenda8354 Жыл бұрын
Ukioa au kuolewa pia Tz pia huruhusiwi kumiliki ardhi?
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 Жыл бұрын
Love U Bella
@amiliabdala2513
@amiliabdala2513 Жыл бұрын
Sawa Ila Acha kujidai unaishi mtaani kwetu ukisalimiwa unamimba achaizo.
@BinPlatnumz
@BinPlatnumz Жыл бұрын
WELCOME TO BUFFALO NEW YORK BELLA🎉🎉
@francismanda74
@francismanda74 Жыл бұрын
Akili nyingi sana bella 👍👍
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Huyu hataki kukana uraia wa Kongo nahisi hamjamwelewa kama alikuwa anataka uraia angekuwa ameshapata
@deusdeodavid5360
@deusdeodavid5360 Жыл бұрын
kama ww unailukana uraia wa nchi yako
@hamzaeleuter8268
@hamzaeleuter8268 Жыл бұрын
Jua sheria kwanza
@abigaelmabuga1315
@abigaelmabuga1315 Жыл бұрын
Bella me natamani upate uraia wa Tz maana umekaa miaka hata kiswahili chako ni cha bongo tupu😂
@LomatakopaoBadboy-nl4uj
@LomatakopaoBadboy-nl4uj Жыл бұрын
Uyo ni mcongomani mwenye asilia ya kitanzania🇨🇩✌️🇨🇩
@nahumumgwama2280
@nahumumgwama2280 Жыл бұрын
Hapana uyu ni Mtanzania mwenye asili ya congo tunampenda Sana huyu ndg anajiheshim sana
@mariamkimweri6247
@mariamkimweri6247 Жыл бұрын
Point of correction, Ni mtanzania mwenye asili ya Congo.
@ashahassan2120
@ashahassan2120 Жыл бұрын
Tunakupenda kaka bela
@Jonathankaghese
@Jonathankaghese Жыл бұрын
Nakubali ngomma zako kaka
@maxlattinokiki8105
@maxlattinokiki8105 Жыл бұрын
Tanzania ni wagumu sana kutowa uraia!! Marehemu Remy ongala) walimpa uraia !! baada ya wiki anafariki 😅😅
@roggerskilongozi1195
@roggerskilongozi1195 Жыл бұрын
Kweli ukiwa unakaribia kufa ndo wanakupa dar umenichekesha sana🤣🤣🤣🤣🤣
@SarahElias-kv2fu
@SarahElias-kv2fu Жыл бұрын
😂
@MuhamadMarcel-ug8uf
@MuhamadMarcel-ug8uf Жыл бұрын
Rudi nyumbani, nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani ukiishi ugenini usisahau kuwaambiya watoto asili ya kwenu maana ugenini ukiyafanya mazuri unaitwa mtanzania ukikosea unaitwa mcongomani aliye kimbia inchi, ebu kumbuka alivyoambiwa mayele bungeni amekuja kutetema huku nenda kateteme kwenu ukiwa na bunduki mkononi
@diasporastylish
@diasporastylish Жыл бұрын
C.B.O 🔥
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Жыл бұрын
Yaan nasmile interview yoote asee Bella nampenda sana sauti yake ukiskiliza unapata feelings fotauti nzuri wewe ni mtanzania tu maana mpaka tulisahau kama wew si mtanzania 😅
@saidmkwabis1467
@saidmkwabis1467 Жыл бұрын
Hv Cristian berla unajiskia je unavyoishi Tanzania tunavyowapenda lkn nyinyi tunavyoenda kwenu mnatunyanyasa sana pia mkongo hata akiwa rafikiyako ukiwanae hatakwenye mizunguko hatokwambia karibu nyumbani kwake na kama anakataa wamuulize hapo aongee ukweliwake
@charlesgmwinuka6269
@charlesgmwinuka6269 Жыл бұрын
Bela wa bongo anipe nafasi me nahamia congo
@taylorkasitu3819
@taylorkasitu3819 4 ай бұрын
Mahojiano mazuri sana,Kweli fuata utaratibu
@frankwarembosaloon5316
@frankwarembosaloon5316 Жыл бұрын
Africa Sheria ZAKIJINGA sana ukitimiza miaka mitano lazima upewe uraia
@nurunyamziga2268
@nurunyamziga2268 Жыл бұрын
Leo ndio nimejua Mwamba christian bella hajaapply. Binafsi nataman angeapply hata jana
@tabibutaibu001
@tabibutaibu001 Жыл бұрын
Hongela kaka
@LaurensiaTeodor
@LaurensiaTeodor Жыл бұрын
Wakaliua leo Ndo nimekusikia
@thehustlerafrica4368
@thehustlerafrica4368 Жыл бұрын
R.I.P JPM
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Жыл бұрын
NIPO TAYARIII UWE MTANZANIA BELLA
@babudingi-gd7pz
@babudingi-gd7pz Жыл бұрын
Bera na kukubari sana mwamba
@mbelyterry1584
@mbelyterry1584 Жыл бұрын
Inch gani iyo kwa kupata uraia mpaka kubelembeleza raisi dohh😮😮
@nyembomajid1262
@nyembomajid1262 Жыл бұрын
Africa shida kweli bado tuna ukabila kimia kimia ulaya kupewa uraia sio shida sanaaa lakini Africa balaaa
@nostalgic_moments_tz
@nostalgic_moments_tz Жыл бұрын
Number 1st
@user-sg3rm4lc1q
@user-sg3rm4lc1q 4 ай бұрын
I feel what Bella is going through but he shouldn’t make it seams like it is the end of the world to be a Tanzanian citizen
@mawazoaliselemani
@mawazoaliselemani 7 ай бұрын
Ni ushamba tu watu wanaishi muda mrefu tanzania na hawapewi uraia kama remmy ongala,lakini ngozi nyeupe nyingi zimepewa uraia.
@abwevincent1438
@abwevincent1438 Жыл бұрын
Kweli kaka
@mastajabudekula4828
@mastajabudekula4828 Жыл бұрын
Bwana Bella unako ishi ndo kwenu baba Kongo umezaliwa Ila TZ ndo nyumbani.mimi ni mukongo Ila soon by God grace I will like to be a South African because I have been living in SA for 13years now.
@ramayonline2281
@ramayonline2281 Жыл бұрын
CBO❤
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 Жыл бұрын
Twoo kaka ukuu wamungu hutimia nchi tofauti nakwenu hata yesu pia
@iddykwangaya2794
@iddykwangaya2794 Жыл бұрын
Uraia haupatikani kwa kuishi miaka mingi kwenye nchi ambayo sio yako..rahasha. ila waweza kupata uraia kwa kufuata process na sheria ya iyo inchi unayoiomba uraia,,,sie wenyewe tupo huku kwenye nchi za watu tena tumekulia huku uku..huu sasa ni mwaka wa 23..lakini hatuna hata citizen ship..tumetumia resident permit mpaka tumechoka sasa!😀
@jamesemanuelmpeleta5299
@jamesemanuelmpeleta5299 Жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sanaa kujibuu maswaliii
@pendomarco8928
@pendomarco8928 Жыл бұрын
Me napenda sana Congo madini kama yote matepeli waliingia kutapeli madini yetu
@juressemabili5133
@juressemabili5133 Жыл бұрын
Mimi na mushauri asibadilishe kwa sababu Congo saivi atakuwa na haja YA kurudi Congo ,piya anapata fursa YA kukutana na ma presidenti ,sasa iyo fursa na hata ipata tena ,abaki ivitu kuzaliwa mcongo asibadilishe
@GustaveZigashane-yr9rt
@GustaveZigashane-yr9rt Жыл бұрын
🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️
@bakarimwakabebe9649
@bakarimwakabebe9649 2 ай бұрын
Huyu mwamba hana mambo mengi very simple hata mavazi yake ni mtu anajielewa huyo ndio kioo cha jamii sasa
@daudkhatib-qn5tr
@daudkhatib-qn5tr Жыл бұрын
Ndio. Tunatamani. Sanna. Bela. Uwee. Mtanzania. Mwenzetu. Sijuwi. Kwanini. Wasimpe. Uraiya. Huyu. Mtuu
@nyemowanyotanjemaudm4360
@nyemowanyotanjemaudm4360 Жыл бұрын
Wewe nimwamba Sana toka zaman nakukubaligi Sana
@user-hi9xd9ok1e
@user-hi9xd9ok1e Жыл бұрын
Nimekukubali bela
@sebastianmathew8475
@sebastianmathew8475 Жыл бұрын
Bella fannya hivyo wewe ni Mtanzania kabla haujaisha huu mwaka.
@jamesemanuelmpeleta5299
@jamesemanuelmpeleta5299 Жыл бұрын
Wewe tayarii ni mtanzaniaa
@chisongastephen7299
@chisongastephen7299 Жыл бұрын
Bella ni Fundi na tuna kukubali sana
@jumadaima1833
@jumadaima1833 5 ай бұрын
Bela hata watu wa Moçambique wanakujua kama Tanzaniano
@amanididas7660
@amanididas7660 Жыл бұрын
Wakongo wanavyongea bhn ,,,kuna kisaut cha mayeleeeee kwa mbali jamaa akiongea
@kankukelly614
@kankukelly614 Жыл бұрын
Hiyo permit classe A wengine tumeipata miaka mingi iliyopita
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Dual ciizenship ingefaa but Tz hakunaga
@Kasongopetro
@Kasongopetro Жыл бұрын
Tunamtaka kk yetu bella congo🇨🇩 baba levo jieshimu saaana atutaki bifu na tanzania 🇹🇿 please don’t do that to our brother
@HeritierLusenge
@HeritierLusenge 2 ай бұрын
longo ime ku zaaa,ujuwe ya kwamba nyumbani ni nyumbani,ila tu uko tanzaniya kwa kazi yako ya musique alafu ni inji ambao ume lelewa
@mwafrika78
@mwafrika78 Жыл бұрын
Apate Uraia ili iweje?
@KabungaKalla-fw4pp
@KabungaKalla-fw4pp Жыл бұрын
Huyo baba levo anafundishwa taratibu za nchi na mtu mgeni. Wakati amewahi kuwa diwani.asiefuta utaratibu kwani uraiya unaombwa kwa Rais.?
@frankkitomary3878
@frankkitomary3878 Жыл бұрын
Kwa nini apa panakua pagumu sana kupata uraiya wakati sote ni back man ifike paala sheria ifanyiwe maboresho
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 Жыл бұрын
Hivi nyie waandishi mbona uelewa wenu mdogo ? huyu kutokana na majibu yake ya kupindapinda juu ya uraia inaonekana dhahiri hayuko tayari kuukana uraia wake wa mwanzo Ili apewe wa Tanzania kwani huo ndio utaratibu kwani Tz swala la uraia pacha halipo, hivyo anaona bora awe anatumia hiyo 'Class A permit' ya kuendelea kuishi hapa Kwa sababu hakuna anachokosa kila kitu kinaenda shwari Sasa nyie mnamlazimisha omba uraia omba uraia, kwa connection alizokuwa nazo ndani ya Serikali kama angetaka uraia wa TZ angeupata dakika 0 tu ila nina hakika bado hayuko tayari kubadili uraia.
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@christophergeorge5490
@christophergeorge5490 Жыл бұрын
🙌 Akili kubwa
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Mjanja huyo , Urai watanzania si mzuri katika watu wa kongo hao wenzenu wanapenda kukimbilia ulaya na kuishi kwa sababu za vita
@raphaelnambombi3709
@raphaelnambombi3709 Жыл бұрын
Uko sahihi
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Tatizo dual citizenship hii nchi hawataki
@sergioramoelbougie1912
@sergioramoelbougie1912 Жыл бұрын
Bella ww ni mtu wa DRC tu bro
@mmbaya4004
@mmbaya4004 Жыл бұрын
Kama ww mwanetu njoo 🇨🇩 ✌️ mchi ya utajiri achan na aho wabaguzi tu, njoo upambane nakina faly ipupa uku bna 🇨🇩🇨🇩✌️
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Wangekuwa wabaguzi amgeliishi hapo , hauna akili wewe
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 Жыл бұрын
Mukana kwao ni mtumwa wewe ni mkongo ila kama utabadili uraia ni sawa tu
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 Жыл бұрын
Kama kwenu akuna faida na wewe tupa kule
@robertamsini1256
@robertamsini1256 Жыл бұрын
​@@kasimkassam9565 akuna faida gani wakati unatumikisha simu na Mali inatokeya kwao uko
@kasimkassam9565
@kasimkassam9565 Жыл бұрын
@@robertamsini1256 anasema tanzania ndio nchi yangu wewe unaleta mambo ya simu na Mali, nataka kukujulisha kwamba watu wote ni watanzania 😁
@robertamsini1256
@robertamsini1256 Жыл бұрын
@@kasimkassam9565 acha zako bwana uyo nimu congo 🇨🇩 tu
@Mpakauseme
@Mpakauseme Жыл бұрын
Maneno yakipumbavu hayo
@user-fw6dp9iy4i
@user-fw6dp9iy4i Жыл бұрын
Uraiya Pacha, ndo solution
@ismaelmsembwa7292
@ismaelmsembwa7292 Жыл бұрын
Moi je suis Congolais sens pour sa Christian Bella forcé mwana na ngái
@naturelle1097
@naturelle1097 Жыл бұрын
Cent pour cent?
@joycelaura4611
@joycelaura4611 Жыл бұрын
jibu lingekuwa ndio unataka au hapana sasa anatoa maelezo marefu hatakiiii jmn japo tunampenda kubali upate uraia kaka
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 29 МЛН
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 48 МЛН
VITUKO VYA MUGABE NI AIBU NA USHUJAA !!!
15:21
Wasafi Media
Рет қаралды 802 М.
Mkasi - SO7E04 With Christian Bella
30:04
MkasiTV
Рет қаралды 126 М.
VITA" CHADEMA WATOA TAMKO ZITO MCHANA HUU SAKATA LA KUTEKWA VIONGOZI
10:52
THE STORY BOOK: Ukweli Kuhusu Kifo cha Lucky Dube
35:32
Wasafi Media
Рет қаралды 1,4 МЛН