Mungu waangamize wote wanaowaua watu wasio na hatia na walaaniwe na vizazi vyao
@madsonmmbwanga30376 күн бұрын
Chadema ombeni msaada wa jopo la kisheria kutoka marekani mtampata muuaji na mtekaji bila hivyo sahau sio kwa huyu mama. Mnavuka mipaka Hadi kuwaua waislamu wenzio hii ni Hatari Sana
@hamisimwinzagu66246 күн бұрын
Kiukweli mi sioni wanachofanya hao viobgoz wa chadema kila CK kuongea na vyombo vya habari Tu ivi hakuna njia mbadala
@dianaleo60677 күн бұрын
Wapite tuu tena bila kupingwa hata sijali tena sababu sita piga kura TENA! Huyu mzee mnamuua kinyama jamani age yake teyari imeshaemda jamani😢mbona hamna utu!!! Nyie mliofanya hivi mmejilaani na kizazi chenu chote! Na damu ya mtu huwa inanena. Balaa, mikosi na laana ziwatafune mlipo!
@MwatijaFikoti7 күн бұрын
Inauma sana jamani
@KittoTereva6 күн бұрын
Wengine mtaandika maneno ya kejeli, kwakuwa nafsi zetu zimejaa huu uhuni, Mungu awaozeshe matumbo. Amen
@BenoBeno-c4l7 күн бұрын
Inna lillah wa inna ilaih radjighun..
@bakarijumakupaza43517 күн бұрын
Samia kama hajamfukuza Masauni na mkuu wa police basi atakua anahusika. Haiwezekani Waziri wa mambo ya ndani aliyekua ana pinga hakuna utekaji na leo anashuhudia mtu aliyeuliwa kinyama. Tena alitekwa mbele ya kadamnasi. TULIA au Bettina alikana kabisa bungeni kuhusu utekaji. Leo anapita barabarani bila aibu?
@SylvesterKameo7 күн бұрын
Bakari, umenena kwa busara sana
@Sheba46517 күн бұрын
Wanaonesha jinsi uchaguzi mkuu utakavyokua. Kule Zanzibar kuna mama mmoja aliwahi kusema hawatoi nchi kwa vikaratasi ( Kura) na Tanganyika yule jamaa juzi tu kasema wanakua maporini, Nape na ushindi wa njia yoyote ile, yule mwengine anasema ccm hahijitaji majaaliwa ya Mungu, hawana shida na Mungu kwenye harakati zao. ### Msishindane nao.
@user-zt4rd5pr1e7 күн бұрын
Umenena kwa hisia San kaka mungu akubaliki sana
@EmmanuelChrispin-bo5xh7 күн бұрын
Mwamba kama mwamba umetisha
@Annslaa7 күн бұрын
Hogera sna kak Kwa hekima yako
@rithaurassa7 күн бұрын
Hii nchi kungekuwa na viongoz wenye hekima na busara kama hawa viongoz nchi ingefika mbali san.
@SinarahaNtaraha7 күн бұрын
Unahekima sana kaka yangu
@amosmachibya18007 күн бұрын
Maneno ya hekima na busara yakazidi kuwa kinywani mwako kaka.
@ewhite28066 күн бұрын
Ni huzuni kubwa kwa taifa
@GloryFrank-n6k7 күн бұрын
Ee mungu ingilia kat wa2 wote wanaohusika mungu wap pigo kama waliomfany baba wawa2 ee mungu wa mbingun sikia kuliko cha watanzania
Poleni sana lakini kuanzia Leo mm nimarufuku kupiga kura wala mke wangu au wazazi wangu,kwan nimeona mnaleta utani na maisha ya watu.na nikimkuta mtu yoyote analete matangazo ya chama chochote katika nyumba yangu utanitambua
@ibrahimabdullah18877 күн бұрын
Wewe kama mimi kalafu mtu aje aniletee kesi sijui zakupiga kura atarudi kwao
@user-fo5my5pe3b7 күн бұрын
Nakuunga mkono sipigagi kura mm kujianika bila faida
@KS-iw7qv7 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤#pamoja
@jazeerajuma50147 күн бұрын
Mi mwenyewe sipigagi tok nilimpigiaga kikwete tuuuu sijawahi tenaaa
@EdwineAlphonce4 күн бұрын
M4C
@salmakirundu20767 күн бұрын
Nimefurahi kukuona mnyika umenono nimegunduwa sauti yako tuu god bless u
@yussufsuleiman88367 күн бұрын
hawa hawana akili yani sehemu ya msiba wao wanaanza kugombana na kusema watu na ukizingatia wao kwa wao wana tabia ya kutekana
@rabsonchisumo66404 күн бұрын
Kama taila
@Anton-t5c2w7 күн бұрын
Uvumilivu kwetu umeisha
@SaidAlly-uh4qw7 күн бұрын
Tatizo nyie vidomo domo vinawaponza badilikeni kuna maisha baada ya siasa
@bimumaulid11717 күн бұрын
Dah MTIHANI
@StephenRioba7 күн бұрын
Muhache kugombanisha wananchi na serekali.Nyie wenyewe Mna migororo ya ndani kwa ndani msuluishe mambo yenu msiwaue wenzenu halafu mnasingizia serikali
@philemornmutta15977 күн бұрын
Kwahiyo Hawa wana bunduki za kuteka watu mchana na kuwaua Ili usaidie upelelezi au unaropoka tu
@smgburri7 күн бұрын
Acha kutetea ujinga angekuw ndg yako ungeongea huo utumbo
@philemornmutta15977 күн бұрын
@@smgburri nahis ana masilahi na watekaji labda migogoro ya chama na mauaji ya mchana NDANI ya gari vina mahusiano Gani ndg Yang
@CyrusjosephKitala-t6k7 күн бұрын
Akili kisoda nyie ndo mnaokwamisha hii nchi ujinga mwingi
Inaskitsha sana wana chadema kutumia msiba huu kama sehem ya kuisemea serikali wakati sio maeneo sahii wanafamilia wanalia nyinyi tena mnawaongezea machungu. Ivi taalifa ikitoka walio muuwa ni wana chadema itakuwaje? Naona mnaongea bila kuacha maneno ya akiba.
@aliyussuf80687 күн бұрын
sadakta maneno yko mawazo yetu ymeendana sana
@GraceMhoja-bu3ce7 күн бұрын
MUNGU Ipe faraja familia yake
@kammunisi22967 күн бұрын
kwan basi halina ccv camera
@AhmedAli-gh1lm7 күн бұрын
CCTV camera siku ya tukio zilikuwa hazifnyi kazi 😂😂😂
@zacharianjanga7 күн бұрын
poleni sana ila chadema nina wasi na ninyi hamuaminiki
@rabsonchisumo66404 күн бұрын
Siku yakifika kwako wewe utaongea nini acha ujinga kushakucha
@twalibulomy-cd4zd7 күн бұрын
Mbweha na wenzake wanajua walipo. Achen drama. Police wanalinda watu, achen kuwa chafua.
@lusajomwaipopo50427 күн бұрын
Kichaa anachekesha kama sio ndugu yako
@user-zt4rd5pr1e7 күн бұрын
Siku akitekwaa nduguyo akil itakukaa saw
@AhmedAli-gh1lm7 күн бұрын
Siku akitekwa mama yako ndio utafunguka akili
@twalibulomy-cd4zd6 күн бұрын
@@AhmedAli-gh1lm nani atamteka pimbi ww. Mnadanganywa na hyo Mbweha wenu
@binseif22167 күн бұрын
Kwani Mwenyekiti wa chadema hatoshi kuongea hapo??mpka hawa wengine viongozi wengine waongee nawenyewe???