Waziri Mkenda afafanua sakata la Walimu kufanya mitihani

  Рет қаралды 4,657

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Пікірлер: 37
@TROVINANDEKELO-lk8zc
@TROVINANDEKELO-lk8zc Жыл бұрын
Nikuulize waziri,1.nini KAZI ya vyuo vya walimu? 2.baada ya mwalimu kufanya mitihani kilichomthibitisha kuwa mwalimu ni nini? 3.hamna Imani na vyuo,wakufunzi na Baraza la mitihani? 4.unahakika ipi kufaulu mtihani huo ndo kipimo Cha ualimu Bora?,5.mheshimiwa naona unajisahau vp hapo ulipo ulifundishwa na walimu wa aina Gani?Nakushauri waziri 1. mitihani ianzie serikalini Kwa mawaziri na watumishi wengine,pia wabunge nao wafanyishwe mitihani,peleka pia mitihani mahakamani nao wakafanye
@hermanhhaaly9685
@hermanhhaaly9685 Жыл бұрын
Hivi professor unaweza kuongea utumbo wa kiasi hicho,vyuo vinafanya kazi gani,sema huna nafasi za ajira,vijana Ni wengi mtaani,serikali imeshindwa kuwaajiri.Usitafute sababu za kuendelea kuwaweka vijana mtaani.Umeproove wewe niprofessor wa hovyo hunatofauti Ni Mungai aliyevuruga mitaala ya elimu
@SYLMASVISIONFORSCIENCE
@SYLMASVISIONFORSCIENCE Жыл бұрын
Hili liko sawa kabisa maana Kuna changamoto Sana katika kupta walimu Bora
@BabuelTarimoTRIMO
@BabuelTarimoTRIMO 3 ай бұрын
Mathayo
@ntegrity277
@ntegrity277 Жыл бұрын
Hili swala mwalimu kufanya mtihani ni ujinga! Walimu wengi hawajui kufanya mitihani ila wanajua kufundisha
@gloriamwita3311
@gloriamwita3311 6 ай бұрын
Nakuunga mkono
@ERICKRUGAMBILWA
@ERICKRUGAMBILWA 10 ай бұрын
Nyie kuja kuwa wabunge mnafanya mitihan gani kama sikupig tuuu uongo kwa maskini na mwsho tunapata Bora wabunge na c wabunge bora
@GloriousSawe
@GloriousSawe 3 ай бұрын
Nukuu maneno ya wazir anapenda fair distribution of education resources.Mtu amekaa nyumbani miaka 10 ametestiwa mitihani yote mpaka amemaliza degree .Ndani ya miaka 10 mtu huyo anahaswa na maisha leo unasema umpe mtihani umtest akifeli unaona ni mjinga.Hapo bado tatizo lipo
@GloriousSawe
@GloriousSawe 3 ай бұрын
Atleaast mngeangalia GPA Namaanisha mngeajir kwa kuzongatia kigezo cha GPA.Kwa sasa kuwapa mitihani mnataka mjitoe kwa kuwa ni wengi.Swala la mitihani lilitakiwa kuwepo kuanzia siku za nyuma kwa nin mlete sasa hivi wakati kuna mlundikano wa watu mtaani
@fgm753
@fgm753 Жыл бұрын
Shida siyo walimu bali shida kubwa ni mfumo mzima wa elimu.
@marcominja8850
@marcominja8850 Жыл бұрын
Imekaa vizuri hiyo, lazima wafanye interview.
@haroubmbarouk7858
@haroubmbarouk7858 8 ай бұрын
Ww ulie comment hivyo unahusika na hiyo fani au unacoment tu
@EsterKindoli
@EsterKindoli 6 ай бұрын
Hajielew uyo achana nae😂​@@haroubmbarouk7858
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 3 күн бұрын
Mwe jamani watoto ndo basi Tena we bosi hiyo hapana mtu amekaa miaka kumi mmm
@onesmoakwilini7197
@onesmoakwilini7197 Жыл бұрын
Good kama umefuzu mafunzo unawasiwasi gani na mtihani
@SaimonMsole
@SaimonMsole Жыл бұрын
Duuuuh nchi ya Moto hii kipindi nasoma tuliuza kila kitu nyumban wazazi wakiamini nitakuja kuwakomboa leo hii naonà aibu ata kukaa nao karibu
@EsterKindoli
@EsterKindoli 6 ай бұрын
Jaman 😢
@mohammedshaaban9509
@mohammedshaaban9509 Жыл бұрын
Kwenye medical field haya ni mambo ya kawaida tushazoea na hatuoni shida juu ya hilo Nadhan hapa sasa elimu yetu inazidi kuwa matured
@SalmaRashidi-wx8ro
@SalmaRashidi-wx8ro Жыл бұрын
Nchi hii inamaana Haina imani na vyuo vilivyopo? Je vyuo hivyo viliidhinishwa na Nani? Je wakufunzi waliopo hawaaminiki? Tanzania inaelekea wapi? Tafakari Sana waziri
@JohnMayanga-w8v
@JohnMayanga-w8v 4 ай бұрын
Wewe ni waziri wa kwanza kwa hili ondoni ni bovu halileti tija
@HassanHamad-rf9tq
@HassanHamad-rf9tq 8 ай бұрын
Wewee waziri unapaswa kufanya mtihani iliy upewee hivyo nafasi ya uwaziri
@gloriamwita3311
@gloriamwita3311 6 ай бұрын
Inamaana ukikosa mwaka mwingine unafanya mtihan tena had utakapo faulu au ukifel imeisha hvyo
@JohnStephen-f5i
@JohnStephen-f5i 4 ай бұрын
Hakuna kitu kama hicho ni ovyo kabisa maana kauli zako haziko sawa hivi unaposema ualimu ni kazi walimu wanatafuta baada ya kukosa kazi zingine? Mbona hutendi haki na hii ni dharau kwa walimu. Waziri hapo rudi ukafanye utafiti mtaharibu kabisa eti walioko kazini hawatahusika na hapo unatafuta ubora wa mwalimu kivipi sasa Tanzania kwa mfumo huu mnaharibu elimu
@BabuelTarimoTRIMO
@BabuelTarimoTRIMO 3 ай бұрын
Wew ulisoma wapi? Unauhakika hao walimu waliokufundisha walifanyiwa usahili ? Acha mambo yenu huko kama hamna ajira achen kuchanganya watu
@GeorgeMwita-ul6ny
@GeorgeMwita-ul6ny 10 ай бұрын
Lini hakivitatendeka?nimefanya mitihani ya taifa kama ifuatavyo,1,darasa la nne2,darasa la saba 3.kidato cha 2,4.kidato cha 4,5.Form 6,.6.Chuo,sasa na Nimefaulu vyote hyo tena ili nipate ajira naambiwa nifanye mtihani????,Duuh kaz tunayo walimu ??,Waliopo kazini wao wanaandaliwa mitihani ama maana na wao ni walimu kama ss tuliopo mtaani??,Serikali fikirieni upya swala hili kama n hvo haina maana tena kuwepo vyuo vya walimu,maana huko ndo naamini tunapofanya mitihani,,,Walimu wenzangu tunaosota mtaani kazi tunayo,,Duuuh ni shidaa!!!
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Жыл бұрын
Ina maana vyuo na wakufunzi waliowaandaa hawa waalimu, hamuwaamini. Nchi ngumu xn hii
@ahmedhamis
@ahmedhamis 11 ай бұрын
Vyuo haviaminiwi na serikali.tufanye iviii tusome Kila mtu kivyake then tukitaka ajira mtupe huo mtihani
@amekombo6424
@amekombo6424 Жыл бұрын
Ebu achin ujing nyiny boreshen elim n sio kuibomoa
@JohnMayanga-w8v
@JohnMayanga-w8v 4 ай бұрын
Ondoni hili waziri wewe utakuwa ni w
@SalmaRashidi-wx8ro
@SalmaRashidi-wx8ro Жыл бұрын
Je serikali itawapeleka wapi walimu waliomtaani? Tukumbuke toka mwaka 2015 hakukuwa na ajira suala Hilo lingeandaliwa kuanza na wale wanaoingia vyuoni mwaka huu vinginevyo tutaandaa utegemezi mkubwa kwa Taifa
@darkenkaal8656
@darkenkaal8656 Жыл бұрын
Hii inchi imeanza Kuwa ya kiwaki sana asa hvi vyuo vya kazi gani?
@mahmudiSegumba-oh8uk
@mahmudiSegumba-oh8uk Жыл бұрын
Ngoma nzito mmeshaishindwa badala ya kusema mmeshindwa mnatafuta sababu wajinga kweli ninyi
@KibonaZele
@KibonaZele 11 ай бұрын
Je,mtihan wa taifa wa walimu una maana gani??
@haroubmbarouk7858
@haroubmbarouk7858 8 ай бұрын
Je hiyo mitihani itatolewa kulingana na mitaala ya mwanafunzi?
@haroubmbarouk7858
@haroubmbarouk7858 8 ай бұрын
Bs pasieepo na haja na kwenda kusomea ualimu chuoni
So Cute 🥰 who is better?
00:15
dednahype
Рет қаралды 19 МЛН
UFC 310 : Рахмонов VS Мачадо Гэрри
05:00
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,2 МЛН
Try this prank with your friends 😂 @karina-kola
00:18
Andrey Grechka
Рет қаралды 9 МЛН
PIGO TENA KWA UN, TRUMP AIONDOA MAREKANI  UNHRC NA UNRWA
3:10
Mwananchi Digital
Рет қаралды 958
PROF MKENDA AIBANA TCU UBORA WA ELIMU TANZANIA, ATOA TAMKO HILI ZITO..
13:44
MCHAKATO WA AJIRA KIDIGITALI, MAHOJIANO - CLOUDS TV
58:35
AJIRA TV
Рет қаралды 1,3 М.
PROF. MKENDA AFAFANUA KUANZA MITAALA MIPYA
15:55
ELIMU TZ TV
Рет қаралды 20 М.