Рет қаралды 17,301
SILAA ANASA MATAPELI WA VIWANJA
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa pamoja na NSSF waliweka mtego wa kuwanasa matapeli wanaowauzia wananchi viwanja katika eneo la Tuangoma Manispaa ya Temeke kwa njia ya udanganyifu ambalo ni eneo ka mradi wa nyumba za NSSF.
Silaa amefanya maamuzi hayo leo mara baada ya kupokea taarifa kuhusu baadhi ya watu kuuzia wananchi maeneo hayo.