WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...

  Рет қаралды 141,542

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

WAZIRI SILAA AAGIZA BAKARI SHINGO AKAMATWE kwa KUSABABISHA MGOGORO kwa MADEREVA BAJAJI - "TAPELI"...
Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Mkakazi Jerry Silaa amemuagiza mkuu wa polisi Gongo la Mbotokumkamata bwana mmoja aliyefahamika kwa majina Bakari Shingo na wenzie akiwemo msimamizi wa eneo hilo kutokana na kudaiwa kusababisha mgogoro wa eneo la maegesho ya bajaji katika mtaa wa Gongo la Mboto ilala jijini Dar Es Salaam.
Aidha Silaa amemtaka mkuu wa mipango miji halmashauri ya jiji la Dar Es Salaam kumilikisha eneo hilo la maegesho ya bajaji kwa mkurugenzi wa jiji na kumtaka aweke utaratibu mzuri wa malipo kwa madereva wa waliokuwa wakipaki eneo hilo ikiwemo kuwapunguzia ushuru kutoka shilingi elfu 2500 waliyokuwa wkilipa awali hadi kufikia shilingi elfu moja 1000.
Waziri Silaa ametoa maagizo hayo alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye eneo hilo baada ya kuwepo mgogoro huo ambao umezua taharuki hasa kwa madersva bajiji waliokuwa wakifanya kazi eneo hilo kutolewa na anayedai kuwa ndiye mmiliki.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 347
@globaltv_online
@globaltv_online 6 ай бұрын
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@mankamanka6616
@mankamanka6616 3 ай бұрын
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
@user-ks8oy9lt7z
@user-ks8oy9lt7z 6 ай бұрын
Mtie na ndani mjinga uyo pole waziri kwa changamoto unazokutana nazo Allah akuhifadhi
@raframs.stationery
@raframs.stationery 6 ай бұрын
Mimi ki ukweli kungekuwa na neno jingine jipya la kumpongeza mh waziri ningeweza kumpongeza kwa kazi nzuri anayoifanya. Mungu akulinde kwa kila BAYA
@hadijauledi6995
@hadijauledi6995 6 ай бұрын
Safi wazir hongera sana sana nchi hii wangepatikana mawazir 10,kama ww yaani nchi ingependeza mno❤❤❤❤
@joshuamuro9494
@joshuamuro9494 4 ай бұрын
Kbsaaa!!
@crismtete8837
@crismtete8837 8 ай бұрын
Huyu ndie Waziri.. mtulivu, ana busara na anasimamia haki. . Good job
@neemabright3635
@neemabright3635 5 ай бұрын
Hivi mawaziri wengine jifunzeni huku jamani full of wisdom full of information etc Hongera sana Brother Jerry. Mungu akuinue zaidi Kwa ajili ya wananchi wa Tanzania
@mathiasmwingira6951
@mathiasmwingira6951 8 ай бұрын
Sasa kama waziri anajibiwa hivyo hivi mwananchi wa kawaida hajui hili wala lile atajibiwa vipi, hatari sana, waziri your too humble very good, kama kwenye jimbo lako hawakutaki njoo kwetu ugombee CCM ni moja.
@MsAggie5
@MsAggie5 5 ай бұрын
Pata picha angekuwa Makonda ajibiwe hivyo, hahaha hapangetosha, jamaa angelala ndani 😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 ай бұрын
​@@MsAggie5KWANI HUYO KABEBWA UNAFIKIRI KAPELEKWA KEMPISKI?? 😂😂😂😂😂😂
@salimmalaka256
@salimmalaka256 4 ай бұрын
​​@@MsAggie5HUYO AHUKUMIWE KIFUNGO TENA KIWEKWE LAAAAAAIVU MITANDAONI ILI WENGINE WAJINGA KAMA YEYE WAONE HANA ADABU KABISA.
@jumannemwakalinga2586
@jumannemwakalinga2586 8 ай бұрын
Waziri Mh Jerry Slaa, Mungu akulinde kwa kusimamia haki kwa wanyonge.
@waltersesuru43
@waltersesuru43 8 ай бұрын
Wazili uko vizuli sana mungu akupe afya njema.mama samia .tunakupenda sana.kwa kazi yako nzuri sana.kidumu chama cha mapinduzi.
@selector728
@selector728 3 ай бұрын
Waziri sio Wazili,vizuri sio vizuli
@chemstry409
@chemstry409 6 ай бұрын
Sillah The thing I like you, Your so come, You take time, Your not rush...Mwenyezi Mungu akulinde na akutangulie kwe kazi zako za kila siku....🙏
@nassorosadick9232
@nassorosadick9232 8 ай бұрын
Mh. Waziri, nakupongeza kwa hekma na uvumilivu uliouonesha kwa Bwana Bakari Shingo. Pia umechukua hatua sahihi. Hongera sn
@user-ks7zc6kd7u
@user-ks7zc6kd7u 8 ай бұрын
Waziri Jerry hoyeee big up Bwana Yesu akutunze Damu ya Yesu ikufunike
@ancytarimo1103
@ancytarimo1103 8 ай бұрын
Sasa huyo mzee anamjibu waziri kwa kiburi hivyo yaani inaonyesha Nidhamu yake sio nzuri. Nakupongeza sana Mh Waziri Jerry maana naona ulimvumilia muda mwingi bado anakujibu anavyotaka. Tukumbuke ndugu watanzania Waziri ni mteule wa rais tena anaingia Cabinet. Yaani waziri huyu kweli anatumia vizuri taaluma yake ya sheria kitendo cha kuendelea kumsikiliza mtu anaebisha hivyo kwa kweli ni ustahimilivu mkubwa mno. Yeye angesema nimekosa Mh waziri asingefikia huko huenda angemshauri nini cha kufanya. Big up Waziri.
@ramadhanisalimu-bt3ql
@ramadhanisalimu-bt3ql 8 ай бұрын
😮😮mmmmh
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 8 ай бұрын
Mama samia hongera sanaaaa yaaan hapa wazziir umetupatia mvumilivuu aliekomaaaa kiakili na busaaraaa .... Allah awasimamie ingekua mtu mwingine huyu bakari shingo angekula koffii la mdomo kwanza...
@hemedmselem4889
@hemedmselem4889 6 ай бұрын
Mpuuzi sana bakari
@mc-omoro2366
@mc-omoro2366 4 ай бұрын
Bakari Shingo ghafla kageuka kuwa Bakari Shipa 😅
@martinakessy5413
@martinakessy5413 6 ай бұрын
Mh Waziri uko vizuri Sana Tusaidie maana wababe ni wengi.
@alphoncenerlimbweni6233
@alphoncenerlimbweni6233 8 ай бұрын
HONGERA SANA MY UK BIG UP MUNGU AZIDI KUKULINDA KATIKA UTENDAJI WAKO
@eliaskangabo779
@eliaskangabo779 8 ай бұрын
Waziri slaa endelea hivyo utaheshimika sana na utafika mbali Mungu akusaidie
@user-nb8ot8be9f
@user-nb8ot8be9f 6 ай бұрын
Asante waziri sasa tunaomba mawaziri wengine wafanye kazi kama waziri wa aridhi
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 ай бұрын
Safi sana mkuu ilo jama likanyee ndooo sasa maana kibuli mpaka kwa waziri
@hawahbohero2425
@hawahbohero2425 8 ай бұрын
Hekima na busara mh Waziri uko vizuri
@erickzephania1030
@erickzephania1030 8 ай бұрын
Mh. Piga kazi ukimtanguliza Mungu mbele.. Wananchi tunakuewa sana
@alexmatt9504
@alexmatt9504 8 ай бұрын
Hivi ndivyo Waziri anatakiwa kufanya kazi kwa kufuatilia,big-up Jerry. Unakuta baadhi ya Mawaziri wamepewa dhamana wanashindwa kufanya kazi wizara zao zinayumba lakini bado hawashtuki ?!
@crismtete8837
@crismtete8837 8 ай бұрын
Wanafanyia maofisini tu
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
WATAKUWA WEZI TU
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 8 ай бұрын
Mzee mwenzangu umefeli kwa majibu ya hovyo
@joycemkeka3769
@joycemkeka3769 8 ай бұрын
😂😂😂
@mbeya
@mbeya 8 ай бұрын
Mweshimiwa waziri wema huu hautasaulika maishani huduma hii tunaihitaji hapa Manga veta mbeya Kuna team hapa inaongozwa na Bwana japhet inazulumu viwanja vya wanachi na kwa sasa inauza eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa nursery school
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 5 ай бұрын
Yani Jeri safi Sana..nakusoma sheria ni safi Sana kwamana unakuwa unajielewa Sana..Jeri silaha mungu akujalie Sana..Yan kusoma nimali sana
@kikalarashid9003
@kikalarashid9003 8 ай бұрын
Maeneo ya hivyo yako mengi sana mjini!! Nyoosha Mambo Jerry, na usisahau barabara ya banana- kitunda-mwanagati-kivule. Watu wanateseka sana mzee.
@isaackkamanga3567
@isaackkamanga3567 8 ай бұрын
Huku hawezi kugusia anakujua vizuri 😂😂😂😂
@bamdogokiki1486
@bamdogokiki1486 6 ай бұрын
Mengi ya wazi yalichukuliwa au yamechukuliwa na CCM.
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 8 ай бұрын
Mh. Kwenye ofisi hizo siri zinauzwa sababu wanajuaje kama eneo halina umiliki? Nadhani uchunguzi uanze kwenye ofisi husika 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 Mungu akusimamie kwa kazi ya kutetea haki za sisi wanyonge 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@sudymgeni701
@sudymgeni701 8 ай бұрын
Alafu anajibu jeuli kama kweli anazo document za ukweli
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 8 ай бұрын
Huyu mwenyekiti afukuzwe kazii hafai ni mjinga sana
@tiopherysanga2934
@tiopherysanga2934 8 ай бұрын
Kauri ya mheshimiwa nimeipenda hapo mwisho nina uungwana mwingi lakini sina ujinga big up mh
@selector728
@selector728 3 ай бұрын
Kauli sio kauri
@albertchuma4313
@albertchuma4313 3 ай бұрын
ndiyo unaona umeongea point😅​@@selector728
@maswamills3161
@maswamills3161 3 ай бұрын
Kweli MUNGU ana watu wenye kuifahamu HAKI nini na inathamani gani. Barikiwa Waziri .
@user-lp4fi7bx9q
@user-lp4fi7bx9q 8 ай бұрын
Anadharau sanaa hawezi kumdharau waziri kiasi hicho
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 6 ай бұрын
Kabisa ndugu
@Kidia-yt3bm
@Kidia-yt3bm 6 ай бұрын
Safi Waziri umesahau kitu kimoja huyo jamaa Bakari Shingo TRA inatakiwa imshukie kwa hayo mapato ya dhuluma aliyokuwa anayapata wamkamue wamfilisi hizo hela zinazomtia kiburi alainike awe na adabu kwa viongozi wetu wa nchi
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn 6 ай бұрын
Safi sana mh waziri huyu ni muislamu wa namna Gani yaani anatuaibisha sana waislamu mh Jerry endelea na mipangovyako. Safi kabisa
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@cosmaslunyembeleka251
@cosmaslunyembeleka251 8 ай бұрын
Uyuwaziri mkuu inaonekana katiba ya Taifa letu ipo kichwani. Unaona anavyo wapa Uhuru wa kujieleza jamani. Kiongozi Bora Sana.
@johnndembwike7790
@johnndembwike7790 8 ай бұрын
Dah huyo jamaa jeuri sana anapata wapi ushujaa wa kumjibu waziri namna hiyo?
@zuchu9750
@zuchu9750 8 ай бұрын
Kwani waziri ni nani ?
@jasonwatz7457
@jasonwatz7457 6 ай бұрын
​@@zuchu9750kingozi mwenye dhamana
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 5 ай бұрын
MUJAHIDEEN HUYO😮😮😮😮😮
@user-qz7xl1xj7v
@user-qz7xl1xj7v 6 ай бұрын
Huyu shingo sio mara ya kwanza kuchukuliwa na police,enzi za mkuu wa mkoa makonda alishawekwa ndani
@ZainaAlly
@ZainaAlly 6 ай бұрын
Kweli
@user-qz7xl1xj7v
@user-qz7xl1xj7v 6 ай бұрын
@@ZainaAlly hafai
@francavantini9098
@francavantini9098 5 ай бұрын
Mchapishaji Wa maristi wakati Wa Makoda
@jamesmzaki6041
@jamesmzaki6041 4 ай бұрын
Si ndo yule wa risiti feki😂😂😂
@mgangamjita8657
@mgangamjita8657 8 ай бұрын
Barabara za kitunda machimbo, kivule na f/kumi Hali mbaya wajawazito wanajifungulia njiani njoo ujionee ktktk ya mji Dar es salaam so sad
@valerianmtowe7822
@valerianmtowe7822 8 ай бұрын
Si ndo nyie huwa mnapewa kofia na t sheti za ccmu mnasaau matatizo kula chuma icho bado hamjasema
@ALIMOHD-bk9lr
@ALIMOHD-bk9lr 5 ай бұрын
Young boy Mungu atuwekeee insha'Allah.
@2003hintay
@2003hintay 8 ай бұрын
Mh Waziri fanya kazi usitishike na ndevu halafu jeuri adabu Hana pesa inampa kibri
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 6 ай бұрын
Ana pesa Gani huyu.Kiburi Cha kuzimu
@raynittu4599
@raynittu4599 8 ай бұрын
Huyu bakari anajibu kihuni sana.Wazir unabusara sana. Mheshimiwa waziri maeneo kama hayo ni mengi sana. Watu wanawatoza Kodi kuubwa wajasiliamali wadogo wakati eneo wamevamia la wazi
@doreenfrank3508
@doreenfrank3508 8 ай бұрын
Yaaani huyu waziri ana hekima.... Mungu aendelee kumbariki
@user-cw3vu8mu3k
@user-cw3vu8mu3k 8 ай бұрын
Huyu bakari yuko sahihii kabisa anajua haki zake unajua kuwa waziri haina maana wewe ni mahakama kama unataka maelezo mpe mtu barua ajibu kwa barua si unawaleta waandishi kwenye biashara ya mtu ili kujitengenezea nafas kisiasa watanzania wengi hawazijui haki zao na wanaburuzwa na wanasiasa ambaye anaweza kuwa leo kwa hiyo nafas na kesho hayupo afate utaratibu si kuleta makamera
@didasseveline9013
@didasseveline9013 8 ай бұрын
​@@user-cw3vu8mu3ktatizo Lako ni uelewa mtuhumiwa anaandikiwaje barua?
@zanzibamjimpya17
@zanzibamjimpya17 6 ай бұрын
tatizo nawewe hujielew mtuhumiwa ikimwandikia barua utampataje je wewe unaona anachokifanya huyo jamaa kipo kikatiba au kisheria
@albertchuma4313
@albertchuma4313 3 ай бұрын
​@@user-cw3vu8mu3kwewe unajuwa mamlaka aliyonayo waziri kikatiba? Kama sio kupwayuka tu.. waziri hakuandikii barua! Waziri anaweza kukutia ndani bila maelezo yoyote! Hapa sio marekani eti haki yakikatiba😂😂😂
@kanoa645
@kanoa645 8 ай бұрын
Waziri hekma imetawala sana, umemvumilia sana, kweli huyu bwana hajaonyesha picha nzuri
@Barakaclassic
@Barakaclassic 8 ай бұрын
Ni kweli kabisa huyo jamaa Hana discipline
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 8 ай бұрын
Usikute hilo jamaa ni lishogaa maana si kwa zalau hizo
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 8 ай бұрын
😢😢😢🎉huyu jamaa hovyooo kweliii......yaan anamjibu wazirii kama anajibu mbovuu duh
@shamimukanju8402
@shamimukanju8402 6 ай бұрын
Meenyeezi Mungu mpe afya njema waziri wetu Jerry mama yetu mh.Samia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunashukuru kwa kutuletea jembe
@ndolepeter2770
@ndolepeter2770 6 ай бұрын
Ukiwa mtenda haki huwezi kupendwa nawatu ila cc wanyonge tupo na ww kijana wetu Mungu akulinde baba, pacha wako Makondo yuwapi jaman Mama Samia waangalie hawa vijana kwa macjo mawili wanafukunyua mengi yaliyo jificha
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 8 ай бұрын
Huyo mwehu sana jamaa Mh.Jery Slaa wewe ni Mwamba hatari...mnoo Big up sana
@rexgodwill7353
@rexgodwill7353 4 ай бұрын
Slaa asihamishwe ardhi Sasa hivi kama ni promotion aongezewe marupurupu tu 😁.. Akihamishwa ardhi tabu itarudi palepale
@badmanno.1650
@badmanno.1650 6 ай бұрын
"Ujue mimi nina uungwana mwingi .. lakini sina ujinga" .. nimeipenda hio Mh.Waziri.
@MagesaMachota
@MagesaMachota 5 ай бұрын
Waziri anahekima sana nigekuwa mimi namamraka alio nayo agejua hajui
@SalamaJuma-mg3ru
@SalamaJuma-mg3ru 4 ай бұрын
Mtoto mdogo lkn maashaallah Allah akulinde mh silaa
@godlistenJohn
@godlistenJohn 8 ай бұрын
Huyo mwenyekiti hana nidhamu, hapo anaongea na waziri sipati picha akizungumza na mwananchi wakawaida pindi wametofautiana
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 3 ай бұрын
Ukiwa na shule raha sn kwa kweli hongera jerry slaaa shule ipo hekima busara ipo
@johnsimba
@johnsimba 6 ай бұрын
Hongera sana Waziri tembea inchi mzima hasa na huko musoma ni balaa tu
@MarcoPeter-y5n
@MarcoPeter-y5n 5 ай бұрын
Hongera Mheshimiwa na Timu yako MUNGU Akubariki
@husseinmaula4965
@husseinmaula4965 8 ай бұрын
Unaongea na waziri kama unaongea na mtu wa kawaida tia ndani huyo
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 8 ай бұрын
Kwan wazr sio mtu wa kawaida??
@user-ez9qc2jo1x
@user-ez9qc2jo1x 8 ай бұрын
haya ndiyo machawa yakiongea na waziri yanajiona kama yanaongea na Mungu wakati hata rais unaongea nae kama mtu wa kawaida@@eladiuspeter586
@basumegheMbotwa
@basumegheMbotwa 4 ай бұрын
Hongera sana waziri Mungu akulinde
@ACLESSJABRINE
@ACLESSJABRINE 8 ай бұрын
Jamaa anajibu kwa jeuri sana sema mh waziri huyu ni mstaarabu sana
@user-ez9qc2jo1x
@user-ez9qc2jo1x 8 ай бұрын
jamaa anajibu kwa usahihi huwezi waziri kumuuliza mtu nikikuandika barua nikataka ulete nyaraka utaleta? jamaa kajibu kisomi sana kuwa wewe andika utajibiwa sio kuulizana katika media serikali inaenda kinyaraka
@MtuSafi
@MtuSafi 8 ай бұрын
​@@user-ez9qc2jo1xamejibu kisomi sawa ila sasa jeuli hyo inatakiwa utambe ukiwa na nyaraka halali ndo patamu sasa mweupe tu halafu unajibu jeuri si ujinga huo. Ujue waziri mpaka anafika eneo hilo taarifa maalum anazo sasa kwann asiseme ukweli tu kuliko jeuri asiyokuwa na maana.
@albertchuma4313
@albertchuma4313 3 ай бұрын
​@@user-ez9qc2jo1xdah😂😂😂
@tumainiellyimo4657
@tumainiellyimo4657 6 ай бұрын
Ofc c mambo ya vyimbo vya habari,safi sana mzee
@stephenmsanzu9850
@stephenmsanzu9850 3 ай бұрын
Iwish angekuwa makonda hapo na hayo majibu
@NeemaMlay-jb6zj
@NeemaMlay-jb6zj 6 ай бұрын
Mtetezi wa wanyonge❤❤❤
@MarthaBura-or8fe
@MarthaBura-or8fe 6 ай бұрын
Safiiiii mungu akulinde wanyonge tunaonewa
@IddyZohan
@IddyZohan 8 ай бұрын
Nakukubali mh waziri kiongozi makini wewe
@user-ws8bc1jn7z
@user-ws8bc1jn7z 8 ай бұрын
😮bgp kiongozi wangu jerry silaa pamoja
@ADAMSANGA-lv7fv
@ADAMSANGA-lv7fv 8 ай бұрын
Njooooo iringaaa wazidiii michezo hiyooo imezidi huuku
@user-zw4tf5os8b
@user-zw4tf5os8b 8 ай бұрын
Mzee yupo sawa, mambo ya ofisi ni barua, sio kuvamiana tu
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 8 ай бұрын
Nawewe chizii kama bakari shingo...yaonekana Hana walezii waliomlea vizuur...
@wilbertjosephat1615
@wilbertjosephat1615 6 ай бұрын
Tatizo kubwa watu wanamdharau waziri kwakuwa wanamuona ni bwana mdogo.
@RoanCorporation
@RoanCorporation 6 ай бұрын
Waziri Silaha inaonekana mchapakazi , safi sana , anatatua wajanja
@jamesbaisy8068
@jamesbaisy8068 8 ай бұрын
Suala la hilo eneo nalifahamu vizuri, ni utata sana anayemiliki hapo nasikia yupo ulaya Shingo ni msimamiz.
@barbarasara4033
@barbarasara4033 8 ай бұрын
Sasa si arudi
@barakamassawe2454
@barakamassawe2454 6 ай бұрын
Mungu akubariki uzidi kusimamia Haki
@felistaantoni5446
@felistaantoni5446 3 ай бұрын
Mueshimiwa hiyo mpo mpaka mkoani kwetu wameuza maeneo ya uma
@dn.n4983
@dn.n4983 8 ай бұрын
Hatari kweli hswa wazuri na wengine roho mamlaka Sheria ifuate
@user-rk8cf7cd5x
@user-rk8cf7cd5x 8 ай бұрын
Duh mfunge uyo zezeta anamjibu kiongoz kama yupo bar mjinga uyo
@SadiHassan-ob6nv
@SadiHassan-ob6nv 5 ай бұрын
Allah akulinde wazili
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 8 ай бұрын
Well done waziri ardhi ni tatizo sugu
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 8 ай бұрын
Ila mngetukamatia wezi wa mabilioni tukawona mnawashuguliki ingekua bora
@khamismgunya4519
@khamismgunya4519 6 ай бұрын
Safi sana haijalish dini wala.nn ww piga kazi tuu
@peacemwesiga
@peacemwesiga 6 ай бұрын
Bwana Yesu azidi kukuinua
@user-kg3cr9gg1h
@user-kg3cr9gg1h 5 ай бұрын
Nakubaliii wazir Jerry slaa
@laylayl5166
@laylayl5166 6 ай бұрын
Mungu akutangulie
@NeemaJuma-zf7vd
@NeemaJuma-zf7vd 4 ай бұрын
Mpuuzi sana huyo jamaah, Tia ndani
@Jackson-pj3mw
@Jackson-pj3mw 4 ай бұрын
Eneo halina mwenyewe!!
@elisantenyange8751
@elisantenyange8751 4 ай бұрын
Hongera waziri
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 6 ай бұрын
Mama Samia Ongera kwa kumchagua .huyu waziri anakusaidia hajapunda
@petermuganda7322
@petermuganda7322 8 ай бұрын
Najisikia kuangalia hii kila wakati, busara yako mh Mungu akuongoze...
@josephlugala3182
@josephlugala3182 4 ай бұрын
Waziri wa aridhi Silla unatufurahisha sana hata kama Niko njombe
@lazaroclavery2353
@lazaroclavery2353 6 ай бұрын
Daiiiiim!uyu waziri kam namuona akienda mbali na kua kiongoz mkubwa et😮😮😮
@salimomari150
@salimomari150 5 ай бұрын
Uendelee na speed hiyo hiyo mh silaa,dnt stop
@StellaMwasha
@StellaMwasha 3 ай бұрын
Wooooooh
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 8 ай бұрын
Huuu mzee hana adabu ni mzee lakini anakiburi sana
@eladiuspeter586
@eladiuspeter586 8 ай бұрын
Hana adabu kvp??
@user-ez9qc2jo1x
@user-ez9qc2jo1x 8 ай бұрын
hawa ndyo walewale kuwa kiongozi yupo sahihi all the time @@eladiuspeter586
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 8 ай бұрын
Hao wanafikiri hii nchi ni ya mama yao mbwa kabisa
@monicachacha455
@monicachacha455 3 ай бұрын
silaa❤❤❤❤
@danvannyzawad6452
@danvannyzawad6452 3 ай бұрын
Uyo bwana bakari mfanye aikute sura yako lumande alafu uone majibu yake na huko😅piga jizi ilo.akaekae ata miwili tu akutane na nyapara ngukuu akili imkae sawa
@user-iu4du7ws6s
@user-iu4du7ws6s 8 ай бұрын
Safi sana waziri, Mungu akutie nguvu na kukulinda
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 8 ай бұрын
Jery slaa Hao ndiyo wanaitwa ALWATWAN!!
@IjumaaIjumaa
@IjumaaIjumaa 8 ай бұрын
Waziri chapa kazi ns kuna stendi bubu kila mkoa zife futilia dodoma zimeanzishwa stindi bubu na open supes zimejengwa
@jahhloveyou4462
@jahhloveyou4462 6 ай бұрын
Huumchezo wakujimilikisha siogeni 😅Ukiangalia maraisi wote na nyinyi kwenye selikali mnamaeneo ya beach viwanja sehemu nzuri sana mnajipatia (vitapeli wakianza )Mambo ya Live tv
@moviekaa
@moviekaa 8 ай бұрын
Upewe barua eneo lako?? Yan hata aelewi anacho kizungumza 😂😂😂
@MarthaBura-or8fe
@MarthaBura-or8fe 6 ай бұрын
Safi sana mbuge Jeri mitano tena
@Abubakarhemed-cp5wb
@Abubakarhemed-cp5wb 6 ай бұрын
Wapo wengi sana hao Muheshimiwa
@shabzabdi4923
@shabzabdi4923 3 ай бұрын
Huyu jamaa Hana heshima na ustaarabu so mdomo wake ndio imempoonza
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 8 ай бұрын
Huyu ndo Jerry sasa🙌🏽
@stellalagwelagwe5539
@stellalagwelagwe5539 5 ай бұрын
Muheshimiwa tunaomba uende na huko Mikoani ukaone madudu ktk Mkoa wa Dodoma wilaya ya kondoa hadi Tanesco yaani ni rushwa imekithiri
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 53 МЛН
escape in roblox in real life
00:13
Kan Andrey
Рет қаралды 41 МЛН
Dad Makes Daughter Clean Up Spilled Chips #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 8 МЛН
Violet Beauregarde Doll🫐
00:58
PIRANKA
Рет қаралды 53 МЛН