Рет қаралды 513,795
Jana February 2 2017 mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda alikutana na Waandishi wa habari na kutaja orodha ya Wanaofanya biashara ya dawa za kulevya na wanaotuhumiwa kutumia dawa za kulevya, leo baadhi yao wameonekana wakiingia kwenye kituo kikuu cha polisi kati Dar es salaam.