Huyo mzee anayemalizia wimbo mwishon nimkubali anavaa uhusika abarikiwe
@kondomagwaja76953 жыл бұрын
Makanza anaongea,kwa kweli Mungu anafukuzwa kwa nyimbo zenu
@kondomagwaja76953 жыл бұрын
Nilikosea kidogo haya narekebisha sasa Makanza anaongea kwa kweli Mungu anatukuzwa kwa nyimbo zenu jamani Daah! Mmh! kuna mtu unamfahamu kwenye kwaya yenu Roseana Nsabbi la saba pamoja MWAKUZUKA s/m
@thomaskinya28843 жыл бұрын
Yeye ndie mweza wa yote
@mijashushu95524 жыл бұрын
Hakuna kinacho mshinda Mungu. Jina lake litukuzwe sana. Tumaini la wenye shida. Kimbilio kwa walio onewa Wimbo huu ni mzuri sana Unaleta matumaini kwa walio kata tamaa.
@stanleygyunda30474 жыл бұрын
mbarikiwe Bwana azidi kuwainua hata katika vilele vya juu sana mkawe mbaraka kwa Dunia yote