WITO/KUITWA KATIKA NDOTO NA MAANA ZAKE PR/SHEIKH: JAFARI MTAVASSY (R.A)

  Рет қаралды 6,307

MTAVASSY TV TANZANIA

MTAVASSY TV TANZANIA

Күн бұрын

Watu wengi wamekuwa wakiteseka na hili lakini leo acha niseme kwa uchache atakae uliza kwa coment kabla sijamaliza kipindi ni bahati yake nitamjibu hapa hapa inshaallaah

Пікірлер: 83
@Mariam-cm9ou
@Mariam-cm9ou Жыл бұрын
Asante mi huwa naota naitwa na boss wang,mara watoto wake
@imansaid8020
@imansaid8020 3 жыл бұрын
Shukran Shekhe, mimi niliota nipo katika nyumba kubwa2 ila niko jikoni na wezangu nataka kukaa , nikasikia naitwa , nikaenda ambopo ilikuwa maeneo ya chumbn ila nimetembea nimefika kwenye kivaranda nikaongalia kule chumbn sikuona mtu kulikuwa na giza tu, nikasimama pale kwenye kivaranda naangalia tuu sikuenda kule chumbn, mpaka nikaamka .
@user-ck1dv4rp8o
@user-ck1dv4rp8o Ай бұрын
Assalamu alaekum Mimi nimeota Kuna mtu Ana kalamu na karatasi ametaka nimtajie Jina la mdogo wangu mtotp wa shangazi yangu nimemtajia alalia ndika Kisha languna baba na babupia akaandika
@user-id1pt7hz1j
@user-id1pt7hz1j 29 күн бұрын
Sheikh A.alykm
@duniaduaratv1216
@duniaduaratv1216 3 жыл бұрын
The great person of our country tutajivunia milele uwepo wako hakika, tanguli ulipo nipatia msingi ule sheikh mpaka leo nashukuru sana mambo yangu yamebadilika saaana
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 8 ай бұрын
@chesangvihendah4303
@chesangvihendah4303 2 ай бұрын
Ata sielewi just go straight to the point
@user-ck1dv4rp8o
@user-ck1dv4rp8o 3 ай бұрын
Assalamu alaikum Mimi nimeota Jina langu kwa ukamilifu yaani Jina langu la baba na Babu kwenye boksi ya kibiriti Nini maana yake
@KhadijaFadhili-z9k
@KhadijaFadhili-z9k 3 ай бұрын
Niliota naibiwa kiatu
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 ай бұрын
mwenza wako anachepuka au utaibiwa kiatu hakika kabisa
@omaromar-j8r
@omaromar-j8r 2 ай бұрын
Asalamu alaikum Mm shahe nimeota ananita mama angu nje Kwa huzun hiii shehe vipi hii
@bintsoud
@bintsoud Жыл бұрын
Asalama alekum mimi nililala nikachukuliwa na usingiz mzito nikaitwa mara moja sauti ya mwanaume nikashtuka faster
@kichechemtundu4061
@kichechemtundu4061 3 жыл бұрын
Shehe typo pamona sana Alwa akupe afya njema yaani mimi kila nikiangalia ndoto unavyozifasiri huwa naona baadhi ya matukio na yametokea hivyovyo, Ubarikiwe daima
@MauwaSuleiman
@MauwaSuleiman Ай бұрын
Mm nimeota naitwa na mamkwe wangu kwa mfululizo km Mara nne ivi nikawa mzito kuitikia mwisho nikaitikia kwa hafla na kushituko kwenye ndoto kujiona km nimeitwa kwel ivi
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Nipo nakukubali shegh
@JacklinAyubu
@JacklinAyubu 4 ай бұрын
Asnte shekh mimi nimeota naitwa na mmama nisie mjuwa nikama alikua anafanya kaz zanyumban najina alilo niita nalo silijuw amenita mama zura mara tatu nikaitika huyu mama nilimuona ila simjuw alikua mama wanyumban ila akaa niita kwa jina la mwanangu ila ilo jina silijuw ila kwenye ndoto nikaona nalijua nikaitika nn maana yake shekh
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 ай бұрын
utapata kheri au neema kiasi inshaallah kwa kiasi cha sauti yake au utamsaidia muhitaji
@JacklinAyubu
@JacklinAyubu 4 ай бұрын
Tena huyo mama alivyo niita nikaitika nashutuka nipo naitika nini maana yake shekh
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 ай бұрын
hapa wafasiri mabingwa wanasema itategemea maana ya jina lako ndio tafsiri itakuja, sasa tuambie waitwa nani. lakini wapo waliosema kwamba ukiitikia ni nzuri na usipofanya hivyo sio ishara njema utakosa riziki na M/Mungu ndiye mjuzi zaidi
@zopaidaass370
@zopaidaass370 2 жыл бұрын
Shukran
@rizkirizki1348
@rizkirizki1348 9 ай бұрын
Asalamu alaykum shehe mm nimeota naitwa na ndugu yangu
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 9 ай бұрын
utapata rizki inshaallaah pesa n.k
@angle3600
@angle3600 Жыл бұрын
Thank you
@Mamuu-x1v
@Mamuu-x1v 9 ай бұрын
Shekhe naomba unisaidie kuniambia maan ya ndoto yangu
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 9 ай бұрын
ipi
@mariamharoon1840
@mariamharoon1840 8 ай бұрын
Mimi pia nimeota naitwa sikuitika
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 8 ай бұрын
Utapishana na rizki pole sana.
@janethmtangi4936
@janethmtangi4936 Жыл бұрын
Asalam alaykum shekh mimi nimeota mtu ananiita kama vile namfahamu lakini skumuitika na nikafunga mlango
@barkernassir-xd1mt
@barkernassir-xd1mt Жыл бұрын
Sheghe mm nimeota Jana tuko wanawake wengi Kama vile tulikua tunangoja majibu alie feli kupitia redio wakatajwa kidogo alafu nikatangazwa na mm kwa redio nikawaambia wenzangu mm sija tajwa sija sikia jina langu lkn kwa roho yangu na maskio niliskia jina langu limetajwa kwa redio Tena yote matatu kwa mmoja alie feli sija ielewa
@AhmedMohamed-so7db
@AhmedMohamed-so7db 5 ай бұрын
Asalam alykm warhama tullah mm nimeota naitwa na mwanamke yuko chumban Kuna mwanga na kavaa macheni shingon na hapa kwenye paji la uso nn maana yake
@elizabethnangira1633
@elizabethnangira1633 6 ай бұрын
Sheikh leo nimeota ndota naitwa na mtu nikiwa naenda zangu nilisikia uto ya jina yangu nikageuka nyuma nikaona mwanamke mweupe ananiita nikaitika nikaenda hapo lakini akaniambia nimsalimie nikakata
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 5 ай бұрын
wewe mrudie mungu wako ndugu yako na utafute sulushu baina yako na uliyekosananae utanishukuru baadae
@user-ck1dv4rp8o
@user-ck1dv4rp8o 3 ай бұрын
Nimeota nnasoma suatul Nnajmi Nini maana yake
@user-xt2kw5bc1y
@user-xt2kw5bc1y 8 ай бұрын
Shekhe mimi maranyingi naota naitwa nawatu ninae wajuwa lakini naitwa tu hawanambiyi cocote yani naisikiya sauti naitwa tu
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 8 ай бұрын
Jinanlako nani? Na je hukuita kwa jina lako?
@feristangonyani
@feristangonyani Жыл бұрын
Nimeota nimeludi nyumbani,nimejikuta naenda shule,,baadae nikasikia naitwa ferista yaani mtu simuoni,nimesikia sauti nzito sana yavkuitwa
@oscarkamgisha3997
@oscarkamgisha3997 2 жыл бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yako nauliza udhalili ni nini
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 жыл бұрын
Kitendo cha kudhalilika au kufedheheka au kupata aibu , Wa,salaamu warahmatullaah wabarakaatuh
@HamidakomboKombo-xs2ju
@HamidakomboKombo-xs2ju 7 ай бұрын
Assalamualaikum sheikh mm nimeota naitwa na mamdogo ila sijui alipo sasa nilikua namtafuta nikastuka Nini maana?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 7 ай бұрын
wewe kuna haja unaumuhimu nazo kutekeleza ila zinakwama, au itatokea hivyo
@ChichiSekiko-go1lm
@ChichiSekiko-go1lm Жыл бұрын
Shekhe Mimi niliota mtu ananiita huku ananifata anasema nimpe kofia langu la nywele la kuvaa kichwani, Ila alipotua tu hakuniona Ila Mimi nilikuwa namuona.
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 2 жыл бұрын
Samahani Shehe nimeota nipo jikoni badee nikasikia watu wanaongea nikatoka kwenda kuwaona nikawakuta wapo Saloon ya kiume ila kulikuwa na bonde kubwa kinyozi hakuwepo nikawaambia subirini nikamuite nilivo fika nikaanza kumuita hakuitika nikasikia sauti ya mtoto ikimuita ,samahani Shehe nisaidie maana yake
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 жыл бұрын
taja majina ya watu walioonekana kwenye ndoto hii kwa mpangilio kama wawajua na hilo uliloita ndotoni
@mariamjacob3477
@mariamjacob3477 Жыл бұрын
Nimeota naitwa na wadada wawili wamejitanda dirishani wananiita jina langu inamaanisha nini?
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Kama uliitikia hapo itategemea na je alikuwa sehemu mbali kidogo au laa na je alikuita jina lako hilo lina maana gani ? Nieleze hayo kwanza
@asiaibrahimasiaibrahim5418
@asiaibrahimasiaibrahim5418 Жыл бұрын
Shekhe mm nimeota Kuna mwanamke ananiita jina langu na simjui
@MadenaIphone
@MadenaIphone 5 ай бұрын
Shekh samahan naomba uweke namba yako yasimu kunandoto nimeiota mara 3 mfululizo yaan inajirudia vilevile
@BimkubwaHaji-eg5je
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Shehe mm nimeota nimeitwa zaidi ya mara tatu na mwanamme
@BimkubwaHaji-eg5je
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Kabla sijaitwa nilikua naota niko nyumbani kwetu kama Kuna msiba
@hdmmaster9033
@hdmmaster9033 Жыл бұрын
Asalam alekhum shekh samahani nimeota ninaitwa kwa jina langu
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
sasa ningejua jina lako ndio ningejua la kukujibu lakini pia je uliitika au laa je muitaji ulimjua au kumuhisi akilioni?
@feristangonyani
@feristangonyani Жыл бұрын
Nimeitwa felista mala moja alafu nimeitika nikashtuka😥
@yusterherbet9119
@yusterherbet9119 6 ай бұрын
Nimeota nipo Kansan ila kunamtu mbele kavaa mavazi meupe ameketi akaniita jina langu na kuniambia nisome fungu flani ila silikumbuki,Nini maana yake.
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Mimi ukunijibu
@ابنعثمن
@ابنعثمن Жыл бұрын
Mi nimesikia naitwa mara mbili na mwenye sauti namjua,sikuitika,nikaamka. Saa saba usiku. Mwezi Jumada tarehe 18 Hijria.
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
yeye anaitwa nani na wewe nanai jina lako ?
@PrisilaTumaini
@PrisilaTumaini 5 ай бұрын
Naota naitwa usiku alfu huyo mtu anayenita najua inamaana gani, yaani naitwa mama juma mama juma alfu anayenita najua inamaana gn
@catharinebonphace-ci9ri
@catharinebonphace-ci9ri Жыл бұрын
Je ukisikia sauti ya mtu unaemjua inakuuita ukiwa haujalala alafu ukaitika inamaana gani
@allyshaban4288
@allyshaban4288 Жыл бұрын
Unamaelezo mengi hadi nashindwa kuelewa tafsili yako shekh punguza maelezo namifano toa tafsili yandoto yakuitwa bs
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Soma surat faatiha kila siku mara kumi ili Allah akufanyie wepesi wa kufahamu na ukiweza surat AL A'LAAA
@husseinabdallah5499
@husseinabdallah5499 Жыл бұрын
Kutwa na mwanamke unaemjua
@teresawere3678
@teresawere3678 2 жыл бұрын
Nili hota nime okota bwanangu ame katwa vipande na amekufa
@mussamtupa
@mussamtupa 2 жыл бұрын
Asalam alaykum mm SHEKH chumbani kwangu kuna bubujika maji yanasambaa chumba kizima yanatokea mpaka nje ila hayana madhara hii inajirudia rudia nisaidie SHEKH maana yake.
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 2 жыл бұрын
Wa,salaamu warahmatullahi Usiogope pesa hiyo inshaallah
@vickywingstone3551
@vickywingstone3551 Жыл бұрын
Kaka mim nimeota nipo katika kaoshi yangu ila wamekuja watu wengi sana mpaka wazungu ila hapo nikawa nipo katika kibanda nauza nazi nawauzia waschana
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
hii ni pesa na uchumi inshaallaa
@KasimAbasi-wy5qe
@KasimAbasi-wy5qe 8 ай бұрын
Shekhe kuota unaitwa jina lako
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 8 ай бұрын
Uliitakia au ulinyamaza ?
@faridaismail4041
@faridaismail4041 Жыл бұрын
Shekh samahani ukiota mume wako anakuita hali yakuwa mmetengana mud si mrefu nn maana yake
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Asalam aleykum sheghe
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 жыл бұрын
Wa, salaam warahmatullaahi wabarakaatuh.
@BimkubwaHaji-eg5je
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Shehe mm nimeiwtwa zaidi ya mara tatu
@BimkubwaHaji-eg5je
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Namwanamme
@fayzaathumani-vq9hl
@fayzaathumani-vq9hl Жыл бұрын
Nimeota naitwa na watu ninae wajua wamenita kwaukar arafu wakacheka
@anwarabduullahrawahi2067
@anwarabduullahrawahi2067 3 жыл бұрын
Mimi uota naitwa na sauti ya mwanangu lakini nikiamka nakuta wamelala je hi inakuaje
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 3 жыл бұрын
Kama kadhia ni hiyo himo ndani kuna Jinni Sukkaan al bayt ndiye anaefanya hiyo kitu, pole sana nitataja hapa inshaallaah alama za nyumba yenye Jinni wa aina hiyo ndugu tuombeane dua hapo ni kufanya dua na nzuri zaidi kama utafanya dua katika mfumo wa Ruqya ya Nushra
@annntabo7518
@annntabo7518 Жыл бұрын
Nimbie tafadhali
@annntabo7518
@annntabo7518 Жыл бұрын
Mimi nilisikia mtu amekita akiniambia nisaidie mweye amekufa lakini nikiamka huyo mtu ako hai
@MunazAlly-nu5qd
@MunazAlly-nu5qd 9 ай бұрын
Ukiota umeitwa na ex wako
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv 9 ай бұрын
kurudi kwenye maisha ya zamani au safafi ya mwisho kwa vitendo
@aishajuma468
@aishajuma468 Жыл бұрын
Aslm alykm .nimeita namuita mtu nakaita nikashutuka sana.
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Sijakuelewa
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Wa,salaamu warahmatullaah
NUKTA 24 ZA MTU UKIOTA MLANGO | NAMAANA ZAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
27:28
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 17 М.
Aliyeona Shamba kwenye ndoto matokeo  itakuwa haya
11:39
MTAVASSY TV TANZANIA
Рет қаралды 40 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 47 МЛН
Alat yang Membersihkan Kaki dalam Hitungan Detik 🦶🫧
00:24
Poly Holy Yow Indonesia
Рет қаралды 11 МЛН
Brawl Stars Edit😈📕
00:15
Kan Andrey
Рет қаралды 18 МЛН
At the end of the video, deadpool did this #harleyquinn #deadpool3 #wolverin #shorts
00:15
Anastasyia Prichinina. Actress. Cosplayer.
Рет қаралды 18 МЛН
TAFSILI YA NDOTO YA MTO! Ibn sirin
6:36
NGARIBA ONLINE TV
Рет қаралды 10 М.
I Was Drawn To Islam  | Jamila Wanjiru #revertedtoislam
29:46
The Daawah Centre Foundation Kenya
Рет қаралды 2,9 М.
MAISHA YA MAMA MARYAM SHEIKH MSELEM BIN ALI
1:39:59
J TV ZNZ
Рет қаралды 10 М.
AINA 10 YA NDOTO ZA UTAJIRI WAKO NA USIHADITHIE MTU. Tiba Zakissuna tv
21:34
Je kuota upo nchi tofauti unajuwa tafsiri yake
20:04
NNC TV- new nuru cinema
Рет қаралды 14 М.
How Strong is Tin Foil? 💪
00:26
Preston
Рет қаралды 47 МЛН