Watu wengi wamekuwa wakiteseka na hili lakini leo acha niseme kwa uchache atakae uliza kwa coment kabla sijamaliza kipindi ni bahati yake nitamjibu hapa hapa inshaallaah
Пікірлер: 83
@Mariam-cm9ou Жыл бұрын
Asante mi huwa naota naitwa na boss wang,mara watoto wake
@imansaid80203 жыл бұрын
Shukran Shekhe, mimi niliota nipo katika nyumba kubwa2 ila niko jikoni na wezangu nataka kukaa , nikasikia naitwa , nikaenda ambopo ilikuwa maeneo ya chumbn ila nimetembea nimefika kwenye kivaranda nikaongalia kule chumbn sikuona mtu kulikuwa na giza tu, nikasimama pale kwenye kivaranda naangalia tuu sikuenda kule chumbn, mpaka nikaamka .
@user-ck1dv4rp8oАй бұрын
Assalamu alaekum Mimi nimeota Kuna mtu Ana kalamu na karatasi ametaka nimtajie Jina la mdogo wangu mtotp wa shangazi yangu nimemtajia alalia ndika Kisha languna baba na babupia akaandika
@user-id1pt7hz1j29 күн бұрын
Sheikh A.alykm
@duniaduaratv12163 жыл бұрын
The great person of our country tutajivunia milele uwepo wako hakika, tanguli ulipo nipatia msingi ule sheikh mpaka leo nashukuru sana mambo yangu yamebadilika saaana
@mariamharoon18408 ай бұрын
❤
@chesangvihendah43032 ай бұрын
Ata sielewi just go straight to the point
@user-ck1dv4rp8o3 ай бұрын
Assalamu alaikum Mimi nimeota Jina langu kwa ukamilifu yaani Jina langu la baba na Babu kwenye boksi ya kibiriti Nini maana yake
@KhadijaFadhili-z9k3 ай бұрын
Niliota naibiwa kiatu
@MTAVASSYTv3 ай бұрын
mwenza wako anachepuka au utaibiwa kiatu hakika kabisa
@omaromar-j8r2 ай бұрын
Asalamu alaikum Mm shahe nimeota ananita mama angu nje Kwa huzun hiii shehe vipi hii
@bintsoud Жыл бұрын
Asalama alekum mimi nililala nikachukuliwa na usingiz mzito nikaitwa mara moja sauti ya mwanaume nikashtuka faster
@kichechemtundu40613 жыл бұрын
Shehe typo pamona sana Alwa akupe afya njema yaani mimi kila nikiangalia ndoto unavyozifasiri huwa naona baadhi ya matukio na yametokea hivyovyo, Ubarikiwe daima
@MauwaSuleimanАй бұрын
Mm nimeota naitwa na mamkwe wangu kwa mfululizo km Mara nne ivi nikawa mzito kuitikia mwisho nikaitikia kwa hafla na kushituko kwenye ndoto kujiona km nimeitwa kwel ivi
@anwarabduullahrawahi20673 жыл бұрын
Nipo nakukubali shegh
@JacklinAyubu4 ай бұрын
Asnte shekh mimi nimeota naitwa na mmama nisie mjuwa nikama alikua anafanya kaz zanyumban najina alilo niita nalo silijuw amenita mama zura mara tatu nikaitika huyu mama nilimuona ila simjuw alikua mama wanyumban ila akaa niita kwa jina la mwanangu ila ilo jina silijuw ila kwenye ndoto nikaona nalijua nikaitika nn maana yake shekh
@MTAVASSYTv3 ай бұрын
utapata kheri au neema kiasi inshaallah kwa kiasi cha sauti yake au utamsaidia muhitaji
@JacklinAyubu4 ай бұрын
Tena huyo mama alivyo niita nikaitika nashutuka nipo naitika nini maana yake shekh
@MTAVASSYTv3 ай бұрын
hapa wafasiri mabingwa wanasema itategemea maana ya jina lako ndio tafsiri itakuja, sasa tuambie waitwa nani. lakini wapo waliosema kwamba ukiitikia ni nzuri na usipofanya hivyo sio ishara njema utakosa riziki na M/Mungu ndiye mjuzi zaidi
@zopaidaass3702 жыл бұрын
Shukran
@rizkirizki13489 ай бұрын
Asalamu alaykum shehe mm nimeota naitwa na ndugu yangu
@MTAVASSYTv9 ай бұрын
utapata rizki inshaallaah pesa n.k
@angle3600 Жыл бұрын
Thank you
@Mamuu-x1v9 ай бұрын
Shekhe naomba unisaidie kuniambia maan ya ndoto yangu
@MTAVASSYTv9 ай бұрын
ipi
@mariamharoon18408 ай бұрын
Mimi pia nimeota naitwa sikuitika
@MTAVASSYTv8 ай бұрын
Utapishana na rizki pole sana.
@janethmtangi4936 Жыл бұрын
Asalam alaykum shekh mimi nimeota mtu ananiita kama vile namfahamu lakini skumuitika na nikafunga mlango
@barkernassir-xd1mt Жыл бұрын
Sheghe mm nimeota Jana tuko wanawake wengi Kama vile tulikua tunangoja majibu alie feli kupitia redio wakatajwa kidogo alafu nikatangazwa na mm kwa redio nikawaambia wenzangu mm sija tajwa sija sikia jina langu lkn kwa roho yangu na maskio niliskia jina langu limetajwa kwa redio Tena yote matatu kwa mmoja alie feli sija ielewa
@AhmedMohamed-so7db5 ай бұрын
Asalam alykm warhama tullah mm nimeota naitwa na mwanamke yuko chumban Kuna mwanga na kavaa macheni shingon na hapa kwenye paji la uso nn maana yake
@elizabethnangira16336 ай бұрын
Sheikh leo nimeota ndota naitwa na mtu nikiwa naenda zangu nilisikia uto ya jina yangu nikageuka nyuma nikaona mwanamke mweupe ananiita nikaitika nikaenda hapo lakini akaniambia nimsalimie nikakata
@MTAVASSYTv5 ай бұрын
wewe mrudie mungu wako ndugu yako na utafute sulushu baina yako na uliyekosananae utanishukuru baadae
@user-ck1dv4rp8o3 ай бұрын
Nimeota nnasoma suatul Nnajmi Nini maana yake
@user-xt2kw5bc1y8 ай бұрын
Shekhe mimi maranyingi naota naitwa nawatu ninae wajuwa lakini naitwa tu hawanambiyi cocote yani naisikiya sauti naitwa tu
@MTAVASSYTv8 ай бұрын
Jinanlako nani? Na je hukuita kwa jina lako?
@feristangonyani Жыл бұрын
Nimeota nimeludi nyumbani,nimejikuta naenda shule,,baadae nikasikia naitwa ferista yaani mtu simuoni,nimesikia sauti nzito sana yavkuitwa
@oscarkamgisha39972 жыл бұрын
Amani ya Mungu iwe juu yako nauliza udhalili ni nini
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Kitendo cha kudhalilika au kufedheheka au kupata aibu , Wa,salaamu warahmatullaah wabarakaatuh
@HamidakomboKombo-xs2ju7 ай бұрын
Assalamualaikum sheikh mm nimeota naitwa na mamdogo ila sijui alipo sasa nilikua namtafuta nikastuka Nini maana?
@MTAVASSYTv7 ай бұрын
wewe kuna haja unaumuhimu nazo kutekeleza ila zinakwama, au itatokea hivyo
@ChichiSekiko-go1lm Жыл бұрын
Shekhe Mimi niliota mtu ananiita huku ananifata anasema nimpe kofia langu la nywele la kuvaa kichwani, Ila alipotua tu hakuniona Ila Mimi nilikuwa namuona.
@nyamwinukankwera37492 жыл бұрын
Samahani Shehe nimeota nipo jikoni badee nikasikia watu wanaongea nikatoka kwenda kuwaona nikawakuta wapo Saloon ya kiume ila kulikuwa na bonde kubwa kinyozi hakuwepo nikawaambia subirini nikamuite nilivo fika nikaanza kumuita hakuitika nikasikia sauti ya mtoto ikimuita ,samahani Shehe nisaidie maana yake
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
taja majina ya watu walioonekana kwenye ndoto hii kwa mpangilio kama wawajua na hilo uliloita ndotoni
@mariamjacob3477 Жыл бұрын
Nimeota naitwa na wadada wawili wamejitanda dirishani wananiita jina langu inamaanisha nini?
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Kama uliitikia hapo itategemea na je alikuwa sehemu mbali kidogo au laa na je alikuita jina lako hilo lina maana gani ? Nieleze hayo kwanza
@asiaibrahimasiaibrahim5418 Жыл бұрын
Shekhe mm nimeota Kuna mwanamke ananiita jina langu na simjui
Shehe mm nimeota nimeitwa zaidi ya mara tatu na mwanamme
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Kabla sijaitwa nilikua naota niko nyumbani kwetu kama Kuna msiba
@hdmmaster9033 Жыл бұрын
Asalam alekhum shekh samahani nimeota ninaitwa kwa jina langu
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
sasa ningejua jina lako ndio ningejua la kukujibu lakini pia je uliitika au laa je muitaji ulimjua au kumuhisi akilioni?
@feristangonyani Жыл бұрын
Nimeitwa felista mala moja alafu nimeitika nikashtuka😥
@yusterherbet91196 ай бұрын
Nimeota nipo Kansan ila kunamtu mbele kavaa mavazi meupe ameketi akaniita jina langu na kuniambia nisome fungu flani ila silikumbuki,Nini maana yake.
@anwarabduullahrawahi20673 жыл бұрын
Mimi ukunijibu
@ابنعثمن Жыл бұрын
Mi nimesikia naitwa mara mbili na mwenye sauti namjua,sikuitika,nikaamka. Saa saba usiku. Mwezi Jumada tarehe 18 Hijria.
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
yeye anaitwa nani na wewe nanai jina lako ?
@PrisilaTumaini5 ай бұрын
Naota naitwa usiku alfu huyo mtu anayenita najua inamaana gani, yaani naitwa mama juma mama juma alfu anayenita najua inamaana gn
@catharinebonphace-ci9ri Жыл бұрын
Je ukisikia sauti ya mtu unaemjua inakuuita ukiwa haujalala alafu ukaitika inamaana gani
@allyshaban4288 Жыл бұрын
Unamaelezo mengi hadi nashindwa kuelewa tafsili yako shekh punguza maelezo namifano toa tafsili yandoto yakuitwa bs
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
Soma surat faatiha kila siku mara kumi ili Allah akufanyie wepesi wa kufahamu na ukiweza surat AL A'LAAA
@husseinabdallah5499 Жыл бұрын
Kutwa na mwanamke unaemjua
@teresawere36782 жыл бұрын
Nili hota nime okota bwanangu ame katwa vipande na amekufa
@mussamtupa2 жыл бұрын
Asalam alaykum mm SHEKH chumbani kwangu kuna bubujika maji yanasambaa chumba kizima yanatokea mpaka nje ila hayana madhara hii inajirudia rudia nisaidie SHEKH maana yake.
@MTAVASSYTv2 жыл бұрын
Wa,salaamu warahmatullahi Usiogope pesa hiyo inshaallah
@vickywingstone3551 Жыл бұрын
Kaka mim nimeota nipo katika kaoshi yangu ila wamekuja watu wengi sana mpaka wazungu ila hapo nikawa nipo katika kibanda nauza nazi nawauzia waschana
@MTAVASSYTv Жыл бұрын
hii ni pesa na uchumi inshaallaa
@KasimAbasi-wy5qe8 ай бұрын
Shekhe kuota unaitwa jina lako
@MTAVASSYTv8 ай бұрын
Uliitakia au ulinyamaza ?
@faridaismail4041 Жыл бұрын
Shekh samahani ukiota mume wako anakuita hali yakuwa mmetengana mud si mrefu nn maana yake
@anwarabduullahrawahi20673 жыл бұрын
Asalam aleykum sheghe
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Wa, salaam warahmatullaahi wabarakaatuh.
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Shehe mm nimeiwtwa zaidi ya mara tatu
@BimkubwaHaji-eg5je Жыл бұрын
Namwanamme
@fayzaathumani-vq9hl Жыл бұрын
Nimeota naitwa na watu ninae wajua wamenita kwaukar arafu wakacheka
@anwarabduullahrawahi20673 жыл бұрын
Mimi uota naitwa na sauti ya mwanangu lakini nikiamka nakuta wamelala je hi inakuaje
@MTAVASSYTv3 жыл бұрын
Kama kadhia ni hiyo himo ndani kuna Jinni Sukkaan al bayt ndiye anaefanya hiyo kitu, pole sana nitataja hapa inshaallaah alama za nyumba yenye Jinni wa aina hiyo ndugu tuombeane dua hapo ni kufanya dua na nzuri zaidi kama utafanya dua katika mfumo wa Ruqya ya Nushra
@annntabo7518 Жыл бұрын
Nimbie tafadhali
@annntabo7518 Жыл бұрын
Mimi nilisikia mtu amekita akiniambia nisaidie mweye amekufa lakini nikiamka huyo mtu ako hai
@MunazAlly-nu5qd9 ай бұрын
Ukiota umeitwa na ex wako
@MTAVASSYTv9 ай бұрын
kurudi kwenye maisha ya zamani au safafi ya mwisho kwa vitendo
@aishajuma468 Жыл бұрын
Aslm alykm .nimeita namuita mtu nakaita nikashutuka sana.