Mubarikiwe sana, nami ni muhimbaji wa Maranatha choir 26eme CMLC Paroisse Kalundu ,jimboni Katongo pa Uvira ila kwa sasa naishi Kampala Uganda
@beatricekihehe37332 жыл бұрын
Hongereni sana waimbaji Mungu aendelee kuwaweka huru katika nyimbo zenu.🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@naomibrenda20205 жыл бұрын
I love this song.God bless you 🇨🇩
@peacemuzaliwa25633 жыл бұрын
Wimbo unao nibariki sana nakunijenga zaidi.
@felixmukwandja90314 ай бұрын
Oh, quel beau souvenir! Félicitation à ce groupe, en particulier à Mr Tchabo. beaucoup de nostaligie
@kataboscongo50645 жыл бұрын
Ila ule munaonesha si Yesu kabisa. Que Dieu nous benissent
@elizabethkibombo81512 жыл бұрын
Ni moto kwenda mbele tu 👌👌😍😍🔥🔥
@NGOMA_MUSIC17 ай бұрын
Njo kwenye ilianzaka hii chaîne apa ♥️ Félicitations vraiment muendelee ivyo ivyo
@furahinibahati83475 жыл бұрын
Napendasanawimbohuu❤️
@mercybaruti371311 жыл бұрын
God bless you guys Composition nzuri sana Tuna taka nyimbo za hiyi album zote kwenye KZbin
@joelmukhwana-nafuma94837 жыл бұрын
The gospel that brings one closer to God. Please continue to spread the word of God through the melodies of your voices. Praise God, Amen.
@bagazajeanclaude41392 жыл бұрын
Jean claude love this is song.God bless all singers
@chantalmavandu49505 жыл бұрын
Asanti sana kwa mwimbo nzuri A men
@godemlondani95636 жыл бұрын
I like this song that why I keep listen to it everyday
@peterdoto11717 жыл бұрын
Amen Mungu awajalie kwa kazi nzuri mnayofanya
@mitamba111 жыл бұрын
I like this to much if you no love God you just lost come to God every people.
@felixmukwandja90314 ай бұрын
La splendide voix de la soeur FURAHA, je ne sais plus où elle est. Je me rappelle aussi de la soeur Zaina... Soyez vraiement bénis
@samuelm69283 жыл бұрын
Still in the memory
@anzuanzinho82943 жыл бұрын
Naomba jina ya iyi album
@Itangazo12 жыл бұрын
Mungu awasaidie katika mtendo yenu natena asaidie choir yote
@BenjaminPilipili11 жыл бұрын
asanteni,wimbo huu ume nijenga
@amockkalinga15203 жыл бұрын
I love this song 🇹🇿
@asendeesombolaasendeesombo79477 жыл бұрын
bwana yesu asifiwe
@lebboification11 жыл бұрын
love this song god bless
@TheEeradi10 жыл бұрын
The best video I have ever watched I'm an African
@bintumigabo70945 жыл бұрын
Nami ninge kua mwimbaji ninge jaliwa nema ya sauti nzuri kama nyie. Kiukweli mmeimba hadi raha. Wengine twatamani sauti kamaio
@stephenmukaabya84424 жыл бұрын
Africa talented lead sulerstars!!
@xxjulietxx97218 жыл бұрын
I love this song
@miriamabinery20858 жыл бұрын
waoo nice song...mubarikiwe wajameni.
@nsabimanavivi334011 жыл бұрын
nice song guys god blesss you
@mymanychannel12324 жыл бұрын
jambo watumishi wa bwana
@giftqueen48684 жыл бұрын
Who still here in 2020 ❤️❤️❤️🙏
@amosniyubuhungiro14228 жыл бұрын
mnajuwa kuhimba siyo siri
@paulinemusendeka60652 жыл бұрын
I love the song be blessed
@kizamlamba34217 жыл бұрын
nyimbo nzuri sana
@jowakashindi42297 жыл бұрын
m
@bahatikitchen43397 жыл бұрын
mimi na familia yangu tu na shukuru kwa wimbo mu barikiwe.
@LeticiaKayange-jk8dy Жыл бұрын
Que Dieu vous bénisse
@chantalmulasi56638 жыл бұрын
Mubarikiwe sana nina wapenda sana;
@mussasongoro47906 жыл бұрын
asante wapendwa kwaujumbe mzuri.
@hekeimer7468 ай бұрын
Watching again 2/2/2024🥰🥰🥰🥰
@chimwanajayne270011 жыл бұрын
I Will Always Thank You Wonderful Lord Jesus. mubarikiwe
@deborahjm88903 жыл бұрын
Amen 🙏
@ezechielbakulu20812 жыл бұрын
Asante kwa nyimbo nzuri
@billykizakibengo4061Ай бұрын
Kila ninapo zisikia nyimbo za Reveil choir usoni kwangu nina machozi inayo tiririka. Mungu azidi kuwabariki popote mlipo na azilaze roho za walio tanguli mahali pema. ❤
@fredericidor509411 жыл бұрын
AKSANTI SANA NYIMBO HII YANIINGIA
@andremk84132 жыл бұрын
Je vous aime mes biens aimes' en Christ
@elizabethmwenyaofficial9 жыл бұрын
barikiweni wandugu kwa kazi nzuri
@jazzlynmay11278 жыл бұрын
kabisa ni kweli!
@wamupepe1203 жыл бұрын
Ni kweli ,amen ,kwajina la yesu.
@arbdeh29354 жыл бұрын
Nyimbo zenu zina nijengaka sana hasa ile yaacheni chuki fitina, muweke number ya compté yenu twende nasapoti iyi kazi yamungu, mungu awabariki jamani.
@boofitts8 жыл бұрын
Nice sound. Video good too. God bless.
@asakonice69216 жыл бұрын
Nice song
@rosembayo5888 жыл бұрын
Mungu awabariki sana wa mono wangu.
@wamupepe1203 жыл бұрын
Kimanga , salamu.🖐️
@janvierwalupya4775 Жыл бұрын
Une chanson évangélique ❤️❤️
@xxjulietxx97218 жыл бұрын
I love this song
@raphaelmlemba12 жыл бұрын
Mungu awe nanyi
@amisijuma33155 жыл бұрын
Watch in USA GOD BLESS YOU
@baledrasgonzalez43654 жыл бұрын
I really like this song
@suzzylulenda45212 жыл бұрын
mungu hawabariki
@christinaonesi78926 жыл бұрын
God bless us I love this song ❤💘❤💘
@chantalmavandu49504 жыл бұрын
Amazing song and Amazing voices
@maitrisantabdalah19113 жыл бұрын
Une très bonne chanson vraiment
@dogosady248 жыл бұрын
SADY KANDOLO AYAMBA(nyumbani DRC)🇺🇸
@kizamwajuma77027 жыл бұрын
sadi kandolo
@johnthahe12 жыл бұрын
JUU YA NINI MULIWEZAKA COPIER NYIMBO YA L OR MBONGO.Mukuwe muna composer senyu njo itakuwa bien.
@furahinibahatibahati51486 жыл бұрын
I love this song
@deeemedi64278 жыл бұрын
mungu hawabariki sana.
@angelanikalenga26776 жыл бұрын
Mubarikiwe
@officialmtn45925 жыл бұрын
My favorite song
@msenwasongolo737411 жыл бұрын
MSENWA ABONDE MSHEBAMBA NALUBUCHA LOSENDA NGABWE.NAFURAHI SANA JUU MUNGU ANASAIDIYA KABILA LANGU KUJUWA KUIMBA LAKINI TATIZO KUBWA LINALO SUMBUWA WABEMBE WOTE WENYE WOKO INJE NI:KWANINI ASKOFU WABABEMBE ANAKAHA BUKAVU? MUWEMACHO WABEMBE.
@judith87566 жыл бұрын
God bless y'all. The song was great
@angelanikalenga26776 жыл бұрын
Judith Mokangi jamani mubarikiwesana kila nisikiapo uwowimbo nakuwanabarikiwa nao
@Itangazo12 жыл бұрын
Natena akuwe na nyinyi popote mulipo
@moaluchinga607511 жыл бұрын
Tunataka nyimbo za kibembe
@lifeofvicky919 жыл бұрын
sijawahi kuchoka huu wimbo. Mungu azidi kuwapa nguvu na kuwaongoza
@amurikakombe72137 жыл бұрын
Vicky Mweshama kweli kabisa wimbo huhu ni nzur sana
@naomibrenda20205 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@mariadluka15434 жыл бұрын
2020❤️❤️
@Mamiseti7 Жыл бұрын
❤❤
@JesusChrist-jb2pg8 жыл бұрын
Amen!
@jasirimkombozi49267 жыл бұрын
ipo safi sana!!!!!!!!
@oscarkamvona65276 жыл бұрын
Dogo ismaVEVO to k
@xxjulietxx97218 жыл бұрын
I love this song
@cynthiacik6 жыл бұрын
XxJulietXx
@charlottelubunga48292 жыл бұрын
Same mubarikiwe waimbaji wa yesu Christ much love ❤️
@pelodieudonne99686 жыл бұрын
maisha ya bwana wamungu siwezi choka kuhusi kiya ninauliza huyo garcon alikufaka ni kweli au
@fadhilibwami676 жыл бұрын
YUKO MZIMA.
@fadhilibwami674 жыл бұрын
@Pelo Official akuna ata mtu mmoja ambaye ameisha fariki kwa icho kikundi. Kondi ni mzima