WOOW! BARAKA MPENJA ASHINDANA LIVE KUTANGAZA MPIRA NA MTOTO ADIL SAAD ‘ADIL YANGA’/AFUNIKWA VIBAYA

  Рет қаралды 1,133,866

Mpenja TV

Mpenja TV

2 жыл бұрын

Hatmaye Mtangazaji Mwandamizi wa soka wa Azam TV, Baraka Mpenja a.k.a Sauti ya Radi, ametimiza ahadi yake ya kukutana LIVE na Mtoto shabiki wa Yanga, Adil Saad Maarufu ‘Adil Yanga’ ambaye ana kipaji kikubwa cha Kutangaza mpira wa Miguu.
Adil naye ametimiza ndoto ya kuonana na shujaa wake na mtu wa mfano kwake (Role Model), Baraka Mpenja.
Mpenja TV imewakutanisha wawili hao Februari 5, 2022 muda mfupi baada ya mechi ya ligi kuu ya NBC kati ya Yanga na Mbeya City kumalizika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.
Enjoy mahojiano haya……
#BarakaMpenjaVsAdilYanga #AdilSaad #YangaSC #tff #tplb #MpenjaTV

Пікірлер: 785
@swafaayunus2916
@swafaayunus2916 Жыл бұрын
From Kenya Mombasa nataka mpongeza sana Baraka mpenja nakupa pongezi sana Adil keep going uwe Best kama Baraka❤️
@sangoyaniyamati8008
@sangoyaniyamati8008 2 жыл бұрын
Napenda Sana kuona vipaji japo Mimi ni Simba damu damu Ila huyo mtoto salute kwake❤️💪 atakuwa vizuri Sanaa hongera mzazi hongera Baraka mpenja kwa motishia
@sumadashsumadash7342
@sumadashsumadash7342 2 жыл бұрын
Nainjoy kuona kuna watu wanajua Ushabiki wakweli kwenye soka kama ww, huo ndio Utani wa jadi wakweli. Safi sana mtani nimekukubali
@lovenahjoseph1901
@lovenahjoseph1901 2 жыл бұрын
Dah Safi sahnaaaaaa...
@jerikomwakakwale2871
@jerikomwakakwale2871 2 жыл бұрын
hongera Sana mpenja umeinsipire watu wengi sana
@pendoemily174
@pendoemily174 2 жыл бұрын
Nimpongeze sana Baraka mpenja,kuendeleza kipaji chake kwa watoto.Mungu ambariki katika kazi yake.
@erickelia9826
@erickelia9826 2 жыл бұрын
Nipo Simba damu ila huyu dogo hakika ana kipaji kikubwa Sana Honger sana Dogo utafika mbali, 🇹🇿👍👊
@omiomi8093
@omiomi8093 2 жыл бұрын
Huyu dogo kajazwa roho ya kumpenda mayele anampenda mno all the best. Allah amsaidie huyu dogo apate anachokipenda daima inshaallah.
@zackaliajohn4015
@zackaliajohn4015 2 жыл бұрын
AMEN
@davidbahati3748
@davidbahati3748 2 жыл бұрын
Dogo anakipaji cha uchambuzi kuliko utangazaji, miaka 8 lkn ana akil ya kuujua mpira kuliko ata watu wazma uku mtaani. Big up kwake
@sabrarak9989
@sabrarak9989 2 жыл бұрын
Mashaallah mtoto Adil mungu atakujaaliya utafika pakubwa kwa nguvu za Alla
@ip_header
@ip_header 2 жыл бұрын
Safi sana Baraka Mpenja inaonekana ni mtu muungwa, Mungu amzidishie kipaji chake kwa maslahi ya WaTanzania wote
@abedkirway8668
@abedkirway8668 2 жыл бұрын
nakukubali sana mkuu mpenja kaz nzuri san tupo pa1 kaka
@rizbfighter8574
@rizbfighter8574 2 жыл бұрын
Ukizungumzia mpenja unazungumzia inspiration kwa vijana na watoto wa miaka yote
@sumadashsumadash7342
@sumadashsumadash7342 2 жыл бұрын
Nakuelewa Riz
@furahaiddy5069
@furahaiddy5069 2 жыл бұрын
Yanga hoyeeeeeee team yanga gonga like tujuane
@misigarojeandedieu1865
@misigarojeandedieu1865 2 жыл бұрын
We love you baraka mpenja..💞💞💞 tena mtoto anakipaji kweliiii..baraka ukipendwa na watoto..nawazazi..juwa Kwamba..u are completely the blessed one in Tanzania..Rwanda 🇷🇼 tunakupenda Sana...
@mzambiachirwa8787
@mzambiachirwa8787 2 жыл бұрын
Hiii hatari sanaa Safi baraka miaka buku mbele yako 🇲🇼🇹🇿🇿🇲
@adrianmallyakibona.352
@adrianmallyakibona.352 2 жыл бұрын
Baraka ur very humble na unapenda watu wengine...
@maureenmilah3717
@maureenmilah3717 2 жыл бұрын
He is not only talented but also the cutest thing I have seen in my life....mashallah
@mwammekhamis2365
@mwammekhamis2365 5 ай бұрын
😅
@njootupendane7993
@njootupendane7993 2 жыл бұрын
Mpenja una roho nzuri best
@sarhamozes2426
@sarhamozes2426 2 жыл бұрын
Woooow dah nawakubali sana kuanzia Adil na baraka mpenja nawapenda sana
@mayasalum9794
@mayasalum9794 2 жыл бұрын
Baraka mpenjwa ww ni muungwana sana Mungu akupe gheri nyng akuwepesishie kwenye kazi zako, dogo umemuonesha njia na kumshauri vizuri mashaallah
@omarkalita816
@omarkalita816 2 жыл бұрын
Wow masha Allah huyu kijana ana kipaji kikubwa sana
@mohamedabdoulkarim3627
@mohamedabdoulkarim3627 Жыл бұрын
Baraka mpenja meilleur commentateur en Afrique de L'EST karibou comoros 🇰🇲
@deborabrown2114
@deborabrown2114 2 жыл бұрын
Uwiiii mtoto umenichekesha Mungu azitimize ndoto zako
@salim02tv24
@salim02tv24 2 жыл бұрын
Nimeipenda ii dogo anaelezea kiufundi na nishabik wayanga na mdogo anaongea tofaut na umri wake
@felisteranthony8688
@felisteranthony8688 2 жыл бұрын
Kwakweli nimeifurahia hii Mungu akuinue mtoto mzuri ufikie malengo yako
@rubenijackisoni5679
@rubenijackisoni5679 2 жыл бұрын
Mungu wambinguni mbariki huyu mtoto mjalie uzima na Afya njema akue ktk maadili mema sku moja ndoto yake ikatimie lakini pia mbaliki baraka mpenje nampenda Sana huyu mwamba wa malila huyu hakika nifundi wa kutangaza kabumbu Sina baya
@kareenmselle5539
@kareenmselle5539 2 жыл бұрын
Dogo fundi sana kashinda dogo
@mohamedshah1700
@mohamedshah1700 2 жыл бұрын
Aamin
@Official83640
@Official83640 2 жыл бұрын
Maashallah mtoto ananishinda ht mie kujua wachezaji aisee Mungu amzidishie kipaji chake
@aliebrahim9423
@aliebrahim9423 2 жыл бұрын
Hongera sana Baraka Mpenja,umefanya kitu kikubwa Sana.
@khadijakaombwe4051
@khadijakaombwe4051 2 жыл бұрын
Wooow I like it ....Mtoto ana mapenzi ya kweli kabisaa na Yanga
@mwljuliuskiwovele223
@mwljuliuskiwovele223 2 жыл бұрын
Baraka Mpenja mtu wa watu sana ,yaani hajachagua kaamua kumpa nafasi dogo aisee
@oshenijosifati8120
@oshenijosifati8120 2 жыл бұрын
Fafi sana mtoto mimi ni mnyama pamoja na mapnzi ya mtoto kuwa yanga dogo atafika mbali nimpenda bure
@ndondinseleba3262
@ndondinseleba3262 2 жыл бұрын
Aiseee Baraka mpenja hayupo wa kumfananisha naye ni talent yake toka kwa mwenyezi mungu.
@sammanjeka7357
@sammanjeka7357 2 жыл бұрын
Ase ninacho kiona mim kwa huyu mtoto kiukwel anapenda mpra sasa nimuombe Baraka mpenja siku Moja amchukue akae nae live kwenye chumba cha matangazo kiukwel atokuja kumsahau katika maisha yake.
@kulengwamabula9508
@kulengwamabula9508 2 жыл бұрын
Mtoto anampenda sana baraka mpenja
@marynyabenda4414
@marynyabenda4414 2 жыл бұрын
😢😢😢machozi ya furaha jaman, hongera bby boy
@najmaabby5034
@najmaabby5034 2 жыл бұрын
Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah Mashaallah mtoto anakipaji wazazi wakizangatie kipaji iki na sio wamchagulie cha kufanyie in future
@isikesamike
@isikesamike 2 жыл бұрын
I'm a Simba fun but this kid is gifted. Nakuombea kila lililo jema mwanangu uwe mtangazaji mzuri hapo baadae 👏👏👏
@nipherjoseph8561
@nipherjoseph8561 2 жыл бұрын
🥰🥰🥰
@abdimrisho1537
@abdimrisho1537 2 жыл бұрын
Talented
@saidimsangi7250
@saidimsangi7250 2 жыл бұрын
Baraka mpenja unakipaj sana huwa na enjoy unapotangaza mechi zako na nimependa unavyo mpa dogo moyo god bless you
@simionngayayi6903
@simionngayayi6903 2 жыл бұрын
Mtoto ana kipaji cha hali juu sana yuko vizuri sana
@saidabdallah2649
@saidabdallah2649 2 жыл бұрын
Sio mchezo mashaallah big up👍👍🤙🤙ukijua kipaji chako unakuwa juu always dogo kajua
@yuzotv458
@yuzotv458 2 жыл бұрын
kipaji hiki kinahitaji ulinzi dah,conger to young man for Good talent God bless our next champion.
@ezeedi871
@ezeedi871 2 жыл бұрын
Mpenja unawa ispire watu sana adi watoto wanakukubali yaan dogo anaiga hadi swaga zako na kila kitu
@restutaeliezery1719
@restutaeliezery1719 2 жыл бұрын
Yupo humble sana Baraka Mpenja
@ManiMani-ze2we
@ManiMani-ze2we 2 жыл бұрын
Mimi ni shabiki wa simba ila nipenda mtoto anavo ongea mashaallh mashaallh mungu muongoze mtoto huyo mashaallh 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@rubenijackisoni5679
@rubenijackisoni5679 2 жыл бұрын
Ktk maisha yangu Mimi napenda Sana watoto
@veronicasteven2243
@veronicasteven2243 2 жыл бұрын
Hunizd mm yan I can't wait to see mtoto wangu MUNGU anijalie kwakwel🥰
@alinassor391
@alinassor391 2 жыл бұрын
Zawadi aliyotoa mpenja ni kumpa motision mtt adil na kafanya jambo Zuri sana hongera kwa kumpa moyo mtt na hivo ndio inavotakiwa Big up mpenjaa
@slimpeewee1426
@slimpeewee1426 2 жыл бұрын
dogo umetisha sanaaa wazazii wampe nafasi aweze timiza ndoto yakee inshallah...
@alexandernyimbi8186
@alexandernyimbi8186 2 жыл бұрын
The Guy is so talented. His family have to support this talent
@geofreysenka7091
@geofreysenka7091 2 жыл бұрын
Haijalishi mtoto ni fans wa yanga lakini mtoto si yupo Tanzania na mtanzania Yupo vizuri Mtoto na atajiamini pale siku atakapo karibishwa studio moja kwa moja baraka akiwa anatangaza
@abdialamin7572
@abdialamin7572 2 жыл бұрын
Big up bro from inspiring our young talents allah ibarik watching from dubai ✊
@shamiraabdallah3158
@shamiraabdallah3158 2 жыл бұрын
Manshaalah
@issaally2251
@issaally2251 2 жыл бұрын
@@shamiraabdallah3158 Aaaaaaaaa
@queenandchill91
@queenandchill91 2 жыл бұрын
Sipendi Football ila Dogo kanifurahisha 🙌🏽 He's talented, Mungu amjalie atimize ndoto zake
@yuzotv458
@yuzotv458 2 жыл бұрын
yes kijana yupo vizuri sana mungu atutunzie kipaji hichi.
@hijabyfinest8524
@hijabyfinest8524 Жыл бұрын
Sasa ww hupendi footiball si umchawi kalaba
@queenandchill91
@queenandchill91 Жыл бұрын
@@hijabyfinest8524 Nadhani wewe ndo mchawi ndo maana unaujua uchawi unaongelea. Kila ninachopenda au nisichopenda nina sababu nacho. It's not a crime na it's a free world.
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
HatamiepiaSipendiMpiraBasiWachawiWengi​@@queenandchill91
@mariapialakanje3446
@mariapialakanje3446 2 жыл бұрын
Dah mtoto anakipaji jmni huwiiii safi mtoto mzuri unskipaji.kizuri sana jmni Mungunantangulie 🥰🥰🥰
@meryrobert9042
@meryrobert9042 2 жыл бұрын
Congratulations Baraka mpenja ni Doto yangu pia na mim kuonana na wew
@davidcosmas3188
@davidcosmas3188 2 жыл бұрын
Safi sana mpenja kwa kuwa role model👊👊👊 dogo anajua sana big up sana
@edmundsospeter5667
@edmundsospeter5667 Жыл бұрын
Keep on fighting young boy your so smart kuanzia juu hadi chinii 📌📌
@omarizuberi2300
@omarizuberi2300 2 жыл бұрын
Big up young man so talented 🇰🇪
@bongotrending2255
@bongotrending2255 2 жыл бұрын
Maneno ya baraka mpenja yataishi sana
@niyondikoemily4756
@niyondikoemily4756 2 жыл бұрын
Mtoto mzuli sana
@kingkuntajr6283
@kingkuntajr6283 2 жыл бұрын
Tazama umri wa mastaaa bongo kumbe zuchu n mkubwa kuliko harmonize kzbin.info/www/bejne/b6OuZGxvmdqkga8 😀😂
@ains1122
@ains1122 2 жыл бұрын
Baraka mpenja we ni Baraka Tanzania, keep it up
@faudhiarwaba1294
@faudhiarwaba1294 2 жыл бұрын
Duh Hadi nimetoa chozi kwa furaha kumuona mtoto mdogo Yuko hv🥰
@moise6735
@moise6735 2 жыл бұрын
Waow this boy, he is a super star i say. YOUNGER AFRICANS KAZI KWENU MNAJUWA CAKUFANYA TALENT KWA WATOTO AMBAO WANAPENDA YOUNGER.
@mohamedsalehe9053
@mohamedsalehe9053 2 жыл бұрын
Dah huyu dogo mweny ez mungu amsimamie inshallah anakipaji dogo yupo vzr sana
@clement.matogwa.101
@clement.matogwa.101 2 жыл бұрын
Nashauri watoto kama Hawa wawe sehemu ya uchambuz pale azam TV inaleta motivation kwa young generation . Tukiwaacha Hawa tutabaki na stori za youtube
@venantmatamba7302
@venantmatamba7302 2 жыл бұрын
Mpenja Tv nawakubali kwa taarifa za ukweli na uhakika tofaut na midia nyingene za mchongo nawatakia mafanikio mema.
@WABASHELE
@WABASHELE 2 жыл бұрын
Mtoto kashinda Baraka kwa kweli
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 2 жыл бұрын
Our Star😁😁🤣🤣🇹🇿 Confidence 🔥🔥
@abdoulusheke2373
@abdoulusheke2373 2 жыл бұрын
Je suis aussi ravi de voir baraka c'est un bon journaliste vraiment, courage aussi pour le petit gamin
@margaretkato5178
@margaretkato5178 2 жыл бұрын
Kweli sauti ya radi imepata radi mwenzio. Nawapenda wote....youngman you are so talented....let God lead you more. .usiende bali tunakuhitaji tz
@laticiaalinda5482
@laticiaalinda5482 2 жыл бұрын
Adi Raha baraka umemshauli vizuri anabidi asome aongeze kipaji zaidi uyu mtoto kanifulaisha sana
@user-ts4zn1sx7h
@user-ts4zn1sx7h 8 күн бұрын
Hongera Sana kwa Baraka Mpnja kwakufunguka kinamna yke amekuwa muaz nakumpa kijana Matumain makubwa nakumuaid kma ipo cku atakuja kuwa kma Yey Nimeipend Sana Mpenja TV ❤❤❤❤
@hisanihaji8626
@hisanihaji8626 2 жыл бұрын
Nampenda Sana mpenja kwamba hajiskii kwamba yeyebora anapenda watu WOTE habaguwi hii ndio inavotakiwa
@carrenbenson2111
@carrenbenson2111 2 жыл бұрын
Nimeifurahia hii💛💚💛💚
@nappekiliakiliasalimu346
@nappekiliakiliasalimu346 2 жыл бұрын
Mtoto kaongea kwelii kabisa. .moloko anakimbi bila sababu kabisa yanii..
@mathiasntalika5166
@mathiasntalika5166 2 жыл бұрын
Congratulations Baraka for your recognition of talents and for your encouragement. Keep it up.
@salehalzakwani3283
@salehalzakwani3283 2 жыл бұрын
Mashaallaah Allah awalinde nyote Inn shaa Allah
@paulomkumbwa3836
@paulomkumbwa3836 2 жыл бұрын
mpenja TV na mpenja kwa ujumla umeongea vizuri sana kw kumpa moyo dogo.
@budoditungu2161
@budoditungu2161 2 жыл бұрын
Anastairi mtoto mzri mungu amuongoze
@ngwahimpulupulu3685
@ngwahimpulupulu3685 2 жыл бұрын
Mpenja upo vizuri tunanda watu kama nyinyi mungu akupe maarifa zaidi
@rahmaramadhani3470
@rahmaramadhani3470 2 жыл бұрын
Mashaa Allah mwenyezi Mungu akulinde na akusimamie
@asnathdibwe9602
@asnathdibwe9602 2 жыл бұрын
Wow wote wameshinda ila mtoto anakipaji sana
@irynjoseph6898
@irynjoseph6898 2 жыл бұрын
He was so excited to baraka,and he get more excited after kumsikia akitangaza😂
@machibyamichael96
@machibyamichael96 2 жыл бұрын
Much better young kids & congrats Mpenja respect 2 u
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 жыл бұрын
Kutangaza ni talent Mpenja ni talented, huyu dogo pia talented. Na Yule aliyetangaza mechi ya Yanga na Polisi Tanzania Arusha kule. Talented sana. Kutangaza sio kazi ya kusomea. Kuna vitu vinakuja kama ile anaweka mguu mbele anapigaaa mkono wake , anatetema. Amezowea kufanya hivyo na leo amefanya tena. Kipaji sana. Mpenja
@epifaniamzumbwe5159
@epifaniamzumbwe5159 2 жыл бұрын
Kweli kabisaa🤗
@maliyagat6081
@maliyagat6081 2 жыл бұрын
Hii nzuri sana. Hongera sana Baraka Mpenja wewe ni wa kipekee broo. Mwenyezi Mungu akubariki na kukusimamia. Big up sana
@mkeganibhaya2598
@mkeganibhaya2598 Жыл бұрын
Hongera sana Baraka Mpeja ! Umeweka alama ya kudumu kwa mtoto !!
@ramadhanomar8346
@ramadhanomar8346 2 жыл бұрын
well spoken word from Baraka mpenja .we have to furnish the talent young generation
@aminasalum9953
@aminasalum9953 2 жыл бұрын
Mashallah mtoto❤️🌷🙏
@HalimaHalima-id2cb
@HalimaHalima-id2cb 2 жыл бұрын
❤❤❤🔥🔥🔥mashallah adill kipaji chako allah akuongoze vyema baraka mpenja hongera sana🔥🔥🔥
@aksaantoni840
@aksaantoni840 2 жыл бұрын
Channel yako mpenjaa Tamuu Kwel Kama YANGA 💚🙏⚽ kazi Iendeleeee
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 2 жыл бұрын
Hongera zake,kweli kizuri huigwa
@iliasaazizi9301
@iliasaazizi9301 2 жыл бұрын
like father like son.. Baba zake wenyewe balaaa kwa Football
@shifaaal-baity4503
@shifaaal-baity4503 2 жыл бұрын
Masha Allah 💚💛
@annaboniface1936
@annaboniface1936 2 жыл бұрын
Baraka mungu akupe maisha bhan we mtu wawatu
@minaabdul6140
@minaabdul6140 2 жыл бұрын
MashaAllah big talented my super hero adeel saad 🥰🥰🥰😘😘🏆🏅
@ashuramhando5285
@ashuramhando5285 2 жыл бұрын
Namuona mbali Sana huyu mtangazaji wa kesho akili nyingi kwa kichwa katoto akili imejaa duh Mungu akuze kipaji chake InshaAllah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿💚💛💚💛💚
@salamasaid6905
@salamasaid6905 2 жыл бұрын
Mungu azidi kupatia mungozo mwema uyo mtoto na baraka mpenja ni nimempenda kwa upendo wake amempatia baraka zote uyo mtangazaji mpya
@tezamog9042
@tezamog9042 2 жыл бұрын
Huyu mtoto anakipaji
@jastinesamboto4674
@jastinesamboto4674 2 жыл бұрын
Binafsi huwa napata burudani Sana nikimsikia Baraka akitangaza mpira ila Nimependa zaidi alichomfanyia huyu mtoto, unajua ukitaka kupata moyo kwa kile unachopenda basi upate support.
@wilsonedward326
@wilsonedward326 2 жыл бұрын
baraka ni level nyingine ila uyo mtoto ndio funga kazi mungu ampe maisha marefu ili tupate matunda yake ya football
@hashimuamini4417
@hashimuamini4417 2 жыл бұрын
Mungu amjalie kila lenye kheri huyu dogo atafika mbali sana nawe mtangazaji wetu mahili Baraka Mpenja Mungu akujalie kheri na moyo wa upendo siku zote
@kenedybrayan2485
@kenedybrayan2485 2 жыл бұрын
Sana mdogo wangu inshallah utatoboa
@simoncharles683
@simoncharles683 2 жыл бұрын
Dah huyu mtoto is very tàlented keep on moving mtoto mzur
@mozasalum9715
@mozasalum9715 2 жыл бұрын
MashaAllah mwanzo nilidharau kwa kua sio mpenzi wa mpira lakini nikataka kujua mtt anafanya nini kanifanya niendelee kuangalia kwa kweli mtt yuko vizuri mungu ampe uzima na afya atimize ndoto zake inshaAllah 💖
@ramadhanihudhaifani4376
@ramadhanihudhaifani4376 2 жыл бұрын
Damn! This is what the white men would say: WOW!!! Congratulaltions young janja. Big up sana,Mr Baraka Mpenja! Keep the good while and let love take the lead.❤✌👍
@kudramzee5769
@kudramzee5769 2 жыл бұрын
Congratulations baraka mpenja
@furahakawogo9660
@furahakawogo9660 2 жыл бұрын
Namkubali sana dogo Adil mtoto anakipaji. Napenda sana anavoiga ushangiliaji wa Fiston kalala mayele.
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 13 МЛН
MTOTO ANAYETANGAZA MPIRA KWA KINGEREZA TABORA
10:42
Millard Ayo
Рет қаралды 221 М.
KIKOSI CHA MAANGAMIZI TAREHE 08 ,SIMBA&YANGA NANI KATISHA
2:23
Suda yanga
Рет қаралды 25 М.
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 277 М.
Не пожал руку и жёстко поплатился!
0:51
МИНУС БАЛЛ
Рет қаралды 217 М.
Он его сделал #футбол #football #shorts #trending
0:40
🙀Неймар Изменили Правила Пенальти #shorts
0:23
Зачем этот скейтер делает сальто Без Ног?
0:27