NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE

  Рет қаралды 919,710

Bona Tv

Bona Tv

Күн бұрын

Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
#Bonatv #Exclusive

Пікірлер: 488
@lindakibanga996
@lindakibanga996 2 жыл бұрын
Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king
@kassimali2273
@kassimali2273 2 жыл бұрын
Jamaaa anajua sauti hatareee Mashaa Allah
@ashurahatibu5069
@ashurahatibu5069 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@salmacazzy1915
@salmacazzy1915 2 жыл бұрын
Kabisa kipenz tupo wengiii😁😁
@catherinejohn5043
@catherinejohn5043 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@henrycyprian5005
@henrycyprian5005 2 жыл бұрын
Hiyo ndo maana ya kupenda music na si mtu
@mandyuwimana7735
@mandyuwimana7735 2 жыл бұрын
Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌
@huseinshedrack6180
@huseinshedrack6180 2 жыл бұрын
Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King
@neemaanthony3571
@neemaanthony3571 2 жыл бұрын
King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana
@Adeen.1
@Adeen.1 2 жыл бұрын
Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube
@godfreywilliam9673
@godfreywilliam9673 2 жыл бұрын
@@Adeen.1 rudia kusoma Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa
@Adeen.1
@Adeen.1 2 жыл бұрын
@@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia
@revocatusbukombe2551
@revocatusbukombe2551 2 жыл бұрын
sana sanaa
@aishatarimo6780
@aishatarimo6780 2 жыл бұрын
King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 2 жыл бұрын
Exactly
@chabushizo3972
@chabushizo3972 2 жыл бұрын
Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe
@maulidkhamis2003
@maulidkhamis2003 2 жыл бұрын
Mamamaeeeeh 😀😀😀
@beatricemkassa9340
@beatricemkassa9340 2 жыл бұрын
Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍
@manjaruu1575
@manjaruu1575 2 жыл бұрын
Huyu mshikaji wa kipekee sanaa
@masudimillanzi994
@masudimillanzi994 2 жыл бұрын
Shobo zinakusumbua
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 2 жыл бұрын
@@masudimillanzi994Daaah... 😁
@nurathkhamiss5925
@nurathkhamiss5925 2 жыл бұрын
Me mwenyew kidog nilie at sjui what happen
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 2 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿
@amanirazalo4338
@amanirazalo4338 2 жыл бұрын
Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel
@mariamuhamadi4966
@mariamuhamadi4966 2 жыл бұрын
Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩
@leylagadau3394
@leylagadau3394 2 жыл бұрын
Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@vicknessngenzi6146
@vicknessngenzi6146 2 жыл бұрын
King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.
@abdulaabdula2631
@abdulaabdula2631 2 жыл бұрын
🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
@@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.
@padorsmart6249
@padorsmart6249 2 жыл бұрын
Hata nywere yake hainaga mambo
@lucylucy3678
@lucylucy3678 2 жыл бұрын
@@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@fatmaqhta8528
@fatmaqhta8528 2 жыл бұрын
Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yusrairakoze3966
@yusrairakoze3966 2 жыл бұрын
Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa
@rashidnajma350
@rashidnajma350 2 жыл бұрын
Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya
@hilalisulemani4991
@hilalisulemani4991 2 жыл бұрын
999qaa
@ommyflavoure2547
@ommyflavoure2547 2 жыл бұрын
Kabsaa
@mwarimwagakitu475
@mwarimwagakitu475 2 жыл бұрын
Kabisa
@jamessanga7120
@jamessanga7120 2 жыл бұрын
love you jiraniiii from tz
@jacobngoso6990
@jacobngoso6990 2 жыл бұрын
Unamjua😂😂
@jumakessy4192
@jumakessy4192 2 жыл бұрын
Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽
@zenakioga6567
@zenakioga6567 2 жыл бұрын
Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri
@mamakeaisha4926
@mamakeaisha4926 2 жыл бұрын
Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 2 жыл бұрын
Na watakuua kina Baba levo na Masha love😂😂
@zanifarabdullah5756
@zanifarabdullah5756 2 жыл бұрын
Tuko wot sina msani mwengine ninaempenda kama kiba
@roycerolls9641
@roycerolls9641 2 жыл бұрын
Hawamuwezi kiba
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 2 жыл бұрын
Yan kama mm
@asiamwarabu7510
@asiamwarabu7510 2 жыл бұрын
Hujapigika vizur anyway au basi
@edwardnjile5621
@edwardnjile5621 2 жыл бұрын
Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 2 жыл бұрын
Fact
@ONLY_ONE_KING_J
@ONLY_ONE_KING_J 2 жыл бұрын
Ali kiba is always on his own level... King🤴
@baetee8782
@baetee8782 2 жыл бұрын
Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King
@joellansvyimana3444
@joellansvyimana3444 2 жыл бұрын
Respect kwel unasauti nzur bila machine we ndo number one
@marymbatia7801
@marymbatia7801 2 жыл бұрын
Wow very naturally Ali Kiba nice voice
@pamelahezron8326
@pamelahezron8326 2 жыл бұрын
Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.
@pendolazaro4686
@pendolazaro4686 2 жыл бұрын
Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice
@MuedasomosnosMML
@MuedasomosnosMML 2 жыл бұрын
Ali king kiba a tua voz nem precisa ser masterizado és natural meu grande brother big up Sana miaka mingi ushy king wangu ili tupate mziki mzury I'm boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 258
@Jaimesportstv
@Jaimesportstv 2 жыл бұрын
É verdade ele gênio
@cutecutie1411
@cutecutie1411 2 жыл бұрын
Te amamos from Tanzania...
@drago7865
@drago7865 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fYvHdo2KbL98apo
@zeyhussein1709
@zeyhussein1709 2 жыл бұрын
KING🔥🔥🔥 no one like him😍
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 2 жыл бұрын
Natural voice, Natural talent 👍👌🙌
@gracek5425
@gracek5425 2 жыл бұрын
King 🤴 👑
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@Fx_expertmoneymaker001
@Fx_expertmoneymaker001 2 жыл бұрын
@@DonMooSTUDIO_Express naturally...
@sonofmechanic1554
@sonofmechanic1554 2 жыл бұрын
Masenge sauti inakata mbona
@sunnysohal9124
@sunnysohal9124 2 жыл бұрын
We Ni mtu
@boniphacerevocatus8721
@boniphacerevocatus8721 2 жыл бұрын
Ila nyie alikibaaa anajuaaa💥💥
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 2 жыл бұрын
Anajua sana
@fikirimloka7389
@fikirimloka7389 2 жыл бұрын
Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.
@auraliajuniordicklay7353
@auraliajuniordicklay7353 2 жыл бұрын
Yeah we love king😍😍😍👏👏👏
@assumanissa4395
@assumanissa4395 2 жыл бұрын
King kiba yaaaa napenda sana nyimbo zako zote,Matola mozambique cabo delgado nangade sede fronteira.
@bintybweta9604
@bintybweta9604 2 жыл бұрын
Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 жыл бұрын
Music is all about melody and natural voice
@seifsalum5404
@seifsalum5404 2 жыл бұрын
big up brother cokwajimbo ilo
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Mungu ambariki sana hao chawa ni wagombanishi
@ahmadnassor6004
@ahmadnassor6004 2 жыл бұрын
🤣🤣kbs
@mathayocharles5449
@mathayocharles5449 2 жыл бұрын
Dah? Nature voice man.congraturate king
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 2 жыл бұрын
Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.
@lisamutheu4677
@lisamutheu4677 2 жыл бұрын
Woooow nakupenda bure Ali
@nassorally4002
@nassorally4002 2 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba
@kabintmpase1544
@kabintmpase1544 2 жыл бұрын
Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 2 жыл бұрын
Kiba anajipaj kikubwa sana
@khalfanzanzibar4816
@khalfanzanzibar4816 2 жыл бұрын
Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote
@lbmaasai929
@lbmaasai929 2 жыл бұрын
One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 жыл бұрын
Amazing voice!!!!
@ezekiamgimbaofficial5694
@ezekiamgimbaofficial5694 2 жыл бұрын
Makubwa upande upi wewe nimwenzetu
@lovejames6475
@lovejames6475 2 жыл бұрын
Hongera sana kaka jaman mwenyez mung akubarki sana kwenye ndoa Yako mdumu
@dearlatty5305
@dearlatty5305 2 жыл бұрын
Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤
@agripinagaudence7744
@agripinagaudence7744 2 жыл бұрын
King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃
@ashuramohamed241
@ashuramohamed241 2 жыл бұрын
Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘
@angelaraphat5524
@angelaraphat5524 2 жыл бұрын
Dah natural talent
@hassansaid9925
@hassansaid9925 2 жыл бұрын
Kiba mziki anaujua and I do love him
@blondonsele9028
@blondonsele9028 2 жыл бұрын
Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass
@reginamanyangu6682
@reginamanyangu6682 2 жыл бұрын
King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza
@sharonojwang2353
@sharonojwang2353 2 жыл бұрын
The best bongo artist ktka tz, so much from kenya
@habibukilango7738
@habibukilango7738 2 жыл бұрын
Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn
@fetychina3273
@fetychina3273 2 жыл бұрын
Always king is KING
@rahmarajab3688
@rahmarajab3688 2 жыл бұрын
King,!!U'll always be a King, only you,,,, Yebabaaa!!!!!
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@mtoromwinyi4366
@mtoromwinyi4366 2 жыл бұрын
Jamani Ally anajua sana huyu Jamaa hakuna wakufananae bongo hii kabisa
@mughishajohn3287
@mughishajohn3287 2 жыл бұрын
Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba
@officialbntrasool5223
@officialbntrasool5223 2 жыл бұрын
yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍
@sharonakinyi5795
@sharonakinyi5795 2 жыл бұрын
I wish to listen to you live one day you're my favourite bongo artist
@abdulrazakmjape2259
@abdulrazakmjape2259 2 жыл бұрын
Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake
@ladynisha9240
@ladynisha9240 2 жыл бұрын
I'm from Kenya and you are my best black artists from Tanzania. I love the song utu. Wewe noma sana dear. I'm also an Artist a rapper and a singer too please can we a collaboration of one song.
@mourinembodze1513
@mourinembodze1513 2 жыл бұрын
Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪
@Lando_Anthony
@Lando_Anthony 2 жыл бұрын
Ooooh vocals
@billylovebillybillylovebil580
@billylovebillybillylovebil580 2 жыл бұрын
😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko
@anzonapon199
@anzonapon199 2 жыл бұрын
Only one king 👑 🔥 😍
@princedracsal790
@princedracsal790 2 жыл бұрын
saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee
@junemuchiri609
@junemuchiri609 2 жыл бұрын
Wish I can get a Tanzanian man,napenda kiswahili ya tz sana for real
@mussajuma9698
@mussajuma9698 2 жыл бұрын
Welcome ZANZIBAR
@wendokiba4673
@wendokiba4673 2 жыл бұрын
The love i have for this man🥰🥰🥰ouh my God!!! What a darlin hunn🔥🔥🔥❤️
@vicluxuriousinvestments672
@vicluxuriousinvestments672 2 жыл бұрын
I also feel the vibe for Alikiba
@shellaking6185
@shellaking6185 2 жыл бұрын
Alikiba hataki wanawake wamfate karibu,chezea kuombwa talaka ww,heshimu ndoa yko.
@ramlaomar7923
@ramlaomar7923 2 жыл бұрын
🤣🤣
@najlazezynaj2703
@najlazezynaj2703 2 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@carloschigs631
@carloschigs631 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@liliankessy1255
@liliankessy1255 2 жыл бұрын
😂😂
@eichermiss4196
@eichermiss4196 2 жыл бұрын
Haki wewe 🤣🤣🤣🤣🤣...una akili sana. Kumbe umeona hiyo? Ubarikiwe sana 😆😆😆😆
@mariamalongo8803
@mariamalongo8803 2 жыл бұрын
I Love Ali Kiba
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 жыл бұрын
Hahaha eti baada ya kutoka listen part nimemkuta mkewangu amekalili verse ya kwanza
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 2 жыл бұрын
Safi sana Only one King, hapa wangeambiwa waambe wengine live tungesingizia maiki lol
@atoshamkingule7258
@atoshamkingule7258 2 жыл бұрын
Haaaaaaa, wengine wanabebwa na beat
@rehemaabtwahi4097
@rehemaabtwahi4097 2 жыл бұрын
Le voice🔥🔥
@DonMooSTUDIO_Express
@DonMooSTUDIO_Express 2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@fatmakimbau3299
@fatmakimbau3299 2 жыл бұрын
King 🤴 👑 ni mmoja tu,
@jojosstar8930
@jojosstar8930 2 жыл бұрын
Kweli king in king tu
@lbmaasai929
@lbmaasai929 2 жыл бұрын
Alikiba forever 😍🤩🤩🤩🤩
@griffinjahazi2167
@griffinjahazi2167 2 жыл бұрын
Since I was a kid u av been always my no 1,I cherish u kiba
@jacklineandrew5909
@jacklineandrew5909 2 жыл бұрын
Original voice 😘 ur blessed 🙏
@seiphabdallah4146
@seiphabdallah4146 2 жыл бұрын
Kings music forever 💞💯💯💯
@almercyproducts2601
@almercyproducts2601 2 жыл бұрын
Salute sana Alchama napenda io effort
@justinaninga5628
@justinaninga5628 2 жыл бұрын
Sina Shaka na kipaji chako nakupenda Sana king kiba
@stevenoiro3815
@stevenoiro3815 2 жыл бұрын
Tuendelee kujifukiza,UFALME UTABAKI KUWA KWAKO SIKU ZOTE 👑
@nickykimambo4803
@nickykimambo4803 2 жыл бұрын
Mwenye muziki wake King Kiba
@rahimamawesi1295
@rahimamawesi1295 2 жыл бұрын
Always you will still be my favorite brother
@alishauri6506
@alishauri6506 2 жыл бұрын
Natural sound, well done
@realcomrade1556
@realcomrade1556 2 жыл бұрын
Once a king always a king,,,!@king kiba band man kiba
@annrobin9291
@annrobin9291 2 жыл бұрын
Waooo nakupenda sana you know that
@saddamrashidmohmmedsaddamr7378
@saddamrashidmohmmedsaddamr7378 2 жыл бұрын
Nice song
@severinbin8437
@severinbin8437 2 жыл бұрын
Respect the king 👌😊😊✊
@mariamyoyote8172
@mariamyoyote8172 2 жыл бұрын
Dah Yan ww king kiba 💖💓💓💓♥️♥️💓💓be blessed
@khanwizzytz4130
@khanwizzytz4130 2 жыл бұрын
Siyo Vibaya Kusema Wewe Ndiye Baba Wa Mziki Wa Bongo Fleva Utaki Acha Kuimba Nyimbo Za Kutambia Ngoma🤣🤣🤣 King 👑 Ni Mmoja2 King KIBA
@domykimata5768
@domykimata5768 2 жыл бұрын
Rkelly wa east africal king kiba
@henrycyprian5005
@henrycyprian5005 2 жыл бұрын
Voice is amazing
@salmahussein8076
@salmahussein8076 2 жыл бұрын
Uyu kaka jamani ana lisauti la kipekee...mweeeeee nalipendaga
@adamhashimu4462
@adamhashimu4462 2 жыл бұрын
Hatar
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 жыл бұрын
Natural voice
@swalhaswalehe30
@swalhaswalehe30 2 жыл бұрын
Husna bona Masha Allah nakupenda Sana
@swahibuqaswida2566
@swahibuqaswida2566 2 жыл бұрын
Hakika namkubali sana ali kiba
@rachelelias1251
@rachelelias1251 2 жыл бұрын
I Love u kiba
@yassinm69
@yassinm69 2 жыл бұрын
The only king
Alikiba Alivyowaimbisha Billnass, Nandy na Wageni
4:16
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 1,2 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,5 МЛН
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 90 МЛН
She's very CREATIVE💡💦 #camping #survival #bushcraft #outdoors #lifehack
00:26
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
Chapitosiki
Рет қаралды 3,6 МЛН
ДЕНЬ УЧИТЕЛЯ В ШКОЛЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,5 МЛН