Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE #Bonatv #Exclusive
Пікірлер: 488
@lindakibanga9962 жыл бұрын
Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king
@kassimali22732 жыл бұрын
Jamaaa anajua sauti hatareee Mashaa Allah
@ashurahatibu50692 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@salmacazzy19152 жыл бұрын
Kabisa kipenz tupo wengiii😁😁
@catherinejohn50432 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@henrycyprian50052 жыл бұрын
Hiyo ndo maana ya kupenda music na si mtu
@mandyuwimana77352 жыл бұрын
Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌
@huseinshedrack61802 жыл бұрын
Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King
@neemaanthony35712 жыл бұрын
King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana
@Adeen.12 жыл бұрын
Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube
@godfreywilliam96732 жыл бұрын
@@Adeen.1 rudia kusoma Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa
@Adeen.12 жыл бұрын
@@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia
@revocatusbukombe25512 жыл бұрын
sana sanaa
@aishatarimo67802 жыл бұрын
King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u
@atoshamkingule72582 жыл бұрын
Exactly
@chabushizo39722 жыл бұрын
Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe
@maulidkhamis20032 жыл бұрын
Mamamaeeeeh 😀😀😀
@beatricemkassa93402 жыл бұрын
Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍
@manjaruu15752 жыл бұрын
Huyu mshikaji wa kipekee sanaa
@masudimillanzi9942 жыл бұрын
Shobo zinakusumbua
@user-ot2io4cy6w2 жыл бұрын
@@masudimillanzi994Daaah... 😁
@nurathkhamiss59252 жыл бұрын
Me mwenyew kidog nilie at sjui what happen
@ibrahimkibira99432 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿
@amanirazalo43382 жыл бұрын
Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel
@mariamuhamadi49662 жыл бұрын
Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩
@leylagadau33942 жыл бұрын
Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@vicknessngenzi61462 жыл бұрын
King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha
@lucylucy36782 жыл бұрын
King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.
@abdulaabdula26312 жыл бұрын
🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano
@lucylucy36782 жыл бұрын
@@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.
@padorsmart62492 жыл бұрын
Hata nywere yake hainaga mambo
@lucylucy36782 жыл бұрын
@@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@fatmaqhta85282 жыл бұрын
Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@yusrairakoze39662 жыл бұрын
Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa
@rashidnajma3502 жыл бұрын
Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya
@hilalisulemani49912 жыл бұрын
999qaa
@ommyflavoure25472 жыл бұрын
Kabsaa
@mwarimwagakitu4752 жыл бұрын
Kabisa
@jamessanga71202 жыл бұрын
love you jiraniiii from tz
@jacobngoso69902 жыл бұрын
Unamjua😂😂
@jumakessy41922 жыл бұрын
Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽
@zenakioga65672 жыл бұрын
Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri
@mamakeaisha49262 жыл бұрын
Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Na watakuua kina Baba levo na Masha love😂😂
@zanifarabdullah57562 жыл бұрын
Tuko wot sina msani mwengine ninaempenda kama kiba
@roycerolls96412 жыл бұрын
Hawamuwezi kiba
@adamhashimu44622 жыл бұрын
Yan kama mm
@asiamwarabu75102 жыл бұрын
Hujapigika vizur anyway au basi
@edwardnjile56212 жыл бұрын
Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba
@adamhashimu44622 жыл бұрын
Fact
@ONLY_ONE_KING_J2 жыл бұрын
Ali kiba is always on his own level... King🤴
@baetee87822 жыл бұрын
Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King
@joellansvyimana34442 жыл бұрын
Respect kwel unasauti nzur bila machine we ndo number one
@marymbatia78012 жыл бұрын
Wow very naturally Ali Kiba nice voice
@pamelahezron83262 жыл бұрын
Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.
@pendolazaro46862 жыл бұрын
Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice
@MuedasomosnosMML2 жыл бұрын
Ali king kiba a tua voz nem precisa ser masterizado és natural meu grande brother big up Sana miaka mingi ushy king wangu ili tupate mziki mzury I'm boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 258
@Jaimesportstv2 жыл бұрын
É verdade ele gênio
@cutecutie14112 жыл бұрын
Te amamos from Tanzania...
@drago78652 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/fYvHdo2KbL98apo
@zeyhussein17092 жыл бұрын
KING🔥🔥🔥 no one like him😍
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@aminanamoyo832 жыл бұрын
Natural voice, Natural talent 👍👌🙌
@gracek54252 жыл бұрын
King 🤴 👑
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@Fx_expertmoneymaker0012 жыл бұрын
@@DonMooSTUDIO_Express naturally...
@sonofmechanic15542 жыл бұрын
Masenge sauti inakata mbona
@sunnysohal91242 жыл бұрын
We Ni mtu
@boniphacerevocatus87212 жыл бұрын
Ila nyie alikibaaa anajuaaa💥💥
@adamhashimu44622 жыл бұрын
Anajua sana
@fikirimloka73892 жыл бұрын
Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.
@auraliajuniordicklay73532 жыл бұрын
Yeah we love king😍😍😍👏👏👏
@assumanissa43952 жыл бұрын
King kiba yaaaa napenda sana nyimbo zako zote,Matola mozambique cabo delgado nangade sede fronteira.
@bintybweta96042 жыл бұрын
Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@rogathesarwatt2 жыл бұрын
Music is all about melody and natural voice
@seifsalum54042 жыл бұрын
big up brother cokwajimbo ilo
@margarethpolepole74382 жыл бұрын
Mungu ambariki sana hao chawa ni wagombanishi
@ahmadnassor60042 жыл бұрын
🤣🤣kbs
@mathayocharles54492 жыл бұрын
Dah? Nature voice man.congraturate king
@amanimlengwa92022 жыл бұрын
Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.
@lisamutheu46772 жыл бұрын
Woooow nakupenda bure Ali
@nassorally40022 жыл бұрын
Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba
@kabintmpase15442 жыл бұрын
Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌
@adamhashimu44622 жыл бұрын
Kiba anajipaj kikubwa sana
@khalfanzanzibar48162 жыл бұрын
Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote
@lbmaasai9292 жыл бұрын
One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri
@rahmarajab36882 жыл бұрын
Amazing voice!!!!
@ezekiamgimbaofficial56942 жыл бұрын
Makubwa upande upi wewe nimwenzetu
@lovejames64752 жыл бұрын
Hongera sana kaka jaman mwenyez mung akubarki sana kwenye ndoa Yako mdumu
@dearlatty53052 жыл бұрын
Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤
@agripinagaudence77442 жыл бұрын
King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃
@ashuramohamed2412 жыл бұрын
Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘
@angelaraphat55242 жыл бұрын
Dah natural talent
@hassansaid99252 жыл бұрын
Kiba mziki anaujua and I do love him
@blondonsele90282 жыл бұрын
Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass
@reginamanyangu66822 жыл бұрын
King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza
@sharonojwang23532 жыл бұрын
The best bongo artist ktka tz, so much from kenya
@habibukilango77382 жыл бұрын
Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn
@fetychina32732 жыл бұрын
Always king is KING
@rahmarajab36882 жыл бұрын
King,!!U'll always be a King, only you,,,, Yebabaaa!!!!!
@DonMooSTUDIO_Express2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzbin.info/www/bejne/kKSthoWDfqiMl6M
@mtoromwinyi43662 жыл бұрын
Jamani Ally anajua sana huyu Jamaa hakuna wakufananae bongo hii kabisa
@mughishajohn32872 жыл бұрын
Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba
@officialbntrasool52232 жыл бұрын
yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍
@sharonakinyi57952 жыл бұрын
I wish to listen to you live one day you're my favourite bongo artist
@abdulrazakmjape22592 жыл бұрын
Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake
@ladynisha92402 жыл бұрын
I'm from Kenya and you are my best black artists from Tanzania. I love the song utu. Wewe noma sana dear. I'm also an Artist a rapper and a singer too please can we a collaboration of one song.
@mourinembodze15132 жыл бұрын
Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪
@Lando_Anthony2 жыл бұрын
Ooooh vocals
@billylovebillybillylovebil5802 жыл бұрын
😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko
@anzonapon1992 жыл бұрын
Only one king 👑 🔥 😍
@princedracsal7902 жыл бұрын
saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee
@junemuchiri6092 жыл бұрын
Wish I can get a Tanzanian man,napenda kiswahili ya tz sana for real
@mussajuma96982 жыл бұрын
Welcome ZANZIBAR
@wendokiba46732 жыл бұрын
The love i have for this man🥰🥰🥰ouh my God!!! What a darlin hunn🔥🔥🔥❤️