Yani nkiona mzee likoma na Mr dibozi nacheka taar bila hata kujua inahusu nini jamani 😂😂😂 nawapenda sana nikiwa Kenya 🇰🇪
@simbeyrugata8745Ай бұрын
The best movie, congratulations to you all actors, especially kp,zebu,diboz and likoma
@abdallahassan6378Ай бұрын
Kp nilikua naumia kuona move yen ni moja tu nilitamani kuona kil kipindi cha wamangush mzee wagiza na dada ,yaani hongeren sana 🎉🎉🎉🎉kwa kuongeza move
@AnithaStivenАй бұрын
Jamani sijapenda mashabiki wa kp hamutendi haki kwa likoma kumbukeni likoma kafanya tumujue zaidi lakini video za likoma eti watu mupo 78 kweli sio sawa like zipo 691 sio saw😢
@rozeyousef9823Ай бұрын
Jitaidi kushea link na kuhamasisha wengine ili tufike kiwango kwa sapoti zaidi😊
@christinamethod2364Ай бұрын
Muwe mnaniita mapema😁
@AmosBudoyaАй бұрын
Kabisa jaman let's support likoma
@josephluomba8807Ай бұрын
Hatukuwa tiyari 😅😅😅
@user-sc7sn6ux2vАй бұрын
together
@nasorohusein-uz4hvАй бұрын
Mzee likoma KAZI nzuri mungu akuongezee maarifa zaidi utazidi kufanikiwa
@NipherKwambokaАй бұрын
Kutka Kenya Leo nimekufa number 5 nipeeni like hata kumi jamani
@Zainab_salatАй бұрын
Umekufa? Mbona una comment😂😂❤😂😂
@purityneema218Ай бұрын
Kufa tena ?😂😂
@PendoRobert-ph6uxАй бұрын
Umekufa namba 5😂😂😂😂
@Laxy_TalentАй бұрын
aya bwn
@PoliceNdizeye-rt2mlАй бұрын
Musalimie yesu 😂😂😂
@madymag6926Ай бұрын
Likoma na dibozi wow Nawependa bure kazi nzuri sana❤❤❤❤😂😂😂😂😂
@tobiaschirwa9364Ай бұрын
Unyama Sana Mzee Likoma & Dibozi nawapenda kutoka malawi tuko pamoja tutasubiri mwendeleo 😂😂 mumependeza Kp na Zebuu ❤❤❤❤❤
@ruth1377Ай бұрын
Wow hii nzuri nimeipenda ad raha🔥🔥🔥🔥❤️❤️💯💯💯💯
@modostarАй бұрын
Kazi nzuri na mm ni msanii natamani kufanya ksz na nynyi
@Therapist_kicha25 күн бұрын
Why message kama hii huwa hawaijibuu
@user-xd8qy1cx2bАй бұрын
Jamani move nzuri sana likoma big up 💪💪
@JohariJohari-rv5jsАй бұрын
Nguo zashule zimewapendeza
@MauaroseMauaroseАй бұрын
Hahaha haaaa jamani jamani mpaka tumbo linaniuma
@bakariomari673518 күн бұрын
Kwann likuume❤
@Mariamjaromedevu9 күн бұрын
Mzee likoma na kibozi mnanifurahishag san❤❤
@NishimweDeo-th6qw8 күн бұрын
Nabapenda sana kabisa.kebi na zébu narikokoma.napenda muvie zébu 🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤❤❤❤
@OUTLAWDRILLERSАй бұрын
Sijachelewa pia mm kutoka kenya,,likes kwangu
@SamuelAloo-qv3kgАй бұрын
Mfuasi wa mzee likoma na dibozi manuva kutoka kenya 🇰🇪
@WardaMohhamed-xx9mv16 күн бұрын
Nimeipendasana
@ZitoAntonioNhanga-ms6ujАй бұрын
Nampenda sana mze likoma❤
@yohanemwanzalima2777Ай бұрын
Kp na zebuu napenda kazi zenu zote nzuri
@JanetSanga-b6pАй бұрын
Kazi nzuri nawapenda nyote
@hamzaIlungaАй бұрын
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi kaka mkubwa likoma tupia like zangu apo
@jaymapepefatma593629 күн бұрын
This is love from Mozambique 🇲🇿❤
@user-md2ct5fl7hАй бұрын
Mzee likoma unauwa sababu ya dhahabu kali sana
@ShanBaby-dy4dbАй бұрын
Samahani am from Kenya the capital city of Africa nipeni like zangu❤❤❤
@EdwardTz.Ай бұрын
Hatari sana itanoga kuliko mzee wa giza ❤❤❤❤
@lucyrif-np8ikАй бұрын
Nimebaki tu nikicheka yaan likoma wewe et tumbo linahifadhi vyakula vingi😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
@user-su5oi5wb6cАй бұрын
Nawakubali sana kp na zebuu mumerudi shule na mumependeza 😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@MalakiKapesa14 күн бұрын
Kazi nzr Sana likoma nakubali sana
@MayengDuluАй бұрын
Kazi poa sana mzee likoma na dibosi na wanafuzi dodosha vitu Kali kaka❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AugustinhoManyangaunitedboetz3Ай бұрын
Wanafuzi??
@jacksonminani9782Ай бұрын
Kazi nzuri sana likoma Suraj yupo wapi kwenye plan b??love kutoka burundi
@joycemaregesi18Ай бұрын
Haya ndo maswali ya kuulza suraji toka sonaa haonekani lakini watu kuomba like tu kuchangia vitu vya musingi aaaaaaah 😮
@mary-lx3hrАй бұрын
😂😂pia mm nlikua nataka kuuuliza hivyo suraji Yuko wap
@joycemaregesi18Ай бұрын
@@mary-lx3hr si ndo hàpo sasa lakini watu kila anayecomment anaomba like utadhani zinapunguza ugumu wa maisha😏
@jacklinefatma626329 күн бұрын
@@joycemaregesi18wa kuomba like waulize wapost nn
@joycemaregesi1829 күн бұрын
@@jacklinefatma6263 nawaulzaga wanaomba like kwa kipi wamefanya😏dalili moja wapo ya ushogha ni kuomba like ambazo hujafanyia kazi
@MbataMbataa27 күн бұрын
Mzee rikoma nooma❤❤❤ namuelewa sana
@LinetOpio-uj2ebАй бұрын
😂😂😂🤣🤣🤣 likoma acha uzembe ukalime bana na venye nilikua nmekufia hivi, ucfanye nchange mind🙆🙆🙆🙆🙆
@user-rl5zb1jc9kАй бұрын
Unyama mwingi 🔥 much love from Kenya 🇰🇪😘
@user-op7tg4wq2gАй бұрын
Nakubali wapi like za mzee likoma
@EdalyDaudАй бұрын
Dog sele
@AmaniAnda5 күн бұрын
Kp na zebuu mnapendeza sana hiv hakuna uhusiano wowote wa kimapenzi
@feisaldesign415613 күн бұрын
Likoma ume perform vzur ktk senior yko good
@user-dy2zp2iw6zАй бұрын
Jmn zebuu Hilo shangazi kaja 😂😂😂
@user-yg7dy8ls9e20 күн бұрын
😅😅😅😅aisee nmecheka mpaka nmepaliwa
@TantineZuzuАй бұрын
Hongereni kwa kazi nzuri sana 🎉🎉❤❤🇧🇮🇧🇮
@user-xm4uu7he9cАй бұрын
Kazi nzuri sana likoma n kundi lako❤❤❤
@ThumahSalush18 күн бұрын
Mambo napenda movie zenu mnajua kuakti wow ❤😅😅 mwaaaa
@CarolinePeter-gc8fpАй бұрын
Kiukweli mmejua kutusuprise but hongereni sana kwa kazi nzuri be blessed guys
@DicksonBukon2 күн бұрын
We mzee hatari san big up
@user-lf5ud8vb5jАй бұрын
Samaani nipeni like zangu from 🇨🇩 nakupenda sana likoma
@furahandalu4765Ай бұрын
Mko vzr sana aiseee maua yenu❤❤
@user-jd9jb3ri4uАй бұрын
Shangazi kaja inakimo kuzidi mbebaji,,,,,,,si kwa kukwea hko jaamaan. 😍😍😍
@MwanaidiAmanziАй бұрын
Safi saana sio kila siku mke na mume
@EstherwakioWukandaАй бұрын
😂😂😂😂jamani Likoma na Dibozi huwa mwanifurahisha sana,nawapenda bure❤
@MohamedKibanda3 күн бұрын
Napenda sana movie zenu
@MaryamSafi-vm6orАй бұрын
Jmn chukuen maua yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤ Kaz nzuri
@FatimaFatima-bx8ezАй бұрын
Wow nimeipenda nzuri sana Kp na zebuu mmpendeza sana❤❤ aaaa had raha nawapenda nyote 😅😅😅😅🎉❤
@Chebaibaiever26 күн бұрын
From 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎉🎉🎉
@JerryGebiyr-dv6jpАй бұрын
From south africa tujuwane apa kwa safari hii ya Mr Money 🔥🇿🇦
@DianaKatyetyeАй бұрын
Kazi nzur vipenzi nimewapenda bule
@user-nw6jl2uw1q29 күн бұрын
Nzuri jmn hongeren sana
@janepaul-pu3dsАй бұрын
Likoma kwa hii mnanoga sana hongereni sana Kp na Zebuu nimependa hizo sare 😍😊🎉🎉🎉🎉 msikawie sana bac kutuletea ep 2
@GentilKakule-rd2pzАй бұрын
Hii inaonekana itakua kali sana 🔥🔥🔥 ongera sana mzee likoma kwaku tuletea kitu kikali
@user-gg5ed4wt2vАй бұрын
Nimefurahi,sana liko na dibozi❤❤
@isabellahchuma29 күн бұрын
Ety zebuu darasa la pili,alaf nimekuama hapa kwa a e i o u😅😅😅😅😅😅kazi nzuri sana timu likoma na timu yako🎉🎉🎉❤
@user-qq4zr3sk2gАй бұрын
Eti mzee mwenzangu tumetajirika 😂😂😂 anavyojishirikisha😂😂😂
@RebeccaMasinjisa4 күн бұрын
Kp ,zebuuu na likoma mmetisha😊😅❤
@user-zw7nz4nh6d22 күн бұрын
Mashabaki wa kp tumo❤❤ likoma tuko pamoja🎉🎉😂 kwanza hongera kwa likoma
@philohmutua2968Ай бұрын
Naipenda sana likoma amekuwa Nigerian walai
@LebonAlliance3 күн бұрын
Kazi zuri sana
@AbdulBushiri-b6o12 күн бұрын
Ninawapenda sana hawa watu kifupi nina iipenda group lao 😅 kutoka tanzania dare ssalaamh