YAJUE HAYA KUTOKA KWA ALICIOS WA POSA YA BOLINGO, MKONGO ANAYETAMBA KWA KUIMBA KISWAHILI

  Рет қаралды 11,271

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Ni mwimbaji Alicios raia wa Congo anayeishi Kenya, amekuwa maarufu kutokana na nyimbo zake alizoimba kiswahili kupata umaarufu kama Posa ya Bolingo, Ya Nini, Mpita Njia na nyingine nyingi. Hapa amefunguka mengi kumuhusu yeye baada ya kuja Bongo.. ni yapi hayo Bonyeza PLAY hapa kumtazama.

Пікірлер: 29
@Jérémih-j7g
@Jérémih-j7g 2 ай бұрын
On est trop fière de toi Al mwana mboka❤
@sosydee3767
@sosydee3767 3 жыл бұрын
Tuko pa1 kaka wakwanza hapa nahitaji like 50tu
@esadkulovic6777
@esadkulovic6777 3 жыл бұрын
Shes my best singer akifatiwa na Juliana,nawapenda tu bure,wao na miziki yao,na nafurahi still ako kwa game na ako form,young always and beauty😘,na kiswahili kitukuzwe😊,fundi na ufundi wake😁...patamu hapo!.
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 3 жыл бұрын
nampendaga sana huyu dada ilove you alicious
@fighterm7708
@fighterm7708 3 жыл бұрын
She used to be my crush since the First time , I saw her with Juliana , Until now the photo of her still in my Mind. The gal like her is my panadol when am got headache. ..I love you from bottom of my heart ....dedication song: Nikikupata by Benpol.
@mwanajumamohammed6327
@mwanajumamohammed6327 3 жыл бұрын
Uwaga nampenda sana huyu kijana nampenda to
@emmanuellusambya7889
@emmanuellusambya7889 3 жыл бұрын
💪💪💪💪🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩Alicios!
@erickmachua8829
@erickmachua8829 3 жыл бұрын
Nice song
@saidkaje620
@saidkaje620 3 жыл бұрын
Nimekuwa wa kwnz
@dripboy2026
@dripboy2026 3 жыл бұрын
Daaah aka kadada nakakubal sana tokea na ile nyimbo yake ya bolingo 😂😁
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 3 жыл бұрын
Nampendaga saana huyu dada
@ailamofficial6757
@ailamofficial6757 3 жыл бұрын
Ya bolingooo
@malley041tv9
@malley041tv9 3 жыл бұрын
Achia wimbo huo wasanii Wa tz mjiongeze kuweka mambo yenu ya relationship in private
@symphorienpyana1999
@symphorienpyana1999 Жыл бұрын
I am proud of you
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 29 күн бұрын
Wanamziki wa kikongo ni wasomi ndo maana wanafanikiwa kuwa na legacy zao zinadumu maana kuna vitu vinakaa kisomi zaidi.
@jafetsubi2908
@jafetsubi2908 3 жыл бұрын
Jamani
@kasangagregory5747
@kasangagregory5747 3 жыл бұрын
ILA JAMAN AFRIKA KUNA WAREMBO MTOTO MZURI
@mwanaishamkindi7763
@mwanaishamkindi7763 3 жыл бұрын
😍😍😍😍
@noahlarapho4749
@noahlarapho4749 3 жыл бұрын
Nice!!
@graceamadi1096
@graceamadi1096 Жыл бұрын
Millard eh, hamna mic nyingine
@husseinchea5524
@husseinchea5524 3 жыл бұрын
Huyo ni mkenya mkongo
@mauricebaraka9119
@mauricebaraka9119 3 жыл бұрын
Sio mkenya mkongo bana Kenya alihamia na wazazi wake,kwa sababu Baba na Mama yake wote ni wacongo na huyo amezaliwa kongo kwa hiyo ni mkongo 💯%
@husseinchea5524
@husseinchea5524 3 жыл бұрын
@@mauricebaraka9119 mtanzania anapohamia marekani na kuchukua citizenship ya huko anakuwa Tanzanian American so huyu naye ni Congolese Kenyan...nadhani sasa umenielewa nilichokimaanisha
@mauricebaraka9119
@mauricebaraka9119 3 жыл бұрын
@@husseinchea5524 Huyo anaishi Kenya kwa pamenti hajachukua uraia wa Kenya Brother,Kama ilivyo kwa Christian Bella hapa Tanzania anaishi Pia kwa Pamenti hajachukua uraia wa Tanzania
@husseinchea5524
@husseinchea5524 3 жыл бұрын
@@mauricebaraka9119 duh! Bro mbona unashindana sana kana kwamba unamjua...kama ulikuwa hujui jua leo, huyo dada kachukua uraia Kenya hata Kidum katokea burundi pia kachukua uraia Kenya. Kuna msanii mwengine kutoka south sudan naye pia kachukua uraia Kenya anaitwa Emmanuel yeye anaimba nyimbo za injili na kuhusu Christian Bella that's another story
@selemanshidda9688
@selemanshidda9688 Жыл бұрын
Wakongo wakijifunza Kiswahili hukiongea vizuri sana! Lakini Watanzania ni limbukeni! Badala ya kuongea Kiswahili sanifu unakuta wanaongea kwa kuchanganya na Kiingereza! Kama huyu anaeongoza usaili ni limbukeni. Eti anasema 'media house'; 'exclusive interview' Huyu ndie Mtanzania anaeishi Tanzania ambako ndiko chumbuko la Kiswahili
@ChristinaSteven-c1s
@ChristinaSteven-c1s 8 ай бұрын
❤❤😂
@danielson8673
@danielson8673 3 жыл бұрын
Cyo jux kweli😅😅😅☺😆
@husseinloyy1912
@husseinloyy1912 3 жыл бұрын
uko poa
Meet Congolese artist Alicios Theluji #theTrend
21:15
NTV Kenya
Рет қаралды 54 М.
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,6 МЛН
小丑和白天使的比试。#天使 #小丑 #超人不会飞
00:51
超人不会飞
Рет қаралды 45 МЛН
Mpita Njia - Alicios ft. Juliana [Official Video]
4:07
AliciosCongo
Рет қаралды 215 М.
Bushoke Ft Alicios - CHECHO (Official Video)
4:00
BUSHOKE
Рет қаралды 276 М.
AHMED ALLY AFUNGUKA A-Z VURUGU WALIZOFANYIWA LIBYA, INAUMA
15:03
Ngwale Sports HD
Рет қаралды 16 М.
PETE - Alicios ft. Kidum ( OFFICIAL VIDEO)
4:39
AliciosCongo
Рет қаралды 206 М.
Самое неинтересное видео
00:32
Miracle
Рет қаралды 2,6 МЛН