Рет қаралды 11,271
Ni mwimbaji Alicios raia wa Congo anayeishi Kenya, amekuwa maarufu kutokana na nyimbo zake alizoimba kiswahili kupata umaarufu kama Posa ya Bolingo, Ya Nini, Mpita Njia na nyingine nyingi. Hapa amefunguka mengi kumuhusu yeye baada ya kuja Bongo.. ni yapi hayo Bonyeza PLAY hapa kumtazama.