MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@malietamaliet2 ай бұрын
Khee mwenyezi Mungu bariki timu yetu msimu ujao inshallah ikawe kheri kwetu wajalie uzima afya njema wachezaji wetu bench la ufundi piah tuweze kufanya vzr
@ommyhatib73312 ай бұрын
Mwakahuu mungu akipenda kombe mapema xan
@sumaiyyaelias2 ай бұрын
nikwel chama yupo yanga mbn tutakuwa vzr sana tusichenze tanzania si mabingwa champion jaman yanga❤
@AmaniMnzava-c3c2 ай бұрын
Hongera sana kwakweli mnafanya kazi kubwa inayotufurahisha sana wana Yanga
@FabiolaSommy2 ай бұрын
🎉🎉🎉 Mungu akupe maisha marefu semaji letu
@ChenchiKing2 ай бұрын
Mwenyekiti Wa Wasemaji Barani Africa#Ally Kamwe# Daima Mbele Nyuma Mwiko💚🇹🇿🇹🇿
@patridabernard91482 ай бұрын
Yaan Yanga Bora tena sana
@GMHOTELMOROGORO2 ай бұрын
yanga borta
@magangamasansa41602 ай бұрын
Mimi Aziz hanipi presha hata asipolizia wa muache aende, alienda mayele lakini tulipambana, kwahiyo Aziz K uwenda amepata Dau kwingine ni Sawa tu
@amanikaduma2372 ай бұрын
Na ndo maana wakamsajili chama
@RamseykingGenius2 ай бұрын
Muache ndo anaenda kupotea maxima walahi 🤔 yanga timu kubwa kuliko timu hizo😮😮😮🤪🤪💚🤲🏻🔜🏆🏆🏆🏆💚💚🤲🏻
@BasuleBasule2 ай бұрын
Yanga Inabidi Tupate Winga 1 Na Kiungo Mkabaji Mwengne Hapo Aje Yeyotee
@kyflavour2 ай бұрын
Nakubali Chama langu
@amaniomar17552 ай бұрын
Mwenyekiti wa wasemaji wote safi sana 🎉🎉🎉
@chrissantkaunda99582 ай бұрын
Safi Sana ila tujiandae kisaikorojia kuhusu Aziz ki maana ata sielewi
@amaniomar17552 ай бұрын
Mchezaji akitaka changamoto sehemu nyengine hafai kuzuiwa
@B.M-ix4rz2 ай бұрын
Mm Sina hofu na timu km Aziz hajasain bac kocha atajua nn afanye
@RajabuBojo-j2l2 ай бұрын
Wacha was was wewe ki yupo
@Abuu-gs1yi2 ай бұрын
Kuwa na amani kabsaaa
@B.M-ix4rz2 ай бұрын
@@RajabuBojo-j2l mbona mpaka saiv mara hajasain mara tayr Kwakweli hatujui tubakie na lip
@MonicaSimon-py3nx2 ай бұрын
Mwenyezi mungu wabariki wachezaji wetu
@dullamuso69552 ай бұрын
Mungu Ibariki Young African Sports Club, Tupe nguvu na Utimamu zaidi Hakika Tukateteee Ubingwa na Hatimaye Kombe la Africa likaje Tanzania 🇹🇿
@kalingavictor70682 ай бұрын
Ally , mwambie injinia apambane tusimpoteze Azizi
@muddymuzungu43572 ай бұрын
Aziz yupo Yanga na wiki ijayo anakuja
@kalingavictor70682 ай бұрын
@@muddymuzungu4357 Itakuwa furaha kubwa kwa wanayanga wote
@salahtv55912 ай бұрын
Lipia kadi aziz ki lzm atabaki
@kalingavictor70682 ай бұрын
@@salahtv5591 hiyo tu siyo shida
@ZuenaMashauri2 ай бұрын
Azizi ki yupo yanga jamani
@remidusmwanandenje-yy5gs2 ай бұрын
🤗🤗🤗🤗🤗🇹🇿🇹🇿🇹🇿🕺🕺🕺🕺 yanga bingwa 2024 adi 30
@mudylipawaga53622 ай бұрын
Yanga bingwa tena inshaALLAH🙏🏼
@vaxminja90532 ай бұрын
Aziz K alishasaini muda mrefu sanaaaaa
@sebastiansalamba3132 ай бұрын
Wajihi wa ally kamwe unamaana sana kuhusu Azz k Sina tumaini
@RamadhanMabwabwa2 ай бұрын
Kweli dogo kapoa sana
@careemdulla16292 ай бұрын
We Aziz Ki tufanye tuwezavyo tumbakishe Aziz K ni mchezaji muhimu sana na hatari pamoja na Pacome Hawa kwa sasa ndio nembo ya Yanga Africa
@kaseja2 ай бұрын
Alhamdullilah furaha imerudi sasa.
@amanisanatu38892 ай бұрын
Daima mbele nyuma mwiko Big team
@roseurio49832 ай бұрын
Na hivi eng Aris alishafunguaka mlango wa magoli kuleee moro .Mungu ibariki yanga
@Samalextz2 ай бұрын
Hongera sana viongozi wetu🎉🎉🎉🎉🎉, I l o v e y o u Y a n g a
@ThomasDonard2 ай бұрын
Wa kwanz jamani
@yasrikomba78742 ай бұрын
❤❤❤❤kila la kheri
@Chichamiles2 ай бұрын
All kiungo mkabaji mwenye ROHO MBAYA 😠 anahitajika coz kuna timu zimeanza kujisahau sana
@Shadia5442 ай бұрын
Sina raha miee 😢😢😢 azizi ki hayupo yanga 😢😢😢 Jamaniii 😢
@samclaud2 ай бұрын
Keep going champion 🏆🏆🏆🏆
@alishaplate62902 ай бұрын
Jmn yote Tisa kumi Azz k yupo wp jmn mbn mnatuumiza roho hivi 😢
@Godfrey-j8b2 ай бұрын
Mungu atusaidie tu maana kila kitu Mungu ndo muweza wa yote
@AgnesRobert-q1i2 ай бұрын
Mungu ibariki yanga🎉 hatuna muda wapinzan😂😂
@LavenEliasy2 ай бұрын
💚💚
@sebastiansalamba3132 ай бұрын
Aziz k wapi bwana !mnatuchanganya
@futurecarefamily54542 ай бұрын
Friji lipooo 😂😂😂Naijua hiyooo....😅😅😂😂😂kehee....Azizi ki yupo paleee amekaa🤣🤣🤣🙌
@saidingumbo-is2oe2 ай бұрын
Azizi ki vp mbona mnatuweka roho juu
@khadijabakari90922 ай бұрын
Aziz k tujiandae kisaikolojia au
@farajamfaume75452 ай бұрын
Kama huyk azizi ki anadengua yupo azizi yule wa dreams ya ghana yupo vizuri pia
@happysanga68462 ай бұрын
Imeenda hiyo hatuna mdaaa🔥🙏🙏
@fettiemaganza14842 ай бұрын
Kwani aziz k ndo anaibeba yanga nzima? Akienda aende tu watakuja wengine
@BADAWY5752 ай бұрын
Oyaa al watana punguza kucheka cheka alafu kuweni serious leteni vitu kwa raha data .punguzeni utani kwenye kuongea na watu wengi si munajua yanga ni kubwa nazani mutakua mumenifahamu kamwe na mwenzako al watan
@athumanishabani11432 ай бұрын
Mashaallah
@badimfinanga2 ай бұрын
Kennedy Msonda Bado ni mchezaji mzuri asiachwe please
@sabrinakassimu2 ай бұрын
😅😅😅 ila Ali kamwe 😅😅
@ShafiiHungo2 ай бұрын
Mmetisha yanga
@ShakiraMasoud-ox5tj2 ай бұрын
Oya mbadala wa aucho mbona hamjamsajil 😢
@Izzoh20212 ай бұрын
Wachezaji ndio kwanza wameaza kureport kwaiyo embu wanayanga tutulie kidogo,wachezaji ambao hatuwaoni wapo subra kwanza na mtambue huo ni mpango maalumu mwenye D mbili atakuwa kanielewa hohoho.
@marianamontoedi13182 ай бұрын
Mashabiki wapambane Azizi abaki
@SufianeAssumaneAssumane2 ай бұрын
Bom dia. Mimi ni shabiki wa yanga. From Palma Moçambique. Jee Aziz ki tinae ama?
@Evance-op4jw2 ай бұрын
💚💚💛💛💚💚💛💛💛
@KhamisKaju2 ай бұрын
Aliy bdo tuna muhitaji k Aziz by kaju
@happysanga68462 ай бұрын
Jaman Aziz atuelewi uku tuweken waz
@joojombi23412 ай бұрын
Kazi Iendelee akhui mapambano bado yaendelea
@slowclimbertothetop45722 ай бұрын
Alwatan ameanza kuzeeka...
@blairmangani23412 ай бұрын
Mm nilishajiandaa toka mda,azizi key hatutakuwa nae huo ndo ukweli,ndo maana wamemsajili chama
@YeremiaErro2 ай бұрын
Yangu ni kubwa kuliko mchezaji kuondoka kwa mchezaji ni kwamba kapata fursa mahali hivo tusihofu kuondoka kwa mchezaji tuna kikosi kipana
@dicksonmzao83762 ай бұрын
Naomba aziz abaki piga ua garagaza
@iddfundikira28172 ай бұрын
Aziz ki tumchangie wananchi wote hili tumbakishe
@AbdulAthumni2 ай бұрын
azizi abaki ili ligi yetu izid kunoga na iwe juu zaid
@humphreyjosephat50022 ай бұрын
Wa pili leo
@BenjaminiMkapa2 ай бұрын
Nakubali
@Hgd-jk6lh2 ай бұрын
Furaha yangu itarudi azizi akisain😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@pilimohammedy75922 ай бұрын
Huyu alyi kamwe hana tisheti nyingine maana aspovaa jezi bs a 1:55 tavaa hiyo tsht
@SalimRamadhan-o7l2 ай бұрын
Ally wew nibora koliko yule mchenz
@Emanuelimiyonjo2 ай бұрын
Safi
@awetumtengera11472 ай бұрын
Azizi k hatumuoni No 10 wetu jamani.
@scorasticaclement63082 ай бұрын
Yaani Hapo Kwenye Kuongea kamwe Inazihilishaa Kuwaa azizi Kiki anasepaaa
@felixsitta11392 ай бұрын
Jaman Azizi k hatumuoni yukowapi?
@rehemawamwarami38542 ай бұрын
Azizi ki mbona haonekani hazungumzwi wiy!! Jamani.
@CharlesDanielnyanda2 ай бұрын
Napenda yanga damu damu
@carrenbenson21112 ай бұрын
Wengine wako wapi?
@patridabernard91482 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@ibrahimrashid8872 ай бұрын
Viongozi wanajitahidi kuhusu azizi kama itashindikana aende atuachie timu yetu asiwachanganye viongozi wetu wana mambo mengi ya kufanya
@ains11222 ай бұрын
Nineina player moya wa yanga princess
@FrankMwingira-ip5us2 ай бұрын
Ni kwel aliyee shuka airport ni ki Aziz jamn
@athumaninyituki70112 ай бұрын
Yanga rahaaaaaa kabsa
@KrispinMhagama2 ай бұрын
Presha sana kuhusu Azizi ki
@salemarahbi91712 ай бұрын
Mtambulisheni Azizi Ki jamani 😢
@Muna-en4yq2 ай бұрын
Monday Na bacca vip
@jimmymungai5222 ай бұрын
Nani anaondoka, nani anakuja(tumeona baadhi), wengine wanaobaki wanaingia lini na kambi imeshaanza? Namna gani hii???
@immatheboy79942 ай бұрын
Jezi mpya tynazindua lin
@AishaAlly-l1d2 ай бұрын
yanga ushindi tu makolo kucheza tu ila makombe aaaaa!
@sevarinijrchitandachitanda1382 ай бұрын
🔥🔥
@ObediNekiissa2 ай бұрын
Bado azizi ni muhimu kwa wanayanga
@ZahariaKassimu2 ай бұрын
Jamni mbona kama tunaumia kuusu azz ki mna hatuelewi mra kasaini injinia kasema hajasaini Yani furaha imepotea sana leo
@tamariamisi35402 ай бұрын
Sijaona aucho Nikiwa uganda
@daudlubugwa46962 ай бұрын
Azizi ki yupo au mbona hamujasema
@willysimyemba1022 ай бұрын
😂😂😂
@samweledward76642 ай бұрын
Yanga bingwa
@abubakaliyahaya29682 ай бұрын
Semaji la dunia
@mbarakasaidi26542 ай бұрын
Saf sana
@zuhuraabdulrahman15152 ай бұрын
Sms loading.......
@SaidyKigoda2 ай бұрын
Ally Azizi ki vp tuwekeni wazi
@GodfreyKarino2 ай бұрын
Nafrai kumuona mpomelelo dube
@MtashobyaJosia-wt9jq2 ай бұрын
mtashobya josia nikiwa Kenya isibania nawapata ongera sana yanga tuko pamoja
@MwinjumaShaban2 ай бұрын
Vp azizi kii yupo au vp
@DelillahMbwela2 ай бұрын
Aziz ki jamani😢
@KhamisHamad-v7f2 ай бұрын
Msitufiche tuambieni ukweli Aziz kiiiiiiiiiiiiii yupo msimu huu jangwani ama hayupo au mmeshindwa kumpata anachotaka ?