Рет қаралды 27,814
Chuma nne zimeingia, Yanga ikiipiga 4-0 Pamba Jiji, mchezo wa ligi kuu ya NBC kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Wa kwanza kuingia nyavuni alikuwa ni Ibrahim Abdulla Bacca dakika ya 5, kisha Stephen Aziz Ki kwa penati dakika ya 45, halafu Maxi Nzengeli dakika ya 55, na Kennedy Musonda kutoka benchi akapiga la nne dakika ya 85.