Mimi naona kwenye Swala la Uhamasishaji Viongozi Wetu Wamuachie Ally Kwasababu Bado kijana Ananguvu Saiv sa8 Usiku Daah Kijana Analambana Anakubalika sanaah na Mashabiki💛💚🙌🙌
@gideonchipepo84052 ай бұрын
Ally baki yanga wewe unafanya mashabiki wawe karibu na timu God bless you ❤❤❤❤❤❤❤❤
@Tassyomy2 ай бұрын
𝐌𝐀𝐍𝐀𝐑𝐀 𝐓𝐔𝐀𝐂𝐇𝐈𝐄 𝐀𝐋𝐈 𝐊𝐀𝐌𝐖𝐄 𝐖𝐄𝐓𝐔😂😂
@LeahMabula-sv8ij2 ай бұрын
Gen z wetu kamwe tunakukubali xana ❤❤😅
@TwahirMohammed-x2h2 ай бұрын
Machampion wamerudi twamshukuru mwenyezimungu
@Nope6e072 ай бұрын
We huogopi tupo na KAMWE
@radynnyagaly36922 ай бұрын
Watuachie Kamwe wetu ajaenda a ma kasi ya Yanga na wanachama wake hata hiwe Usiku wamanane yupo nao sambambaa. Manara hawez mwacha twiga wake kitandani na kukesha na vijana kama hivi.
@Elifuraha-eo5ns2 ай бұрын
Halafu ndo Kuna watu wanaitwa Magoma wanaomba wapewe timu!! Umh unadhani hii ni ya kitotoee
@nestorymalando34192 ай бұрын
Kusema kweli mm skuwahi kuwa mfatiliaji was mpira nawala skua natimu hapa tz ila kwasasa ninwanchi Tena naipenda sana yanga na huniambii kitu na alienisabishia haya yote ni ally kijana mpaka skuwaza kama nitakua mshabiki wa yanga namnahii asante ally
@magrethyeremia22792 ай бұрын
Yanga Raha saaan jmnnhiyo ni saa tisa ninkm mchanaa
@henrycrey34212 ай бұрын
Mnabalaaaaa yanga 😂😂😂😂
@dittosanga33582 ай бұрын
Together this team Young African Africans 😂😂😂😂
@sideally352 ай бұрын
Ally kamwe wew ni kiongozi bora kwetu wanayanga...
@Bilikejr_122 ай бұрын
jamani namimi sijalala naomba likes kidogo tuu
@Shebe_traLove2 ай бұрын
Hakika tume tisha
@bennamush46162 ай бұрын
Nimetamali kulia siyo kwa upendo huu Wana yanga usiku huu lakin bado wananchi wamitokeza kiasi hiki Mungu azidi kutulinda sote😢
@josamkagaruki8722 ай бұрын
NINYI HAMHOGOPIIIIIII
@mamuumamuu77432 ай бұрын
Yanga rahaaa
@ValenceVeruli2 ай бұрын
Jamani kwa raha hizi niende wapi mie
@BensamJunior102 ай бұрын
Young african sc ni tim kubwa 😅😅😅😅😅
@Nope6e072 ай бұрын
Kamwe nusu uturushe roho😅😅
@daudimichael73382 ай бұрын
Tutaona wenzetu watakuja na nini kutoka Misri😂😂😂
@AmaniOmari-ev2gu2 ай бұрын
Watakuja na misuziiii haaaaahaaaa
@kingveveadmire84122 ай бұрын
❤Ali kamwe na manara,
@TatuHusseni-hs7mu2 ай бұрын
Yanga bingwa tena 🎉🎉🎉
@TatuHangwa2 ай бұрын
Kwan Hamuogopi
@ValenceVeruli2 ай бұрын
Tupoooooo
@Daniyo-id4eh2 ай бұрын
Ally baba 2ko pamoja💪💪💪
@floribertebalo50092 ай бұрын
Ukiwa YANGA Ni sawa na Kula Bata peponi Ndugu zangu.
@qaseemayoub67582 ай бұрын
Hapana si kweli
@munirshabani87312 ай бұрын
vibe la wananchi sio poa
@Mudathir-tx1md2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@anifamickidard45552 ай бұрын
Wananchi
@Kuminamoja19952 ай бұрын
Ally kamwe atakua muhamasishaji ? Alafu haji manara atakua mwana habari full stop ✋️ 🫸 🫷
@JosephKazungu-b7h2 ай бұрын
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑐ℎ𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖𝑖🎉😅😅😅😅🍏
@mwajumampokileomckapela75412 ай бұрын
Yanga bingwa button ✅🔘✅✅✅✅✅✅✅✅🟢🟢🟢
@MwazambaMicrofinance2 ай бұрын
Hii YANGA inakuja kuwa tishio sana shikeni maneno yangu
@MashaMhangwa2 ай бұрын
Yanga yangu 🎉🎉🎉🎉
@matendojumanne58232 ай бұрын
Wehauogopi yangalaha hakunakulala
@henrycrey34212 ай бұрын
YANGA AMLALI 😅😅😅😅
@user-xy8kl9wd2i2 ай бұрын
Hatulali💛💚😅
@JoshuaOlando-l1m2 ай бұрын
Raha tupu kuna mtu anateseka ❤❤❤
@isiakaabby21792 ай бұрын
MI NDO NAANGALIA SAIVI SAA KUMI 04:01
@binsleyumonlinetv2 ай бұрын
Ali kamwe ahudumu hio nafasi hata miaka 10 mengne na Manara tutampa japo kazi ya kuosha vyombo klabuni ila kamwe abaki ktk nafas yake
@johnleonard68022 ай бұрын
Waoooo hatali
@amaniomar17552 ай бұрын
Hii ni hatareeh na nusu 🎉🎉🎉
@mwanangusana2 ай бұрын
Mfumo wa raha ndo yanga ....limbic system
@shaibusaady24202 ай бұрын
Allaah Akbar
@WilliamStanley-m8u2 ай бұрын
Tumekubar kwa kutuwakilisha wananchi wa dodoma tuko pamoja
@MzeewaYanga-hm8jq2 ай бұрын
😂hatuna dogo dadeki😂😂😂
@MandakaTv2 ай бұрын
Hatari
@lucksmwamlima2 ай бұрын
Safi sana wanajeshi wetu wa ndani ya uwanja na nnje ya uwanja mashabiki moto wachezaji moto